< 2 Samweli 16 >

1 Daudi alipokuwa amekwenda umbali mfupi kupita kilele cha mlima, akamkuta huko Siba, msimamizi wa shughuli za Mefiboshethi, akingojea kumlaki Daudi. Alikuwa na punda wawili wakiwa wametandikwa na kupakiwa mikate mia mbili, maandazi mia ya zabibu kavu, maandazi mia ya tini na kiriba cha divai.
Kad nu Dāvids maķenīt no kalna gala bija nogājis, redzi, tad Cībus, Mefibošeta puisis, viņu sastapa ar pāri apkrautu ēzeļu, un uz tiem bija divsimt maizes un simts rozīņu raušu un simts vīģu raušu un ādas trauks ar vīnu.
2 Mfalme Daudi akamuuliza Siba, “Kwa nini umeleta vitu hivi?” Siba akamjibu, “Punda ni kwa ajili ya watu wa nyumba ya mfalme kupanda, mikate na matunda ni kwa ajili ya watu kula, nayo divai ni kwa kuwaburudisha watakaochoka jangwani.”
Un ķēniņš sacīja uz Cību: kas tas tev tur ir? Tad Cībus sacīja: Tie ēzeļi ir priekš ķēniņa nama, ko jāt, un tā maize ar tām vīģēm priekš tiem puišiem, ko ēst, un tas vīns tiem piekusušiem tuksnesī, ko dzert.
3 Kisha mfalme akauliza, “Yuko wapi mwana wa bwana wako?” Siba akamwambia, “Anakawia Yerusalemu, kwa sababu anafikiri, ‘Leo nyumba ya Israeli itanirudishia utawala wa baba yangu.’”
Tad ķēniņš sacīja: Kur tad ir tava kunga dēls? Un Cībus sacīja uz ķēniņu: redzi, viņš paliek Jeruzālemē, jo viņš sacīja: šodien Israēla nams man atdos mana tēva valstību.
4 Ndipo mfalme akamwambia Siba, “Yote yaliyokuwa mali ya Mefiboshethi sasa ni mali yako.” Siba akasema, “Nasujudu kwa unyenyekevu. Naomba nipate kibali mbele yako, bwana wangu mfalme.”
Tad ķēniņš sacīja uz Cību: redzi, tavs lai ir viss, kas Mefibošetam pieder. Un Cībus sacīja: es metos pie zemes, lai es žēlastību atrodu priekš tavām acīm, mans kungs un ķēniņ.
5 Mfalme Daudi alipokuwa anakaribia Bahurimu, mtu mmoja kutoka ukoo huo huo kama jamaa ya Sauli, akatoka humo, ambaye jina lake ni Shimei mwana wa Gera; akawa analaani alipokuwa akitoka.
Kad nu ķēniņš Dāvids nāca līdz Bakurim, redzi, tad no turienes izgāja vīrs no Saula nama radiem, Šimejus vārdā, Ģerus dēls.
6 Akamtupia Daudi na maafisa wote wa mfalme mawe, ingawa vikosi vyote na walinzi maalum walikuwa kulia na kushoto mwa Daudi.
Viņš izgāja un iedams lādēja un mētāja akmeņiem Dāvidu un visus ķēniņa Dāvida kalpus, lai gan visi ļaudis un visi varenie gāja pa viņa labo un kreiso roku.
7 Shimei alivyokuwa akilaani, akasema, “Toka hapa, toka hapa, wewe mtu wa damu, wewe mtu mbaya kabisa!
Un Šimejus sacīja tā lādēdams: ej ārā, ej ārā, tu asinsvīrs, tu negantais!
8 Bwana amekulipiza kwa ajili ya damu yote uliyomwaga ya watu wa nyumba ya Sauli, ambaye nafasi yake umeimiliki wewe. Bwana amekabidhi ufalme mkononi mwa mwanao Absalomu. Maangamizi yamekupata kwa sababu wewe ni mtu wa damu!”
Tas Kungs liek pār tevi nākt visām Saula nama asinīm, kura vietā tu palicis par ķēniņu. Nu Tas Kungs to valstību dod tavam dēlam Absalomam rokā. Un redzi, nu tu esi nelaimē, jo tu esi asinsvīrs.
9 Ndipo Abishai mwana wa Seruya akamwambia mfalme, “Kwa nini huyu mbwa mfu amlaani bwana wangu mfalme? Niruhusu nivuke nikatilie mbali kichwa chake.”
Tad Abizajus, Cerujas dēls, sacīja uz ķēniņu: kāpēc šim nosprāgušam sunim būs lādēt manu kungu, to ķēniņu? Es noiešu un viņam noraušu galvu.
10 Lakini mfalme akamwambia, “Mna nini nami, enyi wana wa Seruya? Ikiwa analaani kwa sababu Bwana amemwambia, ‘Mlaani Daudi,’ nani awezaye kuuliza, ‘Kwa nini unafanya hivi?’”
Bet ķēniņš sacīja: kas man ar jums, jūs Cerujas dēli. Lai viņš lād, jo Tas Kungs viņam ir sacījis: lādi Dāvidu. Kas tad sacīs: kāpēc tu tā dari?
11 Ndipo Daudi akamwambia Abishai na maafisa wake wote, “Mwanangu, yeye ambaye ametoka viunoni mwangu mwenyewe, anajaribu kuuondoa uhai wangu. Je, si zaidi sana kwa huyu Mbenyamini! Mwacheni, acha alaani, kwa maana Bwana amemwambia afanye hivyo.
Un Dāvids sacīja uz Abizaju un visiem saviem kalpiem: redzi, mans dēls, kas no manām miesām nācis, meklē manu dzīvību, vai ne nu jo vairāk šis Benjaminietis? Laid viņu mierā; lai lād, jo Tas Kungs viņam to ir licis.
12 Inawezekana kwamba Bwana ataona dhiki yangu na kunilipa mema kwa ajili ya laana ninayopokea leo.”
Varbūt Tas Kungs uzlūko manu noziegumu un Tas Kungs man šodien atkal atdos labumu viņa lāstu vietā.
13 Kwa hiyo Daudi na watu wake wakaendelea na safari yao barabarani, huku Shimei akiwa anatembea pembezoni mwa kilima sambamba na Daudi, huku akimlaani na kumtupia Daudi mawe na kumrushia mavumbi.
Tā Dāvids gāja ar saviem vīriem pa ceļu, un Šimejus gāja gar kalnu, viņam iepretim, viņu lādēdams, un mētāja akmeņiem un putināja pīšļiem.
14 Mfalme na watu wote aliokuwa pamoja nao wakafika kwenye kituo chao wakiwa wamechoka. Mfalme akajiburudisha hapo.
Un ķēniņš ar visiem ļaudīm, kas pie viņa bija, nonāca uz Ajevīm un tur atspirdzinājās.
15 Wakati huo, Absalomu pamoja na watu wote wa Israeli wakafika Yerusalemu, naye Ahithofeli alikuwa pamoja naye.
Bet Absaloms un visi Israēla vīri nāca uz Jeruzālemi, ir Ahitofels ar viņu.
16 Ndipo Hushai, Mwariki, rafiki wa Daudi, akamwendea Absalomu na kumwambia, “Mfalme aishi maisha marefu! Mfalme aishi maisha marefu!”
Un notikās, kad Uzajus, tas Arķiets, Dāvida draugs, nāca pie Absaloma, tad Uzajus sacīja uz Absalomu: lai dzīvo ķēniņš, lai dzīvo ķēniņš!
17 Absalomu akamuuliza Hushai, “Je, huu ndio upendo unaomwonyesha rafiki yako? Kwa nini hukufuatana na rafiki yako?”
Bet Absaloms sacīja uz Uzaju: vai tā ir tava mīlestība uz tavu draugu? Kāpēc tu neesi gājis ar savu draugu?
18 Hushai akamwambia Absalomu, “La hasha, yeye aliyechaguliwa na Bwana, aliyechaguliwa na watu hawa, atakayechaguliwa tena na watu wote wa Israeli, huyu ndiye nitakayekuwa wake, nami nitabakia pamoja naye.
Un Uzajus sacīja uz Absalomu: nē, bet ko Tas Kungs izredzējis un šie ļaudis un visi Israēla vīri, tam es arī piederēšu un pie tā es palikšu.
19 Zaidi ya hayo, nimtumikie nani? Je, nisimtumikie mwana? Kama vile nilivyomtumikia baba yako, ndivyo nitakavyokutumikia wewe.”
Un otram kārtam, kam man kalpot? Vai ne viņa dēlam? tā kā es tavam tēvam esmu kalpojis, tāpat es būšu tavā priekšā.
20 Absalomu akamwambia Ahithofeli, “Tupe shauri lako. Tufanye nini?”
Un Absaloms sacīja uz Ahitofelu: dodiet padomu, ko lai darām?
21 Ahithofeli akamjibu, “Kutana kimwili na masuria wa baba yako aliowaacha kutunza jumba la kifalme. Ndipo Israeli yote itakaposikia kwamba umejifanya chukizo kwa baba yako, nayo mikono ya kila mmoja aliye pamoja nawe itatiwa nguvu.”
Un Ahitofels sacīja uz Absalomu: ieej pie sava tēva liekām sievām, ko viņš atstājis, to namu sargāt, tad viss Israēls dzirdēs, ka tu smirdots tapis savam tēvam, un visu to rokas, kas pie tevis ir, taps stiprinātas.
22 Kwa hiyo wakasimika hema kwa ajili ya Absalomu juu ya paa, naye akakutana kimwili na masuria wa baba yake mbele ya Israeli wote.
Un tie taisīja Absalomam telti uz jumta, un Absaloms iegāja pie sava tēva liekām sievām, visam Israēlim redzot.
23 Ilikuwa katika siku hizo shauri lililotolewa na Ahithofeli lilikuwa kama lile ambalo limeulizwa kwa Mungu. Ndivyo Daudi na Absalomu walivyoyaheshimu mashauri yote ya Ahithofeli.
Un Ahitofela padoms, ko viņš tanīs dienās deva, tā tapa turēts, itin kā Dieva vārds būtu vaicāts, tā bija viss Ahitofela padoms, tik labi pie Dāvida kā pie Absaloma.

< 2 Samweli 16 >