< 2 Wafalme 25 >

1 Hivyo katika mwaka wa tisa wa utawala wa Sedekia, katika siku ya kumi ya mwezi wa kumi, Nebukadneza mfalme wa Babeli, akiwa na jeshi lake lote, alifanya vita dhidi ya Yerusalemu. Akapiga kambi nje ya mji na kuuzunguka mji pande zote.
W dziewiątym roku jego panowania, dziesiątego miesiąca, dziesiątego [dnia tego] miesiąca, Nabuchodonozor, król Babilonu, wraz z całym swoim wojskiem wyruszył przeciw Jerozolimie, rozbił obóz pod nią i zbudował przeciwko niej szańce dokoła.
2 Mji ulizungukwa na jeshi mpaka mwaka wa kumi na moja wa utawala wa Mfalme Sedekia.
I miasto było oblężone aż do jedenastego roku króla Sedekiasza.
3 Ilipowadia siku ya tisa ya mwezi wa nne, njaa ikazidi kuwa kali sana ndani ya mji, hadi hapakuwa na chakula kwa ajili ya watu.
A w dziewiątym dniu [czwartego] miesiąca wzmógł się głód w mieście i nie było chleba dla ludu [tej] ziemi.
4 Kisha ukuta wa mji ukavunjwa, na jeshi lote likakimbia. Wakaondoka mjini usiku kupitia lango lililokuwa kati ya kuta mbili karibu na bustani ya mfalme, ingawa Wakaldayo walikuwa wameuzunguka mji. Wakakimbia kuelekea Araba.
Kiedy zrobiono wyłom [w murze] miasta, wszyscy wojownicy [uciekli] w nocy przez bramę między dwoma murami obok królewskiego ogrodu. Chaldejczycy zaś znajdowali się dokoła miasta, a [król] uszedł w stronę pustyni.
5 Lakini jeshi la Wakaldayo likamfuatia mfalme na kumpata katika sehemu tambarare za Yeriko. Askari wake wote wakatengwa naye na kutawanyika,
I wojsko Chaldejczyków ścigało króla, i dogoniło go na równinach Jerycha, a całe jego wojsko rozpierzchło się od niego.
6 naye akakamatwa. Akapelekwa kwa mfalme wa Babeli huko Ribla, mahali ambapo hukumu yake ilitangazwa.
Pojmali więc króla i przyprowadzili go do króla Babilonu, do Ribla, gdzie ten wydał na niego wyrok.
7 Wakawaua wana wa Sedekia mbele ya macho yake. Kisha wakayangʼoa macho yake, wakamfunga kwa pingu za shaba na kumpeleka Babeli.
I synów Sedekiasza zabili na jego oczach, a Sedekiaszowi wyłupili oczy, zakuli go spiżowymi łańcuchami i uprowadzili do Babilonu.
8 Mnamo siku ya saba ya mwezi wa tano, katika mwaka wa kumi na tisa wa utawala wa Nebukadneza mfalme wa Babeli, Nebuzaradani jemadari wa askari walinzi wa mfalme, afisa wa mfalme wa Babeli, alikuja Yerusalemu.
W piątym miesiącu, siódmego [dnia] tego miesiąca – był to dziewiętnasty rok Nabuchodonozora, króla Babilonu – do Jerozolimy przybył Nebuzaradan, dowódca gwardii, sługa króla Babilonu;
9 Alichoma moto Hekalu la Bwana, jumba la kifalme, na nyumba zote za Yerusalemu. Aliteketeza kila jengo muhimu.
I spalił dom PANA i dom króla; wszystkie domy Jerozolimy i wszystkie wielkie budowle spalił ogniem.
10 Jeshi lote la Wakaldayo, chini ya jemadari wa askari walinzi wa mfalme, walivunja kuta zilizoizunguka Yerusalemu.
Całe wojsko Chaldejczyków, które było z dowódcą gwardii, zburzyło mury wokół Jerozolimy.
11 Nebuzaradani jemadari wa askari walinzi akawapeleka uhamishoni watu waliokuwa wamebaki katika mji, pamoja na mabaki ya watu wa kawaida, na wale waliojisalimisha kwa mfalme wa Babeli.
Resztę ludu, która pozostała w mieście, zbiegów, którzy przeszli do króla Babilonu, oraz resztę pospólstwa Nebuzaradan, dowódca gwardii, uprowadził do niewoli.
12 Lakini yule jemadari wa askari walinzi akawaacha baadhi ya wale watu maskini kabisa ili watunze mashamba ya mizabibu na mashamba mengine.
Lecz dowódca gwardii pozostawił niektórych spośród ubogich tej ziemi, aby byli winogrodnikami i rolnikami.
13 Wakaldayo walivunja vipande zile nguzo za shaba, vile vishikilio vya shaba vilivyohamishika, na ile Bahari ya shaba, ambavyo vyote vilikuwa katika Hekalu la Bwana. Hivyo wakaichukua hiyo shaba na kuipeleka Babeli.
Chaldejczycy rozbili kolumny z brązu, które były w domu PANA, podstawy i morze z brązu, które było w domu PANA, a brąz z nich przenieśli do Babilonu.
14 Wakachukua pia vyungu, masepetu, mikasi ya kusawazishia tambi, sahani na vyombo vyote vya shaba vilivyotumika katika huduma ya Hekalu.
Zabrali też kotły, szufle, nożyce, miski oraz wszystkie naczynia z brązu, których używano do służby.
15 Jemadari wa askari walinzi wa mfalme akachukua vile vyetezo na yale mabakuli ya kunyunyizia, vitu vyote vile vilivyokuwa vimetengenezwa kwa dhahabu safi au fedha.
Dowódca gwardii zabrał kadzielnice, miednice i to, co było ze złota, jako złoto, i to, co było ze srebra, jako srebro;
16 Shaba iliyotokana na zile nguzo mbili, ile Bahari na vile vishikilio vilivyohamishika, ambavyo Solomoni alikuwa ametengeneza kwa ajili ya Hekalu la Bwana, ilikuwa na uzito usioweza kupimika.
Dwie kolumny, jedno morze, podstawy, które wykonał Salomon dla domu PANA, a nie było można [zmierzyć] wagi brązu tych wszystkich przedmiotów.
17 Kila nguzo ilikuwa na urefu wa dhiraa kumi na nane. Sehemu ya shaba juu ya nguzo moja ilikuwa na urefu wa dhiraa tatu na ilikuwa imepambwa kwa wavu na makomamanga ya shaba kuizunguka kote. Ile nguzo nyingine pamoja na wavu wake ilifanana na hiyo ya kwanza.
Osiemnaście łokci wysokości miała jedna kolumna, a głowica na niej była z brązu. Wysokość głowicy wynosiła trzy łokcie, a siatka i jabłka granatu naokoło głowicy – wszystko było z brązu. Tak samo było na siatce drugiej kolumny.
18 Yule jemadari wa askari walinzi akawachukua kama wafungwa Seraya kuhani mkuu, kuhani Sefania aliyefuata kwa cheo, na mabawabu watatu.
Dowódca gwardii zabrał też najwyższego kapłana Serajasza, drugiego kapłana Sofoniasza i trzech stróżów progu.
19 Miongoni mwa wale watu waliokuwa wamesalia katika mji, alimchukua afisa kiongozi wa wapiganaji, na washauri watano wa mfalme. Akamchukua pia mwandishi aliyesimamia uandikishaji wa watu wa nchi, pamoja na watu wake sitini waliopatikana ndani ya mji.
Z miasta zaś zabrał dworzanina, który był przełożonym nad wojownikami, pięciu spośród tych, którzy stawali przed królem, a znaleziono ich w mieście, naczelnego pisarza wojskowego dokonującego poboru ludu tej ziemi oraz sześćdziesięciu mężczyzn spośród ludu tej ziemi, których znaleziono w mieście.
20 Nebuzaradani jemadari akawachukua hao wote na kuwapeleka kwa mfalme wa Babeli huko Ribla.
Tych pojmał Nebuzaradan, dowódca gwardii, i zaprowadził do króla Babilonu do Ribla.
21 Huko Ribla, katika nchi ya Hamathi, mfalme wa Babeli akaamuru wanyongwe. Hivyo Yuda wakaenda utumwani, mbali na nchi yao.
I król Babilonu pobił ich, i uśmiercił w Ribla, w ziemi Chamat. Tak został uprowadzony Juda ze swojej ziemi.
22 Nebukadneza mfalme wa Babeli akamteua Gedalia mwana wa Ahikamu, mwana wa Shafani, awe msimamizi wa watu aliowaacha Yuda.
Nad ludem zaś, który jeszcze pozostał w ziemi Judy, a który Nabuchodonozor, król Babilonu, zostawił, ustanowił on Gedaliasza, syna Achikama, syna Szafana.
23 Maafisa wote wa jeshi na watu wao waliposikia kwamba mfalme wa Babeli amemteua Gedalia kuwa mtawala, wakamjia Gedalia huko Mispa. Hawa walikuwa Ishmaeli mwana wa Nethania, Yohanani mwana wa Karea, Seraya mwana wa Tanhumethi Mnetofathi, na Yezania mwana wa Mmaaka, pamoja na watu wao.
A gdy wszyscy dowódcy wojska usłyszeli, oni i ich ludzie, że król Babilonu ustanowił Gedaliasza namiestnikiem, przyszli do Gedaliasza do Mispy. Byli to: Izmael, syn Netaniasza, Jochanan, syn Kareacha, Serajasz, syn Tanchumeta Netofatyta, i Jaazaniasz, syn Maakatczyka, oni i ich ludzie.
24 Gedalia akaapa ili kuwatia moyo wao na watu wao. Akasema, “Msiwaogope maafisa wa Kikaldayo. Kaeni katika nchi na kumtumikia mfalme wa Babeli, na itakuwa vyema kwenu.”
Wtedy Gedaliasz przysiągł im i ich ludziom: Nie bójcie się służyć Chaldejczykom. Mieszkajcie w ziemi i służcie królowi Babilonu, a będzie wam dobrze.
25 Hata hivyo, katika mwezi wa saba Ishmaeli mwana wa Nethania mwana wa Elishama, aliyekuwa wa uzao wa mfalme, akaja pamoja na watu kumi, nao wakamuua Gedalia, na pia watu wa Yuda, pamoja na Wakaldayo waliokuwa naye huko Mispa.
Lecz w siódmym miesiącu przybył Izmael, syn Netaniasza, syna Eliszamy, z rodu królewskiego, a z nim dziesięciu ludzi, i pobili Gedaliasza, i umarł, a także Żydów i Chaldejczyków, którzy byli z nim w Mispie.
26 Baada ya haya, watu wote kuanzia aliye mdogo sana hadi aliye mkubwa kabisa, pamoja na maafisa wa jeshi, wakakimbilia Misri kwa kuwaogopa Wakaldayo.
Wówczas cały lud, od najmniejszego do największego, oraz dowódcy wojsk powstali i poszli do Egiptu, bo się bali Chaldejczyków.
27 Katika mwaka wa thelathini na saba tangu Yehoyakini mfalme wa Yuda apelekwe uhamishoni, katika mwaka ule ambao Evil-Merodaki alifanyika mfalme wa Babeli, alimwacha huru Yehoyakini kutoka gerezani siku ya ishirini na saba ya mwezi wa kumi na mbili.
A w trzydziestym siódmym roku uprowadzenia Joachina, króla Judy, dwunastego miesiąca dwudziestego siódmego [dnia] tego miesiąca, Ewil-Merodak, król Babilonu, w pierwszym roku jego panowania, ułaskawił Joachina, króla Judy, i [wypuścił go] z więzienia.
28 Alizungumza naye kwa upole na kumpa kiti cha heshima zaidi kuliko wale wafalme wengine aliokuwa nao huko Babeli.
Rozmawiał z nim łaskawie i wystawił jego tron ponad tron innych królów, którzy [byli] z nim w Babilonie.
29 Hivyo Yehoyakini akayavua mavazi yake ya mfungwa, na siku zote za maisha yake zilizobaki alikula mezani mwa mfalme.
Zdjął też jego szaty więzienne i jadł chleb zawsze w jego obecności przez wszystkie dni swego życia.
30 Siku kwa siku mfalme alimpa Yehoyakini posho siku zote za maisha yake.
Codziennie otrzymywał od króla stałe utrzymanie, przez wszystkie dni swego życia.

< 2 Wafalme 25 >