< 2 Samweli 2 >

1 Ikawa baada ya mambo haya, Daudi akamuuliza Bwana, “Je, nipande kwenda katika mojawapo ya miji ya Yuda?” Bwana akasema, “Panda.” Daudi akauliza, “Je, niende wapi?” Bwana akajibu, “Nenda Hebroni.”
Sabara gah ılğevç'uyle qiyğa, Davudee Rəbbike qiyghanan: – Zı Yahudayne nenemecar şahareeqa hak'nene? Rəbbee eyhen: – Hak'ne. Davudee qiyghanan: – Nyaqane hak'ne? Rəbbee eyhen: – Xevroneeqa.
2 Basi Daudi akakwea kwenda huko pamoja na wake zake wawili, Ahinoamu wa Yezreeli na Abigaili, mjane wa Nabali wa Karmeli.
Davudur maqa cune q'öyursana xhunaşşeyka hayk'anna: İzre'elyğançena Axinoamır, Karmelyğançena Navalna sip'ıriy Avigailer.
3 Pia Daudi akawachukua watu waliokuwa pamoja naye, kila mmoja na jamaa yake, nao wakaishi huko Hebroni na miji yake.
Davudee cukan insanarıb cone xizanbışika Xevronqa qabı, mançine hiqiy-allane şaharbışee manbışis aaxvasın cigabı hele.
4 Ndipo watu wa Yuda wakaja Hebroni, huko wakamtia Daudi mafuta awe mfalme juu ya nyumba ya Yuda. Daudi alipoambiwa kuwa ni watu wa Yabeshi-Gileadi waliomzika Sauli,
Yahudayeençen insanar abı, Davudulqa q'ış qadğu, maa'ar mang'uke Yahudayne nasılına paççah ha'a. Maa'ad Davuduk'le uvhumee, Şaul Gileadeene Yaveşne milletın k'eyxhıva,
5 akatuma wajumbe kwa watu wa Yabeshi-Gileadi kuwaambia, “Bwana awabariki kwa kuonyesha wema huu kwa kumzika Sauli bwana wenu.
Davudee maqa cun insanar g'uxoole. Mang'vee cune insanaaşik'le eyhen: – Maane milletılqa in yizın cuvab hixhar he'e: «Rəbbee şos xayir-düə hevlecen, vuşda xərna eyxhene Şaulus, şu yugvalla hav'u, mana k'eyxhıva.
6 Sasa Bwana na awaonyeshe wema na uaminifu, nami pia nitawaonyesha wema ule ule kwa kuwa mmefanya jambo hili.
Hasre mane vuşde işil-alla Rəbbee Cuna badal dyooxhena yugvalla şos haagvecen. Zınad mane vuşde işil-alla şos yugun ha'as.
7 Sasa basi, kuweni hodari na mashujaa, kwa maana bwana wenu Sauli amekufa, nayo nyumba ya Yuda imenitia mafuta niwe mfalme juu yao.”
Vuşda xərna eyxhena Şaul qik'uva şu həşde xıleppı avqa qıma'a, it'umba ulyoozre. Yahudayne nasılen, cosda paççah zake hı'ı».
8 Wakati huo Abneri mwana wa Neri, jemadari wa jeshi la Sauli, alikuwa amemchukua Ish-Boshethi mwana wa Sauli na kumleta hadi Mahanaimu.
Şaulne g'oşunbışde q'oma ulyorzuling'vee Nerne duxee Avneree, Şaulna dix İşboşet cukasana Maxanayimeeqa qıkkı ıxha.
9 Akamweka awe mfalme juu ya nchi ya Gileadi, Waasheri, Yezreeli, Efraimu, Benyamini na Israeli yote.
Maa'ar Avneree mana Gileadne, Aşuriyne, İzre'elyne, Efrayimne, Benyaminne cigabışee vooxhene insanaaşde – gırgıne İzrailyna paççah ha'a.
10 Ish-Boshethi mwana wa Sauli alikuwa na umri wa miaka arobaini alipoanza kutawala Israeli, naye akatawala miaka miwili. Hata hivyo, nyumba ya Yuda ikamfuata Daudi.
Şaulne duxayqa, İşboşetıqa, İzrailyna paççah ıxhayng'a yoq'ts'al senniy vod. Mang'una paççahiyvalla q'ölle senna ts'ıts'avxha. Yahudayne nasılınmee, Davudun sura aqqı ıxha.
11 Muda ambao Daudi alikuwa mfalme juu ya nyumba ya Yuda huko Hebroni ilikuwa miaka saba na miezi sita.
Davudee Xevronee, Yahudayne nasıles paççahiyvalla yighılle sennayiy yixhıble vazna hav'u.
12 Abneri mwana wa Neri, pamoja na watu wa Ish-Boshethi mwana wa Sauli, wakatoka Mahanaimu kwenda Gibeoni.
Yiğbışde sa yiğıl Nerna dix Avner, Şaulne duxayne İşboşetne insanaaşika Maxanayimğançe Giveoneeqa hayk'an.
13 Yoabu mwana wa Seruya na watu wa Daudi wakatoka na kukutana nao kwenye bwawa la Gibeoni. Kikundi kimoja kiliketi upande mmoja wa bwawa, na kikundi kingine upande wa pili.
Tseruya donane zəiyfayna dix Yoavmee, Davudne insanaaşika Giveonusneene xhyan sadıyne cigaysqa, manbışde ögilqa qığeç'e. Yoav cune insanaaşika xhyan sadıyne cigayne sa aq'val, Avnerır cune insanaaşika – manisa aq'val giy'ar.
14 Ndipo Abneri akamwambia Yoabu, “Tuwaweke baadhi ya vijana wasimame na wapigane ana kwa ana mbele yetu.” Yoabu akasema, “Sawa, na wafanye hivyo.”
Avneree Yoavık'le eyhen: – Havaasre mek'vunbı suğootsu, yişde ögil saç'ivkvecen. Yoaveeyid eyhen: – Havaasre saç'ivkvecen.
15 Kwa hiyo vijana wakasimama, wakahesabiwa: watu wa Benyamini na wa Ish-Boshethi mwana wa Sauli kumi na wawili, na upande wa Daudi kumi na wawili.
Şaulne duxayne İşboşetne sural sıç'ookvan Benyaminaaşin mek'vunbı qəpqı'mee, yits'ıq'vayre insan eyxhe. Davudne suraler yits'ıq'vayre eyxhe.
16 Kisha kila mtu akakamatana na mpinzani wake kichwani na kuchomana kwa upanga, nao wakaanguka chini pamoja. Kwa hiyo mahali pale katika Gibeoni pakaitwa Helkath-Hasurimu.
Manbışe sana-sananbı vuk'ulbışike avqu, g'ılıncbı hiyxə. Manbışin gırgınbı habat'anbı. Mançil-allad Giveoneene mane cigayk'le Xelqat-Hatsurimva (G'ılıncbışin çol) eyhe.
17 Siku hiyo vita vilikuwa vikali sana, naye Abneri na watu wa Israeli wakashindwa na watu wa Daudi.
Mane yiğıl ma'ad geed it'umın saç'ikkvuy ıxha. Avneriy İzrailybı, Davudne insanaaşis maa'ab avub avxu.
18 Wana watatu wa Seruya walikuwako huko: nao ni Yoabu, Abishai na Asaheli. Basi huyo Asaheli alikuwa na mbio kama paa.
Tseruya donane zəiyfayna xhebırsana dix: Yoav, Avişay, Asahelib maa'ab vooxhe. Asahel, çolana ceyran xhinne, g'elike ek'ra ıxha.
19 Asaheli akamfukuza Abneri, pasipo kugeuka kulia wala kushoto wakati akimfuata.
Mana neng'uqacar ilydyakkı, Avnerıqa qihna girxhu. Mang'uqar qihna g'adayhvanmee,
20 Abneri akaangalia nyuma na kumuuliza, “Ni wewe, Asaheli?” Akamjibu, “Ndiyo.”
Avner yı'q'əlqa ilyakkı, eyhen: – Asahel, ğune vor? Mang'vee eyhen: – Ho'o, zı vorna.
21 Ndipo Abneri akamwambia, “Geuka upande wa kulia au kushoto. Mchukue mmoja wa vijana wa kiume na umvue silaha zake.” Lakini Asaheli hakuacha kumfukuza.
Avneree mang'uk'le eyhen: – Yiğne sağıqa, soluqa sa ilekke. Mane mek'vunbışda sa aqqı, manbışin silahbı g'ayşe. Asaheleemee Avnerıke xıl ts'ıts'a'a vuxha deş.
22 Abneri akamwonya tena Asaheli akimwambia, “Acha kunifukuza! Kwa nini nikuue? Je, nitawezaje kumtazama ndugu yako Yoabu usoni?”
Avneree, Asahelik'le meed eyhen: – Zaqar qihna gimexha, zake xıl ts'ıts'ee'e! Nişil-allane zı ğu gik'as? Qiyğa zı yiğne çoçune Yoavne aq'veeqa nəxürna ilyakkas?
23 Lakini Asaheli alikataa kuacha kumfuatia, kwa hiyo Abneri akamchoma Asaheli tumboni kwa ncha butu ya mkuki wake, mkuki ukamtoboa ukatokea mgongoni mwake. Akaanguka na kufa papo hapo. Ikawa kila mtu alisimama alipofika mahali pale Asaheli alipoanguka na kufa.
Asahelee meeb mang'uke xıl ts'ıts'aa'a deş. Manke Avneree cun nize alyat'u, cık'rıhiyna mang'une vuxhnele k'ena məxüd ı'xiyxə, cık'rı mang'une yı'q'ək ciga hı'ı qığeç'e. Asahel qukkyorkul cigeecar qek'ana. Mançile qiyğa Asahel qik'uyne cigaysse ı'lğən gırgınbı, maa'ab ulydyobzur ılğeebaç'e vuxha deş.
24 Lakini Yoabu na Abishai walimfuata Abneri, na jua lilipokuwa linatua, wakafika kwenye kilima cha Ama, karibu na Gia kwenye njia ya kuelekea kwenye nyika ya Gibeoni.
Yoaviy Avişay Avnerıqa qihna g'adaaxhvan. Verığ k'yooçemee, manbı qabı hiviyxharanbı Giveonne sahrayne yəqqı'lyne Giahne ögilyne Ammava eyhene tepalqa.
25 Ndipo watu wa kabila la Benyamini wakakusanyika tena nyuma ya Abneri. Wakaunda kikosi na kujiimarisha juu ya kilima.
Benyaminaaşinbı Avnerne hiqiy-alla savayle. Qiyğab apk'ın, sa tepayne q'omaqa ılqeepç'ı, maayib ulyoozaranbı.
26 Abneri akamwita Yoabu, akamwambia, “Je, ni lazima upanga uendelee kuangamiza milele? Hutambui kwamba jambo hili litaishia katika uchungu? Utaacha kuwaagiza watu wako waache kuwafuatilia ndugu zao hata lini?”
Avneree ts'irıka Yoavık'le eyhen: – Şi mısılqameene g'ılıncıke hapt'as? Nya'a, vak'le ats'a dişdiy, nekke qiyğa yugdacad ixhes deş? Ğu yiğne insanaaşik'le mısane eyhes, cone çocaaşiqab qihna gimabak'va?
27 Yoabu akajibu, “Hakika kama aishivyo Mungu, kama hukusema, hawa watu wangeendelea kuwafuatia ndugu zao mpaka asubuhi.”
Yoavee eyhen: – Vorne Allahılqa k'ın ixhen, ğu manva ittevhuynxhiy, yizın insanar cone çocaaşiqa qihna miç'eebilqamee gyapk'asınbıniy.
28 Basi Yoabu akapiga tarumbeta, nao watu wote wakasimama, hawakuwafuata Israeli tena, wala hawakuwapiga tena.
Qiyğa Yoavee şeypur əlüvxümee, manbışin gırgınbı ulyoozaranbı. İzrailybışiqa qihna gyapk'iy ç'əvə'an, manbışika sayib sıç'ookka deş.
29 Usiku ule wote Abneri na watu wake wakatembea kupitia Araba. Wakavuka Mto Yordani, wakaendelea wakipitia nchi yote ya Bithroni wakafika Mahanaimu.
Avneriy cun insanar xəmvolle Arava eyhene q'adaalile k'ena avayk'an. Manbı İordanne damayle ılğeepç'ı, Bitronule k'ena qabı, Maxanayimeeqa hiviyxhar.
30 Basi Yoabu akarudi kutoka kumfuatia Abneri, na kuwakusanya watu wake wote. Pamoja na Asaheli, watu kumi na tisa wa Daudi walikuwa wamepotea.
Yoavee, Avnerıqa qihna girxhuy ç'əv hı'ı sark'ılymee, cuna g'oşun sa'a. Asahelıle ğayrı Davudne insanaaşike yits'ıyüç'ər insan hiyxhar deşiy.
31 Lakini watu wa Daudi walikuwa wamewaua watu wa kabila la Benyamini 360 waliokuwa pamoja na Abneri.
Davudne insanaaşemee, Benyaminaaşina, Avnerne insanaaşina, xhebıd vəşşe yixhts'al insan gek'a.
32 Wakamchukua Asaheli, wakamzika katika kaburi la baba yake huko Bethlehemu. Kisha Yoabu na watu wake wakatembea usiku kucha na kufika huko Hebroni wakati wa mapambazuko.
Asahel Bet-Lexemqa qıkkı, cune dekkına nyaq'vanane mağaree k'eyxha. Yoaveeyiy cune insanaaşe xəmvolle yəq avayk'an, miç'eebiys manbı qabı Xevronqa hiviyxhar.

< 2 Samweli 2 >