< 2 Wafalme 24 >

1 Wakati wa utawala wa Yehoyakimu, Nebukadneza mfalme wa Babeli aliishambulia nchi, naye Yehoyakimu akawa mtumwa wake kwa miaka mitatu. Lakini hatimaye akabadili mawazo yake na kuasi dhidi ya Nebukadneza.
Kadagiti al-aldaw ni Jehoyakim, rinaut ni Nebucadnesar nga ari ti Babilonia ti Juda; tallo a tawen a nagbalin ni Jehoyakim nga adipenna. Kalpasanna, timmallikod ni Jehoyakim ket bimmusor kenni Nebucadnesar.
2 Bwana akatuma wavamiaji wa Wakaldayo, Waaramu, Wamoabu na Waamoni ili kumshambulia. Aliwatuma kuiangamiza Yuda sawasawa na neno la Bwana lililosemwa na watumishi wake manabii.
Nangibaon ni Yahweh iti bungggoy dagiti Caldeo, Arameo, Moabita ken Ammonita a bumusor kenni Jehoyakim, imbaonna ida a mangdadael iti Juda. Daytoy ket segun iti sao ni Yahweh a naibaga babaen kadagiti adipenna a profeta.
3 Hakika mambo haya yalitokea Yuda kulingana na agizo la Bwana, ili kuwaondoa kutoka machoni pake kwa sababu ya dhambi za Manase na yote aliyoyafanya,
Pudno nga imbilin ni Yahweh a dumteng daytoy iti Juda, tapno pukawenna ida iti imatangna, gapu kadagiti basbasol ni Manases, amin nga inaramidna,
4 ikiwa ni pamoja na kumwaga damu isiyo na hatia. Kwa kuwa aliijaza Yerusalemu kwa damu isiyo na hatia, naye Bwana hakuwa radhi kusamehe.
kasta met a gapu ta pinagsayasayna ti dara dagiti awan basolna, ta pinunnona ti Jerusalem iti dara dagiti awan basolna a tattao. Saan a kayat ni Yahweh a pakawanen dayta.
5 Matukio mengine ya utawala wa Yehoyakimu na yote aliyoyafanya, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Yuda?
No maipanggep met kadagiti dadduma a banbanag maipapan kenni Jehoyakim, ken kadagiti amin nga inaramidna, saan kadi a naisurat dagitoy iti Libro dagiti Pakasaritaan dagiti Ari ti Juda?
6 Yehoyakimu akalala pamoja na baba zake. Naye Yehoyakini mwanawe akawa mfalme baada yake.
Pimmusay ni Jehoyakim ket ni Jehoyakin nga anakna ti simmukat kenkuana a kas ari.
7 Mfalme wa Misri hakutoka tena katika nchi yake, kwa sababu mfalme wa Babeli alikuwa ameitwaa himaya yake yote, kuanzia Kijito cha Misri hadi Mto Frati.
Saanen a rimmaut pay ti ari ti Egipto manipud iti dagana, gapu ta sinakup ti ari iti Babilonia dagiti amin a daga a tinengngel ti ari ti Egipto, manipud iti waig ti Egipto agingga iti Karayan Eufrates.
8 Yehoyakini alikuwa na miaka kumi na minane alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu miezi mitatu. Jina la mama yake aliitwa Nehushta binti Elnathani kutoka Yerusalemu.
Sangapulo ket walo ti tawen ni Jehoyakin idi nangrugi isuna a nagturay, nagturay isuna iti Jerusalem iti tallo a bulan. Nehusta ti nagan ti inana, nga anak ni Elnatan a taga-Jerusalem.
9 Akafanya maovu machoni pa Bwana, kama vile baba yake alivyokuwa amefanya.
Dakes ti inaramidna iti imatang ni Yahweh—inaramidna dagiti amin nga inaramid ti amana.
10 Wakati huo, maafisa wa Nebukadneza mfalme wa Babeli walikuja ili kuishambulia Yerusalemu, nao wakaizunguka kwa jeshi.
Iti dayta a tiempo, rinaut ti armada ni Nebucadnesar nga ari iti Babilonia ti Jerusalem ket pinalawlawanda ti siudad.
11 Nebukadneza mwenyewe akaupandia mji wakati maafisa wake walipokuwa wameuzunguka kwa jeshi.
Napan ni Nebucadnesar nga ari iti Babilonia iti siudad kabayatan a palpalawlawan dagiti soldadona daytoy,
12 Yehoyakini mfalme wa Yuda, mama yake, wahudumu wake, wakuu na maafisa wake wote wakajisalimisha kwa Nebukadneza. Katika mwaka wa nane wa utawala wa mfalme wa Babeli, akamchukua Yehoyakini kuwa mfungwa.
ket napan da Jehoyakin nga ari ti Juda, ti inana, dagiti adipenna, dagiti prinsipena ken dagiti opisialna iti ayan ti ari ti Babilonia. Tiniliw isuna ti ari ti Babilonia iti maikawalo a tawen a panagturayna.
13 Kama vile Bwana alivyokuwa amesema, Nebukadneza akaondoa hazina yote kutoka Hekalu la Bwana na kutoka jumba la mfalme, akavichukua vyombo vyote vya dhahabu ambavyo Solomoni mfalme wa Israeli alikuwa amevitengeneza kwa ajili ya Hekalu la Bwana.
Innala amin ni Nebucadnesar dagiti napapateg a banbanag iti balay ni Yahweh, kasta met dagiti adda iti palasio ti ari. Binurakna amin dagiti nabalitokan nga alikamen nga inaramid ni Solomon nga ari ti Israel iti templo ni Yahweh, kas iti imbaga ni Yahweh a mapasamak.
14 Akawachukua watu wa Yerusalemu wote kwenda uhamishoni: yaani maafisa wote na mashujaa, watu wenye ustadi na ufundi, jumla yao watu elfu kumi. Watu maskini sana ndio tu waliobaki katika nchi.
Impanawna amin a taga-Jerusalem, amin dagiti pangulo ken dagiti amin a mannakigubat a lallaki, sangapulo a ribo a balud ken dagiti amin a karpintero ken dagiti mammanday. Awan a pulos ti nabati malaksid kadagiti kapapanglawan a tattao iti daga.
15 Nebukadneza akamchukua mateka Yehoyakini hadi Babeli. Pia akawachukua utumwani kutoka Yerusalemu hadi Babeli mama yake mfalme, wake zake, maafisa wake, na viongozi wote wa nchi.
Impan ni Nebucadnesar ni Jehoyakin idiay Babilonia, kasta met ti ina ti ari, dagiti assawana, dagiti opisialna ken dagiti pangulo a lallaki ti daga. Impanawna ida manipud Jerusalem nga agturong idiay Babilonia.
16 Mfalme wa Babeli pia akawahamishia Babeli mashujaa elfu saba, wenye nguvu na wanaofaa kupigana vita, na watu wenye ustadi na mafundi elfu moja.
Amin dagiti mannakigubat a lallaki, pito a ribo ti bilangda ken sangaribo a karpintero ken mammanday, aminda ket mabalin a makigubat—impan ti ari ti Babilonia amin dagitoy a lallaki idiay Babilonia.
17 Akamfanya Matania, ndugu wa baba yake Yehoyakini, kuwa mfalme mahali pake, na akalibadilisha jina lake kuwa Sedekia.
Pinagbalin ti ari ti Babilonia ni Matanias nga ari, a kabsat ti ama ni Jehoyakin, kas simmukat kenkuana nga ari ken sinukatanna iti Zedekias ti naganna.
18 Sedekia alikuwa na umri wa miaka ishirini na mmoja alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu miaka kumi na mmoja. Jina la mama yake aliitwa Hamutali binti Yeremia, kutoka Libna.
Duapulo ket maysa ti tawen ni Zedekias idi nangrugi isuna a nagturay, nagturay isuna iti sangapulo ket maysa a tawen idiay Jerusalem. Hamutal ti nagan ti inana, nga anak ni Jeremias a taga-Libna.
19 Alifanya maovu machoni pa Bwana, kama alivyofanya Yehoyakimu.
Dakes ti inaramidna iti imatang ni Yahweh—inaramidna dagiti amin nga inaramid ni Jehoyakim.
20 Ilikuwa ni kwa sababu ya hasira ya Bwana haya yote yalitokea Yerusalemu na Yuda, naye mwishoni akawaondoa mbele zake. Basi, Sedekia akaasi dhidi ya mfalme wa Babeli.
Gapu iti pungtot ni Yahweh, napasamak amin dagitoy a pagteng idiay Jerusalem ken Juda, agingga a pinapanawna ida iti imatangna. Kalpasanna, bimmusor ni Zedekiasiti ari ti Babilonia.

< 2 Wafalme 24 >