< 2 Samweli 16 >

1 Daudi alipokuwa amekwenda umbali mfupi kupita kilele cha mlima, akamkuta huko Siba, msimamizi wa shughuli za Mefiboshethi, akingojea kumlaki Daudi. Alikuwa na punda wawili wakiwa wametandikwa na kupakiwa mikate mia mbili, maandazi mia ya zabibu kavu, maandazi mia ya tini na kiriba cha divai.
Hagi Deviti'a ananteti onasi'a vugamanu ategeno, Mefiboseti eri'za ne' Siba'a Devitina tutagiha hunte'naku eme avega antenegeno ome ke'ne. Hagi agra tare donkifi 200'a breti konagi, fiki raga 100'a konagi, ante hagage hu'nea waini raga'a 100'a konagi huno erineno meme afumofo akru'are tro hu'naza tintafempi waini tina erino emani'ne.
2 Mfalme Daudi akamuuliza Siba, “Kwa nini umeleta vitu hivi?” Siba akamjibu, “Punda ni kwa ajili ya watu wa nyumba ya mfalme kupanda, mikate na matunda ni kwa ajili ya watu kula, nayo divai ni kwa kuwaburudisha watakaochoka jangwani.”
Hagi kini ne Deviti'a Sibana antahigeno, amazana na'a hu'zane? Higeno Siba'a kenona huno, ama donki afutrena naga kamo'za zanagumpi mani'za vugahaze. Hagi bretine zafa raganena venenemo'za negahaze. Hagi ama waini tina hagage kopima nevanageno tamavresrama hanigeta negahaze.
3 Kisha mfalme akauliza, “Yuko wapi mwana wa bwana wako?” Siba akamwambia, “Anakawia Yerusalemu, kwa sababu anafikiri, ‘Leo nyumba ya Israeli itanirudishia utawala wa baba yangu.’”
Hagi kini ne'mo ete antahigeno, inantega kva vahekamofo negeho Mefiboseti'a mani'ne? Higeno Siba'a huno, Agra agesama antahiana menina negeho kini trara namigahaze huno Jerusalemi mani'ne.
4 Ndipo mfalme akamwambia Siba, “Yote yaliyokuwa mali ya Mefiboshethi sasa ni mali yako.” Siba akasema, “Nasujudu kwa unyenyekevu. Naomba nipate kibali mbele yako, bwana wangu mfalme.”
Hagi kini ne'mo'a Sibana asamino, E'i menina maka Mefiboseti zantamina ete'na kagri kamue. Higeno Siba'a kenona huno, kini ne' ranimoka kagri'ma kavesisia zana amne hugahue.
5 Mfalme Daudi alipokuwa anakaribia Bahurimu, mtu mmoja kutoka ukoo huo huo kama jamaa ya Sauli, akatoka humo, ambaye jina lake ni Shimei mwana wa Gera; akawa analaani alipokuwa akitoka.
Hagi anama hute'za kini ne'mo'a Bahurimi kumate'ma vigeno, mago ne'mo tutagiha hunte'ne. Ana nera Soli nagapinti ne' Gera nemofo Simeikino ne-eno Devitina kesuno e'ne.
6 Akamtupia Daudi na maafisa wote wa mfalme mawe, ingawa vikosi vyote na walinzi maalum walikuwa kulia na kushoto mwa Daudi.
Hagi Simei'a have knonu matevuno Devitina neheno, mika Deviti'enema vu'naza vahera nezamaheno, Devitima kegavama hunte'za kanti kamama vu'naza avate hanave sondia vahe'enena zamahe'ne.
7 Shimei alivyokuwa akilaani, akasema, “Toka hapa, toka hapa, wewe mtu wa damu, wewe mtu mbaya kabisa!
Hagi Simei'a Devitima kema nesuno'a amanage hu'ne, Kagra vahe ahe fri vava hunka vahe kora eri taginka haviza hu'nana vahe mani'nananki, amafintira maniganenka vuo.
8 Bwana amekulipiza kwa ajili ya damu yote uliyomwaga ya watu wa nyumba ya Sauli, ambaye nafasi yake umeimiliki wewe. Bwana amekabidhi ufalme mkononi mwa mwanao Absalomu. Maangamizi yamekupata kwa sababu wewe ni mtu wa damu!”
Hagi kagra Soli naga'ma zamahe frinka, Soli kini trama eri'nana zante menina Ra Anumzamo'a kagrira nona hunegante. Hagi menina negamofo Absalomu kini eri'zana hanare amigenka, frenka ne'ane. Na'ankure kagra vahe zamahe frinka vahe kora eritagi ne' mani'nanku, e'inahu hazenkea eri'ne.
9 Ndipo Abishai mwana wa Seruya akamwambia mfalme, “Kwa nini huyu mbwa mfu amlaani bwana wangu mfalme? Niruhusu nivuke nikatilie mbali kichwa chake.”
Anante Zeruia nemofo Abisai'a kini ne' asamino, nahigeno ami fri'nea kramo'a kini ne'moka e'inahu kea kasuno ne-e! Natrege'na ome ahena agenopa akafri'neno.
10 Lakini mfalme akamwambia, “Mna nini nami, enyi wana wa Seruya? Ikiwa analaani kwa sababu Bwana amemwambia, ‘Mlaani Daudi,’ nani awezaye kuuliza, ‘Kwa nini unafanya hivi?’”
Hianagi kini ne'mo huno, Ra Anumzamo'ma huntenigeno huhavizama hunenante'na Zeruia nemofoga antahio, tagra magozana hugara osu'none.
11 Ndipo Daudi akamwambia Abishai na maafisa wake wote, “Mwanangu, yeye ambaye ametoka viunoni mwangu mwenyewe, anajaribu kuuondoa uhai wangu. Je, si zaidi sana kwa huyu Mbenyamini! Mwacheni, acha alaani, kwa maana Bwana amemwambia afanye hivyo.
Anante Deviti'a Abisaine mika eri'za vahe'anena zamasamino, Nagra'ama kasente'noa mofavremo Absalomu'ma nahe'za nehanigeno'a, Benzameni naga'mo'za amane nahegahaze. Hagi Ra Anumzamo asamigeno nehianki, mago'zana osu atrenkeno huhavizana hunanteno.
12 Inawezekana kwamba Bwana ataona dhiki yangu na kunilipa mema kwa ajili ya laana ninayopokea leo.”
Hagi nagriku'ma haviza hunane huno'ma huhavizama hunanterera, Ra Anumzamo'a nenageno, Agra'a nona huno asomura hunante'nie.
13 Kwa hiyo Daudi na watu wake wakaendelea na safari yao barabarani, huku Shimei akiwa anatembea pembezoni mwa kilima sambamba na Daudi, huku akimlaani na kumtupia Daudi mawe na kumrushia mavumbi.
Hagi Deviti'ene naga'amo'za nevazageno Simei'a anagami kaziga nevuno, Devitina kea nesuno kugusopa kateno avufina netreno have kanona atreno aheno vu'ne.
14 Mfalme na watu wote aliokuwa pamoja nao wakafika kwenye kituo chao wakiwa wamechoka. Mfalme akajiburudisha hapo.
Hagi kini ne'ene agranema vu'naza vahe'mo'za zamavaresra hige'za Jodani tinte unehanati'za anante umanigasa hu'naze.
15 Wakati huo, Absalomu pamoja na watu wote wa Israeli wakafika Yerusalemu, naye Ahithofeli alikuwa pamoja naye.
Hagi ana'ma nehazageno'a, Absalomu'ene maka eri'za vahe'anema Jerusalema ehanati'zageno'a Ahitofeli'a agrane e'ne.
16 Ndipo Hushai, Mwariki, rafiki wa Daudi, akamwendea Absalomu na kumwambia, “Mfalme aishi maisha marefu! Mfalme aishi maisha marefu!”
Hagi Deviti rone'a Akati kumateti ne' Husai'a Absalomuna eme tutagiha hunteno anage hu'ne, Kini nera kagra zazate kinia manigahane!
17 Absalomu akamuuliza Hushai, “Je, huu ndio upendo unaomwonyesha rafiki yako? Kwa nini hukufuatana na rafiki yako?”
Hianagi Absalomu'a Husaina antahigeno, Deviti nefuga mani'nananki, kagra nahigenka agranena ovu mani'nane? E'i knare kavukvara negafuna huontane.
18 Hushai akamwambia Absalomu, “La hasha, yeye aliyechaguliwa na Bwana, aliyechaguliwa na watu hawa, atakayechaguliwa tena na watu wote wa Israeli, huyu ndiye nitakayekuwa wake, nami nitabakia pamoja naye.
Higeno Husai'a kenona huno, Ra Anumzamo'ene maka Israeli vahe'mo'za huhamprintesaza kini nemofo agoraga nagra manigahue.
19 Zaidi ya hayo, nimtumikie nani? Je, nisimtumikie mwana? Kama vile nilivyomtumikia baba yako, ndivyo nitakavyokutumikia wewe.”
Hagi nagra negafa antahintahima ami eri'za vahe mani'noankna hu'na kagri eri'za vahe manigahue.
20 Absalomu akamwambia Ahithofeli, “Tupe shauri lako. Tufanye nini?”
Hagi Absalomu'a Ahitofelina asamino, Na'a hugahumpi antahi'zana namio.
21 Ahithofeli akamjibu, “Kutana kimwili na masuria wa baba yako aliowaacha kutunza jumba la kifalme. Ndipo Israeli yote itakaposikia kwamba umejifanya chukizo kwa baba yako, nayo mikono ya kila mmoja aliye pamoja nawe itatiwa nguvu.”
Higeno Ahitofeli'a Absalomuna hunteno, negafana henka a'nezaga'ane umaso. Na'ankure agra nonku'ma kegava hanazegu zamatreno vu'ne. E'inama hananke'za Israeli vahe'mo'za antahisu'za, tamage hunka negafana ha'renentane nehu'za, kagranema mani'naza vahe'mo'za hanaveti'za kagritega antegahaze.
22 Kwa hiyo wakasimika hema kwa ajili ya Absalomu juu ya paa, naye akakutana kimwili na masuria wa baba yake mbele ya Israeli wote.
Higeno nomofo agofetu seli no Absalomuna kintageno, nefama zamatreno vu'nea a'nenea mika Israeli vahe zamavuga zamanteno mase'ne. (2 Samuel 12:11-12.)
23 Ilikuwa katika siku hizo shauri lililotolewa na Ahithofeli lilikuwa kama lile ambalo limeulizwa kwa Mungu. Ndivyo Daudi na Absalomu walivyoyaheshimu mashauri yote ya Ahithofeli.
Hagi ana knafina Ahitofeli'a Ra Anumzamofontegati'ma antahintahima erinoma hiankna ke nehigeno Absalomu'a kote'ma Deviti'ma hu'neankna huno amagera ante'ne.

< 2 Samweli 16 >