< 2 Wafalme 8 >

1 Wakati huu, Elisha alikuwa amemwambia yule mwanamke ambaye mwanawe alikuwa amefufuliwa, “Ondoka wewe na jamaa yako ukaishi mahali popote unapoweza kwa kitambo kidogo, kwa sababu Bwana ameamuru njaa katika nchi hii ambayo itadumu kwa miaka saba.”
Ita, nagsao ni Eliseo iti babai nga akin anak iti ubing a pinagbiagna. Kinunana kenkuana, '“Tumakderka, ket mapanka a kaduam ti bumalaymo ket agnaedka iti sabali a daga, gapu ta mangiyeg ni Yahweh iti panagbisin nga agpaut iti pito a tawen iti daytoy a daga.”
2 Yule mwanamke akafanya kama vile yule mtu wa Mungu alivyosema. Yeye na jamaa yake wakaondoka na kwenda kuishi katika nchi ya Wafilisti kwa miaka saba.
Timmakder ngarud ti babai ket nagtulnog isuna iti sao ti tao ti Dios. Kaduana a pimmanaw ti sangkabalayanna ket napanda nagnaed iti daga ti Filistia iti pito a tawen.
3 Baada ya miaka saba, yule mwanamke akarudi kutoka nchi ya Wafilisti, akaenda kwa mfalme kumsihi kwa ajili ya nyumba yake na shamba lake.
Napasamak nga iti panagleppas ti pito a tawen, nagsubli ti babai manipud iti daga ti Filistia, ket napan isuna iti ari tapno agpakaasi kenkuana para iti balay ken dagana.
4 Mfalme alikuwa anazungumza na Gehazi, mtumishi wa mtu wa Mungu, naye alikuwa amesema, “Hebu niambie mambo yote makuu yaliyofanywa na Elisha.”
Ita, makisarsarita ti ari kenni Gehasi nga adipen ti tao ti Dios, a kunana, “Pangngaasim ta ibagam kaniak dagiti amin a naindaklan a banbanag nga inaramid ni Eliseo.”
5 Wakati Gehazi alipokuwa akimweleza mfalme jinsi Elisha alivyomfufua mtu, yule mwanamke ambaye mwanawe alikuwa amefufuliwa na Elisha akaja ili amsihi mfalme kwa ajili ya nyumba yake na shamba lake. Gehazi akasema, “Huyu ndiye huyo mwanamke, bwana wangu mfalme, na huyu ndiye mwanawe ambaye Elisha alimfufua.”
Ket kabayatan nga ibagbaga ni Gehasi iti ari no kasano a pinagbiag ni Eliseo ti ubing a natay, isu met ti iyuumay ti babai nga akin anak iti pinagbiagna tapno agpakaasi iti ari para iti balay ken dagana. Kinuna ni Gehasi, “Apok nga ari, daytoy ti babai, ken daytoy ti anakna, a pinagbiag ni Eliseo.”
6 Mfalme akamuuliza yule mwanamke kuhusu mambo hayo, naye akamweleza. Ndipo akaamuru afisa ashughulikie shauri lake na kumwambia, “Mrudishie huyu mwanamke kila kitu kilichokuwa mali yake, pamoja na mapato yote yaliyotokana na shamba lake tangu siku alipoondoka nchini hadi sasa.”
Idi sinaludsod ti ari iti babai ti maipapan iti anakna, impalawagna daytoy iti ari. Isu a binilin ti ari ti maysa nga opisial para kenkuana, a kunana, “Isubliyo kenkuana ti amin a kukuana ken amin nga apit dagiti talonna sipud iti aldaw a pinanawanna ti dagana agingga ita.”
7 Elisha akaenda Dameski, naye Ben-Hadadi mfalme wa Aramu alikuwa mgonjwa. Mfalme alipoambiwa, “Mtu wa Mungu ametoka mbali akapanda hadi hapa,”
Dimteng ni Eliseo iti Damasco nga ayan ni Ben Hadad nga ari ti Aram a masakit. Naibaga iti ari, “Immay ditoy ti tao ti Dios.”
8 mfalme akamwambia Hazaeli. “Chukua zawadi na uende kumlaki huyo mtu wa Mungu. Muulize Bwana kupitia yeye, kwamba, ‘Je, nitapona ugonjwa huu?’”
Kinuna ti ari kenni Hazael, “Mangalaka iti sagut ket mapanmo sabten ti tao ti Dios, ket makiumanka kenni Yahweh babaen kenkuana, ibagam, 'Umimbagak kadi pay iti daytoy a sakit?”'
9 Hazaeli akaenda kumlaki Elisha, akiwa amechukua zawadi ya kila kitu kizuri kilichopatikana Dameski, mizigo iliyobebwa na ngamia arobaini. Akaingia ndani na kusimama mbele yake, akasema, “Mwanao Ben-Hadadi mfalme wa Aramu amenituma niulize, ‘Je, nitapona ugonjwa huu?’”
Napan ngarud ni Hazael iti ayan ni Eliseo ken nangitugot iti amin a kita ti nasayaat a banag a nagtaud iti Damasco, nga inawit ti uppat a pulo a kamelio. Immay ngarud ni Hazael ket nagtakder iti sangoanan ni Eliseo ket kinunana, “Imbaonnak kenka ti anakmo a ni Ben Hadad nga ari ti Aram, a kunana, 'Umimbagak kadi pay iti daytoy a sakit?”'
10 Elisha akajibu, “Nenda ukamwambie, ‘Hakika utapona’; lakini Bwana amenifunulia kwamba kweli atakufa.”
Kinuna ni Eliseo kenni Hazael, “Mapanmo ibaga kenni Ben Hadad, 'Siguarado nga umimbagka,' ngem impakita ni Yahweh kaniak a matayto isuna.”
11 Elisha akamkazia Hazaeli macho kwa nguvu mpaka akaona aibu. Kisha mtu wa Mungu akaanza kulia.
Kalpasanna, pinerreng ni Eliseo ni Hazael agingga a nagbain ni Hazael, ket nagsangit ti tao ti Dios.
12 Hazaeli akauliza “Kwa nini bwana wangu analia?” Elisha akajibu, “Kwa sababu najua mabaya utakayowatendea Waisraeli. Utachoma moto ngome zao, utawaua vijana wao kwa upanga, kuwatupa chini kwa nguvu watoto wachanga, na kuwatumbua wanawake wenye mimba.”
Sinaludsod ni Hazael, “Apay nga agsangitka, apok?” Simmungbat isuna, “Gapu ta ammok ti kinadakes nga aramidemto kadagiti tattao ti Israel. Puoramto dagiti sarikedkedda, ken papatayemto dagiti agtutubo a lallaki babaen iti kampilan, rumekemto dagiti ubbingda, ken buttiakamto dagiti babbai a masikog.”
13 Hazaeli akasema, “Itawezekanaje mtumishi wako, aliye mbwa tu, kufanya tendo la ajabu namna hiyo?” Elisha akamjibu, “Bwana amenionyesha kuwa utakuwa mfalme wa Aramu.”
Simmungbat ni Hazael, “Siasino koma ti adipenmo ta maaramidna ti kastoy a dakkel a banag. Maysa laeng isuna a kas iti aso.” Simmungbat ni Eliseo, “Impakita ni Yahweh kaniak nga agbalinkanto nga ari ti Aram.”
14 Kisha Hazaeli akamwacha Elisha na kumrudia bwana wake. Ben-Hadadi akamuuliza, “Elisha alikuambia nini?” Hazaeli akajibu, “Aliniambia kwamba hakika utapona.”
Kalpasanna, pinanawan ni Hazael ni Eliseo ket napan iti ayan ti apona, a nagkuna kenkuana, “Ania ti imbaga ni Eliseo kenka?” Simmungbat ni Hazael, “Imbagana kaniak a sigurado nga umimbagka.”
15 Lakini kesho yake Hazaeli akachukua nguo nzito, akailoweka ndani ya maji, akaitandaza juu ya uso wa mfalme, hivyo akafa. Kisha Hazaeli akaingia mahali pake kuwa mfalme wa Aramu.
Ket iti kabigatanna, nangala ni Hazael iti ules ket binabasana daytoy iti danum, sana inyabbongna iti rupa ni Ben Hadad isu a natay ti ari. Ket ni Hazael ti simmukat kenkuana nga ari.
16 Katika mwaka wa tano wa Yoramu mwana wa Ahabu mfalme wa Israeli, wakati huo Yehoshafati akiwa mfalme wa Yuda, Yehoramu mwana wa Yehoshafati akaanza kutawala kama mfalme wa Yuda.
Iti maikalima a tawen a panagturay ni Joram a putot ni Ahab, iti Israel, nangrugi met a nagturay ni Jehoram a putot ni Jehosafat kas ari ti Juda. Nangrugi isuna a nagturay idi ni Jehosafat ti ari ti Juda.
17 Alikuwa na umri wa miaka thelathini na miwili alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu kwa miaka minane.
Agtawen ni Jehoram iti tallo pulo ket dua idi nangrugi isuna nga agturay, ket nagturay isuna iti walo a tawen idiay Jerusalem.
18 Akaenenda katika njia za wafalme wa Israeli, kama nyumba ya Ahabu ilivyokuwa imefanya, kwa kuwa alimwoa binti wa Ahabu. Akatenda maovu machoni pa Bwana.
Sinurot ni Jehoram dagiti wagas a panagbiag ti ari ti Israel, a kas iti ar-aramiden ti balay ni Ahab; ta asawana ti anak a babai ni Ahab, ket inaramidna dagiti dakes iti imatang ni Yahweh.
19 Hata hivyo, kwa ajili ya Daudi mtumishi wake, Bwana hakutaka kuiangamiza Yuda. Alikuwa ameahidi kuidumisha taa kwa ajili ya Daudi na wazao wake milele.
Nupay kasta, gapu kenni David nga adipenna, saan a kayat ni Yahweh a dadaelen ti Juda, agsipud ta imbaga ni Yahweh kenkuana a kankanayonna nga ikkan isuna kadagiti kaputotan.
20 Wakati wa Yehoramu, Edomu waliasi dhidi ya Yuda na kujiwekea mfalme wao wenyewe.
Kadagiti al-aldaw ni Jehoram, bimmusor ti Edom manipud iti panangtengngel ti Juda, nangisaadda ti ari a mangituray kadakuada.
21 Basi Yehoramu akaenda Sairi pamoja na magari yake yote ya vita. Waedomu wakamzunguka yeye na majemadari wake wa magari yake ya vita, lakini akaondoka, akapenya usiku na kuwashambulia Waedomu. Hata hivyo, jeshi lake likatorokea nyumbani mwao.
Kalpasanna, nagdaliasat ni Jehoram a kaduana dagiti komandante ken dagiti amin a karwahena. Napasamak a nagrubbuat isuna iti rabii ket rinaut ken pinarmekda dagiti Edomita, a nanglikmot kenkuana ken dagiti komandante dagiti karwahe. Ket naglibas dagiti armada ni Jehoram ket nagawidda kadagiti pagtaenganda.
22 Hadi leo Edomu wameasi dhidi ya Yuda. Libna pia wakaasi wakati huo huo.
Isu a manipud idin, bumusbusuren ti Edom manipud iti panagturay ti Juda agingga kadagitoy nga aldaw. Bimmusor met ti Libna iti dayta met laeng a tiempo.
23 Kwa matukio mengine ya utawala wa Yehoramu na yote aliyoyafanya, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Yuda?
No maipanggep kadagiti dadduma pay a banbanag maipapan kenni Jehoram, ken kadagiti amin nga inaramidna, saan kadi a naisurat dagitoy iti Libro dagiti Pakasaritaan dagiti Ari ti Juda?
24 Yehoramu akalala pamoja na baba zake, na akazikwa pamoja nao katika Mji wa Daudi. Naye Ahazia mwanawe akawa mfalme baada yake.
Pimmusay ni Jehoram, ket naitanem a naitipon kadagiti ammana iti siudad ni David. Ket ni Ahazias nga anakna ti simmukat kenkuana nga ari.
25 Katika mwaka wa kumi na mbili wa utawala wa Yoramu mwana wa Ahabu mfalme wa Israeli, Ahazia mwana wa Yehoramu mfalme wa Yuda alianza kutawala.
Iti maika- sangapulo ket dua a tawen ni Joram nga anak ni Ahab, nga ari ti Israel, nangrugi a nagturay kas ari ti Juda ni Ahazias nga anak ni Jehoram.
26 Ahazia alikuwa na umri wa miaka ishirini na miwili alipoanza kutawala, naye akatawala katika Yerusalemu kwa mwaka mmoja. Mama yake aliitwa Athalia, mjukuu wa Omri mfalme wa Israeli.
Agtawen idi iti duapulo ket dua ni Ahazias idi nangrugi isuna a nagturay; nagturay isuna iti makatawen idiay Jerusalem. Ti inana ket ni Atalia nga anak ni Omri nga ari ti Israel.
27 Akaenenda katika njia za nyumba ya Ahabu, na kutenda maovu machoni pa Bwana, kama nyumba ya Ahabu ilivyokuwa imefanya, kwa kuwa alikuwa ameoa kutoka nyumba ya Ahabu.
Simmurot ni Ahazias iti wagas a panagbiag ti pamilia ni Ahab; inaramidna ti dakes iti imatang ni Yahweh, a kas iti ar-aramiden ti balay ni Ahab, ta ni Ahazias ket manugang iti pamilia ni Ahab.
28 Ahazia akaenda vitani na Yoramu mwana wa Ahabu kupigana na Hazaeli mfalme wa Aramu huko Ramoth-Gileadi. Waaramu wakamjeruhi Yoramu.
Kimmuyog ni Ahasias kenni Joram nga anak ni Ahab tapno gubatenda ni Hazael nga ari ti Aram, idiay Ramot Galaad. Dinunor dagiti Arameo ni Joram.
29 Hivyo Mfalme Yoramu akarudi Yezreeli ili apate kuuguza majeraha aliyojeruhiwa na Waaramu huko Ramothi alipopigana na Hazaeli mfalme wa Aramu. Ndipo Ahazia mwana wa Yehoramu mfalme wa Yuda akashuka kwenda Yezreeli kumtazama Yoramu mwana wa Ahabu, kwa sababu alikuwa amejeruhiwa.
Nagsubli ni Ari Joram idiay Jezreel tapno mapaimbag dagiti sugatna nga impaay kenkuana dagiti Arameo idiay Rama, idi nakiranget isuna kenni Hazael nga ari ti Aram. Simmalog ngarud idiay Jezreel ni Ahazias nga anak ni Jehoram nga ari ti Juda tapno kitaenna ni Joram nga anak ni Ahab, gapu ta nadunor ni Joram.

< 2 Wafalme 8 >