< 2 Wafalme 17 >
1 Katika mwaka wa kumi na mbili wa utawala wa Ahazi mfalme wa Yuda, Hoshea mwana wa Ela akawa mfalme wa Israeli katika Samaria, akatawala kwa miaka tisa.
Yuda hina bagade A: iha: se ea ouligibi ode fagoyale amoga, Housia (Ila egefe) da Isala: ili hina bagade hamoi. E da Samelia moilai bai bagadega esala, ode sesegeyale agoane Isala: ili fi ouligilalu.
2 Akafanya maovu machoni pa Bwana, lakini si kama wafalme wengine wa Israeli waliomtangulia.
E da Hina Godema wadela: i hou hamoi. Be hina bagade ilia da musa: bisili Isala: ili ouligilalu, amo ilia wadela: i hou defele amai hame.
3 Mfalme Shalmanesa wa Ashuru akainuka dhidi ya Mfalme Hoshea, ambaye hapo mbeleni alikuwa mtumwa wake na kumlipa ushuru.
Asilia hina bagade Sia: lama: nisa da ema doagala: beba: le, Housia da goaya: i. Amalalu, e da ode huluane amoga, Sia: lama: nisama su dabe i.
4 Lakini mfalme wa Ashuru akagundua kuwa Hoshea alikuwa msaliti, kwa kuwa alikuwa ametuma wajumbe kwa So mfalme wa Misri, naye hakuendelea kulipa ushuru kwa mfalme wa Ashuru tena kama alivyokuwa anafanya kila mwaka. Kwa hiyo Shalmanesa akamkamata na kumtia gerezani.
Be ode afaega, Housia da sia: adola ahoasu dunu, ili Idibidi hina bagade Sou, amo ea fidisu adole ba: ma: ne, asunasi. Amalalu, e da Asilia fima odega su dabe iasu bu hame i. Sia: lama: nisa da amo nababeba: le, ea dunu ilia da Housia gagulaligili, se iasu diasu ganodini sanasi.
5 Mfalme wa Ashuru akaishambulia nchi yote, akapigana dhidi ya Samaria na kuizunguka kwa majeshi miaka mitatu.
Amalalu, Sia: lama: nisa da Isala: ili soge doagala: le, golili sa: ili, Samelia eale disi. E da ode udiana agoanega Samelia dunu doagala: la afufusu.
6 Katika mwaka wa tisa wa Hoshea, mfalme wa Ashuru akaiteka Samaria na kuwahamishia Waisraeli huko Ashuru. Akawaweka huko Hala, na Gozani karibu na Mto Habori, na katika miji ya Wamedi.
Amo ode ganodini, (Housia ea ouligibi ode sesegeyale gala) Asilia hina bagade da Samelia hasalalu, fedelai. E da Isala: ili dunu udigili hawa: hamoma: ne, Asilia sogega mugululi asi. Ea sia: beba: le, Isala: ili mugululi asi dunu mogili da Ha: ila sogega fi galu, mogili da Gousa: ne soge (Ha: ibo Hano gadenene) amola mogili da Midia soge moilai amo ganodini fi.
7 Yote haya yalitokea kwa sababu Waisraeli walikuwa wametenda dhambi dhidi ya Bwana Mungu wao, ambaye alikuwa amewapandisha kutoka Misri akiwatoa chini ya utawala wa nguvu wa Farao mfalme wa Misri. Waliabudu miungu mingine
Samelia moilai bai bagade hasali ea bai da Isala: ili dunu ilia da ilia Hina Godema wadela: le hamoi. Musa: , Hina Gode da ili Idibidi hina bagadema gaga: le, Isala: ili dunu ilia Idibidi soge fisimusa: gadili oule asi. Be amo mae dawa: le, ilia Ema wadela: le hamoi. Ilia da ogogosu ‘gode’ma nodone sia: ne gadosu.
8 na kufuata desturi za mataifa ambayo Bwana alikuwa ameyafukuza mbele yao, pamoja na desturi ambazo wafalme wa Israeli walizileta.
Ga: ina: ne soge fi musa: esalu dunu da wadela: i hou bagadedafa hamobeba: le, Isala: ili dunu da gusuba: i mogodigili ahoanoba, Hina Gode da Ga: ina: ne dunu gadili sefasi. Be Isala: ili fi dunu da Ga: ina: ne fi ilia wadela: i hou defele hamoi. Amola Isala: ili hina bagade ilia da ga fi ilia wadela: i hou hamoiba: le, Isala: ili fi dunu da amo fa: no bobogesu.
9 Waisraeli wakafanya vitu kwa siri dhidi ya Bwana Mungu wao, ambavyo havikuwa sawa. Kuanzia kwenye mnara wa ulinzi hadi kwenye mji wenye maboma walijijengea wenyewe mahali pa juu pa kuabudia miungu katika miji yao yote.
Isala: ili fi dunu da Hina Gode Ea higa: i ba: su hou, amo hamosu. Ilia da ilia moilai huluane, fonobahadi amola bagade, amo ganodini ogogosu ‘gode’ma nodone sia: ne gadosu sogebi gaguli gagai.
10 Wakaweka mawe ya kuabudiwa na nguzo za Ashera juu ya kila kilima kirefu na chini ya kila mti uliotanda.
Agolo huluane da: iya amola ifa huluane ougiha, ilia da gele golasu ifa amola wadela: i uda ‘gode’ Asila agoaila hahamone, bugisisi.
11 Wakafukiza uvumba kila mahali palipoinuka, kama yalivyofanya yale mataifa ambayo Bwana alikuwa ameyafukuza mbele yao. Wakafanya mambo maovu ambayo yalimghadhibisha Bwana.
Wadela: i fi dunu amo Hina Gode da Isala: ili sogega gadili sefasi, ilia wadela: i hou defele, Isala: ili dunu da ogogosu ‘gode’ ilia oloda da: iya, gabusiga: manoma gobele salalusu. Ilia wadela: le bagadewane hamobeba: le, Hina Gode da ougi bagade ba: i.
12 Wakaabudu sanamu, ingawa Bwana alikuwa amesema, “Msifanye mambo haya.”
Hina Gode da ilima ogogole ‘gode’ agoai ilima mae nodone sia: ne gadoma: ne sia: i. Be ilia da Hina Gode Ea hamoma: ne sia: i hamedafa nabi.
13 Bwana akawaonya Israeli na Yuda kupitia kwa manabii na waonaji wake wote: “Acheni njia zenu mbaya. Shikeni amri na maagizo yangu, kufuatana na sheria yangu yote niliyowaagiza baba zenu kuitii ambayo niliileta kwenu kupitia kwa watumishi wangu manabii.”
Hina Gode da musa: Ea sia: adola ahoasu dunu amola balofede dunu ili Isala: ili fi amola Yuda fi ilima sisane amane sia: ma: ne asunasi. “Dilia wadela: i hou yolesili, Na hamoma: ne sia: i nabawane hamoma! Na hamoma: ne sia: i huluane da Sema (amo Na da Na hawa: hamosu balofede dunu ilia lafidili dilia aowalalima iasu) amo ganodini dedei diala.”
14 Lakini hawakusikiliza, walikuwa na shingo ngumu kama baba zao, ambao hawakumtegemea Bwana Mungu wao.
Be ilia da nabasu hou hamedafa dawa: i. Ilia aowalalia da Hina Gode Ea hou dafawaneyale hame dawa: i, amola Isala: ili fifi misi dunu da ilia hou defele, gawamaga: i.
15 Walizikataa amri zake, na agano alilokuwa amelifanya na baba zao, na maonyo aliyokuwa amewapa. Wakafuata sanamu zisizofaa, nao wenyewe wakawa hawafai. Wakayaiga mataifa yaliyowazunguka, ingawa Bwana alikuwa amewaonya akiwaambia, “Msifanye kama wanavyofanya,” nao wakafanya mambo ambayo Bwana alikuwa amewakataza wasifanye.
Ilia Hina Gode Ea hamoma: ne sia: i hame nabasu. Ilia da hamedei loboga hamoi ‘gode’ agoaila ilima nodone sia: ne gadoiba: le, ilisu da hamedei dunu agoai ba: i. Ilia da fifilai ilia soge sisiga: le dialu, amo ilia hou fa: no bobogei. Ilia da Hina Gode Ea hamoma: ne sia: i, “Ga fi ilia hou defele mae hamoma!” amo nabawane hame hamosu.
16 Wakayaacha maagizo yote ya Bwana Mungu wao na kujitengenezea sanamu mbili, walizozisubu katika sura ya ndama na nguzo ya Ashera. Wakasujudia mianga yote ya angani, na wakamtumikia Baali.
Ilia da ilia Hina Gode Ea sema huluane fi dagoi. Ilia da amoma nodone sia: ne gadomusa: , bulamagau gawali mano aduna gouliga hamoi. Amola ilia da ogogosu uda ‘gode’ Asila e agoaila hamoi, amola gasumuni ilima nodone sia: ne gadosu, amola ogogosu ‘gode’ Ba: ilema hawa: hamosu.
17 Wakawatoa kafara wana wao na mabinti zao katika moto. Wakafanya uaguzi na uchawi, nao wakajiuza wenyewe katika kutenda uovu machoni pa Bwana, wakamghadhibisha.
Ilia da ilia dunu mano amola ilia uda mano amo ogogosu ‘gode’ma wadela: i hou dabe ima: ne, gobele salalusu. Ilia da gesami dasu amola wadela: i ba: la: lusu dunu, ilima fada: i sia: nabi. Ilia eno liligi mae dawa: le, Hina Gode ba: ma: ne, wadela: i hou fawane hamonanusu. Amaiba: le, Hina Gode da ougi ba: i.
18 Basi Bwana akawakasirikia sana Israeli na kuwaondoa kwenye uwepo wake. Ni kabila la Yuda tu lililobaki;
Hina Gode da Isala: ili fi ilima ougiba: le, E da ili bu mae ba: ma: ne, ili mugululi ga asunasi. Yuda fi fawane da ilia soge ganodini esalebe ba: i.
19 na hata hivyo nao Yuda hawakuzishika amri za Bwana Mungu wao. Wakafuata desturi ambazo Israeli walikuwa wamezianzisha.
Be Yuda fi amolawane da ilia Hina Gode Ea sema nabawane hame hamosu. Ilia da Isala: ili fi ilia hou lalegagui, amo ba: beba: le, defele hamoi.
20 Kwa hiyo Bwana aliwakataa watu wote wa Israeli; akawatesa na kuwaachia katika mikono ya wateka nyara hadi alipowaondoa kutoka kwenye uwepo wake.
Hina Gode da Isala: ili fi higale, ilima dawa: ma: ne se dabe i, amola E da logo doasiba: le, dodona: gi ha lai dunu da ilima se bagade iasu. Amalalu, E da ili bu mae ba: ma: ne, ili mugululi ga asunasi.
21 Alipokwisha kuwatenga Israeli mbali na nyumba ya Daudi, wakamfanya Yeroboamu mwana wa Nebati kuwa mfalme wao. Yeroboamu akawashawishi Israeli waache kumfuata Bwana na akawasababisha kutenda dhambi kuu.
Hina Gode da Isala: ili mogili, na: iyado Isala: ili amola na: iyado Yuda hamonanu, Isala: ili fi da Yelouboua: me (Niba: de egefe) ilia hina bagade hamoi. Yelouboua: me da ili Hina Gode yolesima: ne hamoi, amola wadela: i hou baligili hamoma: ne, ili oule asi.
22 Nao Israeli wakadumu katika dhambi zote za Yeroboamu mwana wa Nebati, nao hawakuziacha
Ilia da Yelouboua: mema fa: no bobogele, wadela: i hou huluane ea hamosu, amo defele hamoi.
23 hadi Bwana alipowaondoa kutoka kwenye uwepo wake, kama vile alivyokuwa ameonya kupitia watumishi wake wote manabii. Hivyo watu wa Israeli wakaondolewa kutoka nchi yao kwenda uhamishoni Ashuru, nao wako huko mpaka sasa.
Amalalu, fa: no Hina Gode da E da musa: Ea balofede dunu amodili sisai defele, ili ba: mu higa: iba: le, ilia sogega fadegale, mugululi ga asunasi.
24 Mfalme wa Ashuru akawaleta watu kutoka Babeli, Kutha, Ava, Hamathi na Sefarvaimu na kuwaweka katika miji ya Samaria badala ya Waisraeli. Wakaimiliki Samaria na kuishi katika miji yake.
Asilia hina bagade da Isala: ili dunu Samelia soge ganodini esalu, mugululi Asilia sogega asunasi. Amalalu, e da Asilia dunu amo da Ba: bilone, Giudia, Aifa, Ha: ima: de, Sefafa: ime amo ganodini esalu, amo dunu lale, ili huluane Samelia soge ganodini ha: ini fima: ne oule asi. Ilia da Samelia soge moilai huluane lale, amo ganodini ha: ini fi.
25 Wakati walianza kuishi humo, hawakumwabudu Bwana, kwa hiyo akatuma simba miongoni mwao, wakawaua baadhi ya watu.
Ilia da degabo ha: ini fisia, ilia da Hina Godema hame nodone sia: ne gadosu. Amaiba: le, Hina Gode da laione wa: me asunasili, ili mogili fane legei.
26 Habari ikapelekwa kwa mfalme wa Ashuru, kusema: “Watu uliowahamisha na kuwaweka katika miji ya Samaria hawajui kile Mungu wa nchi hiyo anachokitaka. Ametuma simba miongoni mwao, ambao wanawaua, kwa sababu watu hawajui anachokitaka.”
Asilia hina bagade da dunu e da Samelia soge ganodini ha: ini fima: ne asunasi, amo da Samelia sogega Gode sema amo noga: le hame dawa: beba: le, amo Gode da ili medoma: ne laione wa: me asunasi, amane sia: nabi.
27 Ndipo mfalme wa Ashuru akaamuru hivi: “Mtwae mmoja wa makuhani uliowachukua mateka kutoka Samaria ili arudi kuishi humo na awafundishe watu kile ambacho Mungu wa nchi anataka.”
Amaiba: le, e da amane hamoma: ne sia: i, “Gobele salasu dunu amo nini gagulaligisa, niniga afae bu asunasima. E da Samelia sogega bu fimusa: ahoanoba, e da ninia dunuma, Samelia soge fi ilia sema noga: le olelema: ne sia: ma!”
28 Basi mmoja wa makuhani ambaye alikuwa amepelekwa uhamishoni kutoka Samaria akaja kuishi Betheli na kuwafundisha jinsi ya kumwabudu Bwana.
Amaiba: le, Isala: ili mugululi asi gobele salasu dunu afae da Bedele moilaiga buhagi. Amogawi, e da dunu ilima Hina Godema nodone sia: ne gadosu hou olelei.
29 Hata hivyo, kila kikundi cha taifa lililoletwa Samaria kilitengeneza miungu yao wenyewe katika miji kadhaa mahali walipoishi, nao wakaiweka mahali pa ibada za miungu ambapo watu wa Samaria walikuwa wametengeneza katika mahali pa juu.
Be Asilia dunu amo da Samelia ganodini ha: ini fi, ilia da mae fisili, ilia loboga hamoi ‘gode’ liligi hamosu. Ilia da amo liligi ilima nodone sia: ne gadosu sogebi amo Isala: ili dunu da hamoi, amo ganodini sali. Momogi afae afae da loboga hamoi ‘gode’ afae afae ilia esalebe moilai ganodini hahamoi.
30 Watu kutoka Babeli wakamtengeneza Sukoth-Benothi kuwa mungu wao, watu kutoka Kutha wakamtengeneza Nergali, na watu kutoka Hamathi wakamtengeneza Ashima;
Ba: bilonega misi dunu da ogogosu ‘gode’ Sagode Binode amo agoaila hahamoi. Guidiaga misi dunu da ogogosu ‘gode’ Na: igale amo agoaila hahamoi. Ha: ima: dega misi dunu da ogogosu ‘gode’ Asiaima amo agoaila hahamoi.
31 Waavi wakatengeneza Nibhazi na Tartaki, nao Wasefarvi wakachoma watoto wao kama kafara kwa Adrameleki na Anameleki, miungu ya Sefarvaimu.
Aifaga misi dunu da ogogosu ‘gode’ Nibiha: se amola Dada: ge elea agoaila hahamoi. Amola Sefafa: imega misi dunu da ilia ogogosu ‘gode’ aduna, Ana: melege amola A: dala: melege elama ilia mano gobele salalusu.
32 Walimwabudu Bwana, lakini pia waliteua aina zote za watu wao ili kuwawakilisha kama makuhani katika mahali pa kuabudia miungu kwenye mahali pa juu pa ibada.
Amo dunu huluane da Hina Godema amolawane nodone sia: ne gadoi. Ilia da ilia gilisisu amoga dunu amo gobele salasu dunu hamoma: ne udigili ilegei. Amo dunu da ilia ogogosu ‘gode’ oloda amoga gobele salasu hou hamonanusu.
33 Walimwabudu Bwana, lakini pia waliitumikia miungu yao kulingana na desturi za mataifa walikotoka.
Amaiba: le, ilia da Hina Godema nodone sia: ne gadosu, be ilia da soge fi amoga ilia misi, amo ilia hou defele, ogogosu ‘gode’ ilima gilisili nodone sia: ne gadosu.
34 Mpaka leo wanashikilia desturi zao za zamani. Hawamwabudu Bwana wala kuzishika hukumu na maagizo, sheria na amri ambazo Bwana aliwapa uzao wa Yakobo, ambaye alimwita Israeli.
Amola ilia da amogainini wali eso amola ilia musa: hou hamonana. Ilia da Hina Godema nodone sia: ne gadosu hame hamosa. Amola ilia da sema amola hamoma: ne sia: i amo E da Ya: igobe (Gode da ema Isala: ili dio asuli) amo egaga fima i, amo ilia da nabawane hame hamosa.
35 Wakati Bwana alipofanya Agano na Waisraeli, aliwaamuru akisema: “Msiiabudu miungu mingine yoyote wala kuisujudia, wala kuitumikia wala kuitolea dhabihu.
Hina Gode da musa: Isala: ili dunuma gousa: su hamoi. Amola E da ilima amane hamoma: ne sia: i, “Eno ‘gode’ ilima mae nodone sia: ne gadoma. Ilima mae beguduma, amola ilima gobele salasu hou mae hamoma!
36 Bali imewapasa kumwabudu Bwana aliyewapandisha kutoka Misri kwa uwezo wake mkuu na kwa mkono wake ulionyooshwa. Kwake yeye mtasujudu na kwake yeye mtatoa dhabihu.
Na, Hina Godedafa, da gasa bagadewane dili Idibidi sogega esalu, gadili oule asi. Amaiba: le, dilia Na hamoma: ne sia: i fawane nabima! Dilia Nama fawane beguduma, amola Nama fawane gobele salasu hamoma!
37 Imewapasa daima kuwa waangalifu kutunza hukumu na maagizo, sheria na amri alizowaandikia. Msiabudu miungu mingine.
Dilia eso huluane, sema amola hamoma: ne sia: i, Na da dilia dawa: ma: ne dedei, amo huluane nabawane hamoma! Eno ‘gode’ma nabasu hou maedafa hamoma!
38 Msisahau agano nililofanya nanyi, wala msiabudu miungu mingine.
Amola gousa: su amo Na da dilima hamoi, amo maedafa gogolema!
39 Bali, mtamwabudu Bwana Mungu wenu, kwani yeye ndiye atakayewakomboa kutoka mikononi mwa adui zenu wote.”
Na da dilia Hina Godedafa! Na sia: fawane nabima! Amasea, Na da dilima ha lai dunu amoga gaga: mu.”
40 Hata hivyo hawakusikiliza, lakini waliendelea na desturi zao za awali.
Be eno Samelia sogega misi dunu da Gode Ea Sia: nabimu higa: i. Ilia da mae fisili, ilia musa: hou hamonanusu.
41 Hata wakati watu hawa walipokuwa wanamwabudu Bwana, walikuwa bado wakitumikia sanamu zao. Mpaka leo watoto wao na watoto wa watoto wao wanaendelea kufanya kama baba zao walivyofanya.
Amaiba: le, amo dunu da Hina Godema nodone sia: ne gadoi, amola gilisili ilia ogogosu loboga hamoi ‘gode’, ilima nodone sia: ne gadosu. Amola amogainini wali eso iligaga fi da amaiwane hamosa.