< 2 Wafalme 7 >

1 Elisha akasema, “Sikiliza neno la Bwana. Hivi ndivyo asemavyo Bwana: Wakati kama huu kesho, kipimo kimoja cha unga mzuri kitauzwa kwa shekeli moja ya fedha, na vibaba viwili vya shayiri kwa shekeli moja ya fedha katika lango la Samaria.”
Ilaisia da bu adole i, “Hina Gode Ea sia: nabima! ‘Aya wewaba, di da Samelia ganodini widi noga: idafa dioi defei5 gilo o bali dioi defei 10 gilo amo silifa fage afaega lamu.’”
2 Yule afisa ambaye mfalme alikuwa anauegemea mkono wake akamwambia yule mtu wa Mungu, “Tazama, hata kama Bwana atafungua madirisha ya mbinguni, je, jambo hili litawezekana?” Elisha akajibu, “Utaona kwa macho yako mwenyewe, lakini wewe hutakula chochote kati ya hivyo!”
Isala: ili hina bagade ea hisu hawa: hamosu dunu da Ilaisiama amane sia: i. “Amane hamomu da hamedei! Hina Gode Hisu fawane da gala: ine hedolodafa iasea, amolawane hame ba: mu!” Ilaisia da amane sia: i, “Di da amo hou doaga: be ba: mu, amasea, di da amo ha: i manu amoga hamedafa manu.”
3 Basi kulikuwepo na watu wanne wenye ukoma katika ingilio la lango la mji. Wakaambiana, “Kwa nini tukae hapa mpaka tufe?
Dunu biyaduyale gala, ilia da lebolosi olo da madelaiba: le, se nabawane, ilia da Samelia logo holei gadili esafulubi ba: i. Ilia da ilisu amane sia: sa: i, “Ninia abuliba: le goegai ouesafula, bogoma: bela: ?
4 Kama tukisema, ‘Tutaingia mjini,’ mjini kuna njaa, nasi tutakufa humo. Kama tukikaa hapa, tutakufa. Kwa hiyo twende kwenye kambi ya Waaramu na tujisalimishe. Kama wakituacha hai, tutaishi; kama wakituua, basi na tufe.”
Ninia da moilai bai bagade ganodini masunu da hamedei. Bai amogawi, ninia da ha: ga bogomu. Ninia da gui esalea amolawane bogogia: mu. Amaiba: le, ninia da Silia ha wa: i fisisua ahoa: di. Amabela: ? Ilia nini medole legema: bela: ? Be amomane ilia da ninima asigili, hame medole legema: bela: ?”
5 Wakati wa giza la jioni, wakaondoka na kwenda kwenye kambi ya Waaramu. Walipofika mwanzo wa kambi, hapakuwa na mtu,
Amaiba: le, soge gasibi galu, ilia da Silia wa: i fisisua asili, doaga: loba, dunu esalebe afae hame ba: i.
6 kwa kuwa Bwana alilifanya jeshi la Waaramu lisikie sauti kama ya magari ya vita, farasi na jeshi kubwa, kiasi kwamba waliambiana, “Tazama, mfalme wa Israeli ameajiri mfalme wa Wahiti na mfalme wa Wamisri kuja kutushambulia sisi!”
Hina Gode da hamobeba: le, Silia dadi gagui dunu da dadi gagui wa: i bagadedafa amola ‘sa: liode’ amola hosi ilia gusuba: i ahoana gugudabe defele nabi dagoi. Ilia da agoane dawa: i, amo Isala: ili hina bagade da Hidaide amola Idibidi hina bagade ilia dadi gagui wa: i, amo Silia fi ilima doagala: musa: , bidi ianu gegemusa: hiougi.
7 Kwa hiyo wakaondoka na kukimbia wakati wa giza la jioni na kuacha mahema yao, farasi wao na punda wao. Wakakimbia kuokoa maisha yao na kuacha kila kitu ndani ya kambi kama kilivyokuwa.
Amaiba: le, amo daeya Silia dunu da ilia esalusu gaga: ma: ne, hobea: i dagoi. Ilia da ilia abula diasu, hosi amola dougi amo huluane yolesisili, hobea: i dagoi. Ilia fisisu da udigili dialebe ba: i.
8 Wale watu wenye ukoma walipofika mwanzoni mwa kambi, wakaingia kwenye mojawapo ya mahema. Wakala na kunywa, na kuchukua fedha, dhahabu na nguo, wakaenda kuvificha. Wakarudi na kuingia katika hema jingine, na kuchukua baadhi ya vitu kutoka ndani yake na kuvificha pia.
Lebolosi oloi dunu biyaduyale, ilia fisisu bega: doaga: loba, ilia da abula diasu afae amo ganodini golili sa: ili, ha: i manu amola waini hano dialebe amo nanu, silifa amola gouli amola abula ilia ba: i amo huluane gagaguli, wamolegela asi. Amalalu, ilia abula diasu enoga golili sa: ili, amanewane hamoi.
9 Kisha wakaambiana, “Hili tunalolifanya sio jema. Hii ni siku ya habari njema, nasi tunakaa kimya. Kama tukisubiri mpaka mapambazuko, maafa yatatupata. Twendeni mara moja tukatoe habari hizi katika jumba la mfalme.”
Be amalu ilia ilisu amane sia: sa: i, “Ninia agoane hamomu da defea hame gala! Ninia da sia: noga: i nababeba: le, ninisu fawane amo dawa: mu da defea hame. Ninia mae adole hahabe adosea, ninia dafawanedafa se iasu ba: mu. Ninia da wahadafa asili, hina bagade diasu ganodini esalebe dunuma olelela ahoa: di!”
10 Hivyo wakaenda mjini na kuwaita walinzi wa langoni, wakawaambia, “Tulikwenda katika kambi ya Waaramu lakini hapakuwepo na mtu huko, hata sauti ya mtu yeyote, ila farasi na punda waliofungwa na mahema yaliyoachwa kama yalivyokuwa.”
Amaiba: le, ilia Silia ha wa: i fisisu fisili, bu Samelia moilai bai bagadega asi. Doaga: le, ilia da logo ga: sua sosodo aligisu dunu ilima amane wele sia: i, “Ninia da Silia wa: i fisu asili, be dunu afae hame ba: i, amola sia: hame nabi. Hosi amola dougi da gomenesisi dialebe ba: i. Amola abula diasu huluane da udigili dialebe ba: i.
11 Walinzi wa langoni wakatangaza habari ile kwa sauti kuu, na taarifa hii ikatolewa ndani ya jumba la mfalme.
Sosodo aligisu dunu da amo sia: sisia: i labeba: le, amo sia: da hina bagade ea diasu ganodini sia: legei.
12 Mfalme akaamka usiku na kuwaambia maafisa wake, “Nitawaambia kile Waaramu walichotufanyia. Wanajua kwamba tuna njaa, hivyo wameacha kambi yao ili kujificha mashambani, wakifikiri, ‘Kwa hakika watatoka nje ya mji, nasi tutawakamata wakiwa hai na kuingia ndani ya mji.’”
Gasi da dialobawane, hina bagade da ea diaheda: su da: iyanini wa: legadole, ea eagene ouligisu dunuma amane sia: i. “Na da Silia dunu ilia ninima hamomusa: ilegelalebe amo adomu! Ilia da waha goega: i ha: i amo dawa: i dagoi. Amaiba: le, ilia da ha wa: i fisisu yolesili, sogega wamo ouligimusa: afia: i. Ilia agoane dawa: sa. Ninia da moilai yolesili, ha: i manu hogola ahoanea, ilia nini gagulaligili, ninia moilai gesowale lamu. Ilia da amane ilegei.”
13 Mmoja wa maafisa wake akajibu, “Waamuru watu wachache wakawachukue farasi watano kati ya wale waliobaki katika mji. Hatima yao itakuwa kama ya Waisraeli wote walio hapa. Watakuwa tu kama Waisraeli hawa ambao wanangoja kifo. Hivyo tuwatumeni wajue kumetendeka nini.”
Ea eagene ouligisu dunu afae da amane sia: i, “Ninia da udigili esalea, dunu huluane moilaiga esalebe, ilia da dunu da bogoi dagoi defele, gugunufinisisu fawane ba: mu. Amaiba: le, ninia da dunu oda amola hosi hame bogoi esala, amo biyale, amo hou ea bai hogomusa: , asunasimu da defea.”
14 Ndipo wakachagua magari mawili ya vita pamoja na farasi wake, naye mfalme akawatuma wafuatilie jeshi la Waaramu. Akawaamuru waendeshaji akisema, “Nendeni mkaone ni nini kilichotokea.”
Ilia da dunu oda ilegele, hina bagade da ili ‘sa: liode’ ganodini fila heda: iwane amo Silia dunu ilia fisisu mugului hou bai hogoma: ne asunasi.
15 Wakawafuatia hadi Yordani, nao wakakuta barabara yote ikiwa imetapakaa nguo na vyombo vya Waaramu walivyokuwa wamevitupa walipokuwa wanatoroka. Basi wale wajumbe wakarudi na kutoa taarifa kwa mfalme.
Dunu da Yodane Hanoga hogola asi. Ilia da Silia dadi gagui dunu ilia da hobea: iba: le ilia abula amola gegesu liligi fisi, amo logo bega: udigili dialebe ba: i. Amalalu, ilia da buhagili, Isala: ili hina bagadema, ilia ba: i liligi amo adodoi.
16 Kisha watu wakatoka na kuteka nyara kambi ya Waaramu. Kwa hiyo kipimo cha unga mzuri kikauzwa kwa shekeli, na vipimo viwili vya shayiri kwa shekeli, kama vile Bwana alivyokuwa amesema.
Samelia fi dunu da gadili hehenaia asili, Silia ha wa: i fisisu liligi huluane fefedele lai. Amola Hina Gode Ea sia: i defele, widi noga: idafa dioi defei 5 gilo o bali dioi defei 10 gilo agoane da silifa fage afaega lasu.
17 Basi mfalme alikuwa amemweka yule afisa ambaye mfalme alikuwa anauegemea mkono wake awe msimamizi wa lango. Nao watu wakamkanyaga walipoingia langoni, naye akafa, kama vile mtu wa Mungu alivyokuwa ametangulia kusema wakati mfalme alipofika nyumbani kwake.
Isala: ili hina bagade da moilai logo ga: su ouligima: ne, ea hisu hawa: hamosu dunu ilegei. Musa: hina bagade da Ilaisia ea sia: nabimusa: asi. Amola amo hisu ouligisu dunu da Ilaisia ea sia: i defele, dunuga osa: le heda: iba: le, bogoi ba: i.
18 Ikatokea kama vile mtu wa Mungu alivyokuwa amemwambia mfalme: “Wakati kama huu kesho, kipimo kimoja cha unga mzuri kitauzwa kwa shekeli moja ya fedha, na vibaba viwili vya shayiri kwa shekeli moja ya fedha katika lango la Samaria.”
Ilaisia da hina bagadema amane adoi galu, amo eso aya wewaba, e da Samelia ganodini widi noga: idafa dioi defei 5 gilo o bali dioi defei10 gilo da, silifa fage afae amaiga lasu ba: ma: ne sia: i.
19 Yule afisa alikuwa amemwambia yule mtu wa Mungu, “Tazama, hata kama Bwana atafungua madirisha ya mbinguni, je, jambo hili litawezekana?” Naye yule mtu wa Mungu alikuwa amemjibu, “Utaona kwa macho yako mwenyewe, lakini wewe hutakula chochote kati ya hivyo!”
Be ouligisu dunu da musa: amoga bu adole i, “Amane hamomu da hamedei. Hina Gode Hisu fawane da gibu hedolodafa iasea, dia waha adoi hou da hame ba: mu.”
20 Ndivyo hasa ilivyotokea kwake, kwa kuwa watu walimkanyaga langoni, naye akafa.
Amola amo hou da dafawane ema doaga: i dagoi. E da logo ga: su gadenene, dunu gilisi amolalia hasalasi dagoiba: le, bogoidafa ba: i. Bai e da dafane, dunu eno da e da: iya ososa: gilisi.

< 2 Wafalme 7 >