< 2 Samweli 20 >

1 Basi, kulikuwa na mtu mbaya sana aliyeitwa Sheba mwana wa Bikri, Mbenyamini, aliyekuwako huko. Akapiga tarumbeta na kupaza sauti, “Hatuna fungu katika Daudi, wala hatuna sehemu katika mwana wa Yese! Kila mtu aende hemani mwake, enyi Israeli!”
Giliga: le moilai ganodini da wadela: i hamedei dunu ea dio amo Siba esalebe ba: i. E da Bediamini fi dunu, amola ea ada da Bigilai. E da dalabede fulabole, amane wele sia: i, “Da: ibidi fadegama! Ninia ema hame fa: no bobogemu! Isala: ili dunu! Nini diasua afia: la: di!”
2 Kwa hiyo watu wote wa Israeli wakamwacha Daudi na kumfuata Sheba mwana Bikri. Lakini watu wa Yuda wakawa karibu na mfalme wao katika safari yote kutoka Yordani mpaka Yerusalemu.
Amaiba: le, Isala: ili dunu da Da: ibidima fa: no bobogelalu fisiagale, Sibama fa: no bobogei. Be Yuda dunu da Da: ibidi fuligala: lalu mae fisili, Da: ibidima fa: no bobogele, Yoda: ne Hano fisili, asili, Yelusaleme moilai bai bagadega doaga: i.
3 Daudi aliporudi katika jumba lake la kifalme huko Yerusalemu, aliwachukua wale masuria kumi aliokuwa amewaacha ili kuangalia jumba la kifalme na kuwaweka ndani ya nyumba chini ya ulinzi. Akawapa mahitaji yao lakini hakukutana nao kimwili. Waliwekwa kifungoni wakaishi kama wajane mpaka kifo chao.
Da: ibidi da ea hina bagade diasu Yelusaleme ganodini gala amoga doaga: le, e da ea gidisedagi uda nabuane gala amo e da hina bagade diasu ouligima: ne yolesi, amo oule asili, sosodo aligisu dunu ili ouligima: ne ilegei. E da ilia hanai liligi huluane defele momagele ilima i, be e da ili gilisili hame golai. Ilia da amo esoha amogainini ilia bogosu eso huluane didalo agoane gadofele esalu.
4 Ndipo mfalme akamwambia Amasa, “Waite watu wa Yuda waje kwangu katika muda wa siku tatu, nawe mwenyewe uwepo hapa.”
Hina bagade da Ama: isama amane sia: i, “Yuda dunu huluane gilisima: ne sia: ma! Amasea, ili huluane guiguda: oule misa. Gasidawane guiguda: doaga: ma!”
5 Lakini Amasa alipokwenda kuwaita Yuda, alichukua muda mrefu zaidi ya ule mfalme aliokuwa amemwekea.
Ama: isa da Yuda dunu misa: ne wele sia: na asi. Be e da hina bagade ea ilegei esoha amogalawane hame misi ba: i.
6 Daudi akamwambia Abishai, “Sasa Sheba mwana wa Bikri atatuletea madhara zaidi kuliko alivyofanya Absalomu. Wachukue watu wa bwana wako na umfuatie, la sivyo atapata mji wenye ngome na kututoroka.”
Amaiba: le, hina bagade da Abisia: ima amane sia: i, “A: basalome da ninima bidi hamosu bagade iasu. Be Siba da amo baligimusa: hamomu. Na dunu lidili, Siba se bobogema. E da gagili sali moilaiga asili, niniba: le hobeale asi dagoi ba: sa: besa: le, bobogema.”
7 Hivyo watu wa Yoabu, na Wakerethi na Wapelethi, pamoja na wapiganaji mashujaa wote wakaondoka chini ya uongozi wa Abishai. Wakatoka Yerusalemu ili kumfuata Sheba mwana wa Bikri.
Amaiba: le, Youa: be ea dunu amola hina bagade ea da: i sosodo ouligisu dunu, amola dadi gagui dunu huluane da Yelusaleme fisili, Abisia: i amoma fa: no bobogele, Siba famusa: asi.
8 Wakati walikuwa kwenye mwamba mkubwa huko Gibeoni, Amasa alikuja kuwalaki. Yoabu alikuwa amevaa mavazi yake ya kijeshi; juu yake alifunga mkanda kwenye kiuno wenye upanga ndani ya ala. Alipokuwa akienda mbele, ule upanga ukaanguka kutoka kwenye ala.
Ilia da gele bagade Gibione moilai bai bagade soge ganodini gala amoga doaga: loba, Ama: isa da ilima yosia: i. Youa: be da gegemusa: liligi gaga: ne, ea gegesu gobihei bagade da ea salasu ganodini sanawene buluga idiniginisi ba: i. E da midadi ahoanoba, ea gobihei da hisu osoba holole sa: i.
9 Yoabu akamwambia Amasa, “U hali gani, ndugu yangu?” Kisha Yoabu akamshika Amasa ndevu kwa mkono wake wa kuume ili ambusu.
Youa: be da Ama: isama amane sia: i, “Sama! Di da defeala: ?” E da Ama: isa nonogomusa: , ea mayabo amo ea lobodafa amoga gagui.
10 Amasa hakuona upanga uliokuwa mkononi mwa Yoabu, naye Yoabu akamchoma nao tumboni, nayo matumbo yake yakamwagika chini. Pasipo kuchomwa mara ya pili, Amasa akafa. Basi Yoabu na Abishai nduguye wakamfuatia Sheba mwana wa Bikri.
Ama: isa da gegesu gobihei amo Youa: be ea lobofofadiga gagui amo hame dawa: i galu. Youa: be da ea gobiheiga ea hagomo sone, ea iga huluane da osoboga gugudili sa: i. E da amo galu hedolowane bogoi amola Youa: be da e bu famu da bai hame ba: i. Amalalu, Youa: be amola ea eya Abisia: i da bu Siba famusa: se bobogei.
11 Mmoja wa watu wa Yoabu akasimama kando ya Amasa, akasema, “Yeyote ampendaye Yoabu na yeyote aliye upande wa Daudi, na amfuate Yoabu!”
Youa: be ea dunu afae da Ama: isa ea bogoi da: i hodo gadenene lela, amane wele sia: i, “Nowa da Youa: be amola Da: ibidi elamagai galea, Youa: bema fa: no bobogema!”
12 Amasa alikuwa akigaagaa katika damu yake katikati ya barabara; mtu mmoja akaona kwamba vikosi vyote vilikuwa vinasimama pale. Huyo mtu alipotambua kwamba kila aliyefika pale Amasa alipokuwa alisimama, alimburuta Amasa kutoka barabarani mpaka kwenye shamba na kutupia nguo juu yake.
Ama: isa ea da: i hodo da maga: mega dedebole, logo dogoa dialebe ba: i. Youa: be ea dunu huluane da amogai aliligisimusa: amanebe ba: i. Amaiba: le, e da da: i hodo amo logoa dialu amo hiougili, bugili nasu sogebia ligisiagalisi, abula sosone diasu amoga dedebolesi.
13 Baada ya Amasa kuondolewa kutoka barabarani, watu wote walienda pamoja na Yoabu kumfuatia Sheba mwana wa Bikri.
Ama: isa ea da: i hodo da logoa dialu amo lalefasi ba: loba, dunu huluane da Youa: bema fa: no bobogele, Siba se bobogei.
14 Sheba akapita katika makabila yote ya Israeli hadi Abel-Beth-Maaka na kupitia eneo lote la Waberi ambao walijikusanya pamoja na kumfuata.
Siba da Isala: ili fi huluane ilia sogega fodomane fasili, e da A: ibele Bede Ma: iaga moilaiga doaga: i. Bigilai fi dunu huluane da gilisili, ema fa: no bobogele, moilaia ganodini golili sa: i.
15 Vikosi vyote vya Yoabu vikaja na kumhusuru Sheba mwana wa Bikri huko Abel-Beth-Maaka. Wakauzingira mji kwa kuweka vikosi vya askari, ili kukabiliana na ngome ya mji. Walipokuwa wanagongagonga ukuta ili kuubomoa na kuuangusha chini,
Youa: be ea dunu ilia da Siba amo da amogawi esala, amo nababeba: le, ilia da asili amo moilai doagala: lesi. Ilia da moilai gagoi dobea gadenene osobo gasa: le lelegela heda: su hamoi, amola dobea mugululi sa: ima: ne amo hagududili osobo dogone hugalolesi.
16 mwanamke mmoja mwenye busara akaita kutoka ndani ya mji, akisema, “Sikilizeni! Sikilizeni! Mwambieni Yoabu aje hapa ili niweze kuzungumza naye.”
Bagade dawa: su uda da amo moilaiga esalu. E da dobea da: iya gado aligili amane wele sia: i, “Nabima! Nabima! Youa: be goeguda: misa: ne sia: ma! Na da ema sia: mu gala.”
17 Yoabu alikwenda mbele yake, akamuuliza, “Wewe ni Yoabu?” Akamjibu, “Ndiye mimi.” Yule mwanamke akamwambia, “Sikiliza kile mtumishi wako atakachokuambia.” Akamwambia, “Ninasikiliza.”
Youa: be da amoga asili, uda da ema amane sia: i, “Di da Youa: bela: ?” Youa: be da bu adole i, “Ma! Amo da na!” Uda da amane sia: i, “Hina! Na sia: nabima!” Youa: be da bu adole i, “Na da nabala!”
18 Huyo mwanamke akaendelea kusema, “Zamani za kale walikuwa wakisema, ‘Wakaulize ushauri huko Abeli,’ hivyo kulimaliza lile shauri.
Uda da amane sia: i, “Musa: hemonega ilia da amane sia: su, `Dilia asili, A:ibele moilai bai bagadega dilima adole iasu nabamasa!’ amola ilia da amanewane hamosu.
19 Sisi ni watu wa amani na waaminifu katika Israeli. Wewe unajaribu kuharibu mji ambao ni mama katika Israeli. Kwa nini unataka kumeza urithi wa Bwana?”
Ninia moilai da moilai noga: idafa. Ea olofosu hou amola fuli gala: su hou da Isala: ili moilai huluane ilia hou baligisa. Dia da abuliba: le ninia moilai wadela: musa: hamosala: ? Di da Hina Gode Ea gagui liligi wadela: musa: hanabela: ?”
20 Yoabu akajibu, “Hilo liwe mbali nami. Hilo liwe mbali nami kumeza au kuharibu.
Youa: be da bu adole i, “Hame mabu! Na da dia moilai hamedafa wadela: lesimu.
21 Hivyo sivyo ilivyo. Mtu mmoja jina lake Sheba mwana wa Bikri, kutoka nchi ya vilima vya Efraimu, ameinua mkono wake dhidi ya mfalme, dhidi ya Daudi. Nikabidhini mtu huyu mmoja, nami nitajiondoa katika mji huu.” Huyu mwanamke akamwambia Yoabu, “Kichwa chake mtatupiwa kupitia juu ya ukuta.”
Ninia da amo hamedafa ilegei. Be dunu ea dio amo Siba (Ifala: ime agolo soge dunu Bigilai amo egefe) e da muni hina bagade Da: ibidima lelesu hamosu. Amo dunu afae na lobo da: iya ima. Amasea, na da dia moilaiga doagala: lalu fisili masunu.” Uda da amane sia: i, “Ninia da ea dialuma damuni fasili, dobea dabudili dima galagudumu.”
22 Ndipo huyo mwanamke akaenda kwa watu wote akiwa na ushauri wake wa busara, nao wakakata kichwa cha Sheba mwana wa Bikri na kumtupia Yoabu. Kwa hiyo Yoabu akapiga tarumbeta, na watu wake wakatawanyika kutoka mjini, kila mmoja akirejea nyumbani kwake. Naye Yoabu akarudi kwa mfalme huko Yerusalemu.
Amanoba, e da moilai dunuma asili, ea ilegei amo ilima olelei. Amalalu, ilia da Siba ea dialuma damuni fasili, dobea dabudili, Youa: bema galagudui. Youa: be da ea dunu amo doagala: lalu fisimusa: olelema: ne, dalabede fulaboi. Ilia da ilia diasua buhagi. Amola Youa: be da hina bagade Yelusaleme ganodini esalu, ema buhagi.
23 Yoabu alikuwa jemadari wa jeshi lote la Israeli; Benaya mwana wa Yehoyada alikuwa juu ya Wakerethi na Wapelethi;
Isala: ili dadi gagui wa: i ouligisudafa da Youa: be. Da: ibidi ea da: igene sosodo aligisu dunuma ouligisudafa da Bina: ia (Yihoiada egefe).
24 Adoramu alikuwa kiongozi wa wale waliofanya kazi ya kulazimishwa; Yehoshafati mwana wa Ahiludi alikuwa mweka kumbukumbu;
Udigili hawa: hamosu dunu ilia ouligisu dunu da Adounaila: me. Sia: dedei ouligisu dunu da Yihosiafa: de (Ahilade egefe).
25 Sheva alikuwa mwandishi; Sadoki na Abiathari walikuwa makuhani;
Fada: i sia: dedesu ouligisu dunu da Sifa. Gobele salasu dunu da Sa: idoge amola Abaia: da.
26 na Ira, Myairi, alikuwa kuhani wa Daudi.
Amola Yie moilai dunu A: ila amo da Da: ibidi ea gobele salasu dunu esalu.

< 2 Samweli 20 >