< 2 Samweli 20 >

1 Basi, kulikuwa na mtu mbaya sana aliyeitwa Sheba mwana wa Bikri, Mbenyamini, aliyekuwako huko. Akapiga tarumbeta na kupaza sauti, “Hatuna fungu katika Daudi, wala hatuna sehemu katika mwana wa Yese! Kila mtu aende hemani mwake, enyi Israeli!”
Benjamin miphun Bikhri capa a min teh Sheba tie taran ka thaw e buet touh ao. Ahni ni mongka a ueng teh Oe Isarel miphun maimouh teh Devit koevah, buet touh hai coe hane tawn awh hoeh. Jesi capa koevah râw coe hane kamcu awh hoeh. Isarelnaw namamae rim koe lengkaleng cet awh telah atipouh.
2 Kwa hiyo watu wote wa Israeli wakamwacha Daudi na kumfuata Sheba mwana Bikri. Lakini watu wa Yuda wakawa karibu na mfalme wao katika safari yote kutoka Yordani mpaka Yerusalemu.
Isarelnaw ni Devit hnukkâbang awh hoeh toe. Bikhri capa Sheba hnuk a kâbang awh. Judahnaw ni Jordan hoi Jerusalem kho totouh siangpahrang koe a kâhnai awh.
3 Daudi aliporudi katika jumba lake la kifalme huko Yerusalemu, aliwachukua wale masuria kumi aliokuwa amewaacha ili kuangalia jumba la kifalme na kuwaweka ndani ya nyumba chini ya ulinzi. Akawapa mahitaji yao lakini hakukutana nao kimwili. Waliwekwa kifungoni wakaishi kama wajane mpaka kifo chao.
Devit ni Jerusalem ama im a pha toteh, siangpahrang ni a yudo 10 touh im ka ring hanelah a hruek e hah a ceikhai teh, a paung. A canei kapoenaw ni canei kawi a poe awh ei teh, amamouh koe kâen awh hoeh. A due hnin totouh a paung awh teh lahmainaw patetlah ao awh.
4 Ndipo mfalme akamwambia Amasa, “Waite watu wa Yuda waje kwangu katika muda wa siku tatu, nawe mwenyewe uwepo hapa.”
Siangpahrang ni Amasa koevah, hnin thum touh thung Judahnaw hah kamkhueng sak nateh, ahnimouh hoi rei na tho han telah atipouh.
5 Lakini Amasa alipokwenda kuwaita Yuda, alichukua muda mrefu zaidi ya ule mfalme aliokuwa amemwekea.
Judahnaw kamkhueng sak hanelah Amasa teh a cei. Hatei, Devit teh a hnin a khoe e hlak hnuk a teng.
6 Daudi akamwambia Abishai, “Sasa Sheba mwana wa Bikri atatuletea madhara zaidi kuliko alivyofanya Absalomu. Wachukue watu wa bwana wako na umfuatie, la sivyo atapata mji wenye ngome na kututoroka.”
Devit ni Abishai koevah Bikhri capa Sheba ni Absalom hlak hai runae na poe han, na bawipa e sannaw kaw nateh ahnimanaw pâlei awh telah hoehpawiteh, ahni teh kacakpounge kho buetbuet touh kâen vaiteh, maimae kut dawk hoi a hlout han doeh telah Abishai koe a dei pouh.
7 Hivyo watu wa Yoabu, na Wakerethi na Wapelethi, pamoja na wapiganaji mashujaa wote wakaondoka chini ya uongozi wa Abishai. Wakatoka Yerusalemu ili kumfuata Sheba mwana wa Bikri.
Joab e taminaw Kereth tami, Phelet taminaw hoi tami a thakasainaw ni a hnukkâbang awh. Jerusalem hoi Bikhri capa Sheba pâlei hanelah a kamthaw awh.
8 Wakati walikuwa kwenye mwamba mkubwa huko Gibeoni, Amasa alikuja kuwalaki. Yoabu alikuwa amevaa mavazi yake ya kijeshi; juu yake alifunga mkanda kwenye kiuno wenye upanga ndani ya ala. Alipokuwa akienda mbele, ule upanga ukaanguka kutoka kwenye ala.
Gideon kho dawk e lungsong onae koe a pha awh toteh, Amasa ni ahnimanaw a dawn. Joab ni puengcang a kâmahrawk teh a keng dawk taisawm hoi tahloi a neng. A cei nalaihoi tahloi a yut teh a bo.
9 Yoabu akamwambia Amasa, “U hali gani, ndugu yangu?” Kisha Yoabu akamshika Amasa ndevu kwa mkono wake wa kuume ili ambusu.
Joab ni Amasa koevah, ka nawngha na dam ou telah ati. Joab ni a kâsak teh a paco han a dei teh a pâkhamuen a rang lae kut hoi a kuet.
10 Amasa hakuona upanga uliokuwa mkononi mwa Yoabu, naye Yoabu akamchoma nao tumboni, nayo matumbo yake yakamwagika chini. Pasipo kuchomwa mara ya pili, Amasa akafa. Basi Yoabu na Abishai nduguye wakamfuatia Sheba mwana wa Bikri.
Joab ni avoilae kut dawk sarai a sin e hah Amasa ni a pouk hoeh dawkvah, a von dawk a thut pouh teh a ruen hah talai dawk a bo. Bout thun hoeh toe. Amasa teh a due. Joab hoi a nawngha Abishai ni Bikhri capa Sheba hah a pâlei roi.
11 Mmoja wa watu wa Yoabu akasimama kando ya Amasa, akasema, “Yeyote ampendaye Yoabu na yeyote aliye upande wa Daudi, na amfuate Yoabu!”
Ahni e a teng Joab e tami buet touh a kangdue teh, Joab hoi Devit koelah ka kampang e pueng ni Joab heh pou ring naseh telah a ti.
12 Amasa alikuwa akigaagaa katika damu yake katikati ya barabara; mtu mmoja akaona kwamba vikosi vyote vilikuwa vinasimama pale. Huyo mtu alipotambua kwamba kila aliyefika pale Amasa alipokuwa alisimama, alimburuta Amasa kutoka barabarani mpaka kwenye shamba na kutupia nguo juu yake.
Amasa teh lam dawkvah a thi hoi pukkâkaawk. Ka tho pueng ni a hmu awh teh a kangdue awh. Joab e tami ni taminaw a kangdue e a hmu awh toteh, Amasa e a ro hah lam dawk hoi a la awh teh, kahrawng vah a puen awh teh hni hoi a ramuk awh.
13 Baada ya Amasa kuondolewa kutoka barabarani, watu wote walienda pamoja na Yoabu kumfuatia Sheba mwana wa Bikri.
Haw e lam dawk hoi a puen awh hnukkhu, Bikhri capa Sheba pâlei hanelah taminaw ni, Joab e hnuk a kâbang awh.
14 Sheba akapita katika makabila yote ya Israeli hadi Abel-Beth-Maaka na kupitia eneo lote la Waberi ambao walijikusanya pamoja na kumfuata.
Joab ni Bethmaakha ram Abel kho totouh Isarel ram pueng koe a cei. Bere taminaw koehai a cei teh taminaw a pâkhueng teh, Sheba hnuk a kâbang awh.
15 Vikosi vyote vya Yoabu vikaja na kumhusuru Sheba mwana wa Bikri huko Abel-Beth-Maaka. Wakauzingira mji kwa kuweka vikosi vya askari, ili kukabiliana na ngome ya mji. Walipokuwa wanagongagonga ukuta ili kuubomoa na kuuangusha chini,
Sheba a luennae Bethmaakha ram Abel kho hah a kalup awh. A kho teng vah talai avoivang lah a paten awh. Rapan raphoe hanelah thouk a phom awh.
16 mwanamke mmoja mwenye busara akaita kutoka ndani ya mji, akisema, “Sikilizeni! Sikilizeni! Mwambieni Yoabu aje hapa ili niweze kuzungumza naye.”
Hatnavah, a lungkaang e napui buet touh ni khothung hoi a hram teh a dei e teh, thai awh haw, thai awh. Kai ni Joab hoi lawk ka dei thai nahanelah tho loe telah Joab koe dei pouh awh telah a ti.
17 Yoabu alikwenda mbele yake, akamuuliza, “Wewe ni Yoabu?” Akamjibu, “Ndiye mimi.” Yule mwanamke akamwambia, “Sikiliza kile mtumishi wako atakachokuambia.” Akamwambia, “Ninasikiliza.”
Joab rek a hnai teh napui ni nang hah Joab vai khe, telah a pacei. Oe kai doeh atipouh. Napui ni kaie lawk thai haw atipouh navah, Joab ni ka thai doeh telah atipouh.
18 Huyo mwanamke akaendelea kusema, “Zamani za kale walikuwa wakisema, ‘Wakaulize ushauri huko Abeli,’ hivyo kulimaliza lile shauri.
Ayan teh Abel kho vah kho a khang awh han rah, ouk ati awh. Hottelah laidei pou a tâtueng awh.
19 Sisi ni watu wa amani na waaminifu katika Israeli. Wewe unajaribu kuharibu mji ambao ni mama katika Israeli. Kwa nini unataka kumeza urithi wa Bwana?”
Kai teh Isarelnaw dawk roumnae ka ngai e hoi yuemkamcu e lah ka o. Nang teh Isarel kho koung raphoe hanelah na kâcai. Bangkongmaw BAWIPA e râw hah he pahma hanelah na kâcai telah a dei.
20 Yoabu akajibu, “Hilo liwe mbali nami. Hilo liwe mbali nami kumeza au kuharibu.
Joab ni he pâhma hane, raphoe hane kâcainae awm hoeh bo.
21 Hivyo sivyo ilivyo. Mtu mmoja jina lake Sheba mwana wa Bikri, kutoka nchi ya vilima vya Efraimu, ameinua mkono wake dhidi ya mfalme, dhidi ya Daudi. Nikabidhini mtu huyu mmoja, nami nitajiondoa katika mji huu.” Huyu mwanamke akamwambia Yoabu, “Kichwa chake mtatupiwa kupitia juu ya ukuta.”
Hottelah nahoeh bo, Ephraim mon dawk e Bikhri capa a min teh Sheba ni amae siangpahrang hah a taran toe. Ahni hah na poe awh haw. Na poe awh pawiteh kho dawk hoi ka tâco han telah ati. Napui ni Joab koevah, khenhaw! a lû teh rapan hloilah ka tâkhawng han telah a ti.
22 Ndipo huyo mwanamke akaenda kwa watu wote akiwa na ushauri wake wa busara, nao wakakata kichwa cha Sheba mwana wa Bikri na kumtupia Yoabu. Kwa hiyo Yoabu akapiga tarumbeta, na watu wake wakatawanyika kutoka mjini, kila mmoja akirejea nyumbani kwake. Naye Yoabu akarudi kwa mfalme huko Yerusalemu.
Hote napui teh a lungang e patetlah taminaw koe a cei hnukkhu, Bikhri capa Sheba lû a tâtueng awh teh Joab koelah alawilah a tâkhawng pouh awh. Joab ni mongka a ueng teh taminaw teh hote kho dawk hoi amamouh onae koe bout a ban awh. Hahoi, Joab teh Jerusalem siangpahrang koe a ban.
23 Yoabu alikuwa jemadari wa jeshi lote la Israeli; Benaya mwana wa Yehoyada alikuwa juu ya Wakerethi na Wapelethi;
Joab teh Isarel ransanaw e ransabawi lah ao. Jehoiada capa Benaiah teh Kereth tami hoi Pelet taminaw kaukkung lah ao.
24 Adoramu alikuwa kiongozi wa wale waliofanya kazi ya kulazimishwa; Yehoshafati mwana wa Ahiludi alikuwa mweka kumbukumbu;
Adoram teh tamuk thaw ka kuen e lah ao. Ahilud capa Jehoshaphat teh kamthang kathutkung lah ao.
25 Sheva alikuwa mwandishi; Sadoki na Abiathari walikuwa makuhani;
Sheva teh ca kathunkung lah ao. Zadok hoi Abiathar teh vaihma lah ao.
26 na Ira, Myairi, alikuwa kuhani wa Daudi.
Jair tami teh Devit e ram kaukkung bawi lah ao.

< 2 Samweli 20 >