< 2 Wafalme 8 >
1 Wakati huu, Elisha alikuwa amemwambia yule mwanamke ambaye mwanawe alikuwa amefufuliwa, “Ondoka wewe na jamaa yako ukaishi mahali popote unapoweza kwa kitambo kidogo, kwa sababu Bwana ameamuru njaa katika nchi hii ambayo itadumu kwa miaka saba.”
Agora Elisha havia falado com a mulher cujo filho ele havia restaurado à vida, dizendo: “Levante-se e vá, você e sua casa, e fique por um tempo onde puder; pois Yahweh chamou por uma fome. Também virá à terra por sete anos”.
2 Yule mwanamke akafanya kama vile yule mtu wa Mungu alivyosema. Yeye na jamaa yake wakaondoka na kwenda kuishi katika nchi ya Wafilisti kwa miaka saba.
A mulher surgiu, e fez de acordo com a palavra do homem de Deus. Ela foi com sua família, e viveu na terra dos filisteus por sete anos.
3 Baada ya miaka saba, yule mwanamke akarudi kutoka nchi ya Wafilisti, akaenda kwa mfalme kumsihi kwa ajili ya nyumba yake na shamba lake.
Ao final de sete anos, a mulher voltou da terra dos filisteus. Depois ela saiu para implorar ao rei por sua casa e por sua terra.
4 Mfalme alikuwa anazungumza na Gehazi, mtumishi wa mtu wa Mungu, naye alikuwa amesema, “Hebu niambie mambo yote makuu yaliyofanywa na Elisha.”
Agora o rei estava conversando com Geazi, o servo do homem de Deus, dizendo: “Por favor, diga-me todas as grandes coisas que Eliseu fez”.
5 Wakati Gehazi alipokuwa akimweleza mfalme jinsi Elisha alivyomfufua mtu, yule mwanamke ambaye mwanawe alikuwa amefufuliwa na Elisha akaja ili amsihi mfalme kwa ajili ya nyumba yake na shamba lake. Gehazi akasema, “Huyu ndiye huyo mwanamke, bwana wangu mfalme, na huyu ndiye mwanawe ambaye Elisha alimfufua.”
Enquanto ele contava ao rei como havia restaurado à vida aquele que estava morto, eis que a mulher cujo filho ele havia restaurado à vida implorou ao rei por sua casa e por sua terra. Geazi disse: “Meu senhor, ó rei, esta é a mulher, e este é seu filho, a quem Eliseu ressuscitou”.
6 Mfalme akamuuliza yule mwanamke kuhusu mambo hayo, naye akamweleza. Ndipo akaamuru afisa ashughulikie shauri lake na kumwambia, “Mrudishie huyu mwanamke kila kitu kilichokuwa mali yake, pamoja na mapato yote yaliyotokana na shamba lake tangu siku alipoondoka nchini hadi sasa.”
Quando o rei perguntou à mulher, ela lhe disse. Então o rei nomeou para ela um certo oficial, dizendo: “Restaure tudo o que era dela, e todos os frutos do campo desde o dia em que ela deixou a terra, mesmo até agora”.
7 Elisha akaenda Dameski, naye Ben-Hadadi mfalme wa Aramu alikuwa mgonjwa. Mfalme alipoambiwa, “Mtu wa Mungu ametoka mbali akapanda hadi hapa,”
Elisha veio a Damasco; e Benhadad, o rei da Síria, estava doente. Foi-lhe dito: “O homem de Deus veio aqui”.
8 mfalme akamwambia Hazaeli. “Chukua zawadi na uende kumlaki huyo mtu wa Mungu. Muulize Bwana kupitia yeye, kwamba, ‘Je, nitapona ugonjwa huu?’”
O rei disse a Hazael: “Pegue um presente em sua mão e vá ao encontro do homem de Deus, e pergunte a Javé por ele, dizendo: 'Será que eu vou me recuperar desta doença?
9 Hazaeli akaenda kumlaki Elisha, akiwa amechukua zawadi ya kila kitu kizuri kilichopatikana Dameski, mizigo iliyobebwa na ngamia arobaini. Akaingia ndani na kusimama mbele yake, akasema, “Mwanao Ben-Hadadi mfalme wa Aramu amenituma niulize, ‘Je, nitapona ugonjwa huu?’”
Então Hazael foi ao seu encontro e levou um presente com ele, mesmo de todas as coisas boas de Damasco, o fardo de quarenta camelos, e veio e ficou diante dele e disse: “Seu filho Benhadad, rei da Síria, me enviou a você, dizendo: 'Será que eu vou me recuperar desta doença?
10 Elisha akajibu, “Nenda ukamwambie, ‘Hakika utapona’; lakini Bwana amenifunulia kwamba kweli atakufa.”
Elisha lhe disse: “Vá, diga-lhe: 'Você certamente se recuperará;' entretanto Yahweh me mostrou que ele certamente morrerá”.
11 Elisha akamkazia Hazaeli macho kwa nguvu mpaka akaona aibu. Kisha mtu wa Mungu akaanza kulia.
Ele fixou seu olhar com firmeza sobre ele, até ficar envergonhado. Então o homem de Deus chorou.
12 Hazaeli akauliza “Kwa nini bwana wangu analia?” Elisha akajibu, “Kwa sababu najua mabaya utakayowatendea Waisraeli. Utachoma moto ngome zao, utawaua vijana wao kwa upanga, kuwatupa chini kwa nguvu watoto wachanga, na kuwatumbua wanawake wenye mimba.”
Hazael disse: “Por que o senhor chora, meu senhor”? Ele respondeu: “Porque eu sei o mal que vocês farão às crianças de Israel”. Vocês incendiarão seus redutos, e matarão seus jovens com a espada, e despedaçarão seus pequeninos, e rasgarão suas mulheres grávidas”.
13 Hazaeli akasema, “Itawezekanaje mtumishi wako, aliye mbwa tu, kufanya tendo la ajabu namna hiyo?” Elisha akamjibu, “Bwana amenionyesha kuwa utakuwa mfalme wa Aramu.”
Hazael disse: “Mas o que é seu criado, que é apenas um cão, que ele poderia fazer esta grande coisa”? Elisha respondeu: “Yahweh mostrou-me que você será rei sobre a Síria”.
14 Kisha Hazaeli akamwacha Elisha na kumrudia bwana wake. Ben-Hadadi akamuuliza, “Elisha alikuambia nini?” Hazaeli akajibu, “Aliniambia kwamba hakika utapona.”
Então ele partiu de Elisha, e veio até seu mestre, que lhe disse: “O que Elisha lhe disse”? Ele respondeu: “Ele me disse que você certamente se recuperaria”.
15 Lakini kesho yake Hazaeli akachukua nguo nzito, akailoweka ndani ya maji, akaitandaza juu ya uso wa mfalme, hivyo akafa. Kisha Hazaeli akaingia mahali pake kuwa mfalme wa Aramu.
No dia seguinte, ele pegou um pano grosso, mergulhou-o na água e o espalhou sobre o rosto do rei, de modo que ele morreu. Então, Hazael reinou em seu lugar.
16 Katika mwaka wa tano wa Yoramu mwana wa Ahabu mfalme wa Israeli, wakati huo Yehoshafati akiwa mfalme wa Yuda, Yehoramu mwana wa Yehoshafati akaanza kutawala kama mfalme wa Yuda.
No quinto ano de Jorão, filho de Acabe, rei de Israel, Jehosafá sendo então rei de Judá, começou a reinar Jehorão, filho de Jeosafá, rei de Judá.
17 Alikuwa na umri wa miaka thelathini na miwili alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu kwa miaka minane.
Ele tinha trinta e dois anos de idade quando começou a reinar. Ele reinou oito anos em Jerusalém.
18 Akaenenda katika njia za wafalme wa Israeli, kama nyumba ya Ahabu ilivyokuwa imefanya, kwa kuwa alimwoa binti wa Ahabu. Akatenda maovu machoni pa Bwana.
Ele andou no caminho dos reis de Israel, assim como a casa de Acabe, pois casou com a filha de Acabe. Ele fez o que era mau aos olhos de Iavé.
19 Hata hivyo, kwa ajili ya Daudi mtumishi wake, Bwana hakutaka kuiangamiza Yuda. Alikuwa ameahidi kuidumisha taa kwa ajili ya Daudi na wazao wake milele.
However, Javé não destruiria Judá, por amor de Davi, seu servo, pois prometeu dar-lhe sempre uma lâmpada para seus filhos.
20 Wakati wa Yehoramu, Edomu waliasi dhidi ya Yuda na kujiwekea mfalme wao wenyewe.
Em seus dias, Edom revoltou-se sob a mão de Judá, e fez um rei sobre si mesmo.
21 Basi Yehoramu akaenda Sairi pamoja na magari yake yote ya vita. Waedomu wakamzunguka yeye na majemadari wake wa magari yake ya vita, lakini akaondoka, akapenya usiku na kuwashambulia Waedomu. Hata hivyo, jeshi lake likatorokea nyumbani mwao.
Então Joram atravessou para Zair, e todas as suas carruagens com ele; e ele se levantou à noite e atingiu os edomitas que o cercaram com os capitães das carruagens; e o povo fugiu para suas tendas.
22 Hadi leo Edomu wameasi dhidi ya Yuda. Libna pia wakaasi wakati huo huo.
Então Edom se revoltou de debaixo da mão de Judá até hoje. Então Libnah se revoltou ao mesmo tempo.
23 Kwa matukio mengine ya utawala wa Yehoramu na yote aliyoyafanya, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Yuda?
O resto dos atos de Jorão, e tudo o que ele fez, não estão escritos no livro das crônicas dos reis de Judá?
24 Yehoramu akalala pamoja na baba zake, na akazikwa pamoja nao katika Mji wa Daudi. Naye Ahazia mwanawe akawa mfalme baada yake.
Jorão dormiu com seus pais, e foi enterrado com seus pais na cidade de Davi; e Acazias, seu filho, reinou em seu lugar.
25 Katika mwaka wa kumi na mbili wa utawala wa Yoramu mwana wa Ahabu mfalme wa Israeli, Ahazia mwana wa Yehoramu mfalme wa Yuda alianza kutawala.
No décimo segundo ano de Jorão, filho de Acabe, rei de Israel, Acazias, filho de Jeorão, rei de Judá, começou a reinar.
26 Ahazia alikuwa na umri wa miaka ishirini na miwili alipoanza kutawala, naye akatawala katika Yerusalemu kwa mwaka mmoja. Mama yake aliitwa Athalia, mjukuu wa Omri mfalme wa Israeli.
Acazias tinha vinte e dois anos quando começou a reinar; e reinou um ano em Jerusalém. O nome de sua mãe era Atalia, filha de Onri, rei de Israel.
27 Akaenenda katika njia za nyumba ya Ahabu, na kutenda maovu machoni pa Bwana, kama nyumba ya Ahabu ilivyokuwa imefanya, kwa kuwa alikuwa ameoa kutoka nyumba ya Ahabu.
Ele andou no caminho da casa de Acabe e fez o que era mau aos olhos de Javé, assim como a casa de Acabe, pois ele era genro da casa de Acabe.
28 Ahazia akaenda vitani na Yoramu mwana wa Ahabu kupigana na Hazaeli mfalme wa Aramu huko Ramoth-Gileadi. Waaramu wakamjeruhi Yoramu.
Ele foi com Joram, filho de Ahab, para a guerra contra Hazael, rei da Síria, em Ramoth Gilead, e os sírios feriram Joram.
29 Hivyo Mfalme Yoramu akarudi Yezreeli ili apate kuuguza majeraha aliyojeruhiwa na Waaramu huko Ramothi alipopigana na Hazaeli mfalme wa Aramu. Ndipo Ahazia mwana wa Yehoramu mfalme wa Yuda akashuka kwenda Yezreeli kumtazama Yoramu mwana wa Ahabu, kwa sababu alikuwa amejeruhiwa.
O rei Joram voltou para ser curado em Jezreel das feridas que os sírios lhe fizeram em Ramah, quando ele lutou contra Hazael, rei da Síria. Acazias, filho de Jeorão, rei de Judá, desceu para ver Jorão, filho de Acabe, em Jezreel, porque estava doente.