< 2 Petro 1 >
1 Simoni Petro, mtumishi na mtume wa Yesu Kristo: Kwa wale ambao kwa njia ya haki ya Mungu na Mwokozi wetu Yesu Kristo mmepokea imani iliyo na thamani kama yetu:
Iyesus Krstossh guutsonat woshef wottso Sim'on P'et'rosoke, Noko Izar Izewernat no ato Iyesus Krstosoke fa'a kááw imnetiyok'o mangts imnetiyo daatstswots itsh,
2 Neema na amani iwe kwenu kwa wingi katika kumjua Mungu na Yesu Bwana wetu.
Ik'onat nodoonz Iyesusi danon s'aatonat jeenon itsh ayowe.
3 Uweza wake wa uungu umetupatia mambo yote tunayohitaji kwa ajili ya uzima na uchaji wa Mungu, kwa kumjua yeye aliyetuita kwa utukufu wake na wema wake mwenyewe.
B́mangonat b́dowon noon s'eegtso bín nodantsatse tuutson b́ Ik'i angon kashonat Ik'o aroosh geyitu jamo noosh imre.
4 Kwa sababu hiyo, ametukirimia ahadi zake kuu na za thamani kupitia mambo haya, ili kupitia hayo mpate kuwa washiriki wa asili ya uungu, na kuokoka kutoka upotovu ulioko duniani unaosababishwa na tamaa mbaya.
B́ mangonat b́ dowonn mangts k'awntso detstsonat ayidek't een wotts no jangiru aap'wotsi daatsdek'rone, janigiyets aap'anotsatse tuutson gond tewnatse datsanatse fa'a t'afotse k'ay keer Ik'i doyo kaydek'irwotsi it wotishee.
5 Kwa sababu hii hasa, jitahidini sana katika imani yenu kuongeza wema; na katika wema, maarifa;
Manatse tuutson keewanots itsh bodabeetwok'o kup'ore, imnetiyatse doo woto, doo wotaatse dano,
6 katika maarifa, kiasi; katika kiasi, saburi; katika saburi, utauwa;
danatse b́took keewdek'o, b́ took kordek'atse k'amoon kup'dek'o, k'amoon kup'dek'ats Ik' aro,
7 katika utauwa, upendano wa ndugu; na katika upendano wa ndugu, upendo.
sheeng beeyats eshu eshwi shunewo, eshu eshuwi shuneeyatse shuno dabwere.
8 Kwa maana haya yakiwa ndani yenu kwa wingi na kuzidi kuongezeka, yanawasaidia msikose bidii wala kutozaa matunda katika kumjua Bwana wetu Yesu Kristo.
Keewanots ayaarr itsh bobere itdetsal nodoonz Iyesus Krstosi danosh woteraw shuu deshawwotsi itwoterawok'o iti kotetúne.
9 Lakini mtu yeyote asipokuwa na mambo haya haoni mbali, na ni kipofu, naye amesahau kule kutakaswa kutoka dhambi zake za zamani.
Keewanotsi deshawonmó wokts keewo bek'ofalaw aaw dooge, beshts b́morratsnowere b́s'ayintsok'o batk'rere.
10 Kwa hiyo, ndugu zangu, fanyeni bidii zaidi kuuthibitisha wito wenu na uteule wenu. Kwa maana mkifanya hivyo, hamtajikwaa kamwe,
Eshe ti eshwotso! its'eegeyonat itmarat'etsok'o arikon b́woto kitsosh baltsoniyere iki bogo kup'ore, man itk'aliyal b́ jamon gandeyar dihratste.
11 na mtajaliwa kwa ukarimu mwingi kuingia katika ufalme wa milele wa Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo. (aiōnios )
Mank'oon dúre dúrik wotts nodoonznat no aton Iyesus Krstos mengstots kindo s'eenon itsh imetwe. (aiōnios )
12 Hivyo nitawakumbusha mambo haya siku zote, hata ingawa mnayajua na mmethibitishwa katika kweli mliyo nayo.
Keewanotsi danfte wotiyalor, it detsts arikeewon itkúp'yalor hanots jango úni aawo itsh gawiyo fal k'ayaatse.
13 Naona ni vyema kuwakumbusha mambo haya wakati wote niwapo katika hema hili ambalo ni mwili wangu,
Dunkaniyok'o wotts tiatsanitse t befetsosh úni aawo itsh gawiyo kááw araatniye taash b́be'eyiri.
14 kwa sababu najua ya kwamba hivi karibuni nitaliweka kando, kama vile Bwana wetu Yesu Kristo alivyoliweka wazi kwangu.
No doonz Iyesus Krstos taash b́ kiitstsok'on datsanatse káári k'iron tk'aletwok'o danfee.
15 Nami nitafanya kila juhudi kuona kwamba baada ya kuondoka kwangu mtaweza kuyakumbuka mambo haya siku zote.
And taa t kup'ir kááron itatse tk'aleyakon dab keewanotsi úni aawo gawdek'o it falitwok'owe.
16 Tulipowafahamisha juu ya uweza na kuja kwa Bwana wetu Yesu Kristo, hatukufuata hadithi zilizotungwa kwa werevu, bali tulishuhudia kwa macho yetu ukuu wake.
Nodoonz Iyesus Krstos kúp'onat gitlo aanar b́weyi jango itsh nokeewor, notookon, eeno b́woto no ááwon bek'aat gawirwotsi bako ash weri gondon k'aniyets tururi jafro shoydek'atniyaaliye.
17 Alipewa heshima na utukufu kutoka kwa Mungu Baba, sauti ilipomjia katika Utukufu Mkuu, ikisema, “Huyu ni Mwanangu mpendwa. Ninapendezwa naye sana.”
«Tmaac' k'eeztso tshunts na'o haniye» etiru k'ááro mangts Ik'oke bísh b́woor, Ik'o nihoke mangonat een woton dek're.
18 Sisi wenyewe tuliisikia sauti hii ambayo ilitoka mbinguni, wakati tulipokuwa pamoja naye kwenye ule mlima mtakatifu.
S'ayin guro abaatse bínton noteshor darotse waats k'ááran no notokon shishrone.
19 Nasi tunalo pia neno la hakika zaidi la unabii, ambalo mtafanya vyema mkiliangalia kwa bidii, kama vile nuru inavyongʼaa gizani, hadi kupambazuka na nyota ya asubuhi izuke mioyoni mwenu.
Jaman nebiyiwots bo keewtso arik b́ wottsok'oniye noosh bogshdek't bo kitsiri, mansh t'alwi beyoke fa'a c'eshosh sheengshde'er it kotfok'o nebiyiwots keewtsono sheengshde'er koto itn geyiyitwe, manowere it k'alit maargoyo b́ gatsfetsosh, datsgatsi mozofu it nibots b́ be'efetsoniye.
20 Zaidi ya yote, yawapasa mjue kwamba hakuna unabii katika Maandiko uliofasiriwa kama alivyopenda nabii mwenyewe.
Jamoniyere shino t'iwintso itsh geytwo S'ayin mas'aafotse fa'o kon naari bek'on keewetso konwor b tookon b́ gawirwok'o bitsosh b́ falawok'oniye.
21 Kwa maana unabii haukuja kamwe kwa mapenzi ya mwanadamu, bali watu walinena yaliyotoka kwa Mungu wakiongozwa na Roho Mtakatifu.
Kon naari bek'o b́jamon ash shunon waratse, ernmó bek'o shayiron jisheyiru ashuwots Ik'oke dek'tinye bokeewi.