< 2 Petro 2 >

1 Lakini pia waliinuka manabii wa uongo miongoni mwa watu, kama vile watakavyokuwako walimu wa uongo miongoni mwenu. Wataingiza mafundisho yasiyopatana na kweli kwa siri, hata kumkana Bwana wa pekee aliyewanunua, na hivyo kujiletea wenyewe maangamizi ya haraka.
annabawa beche bi ye ni indji ni bi tsoro itere u che ba ngame ba ye ni yaya ybi nitsoro u sue tu ba ka mba ni bachi ni kpa bs chuwo. na yo tu mba ni kwu gbagbla.
2 Hata hivyo, wengi watafuata njia zao za ufisadi, na kwa ajili yao njia ya kweli itatukanwa.
gbugbugawu mba hwu itere mba ni gbugbuwu ba hu za mba bubu ki u mba la itere ni tere ni tuki ba latre ni gbon njanji njanjia ni tu loho mba u mba gurumba.
3 Nao katika tamaa zao mbaya, walimu hawa watajipatia faida kwenu kwa hadithi walizotunga wenyewe. Lakini hukumu imekwisha kutangazwa dhidi yao tangu zamani, wala uangamivu wao haujalala usingizi.
nigon u mren ndji ba ghur ba nitre ni itere mba uriro he kima ikle mba mba sue tu mba na wunton na mba a ni ye gbgbla be kima ivu ba a kpa itron mba a he ni ndawo kpa itron mba a he ni ndawo he ni hukichi idawo mege
4 Kwa maana, kama Mungu hakuwasamehe malaika walipotenda dhambi, bali aliwatupa kuzimu katika vifungo vya giza wakae humo mpaka ije hukumu; (Tartaroō g5020)
tjri ana kahmaleku bi wa latre na ni mi kima a trumba ni mi kplakpla ni wa ani tie naki ka truba yo ni mibuu ni gwigwilu lo u izere tu ni gbulankpa bwu Jahanama ni lolilo ton kima ye toh wa ani ye blare ninzre zi gben ivi wa ani ye blatre itere a (Tartaroō g5020)
5 kama hakuusamehe ulimwengu wa kale alipoleta gharika juu ya watu wale wasiomcha Mungu, bali akamhifadhi Noa, mhubiri wa haki, pamoja na watu wengine saba;
naki me ana dongbungblu ni mi kima wa a chu iwa ani blatre rsi nsansi nha ni nuhu wa ta hla itre ijri wawu indji tankbani ni wa ansii ilu tufaria ni idi tankban ni wa ansii ilu tufra ni shi shi gbungbnlun wa ansa kpeni a ji ima gubbo tsufana ni shishi be rji na wa mbana ta hwu irji na
6 kama aliihukumu miji ya Sodoma na Gomora kwa kuiteketeza kwa moto ikawa majivu, na kuifanya kuwa kielelezo kwa yale yatakayowapata wale wasiomcha Mungu;
nakima trji a ye igbu sadoma mba gomarata ni ilu mba ka kpahuti tohlu ani henaki ni be wa hwu irji na
7 na kama alimwokoa Loti, mtu mwenye haki, ambaye alihuzunishwa na maisha machafu ya watu wapotovu
u mlatimu lutu wa idid mba mba guru yo ni memeti u idi u irji a kpachuwo
8 (kwa sababu yale matendo mapotovu aliyoyaona na kuyasikia huyo mtu mwenye haki alipoishi miongoni mwao yalimhuzunisha siku baada ya siku):
ni idi u mlati wa a son ni bebe idi beki ko nivi rime isonro ma nita funi mba ni tu ikpi wa a si wonda ni toh
9 ikiwa hivyo ndivyo, basi Bwana anajua jinsi ya kuwaokoa wamchao Mungu kutoka majaribu, na kuwaweka waasi katika adhabu hadi siku ya hukumu.
ni tu naki irji a toh kpe wa aniti nda cur he mlati djur ni turon nda toh kpe wa a ni ti da vu be wa mba na mlatiana ni loa ni ni u mblatere ma
10 Hii ni hakika hasa kwa wale wanaofuata tamaa mbaya za mwili na kudharau mamlaka. Kwa ushupavu na kwa kiburi, watu hawa hawaogopi kunena mabaya dhidi ya viumbe vya mbinguni.
waye a he na kima njaaji ma ye ni be wa son ikpe u kpaba nda kpa be chu tsiri mba he ni sentu nda ni ti ikpi a isonro mba ni sona mba n klusisri be wa ha nomba niko na
11 Lakini hata malaika, ingawa wana nguvu na uwezo zaidi, hawaleti mashtaka mabaya dhidi ya viumbe kama hao mbele za Bwana.
ko naki malaiku mba he ni gbeglbe za mba du naki mbana ye hla ni irji ni memeki mba na.
12 Lakini watu hawa hukufuru katika mambo wasiyoyafahamu. Wao ni kama wanyama wasio na akili, viumbe wanaotawaliwa na hisia za mwili, waliozaliwa ili wakamatwe na kuchinjwa. Hawa nao kama wanyama wataangamizwa pia.
idi be ki mba he na inmani udju wa mbana he ni imeren kpe ni sonron mbana a wa mba vu nda nha tan migen mba na toh ikpei wa basi tina mba quu
13 Watalipwa madhara kwa ajili ya madhara waliyowatendea wengine. Huhesabu kuwa ni fahari kufanya karamu za ulevi na ulafi mchana peupe. Wao ni mawaa na dosari, wakijifurahisha katika anasa zao wanaposhiriki katika karamu zenu.
ba kpa idi u meme tie mba ba ya ndi krunci ni rji ahi kpei u ririro ma bitie naki ba wuru tu ba tore tie meme kpi mba ni nton kpe u si sonro ikpi mba a hi u guru wa ba si tie wa mba siti ni mbaa
14 Wakiwa na macho yaliyojaa uzinzi, kamwe hawaachi kutenda dhambi. Huwashawishi wale wasio imara. Wao ni hodari kwa kutamani; ni wana wa laana!
shi shi mba a hi u ti konkon imbe be ti faa mba na hwt ni lstere ns mbs guru be wa mba na he ni gbegble isoron na ndu mba ti memeti u mba nda yo sonro mba ni myen mba hi imiri be latere.
15 Wameiacha njia iliyonyooka, wakapotoka na kuifuata njia ya Balaamu mwana wa Beori aliyependa mshahara wa uovu.
mba katere njaaji yoga nda kubban hwu kon balamu vre beor wa ani son kpah ida wa ana he ni tu kon a na
16 Lakini kwa ajili ya uovu wake, alikemewa na punda, mnyama asiyejua kusema, akaongea akitumia sauti ya mwanadamu na kuzuia wazimu wa huyo nabii.
e a kpa yargha ni tu laatere igwma me wwa ana tere a na n yargha ni idi annabinu saran ni ilan tere u di
17 Watu hawa ni chemchemi zisizo na maji, na ukungu upeperushwao na tufani. Giza nene limewekwa tayari kwa ajili yao.
idi be khi mba he na iholoba na wa ima na kukurina ba he na klaga wa ghughu nivva kpulakpa buu a si gbe mba (questioned)
18 Kwa maana wao hunena maneno makuu mno ya kiburi cha bure, na kwa kuvutia tamaa mbaya za asili ya mwili, huwashawishi watu ambao ndipo tu wamejiondoa miongoni mwa wale wanaoishi katika ufisadi.
mba ki be kado ni be sentu mba guru idi ni son kpi ukpo mba guru idi be wa mba so djur tikah ni be wa mba yaba shishi
19 Huwaahidi uhuru hao waliowanasa, wakati wao wenyewe ni watumwa wa ufisadi: kwa maana mtu ni mtumwa wa kitu chochote kinachomtawala.
mba hi be yo nyu u son htu da na toh ande mba he igra be laterena isi a he igre ni kpi wa a ni guru du te u a
20 Kama wameukimbia upotovu wa dunia kwa kumjua Bwana wetu na Mwokozi Yesu Kristo, kisha wakanaswa tena humo na kushindwa, hali yao ya mwisho ni mbaya zaidi kuliko ile ya kwanza.
be wa mbana djur ye ni son kpa u chuwo yesu Almasihu nda la kwba hi ni mi son kpa izere mba ani meme za u mumla
21 Ingelikuwa afadhali kwao kama wasingeliijua kamwe njia ya haki, kuliko kuijua kisha wakaiacha ile amri takatifu waliyokabidhiwa.
a bi ni mha u mba ni na toh dae ma na u mba toh nda la kwma djur ni kon tsratsra wa mba kano ba
22 Imetukia kwao sawasawa na ile mithali ya kweli isemayo: “Mbwa huyarudia matapiko yake mwenyewe,” tena, “Nguruwe aliyeoshwa hurudi kugaagaa matopeni.”
itre u ka yiyi a njanji ni tu mba yawu kban ye vu iso ma hlen lede wa ba sue kpa niwu a kbani la ka ri ni ni brje

< 2 Petro 2 >