< 2 Petro 2 >

1 Lakini pia waliinuka manabii wa uongo miongoni mwa watu, kama vile watakavyokuwako walimu wa uongo miongoni mwenu. Wataingiza mafundisho yasiyopatana na kweli kwa siri, hata kumkana Bwana wa pekee aliyewanunua, na hivyo kujiletea wenyewe maangamizi ya haraka.
Va polofita va vuchengi niveza ku vantu, ni maruti va vuchengi mu veze kwenu nanwe. Cha vu unguli muveze ni murutilo wa vusinyi, mi muva sampule mfumwavo yavava uli. Valiletele cha vuhwelu i nsiyeho he ulu lyavo.
2 Hata hivyo, wengi watafuata njia zao za ufisadi, na kwa ajili yao njia ya kweli itatukanwa.
Vungi kavwi chilile ze zanina lyavo, mi kachavo inzila ye niti mu i vule ikute.
3 Nao katika tamaa zao mbaya, walimu hawa watajipatia faida kwenu kwa hadithi walizotunga wenyewe. Lakini hukumu imekwisha kutangazwa dhidi yao tangu zamani, wala uangamivu wao haujalala usingizi.
Cha muliilo muvilala muva pange i kekezo henu cha manzwi ovu chengi. Ku nyansiliza kwavo kete ku hinde i nako inde; i nsinyeho yavo ka i lali.
4 Kwa maana, kama Mungu hakuwasamehe malaika walipotenda dhambi, bali aliwatupa kuzimu katika vifungo vya giza wakae humo mpaka ije hukumu; (Tartaroō g5020)
Mukuti Ireeza kena ava kwatili mañiloi ava chiti chivi. Kono a va atambiki kwa Tarutarusi kuti avikwe mumahaka efifi li shulumukite kufitela inkatulo. (Tartaroō g5020)
5 kama hakuusamehe ulimwengu wa kale alipoleta gharika juu ya watu wale wasiomcha Mungu, bali akamhifadhi Noa, mhubiri wa haki, pamoja na watu wengine saba;
Naye, kena ava kwatili inkanda yo vukulukulu. Kono, ava hazi Nowa, yavali mu tumwa wo kujolola, hamwina nivamwi ve yanza nitivele, haleta munda he nkanda isena vu mulimu.
6 kama aliihukumu miji ya Sodoma na Gomora kwa kuiteketeza kwa moto ikawa majivu, na kuifanya kuwa kielelezo kwa yale yatakayowapata wale wasiomcha Mungu;
Ireeza naye ava fukuzi intolopo za Sodoma ni Gomora kwi itwe ni kuva nyansa che nsinyeho, cha mutala wete ni uchitahale ku vasena Ireeza.
7 na kama alimwokoa Loti, mtu mwenye haki, ambaye alihuzunishwa na maisha machafu ya watu wapotovu
Kono kuyo jolola Lota, yava lyatililwe cha mukwa wa vantu vasena mulao muzintu ze nyama, Ireeza namu punyula.
8 (kwa sababu yale matendo mapotovu aliyoyaona na kuyasikia huyo mtu mwenye haki alipoishi miongoni mwao yalimhuzunisha siku baada ya siku):
Ka cho zuna mukwame yo jolola, yavali kuhala mukati kavo izuva ni zuva, ava sukululwa muluhuho lwakwe lu jolola chakwe chevaka lya chava voni ni kuzuwa.
9 ikiwa hivyo ndivyo, basi Bwana anajua jinsi ya kuwaokoa wamchao Mungu kutoka majaribu, na kuwaweka waasi katika adhabu hadi siku ya hukumu.
Simwine wizi mwa lukulwila vantu va lukite kuva zwisa mumi liko, ni mwakwatila vantu vasena vuniti inkoto he zuva lye kantulo.
10 Hii ni hakika hasa kwa wale wanaofuata tamaa mbaya za mwili na kudharau mamlaka. Kwa ushupavu na kwa kiburi, watu hawa hawaogopi kunena mabaya dhidi ya viumbe vya mbinguni.
Ichi china vuniti sihulu kwavo va zwila havusu ni intakazo zi sa tavisi ze nyama ni ku shuvula vuyendisi. Vena vundume ni kuli chitila muvasakila. Kava tiyi ku tuka vana va vaumbitwe ikanya.
11 Lakini hata malaika, ingawa wana nguvu na uwezo zaidi, hawaleti mashtaka mabaya dhidi ya viumbe kama hao mbele za Bwana.
mañiloi ena ziho ahulu ni mata, kono ka valeti i nkatulo za kutukana kwavana kwe Simwine.
12 Lakini watu hawa hukufuru katika mambo wasiyoyafahamu. Wao ni kama wanyama wasio na akili, viumbe wanaotawaliwa na hisia za mwili, waliozaliwa ili wakamatwe na kuchinjwa. Hawa nao kama wanyama wataangamizwa pia.
Kono izi zinyolozi zisa zezi zivavumbwa bulyo ku pangilwa ku kwatwa ni ku sinywa. Kavezi ziva tuka. Kava sinyiwe.
13 Watalipwa madhara kwa ajili ya madhara waliyowatendea wengine. Huhesabu kuwa ni fahari kufanya karamu za ulevi na ulafi mchana peupe. Wao ni mawaa na dosari, wakijifurahisha katika anasa zao wanaposhiriki katika karamu zenu.
Kava tambule mupuzo wa ma fosisa avo. Va zeza kuti kuhala hande musihali nji kuli tavisa. zi bata ni zi donko donko. Valikola mikwa yavo ya vuchengeleli imi niva kwete kulya nanwe.
14 Wakiwa na macho yaliyojaa uzinzi, kamwe hawaachi kutenda dhambi. Huwashawishi wale wasio imara. Wao ni hodari kwa kutamani; ni wana wa laana!
Vena menso ezwile vanakazi va sangu; kavali kolwisisa ni chivi. Va chengelela inhuho zisa kolete kupanga zivi, mi vena inkulo zavo zi lutitwe intakazo. Vahwile va chikuto!
15 Wameiacha njia iliyonyooka, wakapotoka na kuifuata njia ya Balaamu mwana wa Beori aliyependa mshahara wa uovu.
Vava siyilili inzila i shiyeme. Vava zovi ni kwichilila inzila ya Balamu mwana wa Beori, ya vali kutavela ku tambula intifo ya kuvula vuniti.
16 Lakini kwa ajili ya uovu wake, alikemewa na punda, mnyama asiyejua kusema, akaongea akitumia sauti ya mwanadamu na kuzuia wazimu wa huyo nabii.
Kono ava wani i nkalimelo ya mulandu wakwe. Chimumu che ndonki ni chi wamba mwi nzwi lya muntu ni cha zimika vu bbulumuki vwa mupolofita.
17 Watu hawa ni chemchemi zisizo na maji, na ukungu upeperushwao na tufani. Giza nene limewekwa tayari kwa ajili yao.
Ava va kwame vakola zi sima zisena menzi. Va kola makope a yendiswa ihuho ikando. Kafifi kakolete kavikilwe avo. (questioned)
18 Kwa maana wao hunena maneno makuu mno ya kiburi cha bure, na kwa kuvutia tamaa mbaya za asili ya mwili, huwashawishi watu ambao ndipo tu wamejiondoa miongoni mwa wale wanaoishi katika ufisadi.
Va wamba ni mukuli nyamuna kusena intuso. Va chengelela vantu cha kulakamina za muvili. Va chengelela vantu va lika ku zwa kwa vana va hala mu mafosisa.
19 Huwaahidi uhuru hao waliowanasa, wakati wao wenyewe ni watumwa wa ufisadi: kwa maana mtu ni mtumwa wa kitu chochote kinachomtawala.
Vava sepisa i ntukuluho, kono avo vene vahikana va vuchengeleli. mukuti muntu muhikana kuchonse chi mukoma.
20 Kama wameukimbia upotovu wa dunia kwa kumjua Bwana wetu na Mwokozi Yesu Kristo, kisha wakanaswa tena humo na kushindwa, hali yao ya mwisho ni mbaya zaidi kuliko ile ya kwanza.
Yense yo tiya vuvilala vwe inkanda che nzivo ya Simwine ni muhazi Jeso Kirisite, ni ku volela ku zivilala hape, ma manimani avwikalo chava a ziyeze kuvali kuhita vwikalo vwa matangilo.
21 Ingelikuwa afadhali kwao kama wasingeliijua kamwe njia ya haki, kuliko kuijua kisha wakaiacha ile amri takatifu waliyokabidhiwa.
Nikuvavile hande kwavo havasete nivave zivi inzila yaku luka kuhita kuiziva ni ku futatila mwi ntaelo ya kuluka iva letwa kuvali.
22 Imetukia kwao sawasawa na ile mithali ya kweli isemayo: “Mbwa huyarudia matapiko yake mwenyewe,” tena, “Nguruwe aliyeoshwa hurudi kugaagaa matopeni.”
Iyi inguli i niti kuvali: “Umbwa uvolela kuvulusi vwakwe. Chi guluve chi sambite chivolela mwi tope.”

< 2 Petro 2 >