< 2 Samweli 12 >

1 Bwana akamtuma Nathani kwa Daudi. Alipofika kwake akamwambia, “Katika mji mmoja kulikuwepo na watu wawili, mmoja alikuwa tajiri na mwingine alikuwa maskini.
and to send: depart LORD [obj] Nathan to(wards) David and to come (in): come to(wards) him and to say to/for him two human to be in/on/with city one one rich and one be poor
2 Yule mtu tajiri alikuwa na idadi kubwa sana ya kondoo na ngʼombe,
to/for rich to be flock and cattle to multiply much
3 lakini yule maskini hakuwa na chochote ila kondoo jike mdogo aliyekuwa amemnunua. Akamtunza kondoo huyo, akakulia kwake pamoja na watoto wake. Kondoo huyo alishiriki chakula cha bwana wake na kunywea kikombe chake hata pia huyo kondoo alilala mikononi mwa bwana wake. Kwake alikuwa kama binti yake.
and to/for be poor nothing all that if: except if: except ewe-lamb one small which to buy and to live her and to magnify with him and with son: child his together from morsel his to eat and from cup his to drink and in/on/with bosom: embrace his to lie down: lay down and to be to/for him like/as daughter
4 “Siku moja yule tajiri akafikiwa na mgeni, lakini huyo tajiri akaacha kuchukua mmoja wa kondoo au ngʼombe wake mwenyewe amwandalie mgeni. Badala yake akachukua yule kondoo jike mdogo aliyekuwa mali ya yule maskini na kumwandalia yule mgeni wake.”
and to come (in): come traveller to/for man [the] rich and to spare to/for to take: take from flock his and from cattle his to/for to make to/for to journey [the] to come (in): come to/for him and to take: take [obj] ewe-lamb [the] man [the] be poor and to make her to/for man [the] to come (in): come to(wards) him
5 Daudi akawakwa na hasira dhidi ya mtu huyo tajiri na kumwambia Nathani, “Hakika kama Bwana aishivyo, mtu huyo aliyefanya hivyo anastahili kufa!
and to be incensed face: anger David in/on/with man much and to say to(wards) Nathan alive LORD for son: descendant/people death [the] man [the] to make: do this
6 Lazima alipe mara nne zaidi, kwa ajili ya kondoo huyo, kwa sababu amefanya jambo kama hilo na hakuwa na huruma.”
and [obj] [the] ewe-lamb to complete fourfold consequence which to make: do [obj] [the] word: thing [the] this and upon which not to spare
7 Ndipo Nathani akamwambia Daudi, “Wewe ndiwe huyo mtu! Hivi ndivyo asemavyo Bwana, Mungu wa Israeli: ‘Nilikupaka mafuta uwe mfalme juu ya Israeli, nilikuokoa kutokana na mkono wa Sauli.
and to say Nathan to(wards) David you(m. s.) [the] man thus to say LORD God Israel I to anoint you to/for king upon Israel and I to rescue you from hand: power Saul
8 Nilikupa nyumba ya bwana wako na wake za bwana wako mikononi mwako. Nikakupa nyumba ya Israeli na Yuda. Kama haya yote yalikuwa madogo sana, ningekupa hata zaidi.
and to give: give [emph?] to/for you [obj] house: household lord your and [obj] woman: wife lord your in/on/with bosom: embrace your and to give: give [emph?] to/for you [obj] house: household Israel and Judah and if little and to add to/for you like/as them and like/as them
9 Kwa nini ulilidharau neno la Bwana kwa kufanya lililo ovu machoni pake? Ulimuua Uria, Mhiti kwa upanga na kumchukua mke wake awe mkeo. Ulimuua kwa upanga wa Waamoni.
why? to despise [obj] word LORD to/for to make: do [the] bad: evil (in/on/with eye: seeing my *Q(K)*) [obj] Uriah [the] Hittite to smite in/on/with sword and [obj] woman: wife his to take: take to/for you to/for woman: wife and [obj] him to kill in/on/with sword son: descendant/people Ammon
10 Basi kwa hiyo, upanga hautaondoka nyumbani mwako kamwe kwa sababu ulinidharau mimi na kumchukua mke wa Uria, Mhiti kuwa mkeo.’
and now not to turn aside: depart sword from house: household your till forever: enduring consequence for to despise me and to take: take [obj] woman: wife Uriah [the] Hittite to/for to be to/for you to/for woman: wife
11 “Hili ndilo asemalo Bwana: ‘Kutoka kwa nyumba yako mwenyewe nitaleta maafa juu yako. Mbele ya macho yako mwenyewe nitatwaa wake zako na kumpa yeye aliye wa karibu nawe, naye atakutana kimwili na wake zako mchana mwangavu.
thus to say LORD look! I to arise: rise upon you distress: evil from house: household your and to take: take [obj] woman: wife your to/for eye: before(the eyes) your and to give: give to/for neighbor your and to lie down: lay down with woman: wife your to/for eye: seeing [the] sun [the] this
12 Ulifanya kwa siri, lakini nitalifanya jambo hili wakati wa mchana mwangavu mbele ya Israeli yote.’”
for you(m. s.) to make: do in/on/with secrecy and I to make: do [obj] [the] word: thing [the] this before all Israel and before [the] sun
13 Ndipo Daudi akamjibu Nathani, “Nimefanya dhambi dhidi ya Bwana.” Nathani akamjibu, “Bwana amekuondolea dhambi yako. Hutakufa.
and to say David to(wards) Nathan to sin to/for LORD and to say Nathan to(wards) David also LORD to pass: bring sin your not to die
14 Lakini kwa sababu kwa kufanya hili umefanya adui za Bwana kuonyesha dharau kabisa, mwana atakayezaliwa kwako atakufa.”
end for to spurn to spurn [obj] enemy LORD in/on/with word: because [the] this also [the] son: child [the] born to/for you to die to die
15 Baada ya Nathani kurudi nyumbani kwake, Bwana akampiga yule mtoto ambaye mke wa Uria alikuwa amemzalia Daudi, akaugua.
and to go: went Nathan to(wards) house: home his and to strike LORD [obj] [the] youth which to beget woman: wife Uriah to/for David and be incurable
16 Daudi akamwomba Mungu kwa ajili ya mtoto. Akafunga na akaingia ndani ya nyumba yake akawa siku zote analala sakafuni usiku kucha.
and to seek David [obj] [the] God about/through/for [the] youth and to fast David fast and to come (in): come and to lodge and to lie down: lay down (in/on/with sackcloth *X*) land: soil [to]
17 Wazee wa nyumbani mwake wakamwendea wakasimama karibu naye ili kumwamsha kutoka pale sakafuni, lakini akakataa, wala hakula chochote pamoja nao.
and to arise: establish old: elder house: household his upon him to/for to arise: establish him from [the] land: soil and not be willing and not to fatten with them food
18 Kunako siku ya saba yule mtoto akafa. Watumishi wa Daudi wakaogopa kumwambia kuwa mtoto amekufa, kwa maana walifikiri, “Wakati mtoto alipokuwa angali hai, tulizungumza na Daudi lakini hakutusikiliza. Tutawezaje kumwambia kwamba mtoto amekufa? Anaweza kufanya kitu cha kujidhuru.”
and to be in/on/with day [the] seventh and to die [the] youth and to fear servant/slave David to/for to tell to/for him for to die [the] youth for to say behold in/on/with to be [the] youth alive to speak: speak to(wards) him and not to hear: hear in/on/with voice our and how? to say to(wards) him to die [the] youth and to make: do distress: harm
19 Daudi akaona kuwa watumishi wake wananongʼonezana wenyewe, naye akatambua kuwa mtoto alikuwa amekufa. Akauliza “Je, ni kwamba huyo mtoto amekufa?” Wakamjibu, “Ndiyo, mtoto amekufa.”
and to see: see David for servant/slave his to whisper and to understand David for to die [the] youth and to say David to(wards) servant/slave his to die [the] youth and to say to die
20 Basi Daudi akainuka kutoka pale sakafuni. Baada ya kuoga, akajipaka mafuta na kubadilisha nguo zake kisha akaenda ndani ya nyumba ya Bwana, akaabudu. Baada ya hapo akaenda nyumbani kwake kwa kutaka kwake, wakamwandalia chakula, naye akala.
and to arise: rise David from [the] land: soil and to wash: wash and to anoint and to pass (mantle his *Q(K)*) and to come (in): come house: temple LORD and to bow and to come (in): come to(wards) house: home his and to ask and to set: make to/for him food and to eat
21 Watumishi wake wakamuuliza, “Kwa nini unafanya hivi? Mtoto alipokuwa angali hai, ulifunga na kulia; lakini sasa mtoto amekufa, umeinuka na kula.”
and to say servant/slave his to(wards) him what? [the] word: thing [the] this which to make: do in/on/with for the sake of [the] youth alive to fast and to weep and like/as as which to die [the] youth to arise: rise and to eat food
22 Akajibu, “Wakati mtoto alipokuwa bado yungali hai, nilifunga na kulia. Nilifikiri, ‘Nani ajuaye? Bwana aweza kunirehemu ili kumwacha mtoto aishi.’
and to say in/on/with still [the] youth alive to fast and to weep for to say who? to know (and be gracious me *Q(K)*) LORD and to live [the] youth
23 Lakini sasa kwa kuwa amekufa, kwa nini nifunge? Je, naweza kumrudisha tena? Mimi nitakwenda kwake, lakini yeye hatanirudia mimi.”
and now to die to/for what? this I to fast be able to/for to return: return him still I to go: went to(wards) him and he/she/it not to return: return to(wards) me
24 Ndipo Daudi akamfariji Bathsheba mkewe, akaingia kwake akakutana naye kimwili. Akazaa mwana, wakamwita jina lake Solomoni. Bwana alimpenda Solomoni.
and to be sorry: comfort David [obj] Bathsheba Bathsheba woman: wife his and to come (in): come to(wards) her and to lie down: lay down with her and to beget son: child (and to call: call by *Q(K)*) [obj] name his Solomon and LORD to love: lover him
25 Kwa kuwa Bwana alimpenda, akatuma neno kwa Daudi kwa kinywa cha nabii Nathani kuwa mtoto aitwe Yedidia kwa ajili ya Bwana.
and to send: depart in/on/with hand: to Nathan [the] prophet and to call: call by [obj] name his Jedidiah in/on/with for the sake of LORD
26 Wakati huo Yoabu akapigana dhidi ya Raba jamii ya Waamoni na kuteka ngome la kifalme.
and to fight Joab in/on/with Rabbah son: descendant/people Ammon and to capture [obj] city [the] kingship
27 Kisha Yoabu akatuma wajumbe kwa Daudi, kusema, “Nimepigana dhidi ya Raba, nami nimetwaa chanzo chake cha maji.
and to send: depart Joab messenger to(wards) David and to say to fight in/on/with Rabbah also to capture [obj] city [the] water
28 Sasa kusanya vikosi vilivyobaki na ukauzingire mji kwa jeshi na kuuteka. La sivyo, nitauteka mimi, nao utaitwa kwa jina langu.”
and now to gather [obj] remainder [the] people and to camp upon [the] city and to capture her lest to capture I [obj] [the] city and to call: call by name my upon her
29 Kwa hiyo Daudi akakusanya jeshi lote akaenda Raba, akaushambulia na kuuteka.
and to gather David [obj] all [the] people and to go: went Rabbah [to] and to fight in/on/with her and to capture her
30 Akachukua taji kutoka kwa kichwa cha mfalme wao, lililokuwa na uzito wa talanta moja ya dhahabu, nayo ilizungushiwa vito vya thamani. Ikawekwa juu ya kichwa cha Daudi. Alichukua nyara nyingi kutoka mjini huo.
and to take: take [obj] crown king their from upon head his and weight her talent gold and stone precious and to be upon head David and spoil [the] city to come out: send to multiply much
31 Akawatoa watu waliokuwa humo, akawaweka wafanye kazi kwa misumeno, sululu za chuma na mashoka, naye akawaweka kwenye kazi ya kutengeneza matofali. Akafanya hivi kwa miji yote ya Waamoni. Kisha Daudi na jeshi lake lote wakarudi Yerusalemu.
and [obj] [the] people which in/on/with her to come out: send and to set: make in/on/with saw and in/on/with incision [the] iron and in/on/with axe [the] iron and to pass [obj] them (in/on/with brick *Q(K)*) and so to make: do to/for all city son: descendant/people Ammon and to return: return David and all [the] people Jerusalem

< 2 Samweli 12 >