< 2 Wafalme 22 >
1 Yosia alikuwa na miaka minane alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu miaka thelathini na mmoja. Mama yake aliitwa Yedida binti Adaya, kutoka Boskathi.
son: aged eight year Josiah in/on/with to reign he and thirty and one year to reign in/on/with Jerusalem and name mother his Jedidah daughter Adaiah from Bozkath
2 Akafanya yaliyo mema machoni pa Bwana na kuenenda katika njia zote za Daudi baba yake. Hakugeuka upande wa kuume wala wa kushoto.
and to make: do [the] upright in/on/with eye: appearance LORD and to go: walk in/on/with all way: conduct David father his and not to turn aside: turn aside right and left
3 Katika mwaka wa kumi na nane wa utawala wake, Mfalme Yosia akamtuma mwandishi Shafani mwana wa Azalia, mwana wa Meshulamu, kwenda katika Hekalu la Bwana. Akasema:
and to be in/on/with eight ten year to/for king Josiah to send: depart [the] king [obj] Shaphan son: child Azaliah son: child Meshullam [the] secretary house: temple LORD to/for to say
4 “Panda uende kwa Hilkia, kuhani mkuu, umwambie ahesabu zile fedha ambazo zimeletwa katika Hekalu la Bwana, ambazo mabawabu wamekusanya kutoka kwa watu.
to ascend: rise to(wards) Hilkiah [the] priest [the] great: large and to finish [obj] [the] silver: money [the] to come (in): bring house: temple LORD which to gather to keep: guard [the] threshold from with [the] people
5 Waambie waikabidhi kwa watu walioteuliwa kusimamia kazi ya Hekalu. Waamuru watu hawa wawalipe wafanyakazi ambao wanakarabati Hekalu la Bwana:
(and to give: give him *Q(k)*) upon hand to make: [do] [the] work [the] to reckon: overseer (house: home *Q(K)*) LORD and to give: give [obj] him to/for to make: [do] [the] work which in/on/with house: temple LORD to/for to strengthen: strengthen breach [the] house: home
6 wale maseremala, wajenzi na waashi. Waambie pia wanunue mbao na mawe yaliyochongwa ili kukarabati Hekalu.
to/for artificer and to/for to build and to/for to wall up/off and to/for to buy tree: wood and stone hewing to/for to strengthen: strengthen [obj] [the] house: home
7 Lakini hawahitajiki kutoa hesabu ya fedha walizokabidhiwa, kwa sababu wanafanya kwa uaminifu.”
surely not to devise: count with them [the] silver: money [the] to give: give upon hand their for in/on/with faithfulness they(masc.) to make: do
8 Hilkia kuhani mkuu akamwambia Shafani mwandishi, “Nimekipata Kitabu cha Sheria ndani ya Hekalu la Bwana.” Akampa Shafani, ambaye alikisoma.
and to say Hilkiah [the] priest [the] great: large upon Shaphan [the] secretary scroll: book [the] instruction to find in/on/with house: temple LORD and to give: give Hilkiah [obj] [the] scroll: book to(wards) Shaphan and to call: read out him
9 Kisha Shafani mwandishi akamwendea mfalme na kumpa taarifa akisema: “Maafisa wako wametoa ile fedha ambayo ilikuwa ndani ya Hekalu la Bwana na imekabidhiwa mikononi mwa wasimamizi wa marekebisho ya Hekalu.”
and to come (in): come Shaphan [the] secretary to(wards) [the] king and to return: reply [obj] [the] king word and to say to pour servant/slave your [obj] [the] silver: money [the] to find in/on/with house: home and to give: give him upon hand to make: [do] [the] work [the] to reckon: overseer house: temple LORD
10 Ndipo Shafani mwandishi akampasha mfalme habari kwamba: “Hilkia kuhani amenipa kitabu hiki.” Naye Shafani akakisoma kile kitabu mbele ya mfalme.
and to tell Shaphan [the] secretary to/for king to/for to say scroll: book to give: give to/for me Hilkiah [the] priest and to call: read out him Shaphan to/for face: before [the] king
11 Mfalme aliposikia maneno ya kile Kitabu cha Sheria, akararua mavazi yake.
and to be like/as to hear: hear [the] king [obj] word scroll: book [the] instruction and to tear [obj] garment his
12 Akatoa maagizo haya kwa Hilkia kuhani, Ahikamu mwana wa Shafani, Akbori mwana wa Mikaya, Shafani mwandishi, na Asaya mtumishi wa mfalme:
and to command [the] king [obj] Hilkiah [the] priest and [obj] Ahikam son: child Shaphan and [obj] Achbor son: child Micaiah and [obj] Shaphan [the] secretary and [obj] Asaiah servant/slave [the] king to/for to say
13 “Nendeni mkamuulize Bwana kwa ajili yangu, na kwa ajili ya watu na Yuda wote kuhusu yale yaliyoandikwa ndani ya kitabu hiki ambacho kimepatikana. Hasira ya Bwana ni kubwa inayowaka dhidi yetu kwa sababu baba zetu hawakuyatii maneno ya kitabu hiki. Hawajatenda kulingana na yale yote yaliyoandikwa humo kutuhusu sisi.”
to go: went to seek [obj] LORD about/through/for me and about/through/for [the] people and about/through/for all Judah upon word [the] scroll: book [the] to find [the] this for great: large rage LORD which he/she/it to kindle in/on/with us upon which not to hear: obey father our upon word [the] scroll: book [the] this to/for to make: do like/as all [the] to write upon us
14 Hilkia kuhani, Ahikamu, Akbori, Shafani na Asaya wakaenda kuongea na nabii mke Hulda, ambaye alikuwa mke wa Shalumu mwana wa Tikwa, mwana wa Harhasi mtunzaji wa chumba cha mavazi. Hulda aliishi Yerusalemu katika Mtaa wa Pili.
and to go: went Hilkiah [the] priest and Ahikam and Achbor and Shaphan and Asaiah to(wards) Huldah [the] prophetess woman: wife Shallum son: child Tikvah son: child Harhas to keep: guard [the] garment and he/she/it to dwell in/on/with Jerusalem in/on/with Second [Quarter] and to speak: speak to(wards) her
15 Akawaambia, “Hivi ndivyo asemavyo Bwana, Mungu wa Israeli: Mwambieni yule mtu aliyewatuma ninyi kwangu,
and to say to(wards) them thus to say LORD God Israel to say to/for man which to send: depart [obj] you to(wards) me
16 ‘Hivi ndivyo asemavyo Bwana: Nitaleta maafa juu ya mahali hapa na watu wake, kulingana na kila kitu kilichoandikwa katika kitabu hicho mfalme wa Yuda alichosoma.
thus to say LORD look! I to come (in): bring distress: harm to(wards) [the] place [the] this and upon to dwell his [obj] all word [the] scroll: book which to call: read out king Judah
17 Kwa sababu wameniacha mimi na kufukiza uvumba kwa miungu mingine, na kunighadhibisha kwa sanamu zote zilizotengenezwa kwa mikono yao, hasira yangu itawaka dhidi ya mahali hapa, wala haitatulizwa.’
underneath: because of which to leave: forsake me and to offer: offer to/for God another because to provoke me in/on/with all deed: work hand their and to kindle rage my in/on/with place [the] this and not to quench
18 Mwambieni mfalme wa Yuda, ambaye amewatuma kumuuliza Bwana, ‘Hivi ndivyo asemavyo Bwana, Mungu wa Israeli, kuhusu maneno uliyoyasikia:
and to(wards) king Judah [the] to send: depart [obj] you to/for to seek [obj] LORD thus to say to(wards) him thus to say LORD God Israel [the] word which to hear: hear
19 Kwa kuwa moyo wako ulikuwa msikivu na ulijinyenyekeza mbele za Bwana uliposikia kile nilichosema dhidi ya mahali hapa na watu wake, kwamba wangelaaniwa na kuachwa ukiwa, basi kwa sababu uliyararua mavazi yako na kulia mbele zangu, nimekusikia, asema Bwana.
because be tender heart your and be humble from face: before LORD in/on/with to hear: hear you which to speak: speak upon [the] place [the] this and upon to dwell his to/for to be to/for horror: destroyed and to/for curse and to tear [obj] garment your and to weep to/for face: before my and also I to hear: hear utterance LORD
20 Kwa hiyo nitakukusanya kwa baba zako, nawe utazikwa kwa amani. Macho yako hayataona maafa yote nitakayoleta juu ya mahali hapa.’” Basi wakapeleka jibu lake kwa mfalme.
to/for so look! I to gather you upon father your and to gather to(wards) grave your in/on/with peace and not to see: see eye your in/on/with all [the] distress: harm which I to come (in): bring upon [the] place [the] this and to return: return [obj] [the] king word