< 2 Samweli 2 >

1 Ikawa baada ya mambo haya, Daudi akamuuliza Bwana, “Je, nipande kwenda katika mojawapo ya miji ya Yuda?” Bwana akasema, “Panda.” Daudi akauliza, “Je, niende wapi?” Bwana akajibu, “Nenda Hebroni.”
Derefter rådspurgte David HERREN: "Skal jeg drage op til en af Judas Byer?" HERREN svarede:"Gør det!" Og David spurgte: "Hvor skal jeg drage hen?" Da svarede han: "Til Hebron!"
2 Basi Daudi akakwea kwenda huko pamoja na wake zake wawili, Ahinoamu wa Yezreeli na Abigaili, mjane wa Nabali wa Karmeli.
Så drog David derop tillige med sine to Hustruer Ahinoam fra Jizre'el og Abigajil, Karmeliten Nabals Hustru;
3 Pia Daudi akawachukua watu waliokuwa pamoja naye, kila mmoja na jamaa yake, nao wakaishi huko Hebroni na miji yake.
og han tog sine Mænd med derop tillige med deres Familier, og de bosatte sig i Byerne omkring Hebron.
4 Ndipo watu wa Yuda wakaja Hebroni, huko wakamtia Daudi mafuta awe mfalme juu ya nyumba ya Yuda. Daudi alipoambiwa kuwa ni watu wa Yabeshi-Gileadi waliomzika Sauli,
Da kom Judas Mænd derhen og salvede David til Konge over Judas Hus. Da David fik at vide, at Mændene i Jabesj i Gilead havde jordet Saul,
5 akatuma wajumbe kwa watu wa Yabeshi-Gileadi kuwaambia, “Bwana awabariki kwa kuonyesha wema huu kwa kumzika Sauli bwana wenu.
sendte han Sendebud til Mændene i Jabesj i Gilead og lod sige: "HERREN velsigne eder, fordi I således viste Godhed mod eders Herre Saul og jordede ham.
6 Sasa Bwana na awaonyeshe wema na uaminifu, nami pia nitawaonyesha wema ule ule kwa kuwa mmefanya jambo hili.
Måtte nu HERREN vise eder Godhed og Trofasthed! Men også jeg vil gøre godt imod eder, fordi I gjorde dette.
7 Sasa basi, kuweni hodari na mashujaa, kwa maana bwana wenu Sauli amekufa, nayo nyumba ya Yuda imenitia mafuta niwe mfalme juu yao.”
Tag eder derfor sammen og vis eder som stærke Mænd; thi eders Herre Saul er død, og Judas Hus har allerede salvet mig til Konge!"
8 Wakati huo Abneri mwana wa Neri, jemadari wa jeshi la Sauli, alikuwa amemchukua Ish-Boshethi mwana wa Sauli na kumleta hadi Mahanaimu.
Men Abner, Ners Søn, Sauls Hærfører, tog Sauls Søn Isjbosjet og bragte ham over til Mahanajim
9 Akamweka awe mfalme juu ya nchi ya Gileadi, Waasheri, Yezreeli, Efraimu, Benyamini na Israeli yote.
og udråbte ham til Konge over Gilead, Aseriterne, Jizre'el, Efraim og Benjamin, over hele Israel.
10 Ish-Boshethi mwana wa Sauli alikuwa na umri wa miaka arobaini alipoanza kutawala Israeli, naye akatawala miaka miwili. Hata hivyo, nyumba ya Yuda ikamfuata Daudi.
Isjbosjet, Sauls Søn, var fyrretyve År, da han blev Konge over Israel, og han herskede to År. Kun Judas Hus sluttede sig til David.
11 Muda ambao Daudi alikuwa mfalme juu ya nyumba ya Yuda huko Hebroni ilikuwa miaka saba na miezi sita.
Den Tid David herskede i Hebron over Judas Hus, var syv År og seks Måneder.
12 Abneri mwana wa Neri, pamoja na watu wa Ish-Boshethi mwana wa Sauli, wakatoka Mahanaimu kwenda Gibeoni.
Abner, Ne'rs Søn, drog med Isjbosjets, Sauls Søns, Folk fra Mahanajim til Gibeon;
13 Yoabu mwana wa Seruya na watu wa Daudi wakatoka na kukutana nao kwenye bwawa la Gibeoni. Kikundi kimoja kiliketi upande mmoja wa bwawa, na kikundi kingine upande wa pili.
ligeledes drog Joab, Zerujas Søn ud med Davids folk, og de stødte sammen med dem ved Dammen i Gibeon; og de slog sig ned hver på sin Side af Dammen.
14 Ndipo Abneri akamwambia Yoabu, “Tuwaweke baadhi ya vijana wasimame na wapigane ana kwa ana mbele yetu.” Yoabu akasema, “Sawa, na wafanye hivyo.”
Da sagde Abner til Joab: "Lad de unge Mænd stå op og udføre Våben lege for os!" Og Joab sagde: "Ja, lad dem stå op!"
15 Kwa hiyo vijana wakasimama, wakahesabiwa: watu wa Benyamini na wa Ish-Boshethi mwana wa Sauli kumi na wawili, na upande wa Daudi kumi na wawili.
Så stod de op og gik frem lige mange fra hver Side, tolv Benjaminiter for Isjbosjet, Sauls Søn, og tolv af Davids Folk;
16 Kisha kila mtu akakamatana na mpinzani wake kichwani na kuchomana kwa upanga, nao wakaanguka chini pamoja. Kwa hiyo mahali pale katika Gibeoni pakaitwa Helkath-Hasurimu.
men de greb hverandre om Hovedet og stødte Sværdet i Siden på hverandre, så de faldt alle til Hobe. Derfor kalder man dette Sted Helkat-Hazzurim; det ligger ved Gibeon.
17 Siku hiyo vita vilikuwa vikali sana, naye Abneri na watu wa Israeli wakashindwa na watu wa Daudi.
Samme Dag kom det til en meget hård Kamp, i hvilken Abner og Israels Mænd blev drevet på Flugt af Davids Folk.
18 Wana watatu wa Seruya walikuwako huko: nao ni Yoabu, Abishai na Asaheli. Basi huyo Asaheli alikuwa na mbio kama paa.
Ved den Lejlighed var Zerujastre Sønner med, Joab, Abisjaj og Asa'el; og Asa'el, der var rapfodet som Markens Gazeller,
19 Asaheli akamfukuza Abneri, pasipo kugeuka kulia wala kushoto wakati akimfuata.
forfulgte Abner uden at bøje af til højre eller venstre.
20 Abneri akaangalia nyuma na kumuuliza, “Ni wewe, Asaheli?” Akamjibu, “Ndiyo.”
Abner vendte sig om og spurgte: "Er det dig, Asa'el?" Han svarede: "Ja, det er!"
21 Ndipo Abneri akamwambia, “Geuka upande wa kulia au kushoto. Mchukue mmoja wa vijana wa kiume na umvue silaha zake.” Lakini Asaheli hakuacha kumfukuza.
Da sagde Abner: "Bøj af til en af Siderne, grib en af de unge Mænd og tag dig hans Rustning!" Men Asa'el vilde ikke opgive at forfølge ham.
22 Abneri akamwonya tena Asaheli akimwambia, “Acha kunifukuza! Kwa nini nikuue? Je, nitawezaje kumtazama ndugu yako Yoabu usoni?”
Da sagde Abner videre til Asa'el: "Stands med at forfølge mig! Hvorfor skal jeg slå dig til Jorden? Og hvorledes skal jeg så kunne se din Broder Joab i Øjnene?"
23 Lakini Asaheli alikataa kuacha kumfuatia, kwa hiyo Abneri akamchoma Asaheli tumboni kwa ncha butu ya mkuki wake, mkuki ukamtoboa ukatokea mgongoni mwake. Akaanguka na kufa papo hapo. Ikawa kila mtu alisimama alipofika mahali pale Asaheli alipoanguka na kufa.
Men han vægrede sig ved at standse, og Abner stødte da baglæns Spydet gennem Underlivet på ham, så det kom ud af Ryggen, og han faldt død om på Stedet. Og alle, som kom til Stedet, hvor Asa'el lå og var død, stod stille.
24 Lakini Yoabu na Abishai walimfuata Abneri, na jua lilipokuwa linatua, wakafika kwenye kilima cha Ama, karibu na Gia kwenye njia ya kuelekea kwenye nyika ya Gibeoni.
Men Joab og Abisjaj forfulgte Abner, og da Solen gik ned, havde de nået Gibeat-Amma, som ligger østen for Gia ved Vejen til Gibeons Ørken.
25 Ndipo watu wa kabila la Benyamini wakakusanyika tena nyuma ya Abneri. Wakaunda kikosi na kujiimarisha juu ya kilima.
Da samlede Benjaminiterne sig om Abne'r og stillede sig i Klynge på Toppen af Gibeat-Amma.
26 Abneri akamwita Yoabu, akamwambia, “Je, ni lazima upanga uendelee kuangamiza milele? Hutambui kwamba jambo hili litaishia katika uchungu? Utaacha kuwaagiza watu wako waache kuwafuatilia ndugu zao hata lini?”
Men Abner råbte til Joab: "Skal da Sværdet altid blive ved at fortære? Ved du ikke, at Eftersmagen er besk? Hvor længe skal det vare, inden du byder Folket standse med at forfølge deres Brødre?"
27 Yoabu akajibu, “Hakika kama aishivyo Mungu, kama hukusema, hawa watu wangeendelea kuwafuatia ndugu zao mpaka asubuhi.”
Joab svarede: "Så sandt HERREN lever: Havde du ikke talt, vilde Folkene først i Morgen have standset med at forfølge deres Brødre!"
28 Basi Yoabu akapiga tarumbeta, nao watu wote wakasimama, hawakuwafuata Israeli tena, wala hawakuwapiga tena.
Derpå stødte Joab i Hornet, og hele Folket standsede; de forfulgte ikke mere Israel og fortsatte ikke Kampen.
29 Usiku ule wote Abneri na watu wake wakatembea kupitia Araba. Wakavuka Mto Yordani, wakaendelea wakipitia nchi yote ya Bithroni wakafika Mahanaimu.
Abner og hans Mænd vandrede så i Løbet af Natten igennem Arabalavningen, satte over Jordan, gik hele Kløften igennem og kom til Mahanajim.
30 Basi Yoabu akarudi kutoka kumfuatia Abneri, na kuwakusanya watu wake wote. Pamoja na Asaheli, watu kumi na tisa wa Daudi walikuwa wamepotea.
Da Joab vendte tilbage fra Forfølgelsen af Abner og samlede alle Krigerne, savnedes foruden Asa'el nitten Mand af Davids Folk,
31 Lakini watu wa Daudi walikuwa wamewaua watu wa kabila la Benyamini 360 waliokuwa pamoja na Abneri.
medens Davids Folk havde slået 360 Mand ihjel af Benjaminiterne, Abners Folk.
32 Wakamchukua Asaheli, wakamzika katika kaburi la baba yake huko Bethlehemu. Kisha Yoabu na watu wake wakatembea usiku kucha na kufika huko Hebroni wakati wa mapambazuko.
Derpå bar de Asa'el bort og jordede ham i hans Faders Grav i Betlehem, og Joab og hans Mænd vandrede hele Natten igennem; da Solen stod op, nåede de Hebron.

< 2 Samweli 2 >