< 2 Samweli 19 >

1 Yoabu akaambiwa, “Mfalme analia na kumwombolezea Absalomu.”
Hina bagade Da: ibidi da A: basalome dawa: beba: le, digini amola fofagini ahoanu. Youa: be da amo hou nabi dagoi.
2 Kwa jeshi lote, ushindi wa siku ile ukageuka kuwa maombolezo, kwa sababu siku ile vikosi vilisikia ikisemwa, “Mfalme anahuzunika kwa ajili ya mwanawe.”
Amola Da: ibidi ea dunu da Isala: ili dunu hasaliba: le hahawane galu, be ilia amo fisili bu da: i dioi galu. Bai ilia nabagaloba hina bagade da ea mano dawa: le, digini amola fofagini ahoanu amo nabi.
3 Siku ile watu wakaingia mjini kimya kama vile waingiavyo kwa aibu watu waliokimbia kutoka vitani.
Ilia da dadi gagui dunu gegesu amoga hobea: iba: le gogosiasu, amo defele ouiya: le moilaiga buhagili, golili sa: i.
4 Mfalme akafunika uso wake akalia kwa sauti, akisema, “Ee mwanangu Absalomu! Ee Absalomu, mwanangu, mwanangu!”
Hina bagade da ea odagi dedebole, ha: giwane amane dinanu, “Nagofe! Nagofe! Nagofe, A:basalome! A: basalome nagofe!”
5 Kisha Yoabu akaingia ndani ya nyumba ya mfalme na kusema, “Leo umewaaibisha watu wako wote, waliookoa maisha yako, maisha ya wanao na binti zako, maisha ya wake zako na masuria wako.
Youa: be da hina bagade ea diasuga asili, ema amane sia: i, “Dia dunu da dia esalusu amola diagofelali amola didiwilali amola dia udalali amola dia gidisedagi udalali amo huluane gaga: i dagoi. Be wali eso, dia da giadofale, ili gogosiama: ne hamoi.
6 Unawapenda wale wanaokuchukia, na unawachukia wale wanaokupenda. Leo umeonyesha wazi kwamba majemadari wako na watu wao hawana maana kwako. Naona kwamba ungefurahi kama Absalomu angekuwa hai leo na sisi sote tuwe tumekufa.
Di da dunu dima asigibi, ilima ha lai hamosa. Amola di da dia ha lai dunu fuligala: sa. Di da moloiwane olelei dagoi, di da dia dadi gagui ouligisu dunu amola dadi gagui dunu amo ilia da hamedei dunu, amo dia da dawa: sa. Na da ba: loba, A:basalome e wali esala ganiaba amola ninia huluane da bogogia: i ganiaba, di da hahawane ba: la: loba.
7 Sasa utoke nje ukawatie moyo watu wako. Naapa kwa Bwana kwamba ikiwa hutatoka nje, hakuna mtu atakayesalia pamoja nawe ifikapo leo jioni. Hii itakuwa mbaya zaidi kwako kuliko maafa yote yaliyokupata tangu ujana wako hadi sasa.”
Defea! Di wahadafa dia dunu ilia dogo denisima: ne masa! Na da Hina Gode Ea Dioba: le amane ilegele sia: sa. Di da amane hame hamomu ganiaba, aya hahabe ilia huluane da di yolesi dagoi ba: mu. Amo hou da doaga: sea, dia lalelegei eso amogainini wali bidi hamosu ba: su da amo bagadewane baligimu.”
8 Kwa hiyo mfalme akaondoka akaketi kitini pake penye lango. Watu walipoambiwa, “Mfalme ameketi langoni,” watu wote wakamjia. Wakati huo, Waisraeli walikuwa wamekimbilia nyumbani kwao.
Amalalu, hina bagade da wa: legadole, asili, logo holei bega: esalu. E da amogawi esala nababeba: le, ea dunu da ema gilisimusa: misi. Amogalu, Isala: ili dunu huluane da hobeale, afagogole, hi diasua buhagi dagoi ba: i.
9 Katika makabila yote ya Israeli, watu walikuwa wanabishana wao kwa wao, wakisema, “Mfalme alituokoa kutoka mikononi mwa adui zetu; ndiye alituokoa kutoka mikononi mwa Wafilisti. Lakini sasa mfalme ameikimbia nchi kwa sababu ya Absalomu,
Ilia da Isala: ili soge huluane amo ganodini muni sia: ga gegenanu. Ilisu amane sia: sa: i, “Hina bagade Da: ibidi da ninia ha laiga nini mae hasalima: ne gaga: i. E da Filisidini dunu ilia nini mae hasalima: ne, nini gaga: i. Be wali e da A: basalomeba: le hobeale, soge yolesi dagoi.
10 naye Absalomu, tuliyemtia mafuta atutawale, amekufa vitani. Basi mbona hamsemi lolote kuhusu kumrudisha mfalme?”
Ninia da A: basalome hina bagade hamoma: ne susuligi sogagala: le ilegei. Be e da gegesu ganodini fane legei dagoi ba: i. Amaiba: le, hina bagade Da: ibidi, amo bu oule misunu da defea.”
11 Mfalme Daudi akapeleka ujumbe huu kwa makuhani Sadoki na Abiathari, kusema: “Waulizeni wazee wa Yuda, ‘Kwa nini mwe wa mwisho kumrudisha mfalme katika jumba lake la kifalme, maadamu kile kinachosemwa katika Israeli yote kimemfikia mfalme katika makao yake?
Isala: ili dunu ilia sia: dalebe, amo hina bagade Da: ibidi nabi. Amaiba: le, e da gobele salasu dunu Sa: idoge amola Abaia: da amo Yuda ouligisu dunuma amane adole ba: ma: ne asunasi, “Dilia da abuliba: le fa: nodafa hina bagade bu oule misa: ne dawa: sala: ?
12 Ninyi ni ndugu zangu, nyama yangu na damu yangu mwenyewe. Kwa hiyo kwa nini mwe wa mwisho kumrudisha mfalme?’
Dilia da na fidafa dunu - na hu amola na maga: me defele gala. Amaiba: le, dilia abuliba: le fa: nodafa na bu oule misa: ne dawa: bela: ?”
13 Nanyi mwambieni Amasa, ‘Je, wewe si nyama yangu mwenyewe na damu yangu? Mungu na anishughulikie, tena kwa ukali, kama kuanzia sasa na kuendelea wewe si jemadari wa jeshi langu mahali pa Yoabu.’”
Amola Da: ibidi da ilima, ilia da Ama: isa ema amane sia: ma: ne sia: i, “Di da na fi dunu. Na da dadi gagui dunu ouligisudafa Youa: be amo fadegale, ea sogebi lama: ne dima ilegemu. Na da amo hame hamosea, Gode da na fane legemu da defea.”
14 Aliipata mioyo ya watu wote wa Yuda kama vile walikuwa mtu mmoja. Wakapeleka ujumbe kwa mfalme, kusema, “Rudi, wewe na watu wako wote.”
Da: ibidi da amane sia: beba: le, Yuda dunu da dafawane e fuligala: ma: ne dawa: i galu. Amaiba: le, ilia da e amola ea ouligisu dunu amo bu misa: ne sia: sia: si.
15 Ndipo mfalme akarudi, akaenda hadi kufikia Mto Yordani. Basi watu wa Yuda walikuwa wamekuja mpaka Gilgali ili kutoka kwenda kumlaki mfalme na kumvusha Mto Yordani.
Da: ibidi da buhagilaloba, Yuda dunu da Yoda: ne Hano amogawi e yosia: i. Ilia da Giliga: le moilaia, Da: ibidi e Yoda: ne Hano degebe amo ouligimusa: misi dagoi ba: i.
16 Shimei mwana wa Gera, wa kabila la Benyamini kutoka Bahurimu, akaharakisha kuteremka pamoja na watu wa Yuda ili kumlaki Mfalme Daudi.
Amogaluwane, Bediamini dunu amo Simiai (Bahiulimi dunu Gila amo egefe) e da Yoda: ne Hanoa, hina bagade Da: ibidi yosia: musa: hehenai.
17 Pamoja naye walikuwepo Wabenyamini elfu moja wakiwa wamefuatana na Siba, msimamizi wa nyumba ya Sauli, pia wanawe kumi na watano, na watumishi ishirini. Wakaharakisha kwenda Yordani, mahali mfalme alipokuwa.
E da amoga Bediamini fi dunu 1,000 agoane oule misi. Amola Solo ea musa: hawa: hamosu dunu amo Saiba, da misi. E da egefelali15 agoane amola hawa: hamosu dunu 20 agoane oule misi. Hina bagade da Yoda: ne Hano amoga mae doaga: le, ilia hidadea doaga: i dagoi ba: i.
18 Wakavuka kivuko ili kuwachukua watu wa nyumbani mwa mfalme ili kuwavusha na kufanya kila kitu alichotaka. Shimei mwana wa Gera alipovuka Yordani, akaanguka kifudifudi mbele ya mfalme,
Ilia da hina bagade ea mano amola hawa: hamosu dunu amo huluane hano degebe ouligimusa: , amola hina bagade ea hanai hamoma: ne, hano na: iyado ganodini degele lala asi. Hina bagade da hano degemusa: momageloba, Simiai da hi gobele Da: ibidi ea midadi osoba gala: la sa: ili, ema amane sia: i,
19 na kumwambia, “Bwana wangu na asinihesabie hatia. Usikumbuke jinsi mtumishi wako alivyofanya kosa siku ile bwana wangu mfalme alipoondoka Yerusalemu. Mfalme aliondoe moyoni mwake.
“Hina noga: idafa! Na da Yelusaleme moilai bai bagadega di yolesi esoha amogala wadela: le bagade hamoi, amo gogolema: ne olofoma. Amo bu mae dawa: ma amola gogolema!
20 Kwa maana mimi mtumishi wako najua nimefanya dhambi, lakini leo nimekuja hapa kama wa kwanza wa nyumba yote ya Yosefu kushuka na kumlaki bwana wangu mfalme.”
Dafawane! Na dawa: ! Na da wadela: le hamoi dagoi. Be amo dawa: beba: le, na da ga (north) fi huluane bisili, wali eso di, hina noga: i, gousa: musa: misi.”
21 Ndipo Abishai mwana wa Seruya akasema, “Je, Shimei hapaswi kuuawa kwa ajili ya hili? Alimlaani mpakwa mafuta wa Bwana.”
Abisia: i (Selouaia egefe) da amane sia: i, “Simiai amo fane legemu da defea. Bai Simiai da Hina Gode Ea hina bagade hamoma: ne ilegei dunu ema gagabusu aligima: ne sia: i.”
22 Daudi akajibu, “Mimi nina nini nanyi, enyi wana wa Seruya? Leo hii mmekuwa adui zangu! Je, leo kuna yeyote atakayeuawa katika Israeli? Je, mimi sijui kuwa leo ndimi mfalme katika Israeli yote?”
Be Da: ibidi da Abisia: i amola ea ola Youa: be elama amane sia: i, “Nowa da dima adole ba: bela: ? Ali da nama bidi hamosu iahabela: ? Na fawane da wali Isala: ili hina bagade gala. Amola wali eso, Isala: ili dunu afae da fane legesu hamedafa ba: mu.”
23 Basi mfalme akamwambia Shimei, “Hutakufa.” Naye mfalme akamwahidi kwa kiapo.
Amola e da Simiaima amane sia: i, “Na da dafawane na sia: ga ilegesa. Ilia da di hamedafa fane legemu.”
24 Pia Mefiboshethi mwana wa Sauli akashuka kwenda kumlaki mfalme. Hakuwa amenawa miguu wala kunyoa ndevu zake wala kufua nguo zake tangu siku mfalme alipoondoka Yerusalemu mpaka siku aliporudi ile salama.
Amalalu, Mifibousiede (Solo ea aowa) da Da: ibidi yosia: musa: misi. E da Da: ibidi Yelusaleme yolesia amogainini e da ea ha lai hasalalu bu misini, ea emo hame dodofei, amola ea mayabo hame dafogei, amola ea abula hame dodofei ba: i.
25 Wakati alipotoka Yerusalemu kuja kumlaki mfalme, mfalme akamuuliza, “Mefiboshethi, kwa nini hukufuatana nami?”
Mifibousiede da Yelusalemega misini, Da: ibidima doaga: i. Hina bagade Da: ibidi da ema amane sia: i, “Mifibousiede! Di abuliba: le ani hame asibala: ? Abuliga?”
26 Akasema, “Bwana wangu mfalme, maadamu mimi mtumishi wako ni kiwete, nilisema, ‘Nitandikiwe punda wangu, nimpande, ili niweze kwenda pamoja na mfalme.’ Lakini Siba mtumishi wangu akanisaliti.
E bu adole i, “Hina noga: idafa! Di dawa: ! Na da gasuga: igi gala. Na da ani masusa: , na da na hawa: hamosu dunu ema na dougi da: iya fisu legema: ne sia: i. Be e da na hohonoi dagoi.
27 Naye amemchongea mtumishi wako kwa bwana wangu mfalme. Bwana wangu mfalme ni kama malaika wa Mungu, kwa hiyo fanya lolote linalokupendeza.
Hina noga: idafa! E da na hou ogogolewane dima olelei. Be di da Gode Ea a: igele dunu defele esala. Amaiba: le, di da hou amo dia moloiwane ba: sea, amo hamoma.
28 Wazao wote wa baba yangu hawastahili kitu kingine isipokuwa kifo kutoka kwa bwana wangu mfalme, lakini ulimpa mtumishi wako nafasi miongoni mwa wale waliokula mezani pako. Je, ninayo haki gani kumwomba mfalme zaidi ya hayo?”
Na ada ea sosogo ilia hamobeba: le, di ili huluane fane lelegemu da defea galu. Be amo mae dawa: le, di da na dia ha: i nasu fafaiga ha: i moma: ne ilegei. Amaiba: le na da di, hina noga: idafa, dima bu edegemu na da defele hame gala.”
29 Mfalme akamwambia, “Kwa nini useme zaidi? Naamuru wewe na Siba mgawanye mashamba.”
Hina bagade da bu adole i, “Bu mae sia: ma! Na da di amola Saiba ani da gilisili Solo ea musa: gagui liligi amo momagele gaguma: ne ilegei dagoi.”
30 Mefiboshethi akamwambia mfalme, “Mruhusu achukue kila kitu, kwa kuwa sasa bwana wangu mfalme amerudi nyumbani salama.”
Mifibousiede da amane sia: i, “Saiba igili huluane lama: ne sia: ma! Be di hina noga: idafa, di da gaga: iwane buhagi dagoiba: le, na hanai da gumi dagoi.”
31 Barzilai, Mgileadi, pia akashuka kutoka Rogelimu ili kuvuka Yordani pamoja na mfalme na kumsindikiza kutoka huko.
Gilia: de dunu Basila: iai amola da Lougilimi moilaiga hina bagade Yoda: ne Hano degema: ne fidimusa: misi galu.
32 Basi Barzilai alikuwa mzee sana mwenye umri wa miaka themanini. Alikuwa amempatia mfalme mahitaji wakati alipokuwa anaishi huko Mahanaimu, kwa kuwa alikuwa mtu tajiri sana.
Basila: iai da dunu da: i hamoi, ode80agoane gidigi ba: i. E da bagade gagui dunu. Hina bagade da Mahana: ime amoga esaloba, e da e ha: i manu defele ema iasu.
33 Mfalme akamwambia Barzilai, “Vuka pamoja nami na ukae nami huko Yerusalemu, nami nitakupatia mahitaji yako.”
Hina bagade da ema amane sia: i, “Di Yelusaleme moilai bai bagadega ani masunu. Amasea, na da di ouligisu hamomu.”
34 Lakini Barzilai akamjibu mfalme, “Je, nitaishi miaka mingine mingapi, hata nipande kwenda Yerusalemu pamoja na mfalme?
Be Basila: iai da bu adole i, “Na bogomu da gadeneidafa. Amaiba: le, hina noga: idafa, na ani Yelusalemega masunu da defea hame.
35 Sasa nina miaka themanini. Je, naweza kutofautisha kati ya lililo jema na lililo baya? Je, mtumishi wako anaweza kujua ladha ya kile anachokula au anachokunywa? Je, bado naweza kusikiliza sauti za waimbaji wa kiume na za wanawake? Kwa nini mtumishi wako aongeze mzigo kwa bwana wangu mfalme?
Na esala ode80 agoane gidigili amola liligi huluane da na obenasu hame iaha. Na ha: i manu amola waini nasea, heda hamedei gala, amola gesami hea: su dunu ilia hea: be na hame naba. Na ani ahoasea, di, hina bagade da dioi fawane ba: mu.
36 Mtumishi wako atavuka Yordani pamoja na mfalme kwa umbali mfupi tu, lakini kwa nini mfalme anizawadie kwa namna hii?
Na da agoane bidi bagade lamu da defele hame gala. Amaiba: le, na da Yoda: ne Hano baligili, fonobahadi fawane masunu.
37 Mruhusu mtumishi wako arudi, ili mimi nikafie katika mji wangu mwenyewe karibu na kaburi la baba yangu na mama yangu. Lakini yupo hapa mtumishi wako Kimhamu. Mruhusu avuke pamoja na bwana wangu mfalme. Mtendee lolote linalokupendeza.”
Amaiba: le, Na diasua buhagili, na da na ada amola ame ela uli dogoia gadenene bogoma: ne, dia na logo hamoma. Nagofe Gimiha: me da goea! E da dia hawa: hamomu. Hina noga: idafa, e sigi masa amola dia hanaiga e fidima: ne hamoma.”
38 Mfalme akamwambia Barzilai, “Kimhamu atavuka Yordani pamoja nami, nami nitamtendea lolote litakalokupendeza. Nawe kitu chochote unachotaka kutoka kwangu nitakutendea.”
Hina bagade da ema bu adole i, “Na da e sigi asili amola dia hanai defele ema hamomu. Amola, di fidima: ne, dia adi adole ba: sea, na da hamomu.”
39 Kwa hiyo watu wote wakavuka Yordani, kisha mfalme akavuka. Mfalme akambusu Barzilai na kumbariki; Barzilai akarudi nyumbani kwake.
Amalalu, Da: ibidi amola ea dunu huluane da Yoda: ne Hano degei. E da Basila: iai amo nonogole, e Gode Ea hahawane dogolegele ba: ma: ne ilegele sia: i. Amalalu, Basila: iai da hi diasua buhagi.
40 Mfalme alipovuka kwenda Gilgali, Kimhamu akavuka pamoja naye. Vikosi vyote vya Yuda na nusu ya vikosi vya Israeli vilimvusha mfalme.
Hina bagade da hano degei. Yuda dunu huluane amola Isala: ili dunu dogoa mogili da ea degebe ouligi. Da: ibidi da asili, Giliga: lega doaga: i. E da Gimiha: me sigi asi.
41 Baada ya kitambo kidogo watu wote wa Israeli wakaja kwa mfalme na kumwambia, “Kwa nini ndugu zetu, watu wa Yuda, wamemrudisha mfalme kwa siri bila kutushirikisha, na kumvusha ngʼambo ya Yordani, yeye na nyumba yake, pamoja na watu wake wote?”
Amalalu, Isala: ili dunu huluane da hina bagadema asili ema amane sia: i, “Hina noga: idafa! Ninia gawialali amo Yuda fi dunu da abuliba: le di lale, amola di amola dia sosogo amola dia dunu amo Yoda: ne hano degema: ne ouligibala: ?”
42 Watu wote wa Yuda wakawajibu watu wa Israeli, “Tulifanya hivi kwa sababu mfalme ni jamaa yetu wa karibu. Kwa nini mnakasirikia jambo hili? Je, tumekula kitu chochote cha mfalme? Je, tumejichukulia kitu chochote kwa ajili yetu wenyewe?”
Yuda dunu huluane da bu adole i, “Bai hina bagade da ninia fi dunuba: le, ninia agoane hamoi. Be dilia da amoga abuliba: le ougibala: ? E da ninia ha: i manu maiba: le, bidi hame i, amola ninima hamedafa i.”
43 Ndipo watu wa Israeli wakawajibu watu wa Yuda, “Tunayo haki mara kumi kwa mfalme; sisi tunahusika zaidi na Daudi kuliko ninyi. Kwa nini basi mnatudharau? Je, hatukuwa wa kwanza kuzungumza kuhusu kumrudisha mfalme nyumbani?” Lakini watu wa Yuda wakajibu kwa ukali hata zaidi kuliko watu wa Israeli.
Isala: ili dunu ilia bu adole i, “E da dilia fi dunu. Be ninia da Da: ibidima gagusu da dilia gagusu nabuane agoane baligisa. Dilia da abuliba: le nini da hamedei dunu dawa: sala: ? Ninia da muni hina bagade bu bisili oule misa: ne dawa: i. Amo mae gogolema!” Be Yuda dunu da gasa fili, ilia sia: ga gegei da Isala: ili dunu ilia sia: baligi.

< 2 Samweli 19 >