< 2 Wafalme 7 >

1 Elisha akasema, “Sikiliza neno la Bwana. Hivi ndivyo asemavyo Bwana: Wakati kama huu kesho, kipimo kimoja cha unga mzuri kitauzwa kwa shekeli moja ya fedha, na vibaba viwili vya shayiri kwa shekeli moja ya fedha katika lango la Samaria.”
Kinuna ni Eliseo, “Denggenyo ti sao ni Yahweh. Kastoy ti imbaga ni Yahweh: 'Inton bigat iti kastoy nga oras, mailakonto ti sangkasukat a napino nga arina iti maysa a siklo, ken dua a sukat a trigo iti maysa a siklo, idiay ruangan ti Samaria.'”
2 Yule afisa ambaye mfalme alikuwa anauegemea mkono wake akamwambia yule mtu wa Mungu, “Tazama, hata kama Bwana atafungua madirisha ya mbinguni, je, jambo hili litawezekana?” Elisha akajibu, “Utaona kwa macho yako mwenyewe, lakini wewe hutakula chochote kati ya hivyo!”
Ket simmungbat ti kapitan a nangkuyog iti ari iti tao ti Dios, ket kinunana, “Kitaem, uray no mangaramid ni Yahweh kadagiti tawa idiay langit, mapasamak kadi met daytoy a banag?” Simmungbat ni Eliseo, “Kitaem, maimatangamto daytoy a mapasamak babaen kadagiti bukodmo a mata, ngem saanka makapangan iti uray ania iti daytoy.”
3 Basi kulikuwepo na watu wanne wenye ukoma katika ingilio la lango la mji. Wakaambiana, “Kwa nini tukae hapa mpaka tufe?
Ita, adda uppat a lallaki a kinetong iti laeng ruar ti ruangan ti siudad. Kinunada iti tunggal maysa, “Apay ketdin nga agtugawtayo ditoy agingga a mataytayo?
4 Kama tukisema, ‘Tutaingia mjini,’ mjini kuna njaa, nasi tutakufa humo. Kama tukikaa hapa, tutakufa. Kwa hiyo twende kwenye kambi ya Waaramu na tujisalimishe. Kama wakituacha hai, tutaishi; kama wakituua, basi na tufe.”
No ibagatayo a mapantayo idiay siudad ket adda panagbisin iti siudad, ket mataytayonto sadiay. Ngem no agtugawtayo latta ditoy, mataytayonto latta. Ita ngarud, umaykayo, mapantayo iti armada dagiti Arameo. No pagtalinaedendatayo a sibibiag, agbiagtayo, ket no papatayendatayo, mataytayonto laeng.”
5 Wakati wa giza la jioni, wakaondoka na kwenda kwenye kambi ya Waaramu. Walipofika mwanzo wa kambi, hapakuwa na mtu,
Timmakderda ngarud a mapan kadagiti kampo dagiti Arameo iti sumipngeten; idi nakadanonda iti kaadaywan a paset ti kampo, awan ti uray maysa sadiay.
6 kwa kuwa Bwana alilifanya jeshi la Waaramu lisikie sauti kama ya magari ya vita, farasi na jeshi kubwa, kiasi kwamba waliambiana, “Tazama, mfalme wa Israeli ameajiri mfalme wa Wahiti na mfalme wa Wamisri kuja kutushambulia sisi!”
Ta impadengngeg ti Apo iti armada dagiti Arameo ti daranudor dagiti karwahe ken kabkabalio - ti tagari iti sabali pay a dakkel nga armada, ket kinunada iti tunggal maysa, “Tinangdanan ti ari ti Israel dagiti ari dagiti Heteo ken Egipsio nga umay a maibusor kadatayo.”
7 Kwa hiyo wakaondoka na kukimbia wakati wa giza la jioni na kuacha mahema yao, farasi wao na punda wao. Wakakimbia kuokoa maisha yao na kuacha kila kitu ndani ya kambi kama kilivyokuwa.
Isu a nagrubbuat dagiti soldado ket naglibasda idi sumipngeten; pinanawanda dagiti toldada, kabalioda, asnoda, ken ti kampoda ket timmarayda tapno insalakanda dagiti biagda.
8 Wale watu wenye ukoma walipofika mwanzoni mwa kambi, wakaingia kwenye mojawapo ya mahema. Wakala na kunywa, na kuchukua fedha, dhahabu na nguo, wakaenda kuvificha. Wakarudi na kuingia katika hema jingine, na kuchukua baadhi ya vitu kutoka ndani yake na kuvificha pia.
Idi nakadanon dagiti kinetong a lallaki iti kaadaywan a paset ti kampo, immunegda iti maysa a tolda ket nangan ken imminumda, ken nangalada kadagiti pirak, balitok ken kawkawes, pimmanawda ket napanda indulin dagitoy. Nagsublida ket simrekda pay iti sabali a tolda ket nagtakawda pay sadiay, ket napanda indulin daytoy.
9 Kisha wakaambiana, “Hili tunalolifanya sio jema. Hii ni siku ya habari njema, nasi tunakaa kimya. Kama tukisubiri mpaka mapambazuko, maafa yatatupata. Twendeni mara moja tukatoe habari hizi katika jumba la mfalme.”
Kalpasanna, kinunada iti tunggal maysa, “Saan nga umno ti ar-aramidentayo. Daytoy nga aldaw ket aldaw ti naimbag a damag, ngem ilimlimedtayo ti maipapan iti daytoy. No aguraytayo agingga iti agsapa, kamakamennatayo ti pannusa. Ita ngarud, umaykayo, intayo ibaga iti sangkabalayan ti ari.”
10 Hivyo wakaenda mjini na kuwaita walinzi wa langoni, wakawaambia, “Tulikwenda katika kambi ya Waaramu lakini hapakuwepo na mtu huko, hata sauti ya mtu yeyote, ila farasi na punda waliofungwa na mahema yaliyoachwa kama yalivyokuwa.”
Isu a napanda ket pinukkawanda dagiti mangay-aywan iti ruangan ti siudad. Imbagada kadakuada, a kunada, “Napankami iti kampo dagiti Arameo, ngem awan ti uray maysa sadiay, uray uni ti siasinoman, ngem adda sadiay a nakatali dagiti kabalio ken asno, ken adda pay laeng sadiay dagiti tolda a sitatakder.”
11 Walinzi wa langoni wakatangaza habari ile kwa sauti kuu, na taarifa hii ikatolewa ndani ya jumba la mfalme.
Ket impukpukkaw dagiti mangay-aywan iti ruangan ti siudad ti damag, ket kalpasanna, naibaga daytoy iti uneg ti sangkabalayan ti ari.
12 Mfalme akaamka usiku na kuwaambia maafisa wake, “Nitawaambia kile Waaramu walichotufanyia. Wanajua kwamba tuna njaa, hivyo wameacha kambi yao ili kujificha mashambani, wakifikiri, ‘Kwa hakika watatoka nje ya mji, nasi tutawakamata wakiwa hai na kuingia ndani ya mji.’”
Bimmangon ngarud ti ari iti rabii ket kinunana kadagiti adipenna, “Ibagak ita kadakayo no ania ti inaramid dagiti Arameo kadatayo. Ammoda a mabisintayo, isu a pimmanawda kadagiti kampo tapno mapanda aglemmeng kadagiti talon. Kunada, “Inton rummuarda iti siudad, tiliwentayo ida a sibibiag, ket serrekentayo ti siudad.'”
13 Mmoja wa maafisa wake akajibu, “Waamuru watu wachache wakawachukue farasi watano kati ya wale waliobaki katika mji. Hatima yao itakuwa kama ya Waisraeli wote walio hapa. Watakuwa tu kama Waisraeli hawa ambao wanangoja kifo. Hivyo tuwatumeni wajue kumetendeka nini.”
Maysa kadagiti adipen ti ari ti simmungbat ket kinuna, “Agpakpakaasiak kenka, pangalaem koma dagiti lallaki iti lima a kabalio kadagiti natda, a nabati iti siudad. Maiyarigda amin kadagiti nabati a tattao iti Israel - kaaduan ket natayen; ibaontayo koma ida ket kitaentayo ti mapasamak.”
14 Ndipo wakachagua magari mawili ya vita pamoja na farasi wake, naye mfalme akawatuma wafuatilie jeshi la Waaramu. Akawaamuru waendeshaji akisema, “Nendeni mkaone ni nini kilichotokea.”
Isu a nangalada iti dua a karwahe agraman kadagiti kabalio, ket imbaon ti ari ida a mangsaruno iti armada dagiti Arameo, kunana, “Inkayo kitaen.”
15 Wakawafuatia hadi Yordani, nao wakakuta barabara yote ikiwa imetapakaa nguo na vyombo vya Waaramu walivyokuwa wamevitupa walipokuwa wanatoroka. Basi wale wajumbe wakarudi na kutoa taarifa kwa mfalme.
Sinurotda ida iti Karayan Jordan, ket nagkaiwara iti amin a dalan dagiti kawes ken alikamen nga imbelleng dagiti Arameo iti panagdardarasda. Isu a nagsubli dagiti mensahero ket imbagada iti ari.
16 Kisha watu wakatoka na kuteka nyara kambi ya Waaramu. Kwa hiyo kipimo cha unga mzuri kikauzwa kwa shekeli, na vipimo viwili vya shayiri kwa shekeli, kama vile Bwana alivyokuwa amesema.
Rimmuar dagiti tattao ket sinamsamda ti adda iti kampo dagiti Arameo. Isu a nailako ti sangkasukat a napino nga arina iti maysa a siklo, ken dua a sukat a trigo iti maysa a siklo, kas naibaga ti sao ni Yahweh.
17 Basi mfalme alikuwa amemweka yule afisa ambaye mfalme alikuwa anauegemea mkono wake awe msimamizi wa lango. Nao watu wakamkanyaga walipoingia langoni, naye akafa, kama vile mtu wa Mungu alivyokuwa ametangulia kusema wakati mfalme alipofika nyumbani kwake.
Binilin ti ari ti kapitan a nangkuyog kenkuana nga isu ti mangimaton iti ruangan, ket binaddebaddekan isuna dagiti tattao iti pagserkan. Natay isuna a kas iti imbaga ti tao ti Dios, a nagsao idi napan ti ari kenkuana.
18 Ikatokea kama vile mtu wa Mungu alivyokuwa amemwambia mfalme: “Wakati kama huu kesho, kipimo kimoja cha unga mzuri kitauzwa kwa shekeli moja ya fedha, na vibaba viwili vya shayiri kwa shekeli moja ya fedha katika lango la Samaria.”
Napasamak ngarud daytoy a kas imbaga ti tao ti Dios iti ari, a kunana, ''Iti kastoy nga oras idiay ruangan ti Samaria, mailakonto ti dua a rukod ti trigo a iti maysa a siklo, ken maysa a rukod ti kasasayaatan nga arina iti maysa a siklo.”
19 Yule afisa alikuwa amemwambia yule mtu wa Mungu, “Tazama, hata kama Bwana atafungua madirisha ya mbinguni, je, jambo hili litawezekana?” Naye yule mtu wa Mungu alikuwa amemjibu, “Utaona kwa macho yako mwenyewe, lakini wewe hutakula chochote kati ya hivyo!”
Simmungbat dayta a kapitan iti tao ti Dios a kinunana, “Kitaem, uray no mangaramid ni Yahweh kadagiti tawa idiay langit, mabalin met aya a mapasamak daytoy a banag?” Naibaga ni Eliseo, “Kitaem, maimatangamto daytoy a mapasamak babaen kadagiti bukodmo a mata, ngem saankanto a makapangan iti uray ania iti daytoy.”
20 Ndivyo hasa ilivyotokea kwake, kwa kuwa watu walimkanyaga langoni, naye akafa.
Ket kasta ngarud ti napasamak kenkuana, ta binaddebaddekan isuna dagiti tattao idiay ruangan, ket natay isuna.

< 2 Wafalme 7 >