< 2 Wafalme 20 >

1 Katika siku hizo, Hezekia akaugua, naye akawa karibu kufa. Nabii Isaya mwana wa Amozi akaenda kwake na kumwambia, “Hili ndilo asemalo Bwana: Tengeneza mambo ya nyumba yako, kwa sababu utakufa, hutapona.”
Amogalu, hina bagade Hesegaia da olo madelale, gadenenewane bogoi. Balofede dunu Aisaia (A: imose egefe) da e ba: la asili, ema amane sia: i, “Hina Gode da amane sia: sa, ‘Dia liligi huluane noga: le momagema. Bai di da hame uhimu. Di bogomuba: le momagema!’”
2 Hezekia akaelekeza uso wake ukutani, akamwomba Bwana:
Hesegaia da delegili, dobea feiya ba: le ganone, amane sia: ne gadoi,
3 “Ee Bwana, kumbuka jinsi nilivyoenenda mbele zako kwa uaminifu na kujitoa kwa moyo wangu wote, na kufanya yaliyo mema machoni pako.” Naye Hezekia akalia kwa uchungu.
“Hina Gode! Dia na bu dawa: ma! Na da mae fisili, Dia hawa: molole hamonanu. Na da Dia hanai amo noga: le hamomusa: dawa: i galu.” Amalalu, e da muni ha: giwane dinanu.
4 Kabla Isaya hajaondoka katika ua wa kati, neno la Bwana likamjia, akaambiwa:
Aisaia da hina bagade yolesi. Be e da ahoanoba, hina bagade diasu dogoa gagoi mae baligili, Hina Gode da ema sinidigima: ne sia: i.
5 “Rudi ukamwambie Hezekia, kiongozi wa watu wangu, ‘Hili ndilo asemalo Bwana, Mungu wa baba yako Daudi: Nimeyasikia maombi yako na nimeona machozi yako; nitakuponya. Siku ya tatu kuanzia sasa utapanda kwenda Hekalu la Bwana.
Hina Gode da Aisaiama amane sia: i, “Na fi ouligisu dunu Hesegaia, ema buhagili, Na sia: ema amane sia: sima, ‘Na, Hina Gode, dia siba aowa Da: ibidi ea Gode, Na da dia sia: ne gadosu nabi amola dia dibi si hano ba: i dagoi. Na da di uhinisimu, amola eso udiana da asili, di da Debolo diasuga masunu.
6 Nitakuongezea miaka kumi na mitano katika maisha yako. Nami nitakuokoa wewe pamoja na mji huu mkononi mwa mfalme wa Ashuru. Nitaulinda mji huu kwa ajili yangu, na kwa ajili ya mtumishi wangu Daudi!’”
Na da di ode 15eno esaloma: ne, logo doasimu. Na da Asilia hina bagade amo di amola Yelusaleme fi amo mae hasalasima: ne hamomu. Na da Yelusaleme gaga: mu. Bai Na da osobo bagade dunu da Nama nodomu Na hanai, amola Na da musa: Na hawa: hamosu dunu Da: ibidima dafawane ilegele sia: i.”
7 Kisha Isaya akasema, “Tengenezeni dawa ya kubandika ya tini.” Wakafanya hivyo na kuiweka kwenye jipu, naye akapona.
Amalalu, Aisaia da hina bagade ea ouligisu dunu ilima, ilia da figi fage daga: i, amo ea dului da: iya legema: ne sia: i. Amalalu, e da uhi dagoi ba: mu, e sia: i.
8 Hezekia alikuwa amemuuliza Isaya, “Kutakuwa na ishara gani kwamba Bwana ataniponya mimi, na kwamba nitapanda kwenda Hekalu la Bwana siku ya tatu tangu leo?”
Hina bagade Hesegaia da amane sia: i, “Na da Hina Gode da na uhini, eso udiana asili na da Debolo diasuga masunu, amo na da dafawaneyale dawa: ma: ne, dawa: digima: ne olelesu nama olelema.”
9 Isaya akajibu, “Hii ndiyo ishara ya Bwana kwako kwamba Bwana atafanya kile alichoahidi: Je, kivuli kiende hatua kumi mbele, au kivuli kirudi nyuma hatua kumi?”
Aisaia da bu adole i, “Hina Gode da di Ea ilegele sia: i amo dafawaneyale dawa: ma: ne, dima dawa: digima: ne olelesu imunu. Di da adi hanabela: ? Baba da fa: gu da: iya eso ba: su amoga fa: gu bululufai nabuane bobaligila gusu masa: bela: ? o fa: gu bubulufai nabuane amo bobaligila guma: masa: bela: ?”
10 Hezekia akasema, “Ni jambo rahisi kwa kivuli kutangulia mbele hatua kumi, kuliko kukifanya kirudi nyuma hatua kumi.”
Hesegaia da bu adole i, “Baba da fa: gu bubulufai nabuane amo bobaligila gusu masunu da asaboi fawane. Di da amo bu bobaligila guma: masa: ne hamoma!”
11 Ndipo nabii Isaya akamwita Bwana, naye Bwana akakifanya kivuli kurudi nyuma hatua kumi ambazo kilikuwa kimeshuka kwenye ngazi ya Ahazi.
Aisaia da Hina Godema sia: ne gadobeba: le, Hina Gode da hina bagade A: ihase ea hahamoi fa: gu ea baba amo da bubulufai nabuane gala, amo bobaligila bu guma: buhagima: ne hamoi dagoi.
12 Wakati huo Merodaki-Baladani, mwana wa Baladani mfalme wa Babeli, akamtumia Hezekia barua na zawadi, kwa sababu alikuwa amesikia habari za kuugua kwa Hezekia.
Amogalu agoane, Ba: bilone hina bagade Milouda: ge Ba: lada: ne (Ba: lada: ne egefe) da hina bagade Hesegaia ea oloi nababeba: le, ema meloa dedene amola hahawane iasu liligi ema iasi.
13 Hezekia akawapokea wale wajumbe na kuwaonyesha vitu vyote vile vilivyokuwa katika ghala zake: yaani fedha, dhahabu, vikolezo na mafuta safi, ghala la silaha na kila kitu kilichokuwa katika hazina zake. Hapakuwa na kitu chochote katika jumba lake la kifalme au katika ufalme wake wote ambacho Hezekia hakuwaonyesha.
Hesegaia da sia: adola ahoasu dunu ili hahawane yosia: le, ea gagui liligi huluane ilima olelei. E da ea silifa amola gouli, ea ha: i fodole nasu amola gabusiga: manoma amola ea dadi gagui wa: i ilia gegesu liligi huluanedafa ea ouligibi soge amo ganodini amola liligi ligisisu diasu huluane amo ganodini modaligi, amo ilima olelei.
14 Ndipo nabii Isaya akaenda kwa Mfalme Hezekia na kumuuliza, “Watu hao walisema nini, na wametoka wapi?” Hezekia akamjibu, “Wametoka nchi ya mbali. Walikuja kutoka Babeli.”
Amalalu, balofede dunu Aisaia da hina bagade Hesegaiama asili, amane adole ba: i, “Amo dunu da habidili misibala: ? Amola ilia da dima adi sia: bela: ?” Hesegaia da bu adole i, “Ilia da soge sedagaga misi. Ilia da Ba: bilone sogega ninima misi.”
15 Nabii akauliza, “Waliona nini katika jumba lako la kifalme?” Hezekia akajibu, “Waliona kila kitu katika jumba langu la kifalme. Hakuna kitu chochote katika hazina yangu ambacho sikuwaonyesha.”
Aisaia da amane adole ba: i, “Ilia da hina bagade diasu ganodini, adi liligi ba: bela: ?” Hesegaia da ema bu adole i, “Ilia da liligi huluanedafa ba: i dagoi. Liligi huluanedafa, liligi ligisisu sesei ganodini dialebe, amo na da ilima olelei.”
16 Ndipo Isaya akamwambia Hezekia, “Sikia neno la Bwana:
Amalalu, Aisaia da hina bagadema amane sia: i, “Hina Gode Bagadedafa da amane sia: sa,
17 Hakika wakati unakuja ambapo vitu vyote katika jumba lako la kifalme, na vyote ambavyo baba zako waliweka akiba mpaka siku hii, vitachukuliwa kwenda Babeli. Hakuna chochote kitakachosalia, asema Bwana.
‘Eso da doaga: mu, amoga liligi huluanedafa dia hina bagade diasu ganodini diala, amo liligi huluane dia siba aowa ilia ligisisi, amo huluanedafa Ba: bilone sogega gaguli asi dagoi ba: mu. Liligi guiguda: dialebe afae hame ba: mu.
18 Nao baadhi ya wazao wako, nyama yako na damu yako mwenyewe watakaozaliwa kwako, watachukuliwa mbali, nao watakuwa matowashi katika jumba la mfalme wa Babeli.”
Dia fidafa amoga fifi misi dunu mogili da mugululi gaguli asi ba: mu. Ili da gulusu danane, udigili hawa: hamosu dunu Ba: bilone hina bagade ea diasu ganodini hamonanebe ba: mu.”
19 Hezekia akamjibu Isaya, “Neno la Bwana ulilosema ni jema.” Kwa kuwa alifikiri, “Lakini si patakuwa na amani na usalama wakati wa uhai wangu?”
Hina bagade Hesegaia da amo sia: nababeba: le, e da esaleawane, olofosu amola gaga: su fawane ba: mu, amo dawa: i. Amaiba: le, e da amane adole i, “Defea! Hina Gode Ea sia: adosi di nama i, amo da noga: i!”
20 Matukio mengine ya utawala wa Hezekia, mafanikio yake yote, na jinsi alivyotengeneza bwawa na mfereji ambao ulileta maji katika mji, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Yuda?
Hina bagade Hesegaia ea hamonanu eno huluane, ea nimi gesa: i hawa: hamosu, amola e da hano dialoma: ne hihiga: i amola osoboha logo amola moilai ganodini hano yogo sa: ima: ne gagui, amo huluane da “Yuda hina bagade Ilia Hamonanu Meloa” amo ganodini dedene legei.
21 Hezekia akafa, akazikwa pamoja na baba zake. Naye Manase mwanawe akawa mfalme baada yake.
Hesegaia da bogoi, amola egefe Ma: na: se da e bagia Yuda hina bagade hamoi.

< 2 Wafalme 20 >