< 2 Samweli 2 >
1 Ikawa baada ya mambo haya, Daudi akamuuliza Bwana, “Je, nipande kwenda katika mojawapo ya miji ya Yuda?” Bwana akasema, “Panda.” Daudi akauliza, “Je, niende wapi?” Bwana akajibu, “Nenda Hebroni.”
Amalu fa: no Da: ibidi da Hina Godema amane adole ba: i, “Na da asili, Yuda moilai afae ouligimu da defeala: ?” Hina Gode da bu adole i, “Ma! Ouligima!” Da: ibidi da bu adole ba: i, “Habola: ?” Hina Gode da bu adole i, “Hibalone!”
2 Basi Daudi akakwea kwenda huko pamoja na wake zake wawili, Ahinoamu wa Yezreeli na Abigaili, mjane wa Nabali wa Karmeli.
Amaiba: le Da: ibidi da ea uda aduna Hibalone moilai bai bagadega oule asi. Ea iduala da Ahinoua: me (e da Yeseliele moilai bai bagadega fi uda) amola A: biga: ile (Na: iba: le ea didalo Gamele moilaiga misi.)
3 Pia Daudi akawachukua watu waliokuwa pamoja naye, kila mmoja na jamaa yake, nao wakaishi huko Hebroni na miji yake.
Amola e da ea dunu fi amola ilia sosogo fi huluane oule asili, amola ilia da Hibalone moilai bai bagade amo ganodini fifilai dagoi.
4 Ndipo watu wa Yuda wakaja Hebroni, huko wakamtia Daudi mafuta awe mfalme juu ya nyumba ya Yuda. Daudi alipoambiwa kuwa ni watu wa Yabeshi-Gileadi waliomzika Sauli,
5 akatuma wajumbe kwa watu wa Yabeshi-Gileadi kuwaambia, “Bwana awabariki kwa kuonyesha wema huu kwa kumzika Sauli bwana wenu.
Amalu, Yuda dunu ilia Hibalone moilai bai bagadega misini doaga: le, Da: ibidi da Yuda dunu ilia hina bagade galebe ilia dawa: digima: ne susuligi unasili, e ilegei dagoi. Ya: ibese moilai bai bagade (Gilia: de soge amo ganodini gala) amo fifi lai dunu da Solo ea da: i hodo uligai dagoi. Da: ibidi da amo sia: be nababeba: le, sia: adola ahoasu dunu ilia amane sia: adola masa: ne asunasi dagoi, “Dilia da dilia hina bogoi ema nodone uligai dagoiba: le, Hina Gode da dilima hahawane dogolegele hamomu da defea.
6 Sasa Bwana na awaonyeshe wema na uaminifu, nami pia nitawaonyesha wema ule ule kwa kuwa mmefanya jambo hili.
Amalu waha amola hobea Hina Gode da dilima mae fisili hahawane dogolegele hamomu da defea. Dilia da na noga: le fidibiba: le, na amola da dili noga: le fidimu.
7 Sasa basi, kuweni hodari na mashujaa, kwa maana bwana wenu Sauli amekufa, nayo nyumba ya Yuda imenitia mafuta niwe mfalme juu yao.”
Gasa fima! Amola hahawane galoma! Dilia hina bagade Solo da bogoi dagoi, amola Yuda dunu ilia da na amo hina bagade hawa: hamoma: ne ilegei dagoi.”
8 Wakati huo Abneri mwana wa Neri, jemadari wa jeshi la Sauli, alikuwa amemchukua Ish-Boshethi mwana wa Sauli na kumleta hadi Mahanaimu.
Solo ea dadi gagui ilia bisilua A: bena (Ne egefe) amola Esiabousiede (Solo egefe), ela da gegesua hobeale, Yoda: ne hano degele, Ma: ihana: ime sogega asi.
9 Akamweka awe mfalme juu ya nchi ya Gileadi, Waasheri, Yezreeli, Efraimu, Benyamini na Israeli yote.
Amogai, A:bena da Esiabousiede ea hina bagade hawa: hamoma: ne ilegei, amalu Gilia: de soge huluane amola A: sie, Yeseliele, Ifala: ime, Bediamini, amola Isala: ili huluane ouligima: ne sia: i.
10 Ish-Boshethi mwana wa Sauli alikuwa na umri wa miaka arobaini alipoanza kutawala Israeli, naye akatawala miaka miwili. Hata hivyo, nyumba ya Yuda ikamfuata Daudi.
Esiabousiede da lalelegele, ode 40 gidigili esalu, Isala: ili ouligisu hawa: hamosu lai. Amola e da Isala: ili soge ode aduna ouligi. Be Yuda fi da Da: ibidi ema fa: no bobogesu.
11 Muda ambao Daudi alikuwa mfalme juu ya nyumba ya Yuda huko Hebroni ilikuwa miaka saba na miezi sita.
Amola e da Hibalone moilai bai bagadega esala, Yuda ouligilalu, ode fesuale amola oubi gafeale gidigi.
12 Abneri mwana wa Neri, pamoja na watu wa Ish-Boshethi mwana wa Sauli, wakatoka Mahanaimu kwenda Gibeoni.
A: bena amola Esiabousiede ea baligia aligili eagene ouligisu dunu, ilia da amo Ma: ihana: ime soge amo ganodini asili, moilai bai bagade Gibione amoga asili, hano ulasu dogoi bega: doaga: i.
13 Yoabu mwana wa Seruya na watu wa Daudi wakatoka na kukutana nao kwenye bwawa la Gibeoni. Kikundi kimoja kiliketi upande mmoja wa bwawa, na kikundi kingine upande wa pili.
Amoga ilia da Youa: be (ea ame da Seluaia) amola Da: ibidi ea eagene ouligisu dunu oda hano na: iyadodili fi dialebe ba: i.
14 Ndipo Abneri akamwambia Yoabu, “Tuwaweke baadhi ya vijana wasimame na wapigane ana kwa ana mbele yetu.” Yoabu akasema, “Sawa, na wafanye hivyo.”
A: bena da Youa: bema amane sia: i, “Dia fi goi mogili da ninia fi goi mogili ilima hedele gegemala: di.” Youa: be da bu adole i, “Defea!”
15 Kwa hiyo vijana wakasimama, wakahesabiwa: watu wa Benyamini na wa Ish-Boshethi mwana wa Sauli kumi na wawili, na upande wa Daudi kumi na wawili.
Amaiba: le, Esiabousiede ea Bediamini fi dunu fagoyale gala da Da: ibidi ea fi dunu fagoyale gala ilima gegei.
16 Kisha kila mtu akakamatana na mpinzani wake kichwani na kuchomana kwa upanga, nao wakaanguka chini pamoja. Kwa hiyo mahali pale katika Gibeoni pakaitwa Helkath-Hasurimu.
Dunu afae afae da defele ilia ha lai dunu ilia dialumagia ili defele gaguli, ilia gobiheiga galu afoa sone, dunu huluane24agoane galu dafane bogoi ba: i. Amaiba: le, Gibione moilai bai bagade amo ganodini, amo soge dawa: loma: ne ilia da “Gegesu Gobihei Sogebi” sia: sa.
17 Siku hiyo vita vilikuwa vikali sana, naye Abneri na watu wa Israeli wakashindwa na watu wa Daudi.
Amalalu, bagadedafa gegesu da mui. Amola Da: ibidi ea dunu da A: bena amola Isala: ili dunu hasali dagoi.
18 Wana watatu wa Seruya walikuwako huko: nao ni Yoabu, Abishai na Asaheli. Basi huyo Asaheli alikuwa na mbio kama paa.
Selouaia ea mano udiana ilia da amogawi esalebe ba: i. Ilia dio da Youa: be, Abisia: i, amola A: sahele. A: sahele da sigua ohe ‘dia’ amo defele hehenasu dawa: i galu.
19 Asaheli akamfukuza Abneri, pasipo kugeuka kulia wala kushoto wakati akimfuata.
E da A: benama molo dounananu, doagala: musa: hehenaia bobogei.
20 Abneri akaangalia nyuma na kumuuliza, “Ni wewe, Asaheli?” Akamjibu, “Ndiyo.”
A: bena da beba: le amane sia: i, “A: sahele! Amo da dila: ?” “Ma!” e bu adole i.
21 Ndipo Abneri akamwambia, “Geuka upande wa kulia au kushoto. Mchukue mmoja wa vijana wa kiume na umvue silaha zake.” Lakini Asaheli hakuacha kumfukuza.
A: bena da amane sia: i, “Na bobogebe go yolesima! Di dadi gagui ayeligi afae amoga se bobogele, ea gagui liligi lama.” Be A: sahele da mae yolesili ema fa: no bobogelalu.
22 Abneri akamwonya tena Asaheli akimwambia, “Acha kunifukuza! Kwa nini nikuue? Je, nitawezaje kumtazama ndugu yako Yoabu usoni?”
A: bena da bu enowane A: sahelema amane sia: i, “Na bobogebe go yolesima! Abuliba: le di da na di fuga: ma: ne hamosala: ? Na da di fane legesea, dia ola Youa: be ea odagi na da habodane bu ba: ma: bela: ?”
23 Lakini Asaheli alikataa kuacha kumfuatia, kwa hiyo Abneri akamchoma Asaheli tumboni kwa ncha butu ya mkuki wake, mkuki ukamtoboa ukatokea mgongoni mwake. Akaanguka na kufa papo hapo. Ikawa kila mtu alisimama alipofika mahali pale Asaheli alipoanguka na kufa.
Be A: sahele da hame yolesi. Amaiba: le, A:bena da ea goge agei baligidu olele guma: noba, goge agei da A: sahele hagomoa sone badofale baligia, gadili asi ba: i. A: sahele da osoba gala: lasa: ili, bogoi dialebe ba: i. Amola dunu huluane amogai misini, ilia da e dialebe ba: loba, ili amogawi dufugili aliligi.
24 Lakini Yoabu na Abishai walimfuata Abneri, na jua lilipokuwa linatua, wakafika kwenye kilima cha Ama, karibu na Gia kwenye njia ya kuelekea kwenye nyika ya Gibeoni.
Be Youa: be amola Abisia: i da muni A: bena ema bobogei. Asili, eso daba guma: di ilia da A: ima agolo (amo da Gaia moilaiga gusudili diala. Gaia moilai da logo amo da Gibione hafoga: i sogega ahoasu bega: diala).
25 Ndipo watu wa kabila la Benyamini wakakusanyika tena nyuma ya Abneri. Wakaunda kikosi na kujiimarisha juu ya kilima.
Bediamini fi dunu da bu A: benama gale gilisi. Ilia da agolo da: iya lelu.
26 Abneri akamwita Yoabu, akamwambia, “Je, ni lazima upanga uendelee kuangamiza milele? Hutambui kwamba jambo hili litaishia katika uchungu? Utaacha kuwaagiza watu wako waache kuwafuatilia ndugu zao hata lini?”
A: bena da Youa: bema amane wele sia: i, “Ninia abuliba: le mae fisili, eso huluane gegenanoma: bela: ? Amane hamosea, ninia da da: i diosu fawane ba: mu. Ninia da dilia fi dunu! Di da habogala dia fi dunu ilia nini sefasisu yolesima: ne sia: ma: bela: ?”
27 Yoabu akajibu, “Hakika kama aishivyo Mungu, kama hukusema, hawa watu wangeendelea kuwafuatia ndugu zao mpaka asubuhi.”
Youa: be da bu adole i, “Na da Esalebe Gode Ea Dioba: le amane ilegesa. Di da amane hame sia: i ganiaba, na da dilima gebewane bobogelalawane, aya hahabe fawane yolesila: loba.”
28 Basi Yoabu akapiga tarumbeta, nao watu wote wakasimama, hawakuwafuata Israeli tena, wala hawakuwapiga tena.
Amalalu, Youa: be da ea dunu Isala: ili dunuma bobogesa yolesimu dawa: digima: ne, dalabede fulaboi. Amalalu, gegesu da fisi dagoi ba: i.
29 Usiku ule wote Abneri na watu wake wakatembea kupitia Araba. Wakavuka Mto Yordani, wakaendelea wakipitia nchi yote ya Bithroni wakafika Mahanaimu.
Amo gasia amogainini aya hahabe, A:bena amola ea dunu ilia da Yodane Fagoa gududili ahoanu, Yodane hano degele, esomogoadafa Ma: ihana: ime sogega doaga: i.
30 Basi Yoabu akarudi kutoka kumfuatia Abneri, na kuwakusanya watu wake wote. Pamoja na Asaheli, watu kumi na tisa wa Daudi walikuwa wamepotea.
Youa: be da doagala: musa: bobogelalu fisiagaloba, e da ea dunu huluane gegedole, A:sahele amola dunu 19 eno esalebe hame ba: i.
31 Lakini watu wa Daudi walikuwa wamewaua watu wa kabila la Benyamini 360 waliokuwa pamoja na Abneri.
Be Bediamini fi dunu (A: bena ea dunu) amo 360 agoane da Da: ibidi ea dunu amolalia fane legei dagoi ba: i.
32 Wakamchukua Asaheli, wakamzika katika kaburi la baba yake huko Bethlehemu. Kisha Yoabu na watu wake wakatembea usiku kucha na kufika huko Hebroni wakati wa mapambazuko.
Youa: be amola ea dunu da A: sahele ea bogoi da: i hodo lale, ea sosogo fi uli gelaba Bedeleheme moilaiga amo ganodini sali. Amalalu, ilia da amo gasi ganodini mogodigili, lafiadala, hadigibi galu Hibalone moilai bai bagadega doaga: i.