< 2 Wafalme 22 >

1 Yosia alikuwa na miaka minane alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu miaka thelathini na mmoja. Mama yake aliitwa Yedida binti Adaya, kutoka Boskathi.
Walo ti tawen ni Josias idi nangrugi isuna a nagturay, tallo pulo ket maysa a tawen a nagturay isuna idiay Jerusalem. Jedida ti nagan ti inana (anak a babai isuna ni Adaias a taga-Bozkat).
2 Akafanya yaliyo mema machoni pa Bwana na kuenenda katika njia zote za Daudi baba yake. Hakugeuka upande wa kuume wala wa kushoto.
Inaramidna ti nasayaat iti imatang ni Yahweh. Simmurot isuna kadagiti amin a wagas nga inaramid ni David a kapuonanna, ket saan isuna a simmiasi, agpakannawan man wenno agpakannigid.
3 Katika mwaka wa kumi na nane wa utawala wake, Mfalme Yosia akamtuma mwandishi Shafani mwana wa Azalia, mwana wa Meshulamu, kwenda katika Hekalu la Bwana. Akasema:
Ket napasamak nga idi maikasangapulo ket walo a tawen a panagturay ni Ari Josias, imbaonna ni Safan nga eskriba nga anak ni Azalia nga anak ni Mesullam iti balay ni Yahweh, kinunana,
4 “Panda uende kwa Hilkia, kuhani mkuu, umwambie ahesabu zile fedha ambazo zimeletwa katika Hekalu la Bwana, ambazo mabawabu wamekusanya kutoka kwa watu.
“Sumang-atka iti ayan ni Hilkias a kangatoan a padi ket ibagam kenkuana a bilangenna ti kuarta a naiyeg iti balay ni Yahweh, a naurnong dagiti guardia manipud kadagiti tattao.
5 Waambie waikabidhi kwa watu walioteuliwa kusimamia kazi ya Hekalu. Waamuru watu hawa wawalipe wafanyakazi ambao wanakarabati Hekalu la Bwana:
Ipaitulodmo dagitoy kadakuada kadagiti trabahador a mangimatmaton iti balay ni Yahweh, ken itedda dagitoy kadagiti trabahador nga adda iti balay ni Yahweh para iti pannakatarimaan dagiti nadadael idiay templo.
6 wale maseremala, wajenzi na waashi. Waambie pia wanunue mbao na mawe yaliyochongwa ili kukarabati Hekalu.
Itedda ti kuarta kadagiti karpintero, dagiti agpatpatakder, ken kadagiti agkabkabiti, kasta pay a paggatangda iti troso ken bato a pangtarimaanda iti templo.”
7 Lakini hawahitajiki kutoa hesabu ya fedha walizokabidhiwa, kwa sababu wanafanya kwa uaminifu.”
Ngem saandan a sinapul ti listaan para iti kuarta a naited kadakuada gapu ta mapagtalkanda a nangaramat iti kuarta.
8 Hilkia kuhani mkuu akamwambia Shafani mwandishi, “Nimekipata Kitabu cha Sheria ndani ya Hekalu la Bwana.” Akampa Shafani, ambaye alikisoma.
Kinuna ni Hilkias a kangatoan a padi kenni Safan nga eskriba, “Nasarakak ti Libro ti Linteg iti balay ni Yahweh.” Isu nga inted ni Hilkias ti Libro kenni Safan, ket binasana daytoy.
9 Kisha Shafani mwandishi akamwendea mfalme na kumpa taarifa akisema: “Maafisa wako wametoa ile fedha ambayo ilikuwa ndani ya Hekalu la Bwana na imekabidhiwa mikononi mwa wasimamizi wa marekebisho ya Hekalu.”
Impan ni Safan ti libro iti ari ket impakaammona met kenkuana, kinunana, “Inusar dagiti adipenmo ti kuarta a naala iti templo ket naited daytoy kadagiti mangimatmaton iti balay ni Yahweh.”
10 Ndipo Shafani mwandishi akampasha mfalme habari kwamba: “Hilkia kuhani amenipa kitabu hiki.” Naye Shafani akakisoma kile kitabu mbele ya mfalme.
Ket kinuna ni Safan nga eskriba iti ari, “Adda inted ni Hilkias a padi kaniak a maysa a libro.” Ket binasa daytoy ni Safan iti ari.
11 Mfalme aliposikia maneno ya kile Kitabu cha Sheria, akararua mavazi yake.
Ket napasamak nga idi nangngeg ti ari dagiti linaon ti linteg, rinay-abna ti pagan-anayna.
12 Akatoa maagizo haya kwa Hilkia kuhani, Ahikamu mwana wa Shafani, Akbori mwana wa Mikaya, Shafani mwandishi, na Asaya mtumishi wa mfalme:
Imbaon ti ari da Hilkias a padi, ni Ahikam nga anak ni Safan, ni Akbor nga anak ni Macaias, ni Safan nga eskriba ken ni Asaias nga adipenna, kunana,
13 “Nendeni mkamuulize Bwana kwa ajili yangu, na kwa ajili ya watu na Yuda wote kuhusu yale yaliyoandikwa ndani ya kitabu hiki ambacho kimepatikana. Hasira ya Bwana ni kubwa inayowaka dhidi yetu kwa sababu baba zetu hawakuyatii maneno ya kitabu hiki. Hawajatenda kulingana na yale yote yaliyoandikwa humo kutuhusu sisi.”
“Mapankayo makiuman kenni Yahweh para kaniak, para kadagiti amin a tattao ken para iti entero a Juda, gapu kadagiti linaon daytoy a libro a nasarakan. Ta napalalo unay ti pungtot ni Yahweh ket narubruban maibusor kadatayo. Napalalo unay daytoy gapu ta saan nga impangag dagiti kapuonantayo dagiti linaon daytoy a libro a tungpalentayo koma dagiti naisurat maipapan kadatayo.”
14 Hilkia kuhani, Ahikamu, Akbori, Shafani na Asaya wakaenda kuongea na nabii mke Hulda, ambaye alikuwa mke wa Shalumu mwana wa Tikwa, mwana wa Harhasi mtunzaji wa chumba cha mavazi. Hulda aliishi Yerusalemu katika Mtaa wa Pili.
Isu a napan da Hilkias a padi, Ahikam, Akbor, Safan ken Asaias kenni Hulda a maysa a babai a profeta, nga asawa ni Sallum nga anak ni Tikva nga anak ni Harhas, a mangay-aywan iti pagiduldulinan kadagiti pagan-anay (ni Hulda ket nagnaed iti maikaddua a paset ti Jerusalem) ket nakitungtongda kenkuana.
15 Akawaambia, “Hivi ndivyo asemavyo Bwana, Mungu wa Israeli: Mwambieni yule mtu aliyewatuma ninyi kwangu,
Kinunana kadakuada, “Daytoy ti kuna ni Yahweh a Dios ti Israel: Ibagayo iti tao a nangibaon kadakayo nga umay kaniak,
16 ‘Hivi ndivyo asemavyo Bwana: Nitaleta maafa juu ya mahali hapa na watu wake, kulingana na kila kitu kilichoandikwa katika kitabu hicho mfalme wa Yuda alichosoma.
“Daytoy ti kuna ni Yahweh: “Kitaem, mangiyegak iti didigra iti daytoy a lugar ken kadagiti agnanaed ditoy, amin a linaon ti libro a binasa ti ari ti Juda.
17 Kwa sababu wameniacha mimi na kufukiza uvumba kwa miungu mingine, na kunighadhibisha kwa sanamu zote zilizotengenezwa kwa mikono yao, hasira yangu itawaka dhidi ya mahali hapa, wala haitatulizwa.’
Gapu ta linipatdak ken nagipuorkayo iti insenso a maipaay kadagiti didiosen, tapno pagpungtotendak kadagiti amin nga inaramidda—ngarud narubruban ti pungtotko iti daytoy a lugar, ket saanto daytoy a maiddep.'”
18 Mwambieni mfalme wa Yuda, ambaye amewatuma kumuuliza Bwana, ‘Hivi ndivyo asemavyo Bwana, Mungu wa Israeli, kuhusu maneno uliyoyasikia:
Ngem iti ari ti Juda a nangibaon kadakayo a mangdamag iti pagayatan ni Yahweh, daytoy ti ibagayo kenkuana: 'Daytoy ti kuna ni Yahweh a Dios ti Israel: Maipapan iti nangngegam a linaon ti libro:
19 Kwa kuwa moyo wako ulikuwa msikivu na ulijinyenyekeza mbele za Bwana uliposikia kile nilichosema dhidi ya mahali hapa na watu wake, kwamba wangelaaniwa na kuachwa ukiwa, basi kwa sababu uliyararua mavazi yako na kulia mbele zangu, nimekusikia, asema Bwana.
'gapu ta nalukneng ti pusom ken gapu ta nagpakumbabaka iti sangoanan ni Yahweh, idi nangngegmo ti imbagak maibusor iti daytoy a lugar ken kadagiti agnanaed ditoy, a mabaybay-an ken mailunoddanto, gapu ta rinay-abmo ti pagan-anaymo ken nagsangitka iti sangoanak, dimngegak met kenka' — daytoy ti pakaammo ni Yahweh.
20 Kwa hiyo nitakukusanya kwa baba zako, nawe utazikwa kwa amani. Macho yako hayataona maafa yote nitakayoleta juu ya mahali hapa.’” Basi wakapeleka jibu lake kwa mfalme.
Kitaem, itiponkanto iti ayan dagiti kapuonam, maitabonkanto a sitatalna iti tanemmo, ket saanto a maimatangan dagiti matam ti didigra nga iyegko iti daytoy a lugar ken kadagiti agnanaed ditoy.'” Isu nga indanon dagiti lallaki daytoy a mensahe iti ari.

< 2 Wafalme 22 >