< 2 Wafalme 10 >
1 Wakati huu katika Samaria walikuwepo wana sabini wa nyumba ya Ahabu. Kwa hiyo Yehu akaandika barua na kuzituma Samaria: kwa maafisa wa Yezreeli, kwa wazee, na kwa walezi wa watoto wa Ahabu. Akasema,
Musa: Isala: ili hina bagade A: iha: be egaga fi misi dunu 70 agoane da Samelia ganodini esalebe ba: i. Yihiu da meloa dedene, amaiwane amo defele eno mogili hahamone, Samelia asigilai dunu amola moilai ouligisu dunu amola A: iha: be egaga fi misi dunu ilia ouligisu dunu, amo huluanema iasi. E dedei da amane dedei,
2 “Mara tu barua hii itakapokufikia, kwa kuwa wana wa bwana wako wapo pamoja nawe, nawe una magari ya vita na farasi, mji wenye ngome na silaha,
“Dilia da hina bagade A: iha: be egaga fifi misi dunu amo ouligisa. Dilia da ‘sa: liode’ amola hosi amola gegesu liligi gagui gala. Amaiba: le, amo meloa dedei da dilima doaga: sea,
3 mchague mwenye uwezo zaidi kati ya wana wa bwana wako, na umweke juu ya kiti cha enzi cha baba yake. Kisha upigane kwa ajili ya nyumba ya bwana wako.”
dilia hedolowane baligili dawa: su hina bagade egaga fi dunu afae, dilia hina bagade hamoma: ne ilegema. Amasea, e gaga: ma: ne, ninima gegema!”
4 Lakini wakaogopa sana na kusema, “Ikiwa wafalme wawili hawakuweza kupambana na Yehu, sisi tutawezaje?”
Samelia ouligisu dunu da bagadewane beda: gia: i. Ilia da amane sia: i, “Ninia da habodane Yihuma ha lale, gegema: bela: ? Hina bagade Youla: me amola hina bagade A: ihasaia da e hasalasimu hamedei ba: i.”
5 Basi msimamizi wa jumba la mfalme, mtawala wa mji, na wazee na walezi wakatuma ujumbe huu kwa Yehu: “Sisi tu watumishi wako, na tutafanya kila kitu utakachosema. Hatutamteuwa mtu yeyote kuwa mfalme. Wewe fanya uonalo kuwa ni bora.”
Amaiba: le, hina bagade diasu ouligisu dunu amola moilai ouligisu dunu amola asigilai dunu amola A: iha: be egaga fi dunu ilia ouligisu dunu, ilia da Yihuma amane sia: si, “Ninia da dia hawa: hamosu dunu esala. Ninia da dia sia: be liligi defele hamomusa: momagele esala. Be ninia da hina bagade hame ilegemu. Dia adi hou da noga: i di dawa: sea, amo hamoma!”
6 Kisha Yehu akawaandikia barua ya pili, akisema, “Ikiwa ninyi mko upande wangu na mtanitii mimi, twaeni vichwa vya wana wa bwana wenu, na mnijie huku Yezreeli kesho wakati kama huu.” Wakati huo wana sabini wa mfalme walikuwa wakiishi pamoja na viongozi wa mji wa Samaria, waliokuwa wakiwalea.
Yihiu da ilima meloa eno dedene iasi, “Dilia da namagai galea, amola na hamoma: ne sia: i amo hamomusa: momagele esalea, hina bagade A: iha: be egaga fi dunu huluane ilia dialuma amo aya wewaba, Yeseliele moilai bai bagadega nama gaguli misa: !” (Samelia asigilai dunu, ilia da hina bagade A: iha: be egaga fifi misi dunu ouligisu. Asigilai dunu da ili bugili ianu.)
7 Hiyo barua ilipowafikia, watu hawa wakawachukua wale wana sabini wa mfalme na kuwachinja wote. Wakaweka vichwa vyao ndani ya makapu na kumpelekea Yehu huko Yezreeli.
Yihiu ea meloa dedei da ilima doaga: loba, Samelia moilai bai bagade ouligisu dunu, ilia da A: iha: be egaga fi dunu 70 agoane huluane medole lelegele, ilia dialuma damuni fasili, daba ganodini salawene, Yeseliele moilai bai bagadega Yihuma iasi.
8 Mjumbe alipofika, akamwambia Yehu, “Wameleta vichwa vya wana wa mfalme.” Ndipo Yehu akaagiza, “Viwekeni malundo mawili katika ingilio la lango la mji mpaka asubuhi.”
Ilia da Yihuma, A:iha: be egaga fi dunu ilia dialuma da gaguli misi dagoi adobeba: le, e da amo dialuma gasa huluane mogili aduna ligiagale moilai gagoi logo holei gadenene ligisi, dialeawane hahabe hadigima: ne sia: i.
9 Asubuhi yake, Yehu akatoka nje. Akasimama mbele ya watu wote na akasema, “Hamna hatia. Ni mimi niliyefanya shauri baya dhidi ya bwana wangu na kumuua, lakini ni nani aliyewaua wote hawa?
Golale hahabe, e da logo holeiga asili, amoga gilisi dunu ilima amane sia: i, “Ni fawane da hina bagade medole legema: ne wamo ilegele, amola e dafawane medole legei. Dilia hame! Be amo dunu amo nowa da medole legebela: ?
10 Fahamuni basi kwamba, hakuna neno ambalo Bwana amesema dhidi ya nyumba ya Ahabu ambalo halitatimia. Bwana amefanya lile aliloahidi kupitia mtumishi wake Eliya.”
Hina Gode da Ea balofede dunu Ilaisiamadili, hou huluane amo da A: iha: be egaga fima misunu hou, olelei dagoi. Amola ilia huluane da medole legeiba: le, amo hou da dafawane doaga: i dagoi dawa: ma!”
11 Hivyo Yehu akaua kila mtu huko Yezreeli aliyekuwa amebaki wa nyumba ya Ahabu, ikiwa ni pamoja na wakuu wake, rafiki zake wa karibu, na makuhani wake. Hakuacha yeyote anusurike.
Amalalu, Yihiu da A: iha: be egaga sosogo fi huluane Yeseliele ganodini esala, amola ea eagene ouligisu dunu amola ea dogolegei amola ea gobele salasu dunu, ili huluanedafa, ea medole legei. Dunu afae esalebe da hamedafa ba: i.
12 Kisha Yehu akaondoka kuelekea Samaria. Alipokuwa njiani karibu na nyumba ya kukatia manyoya ya kondoo, yaani, Beth-Ekedi ya wachunga kondoo,
Yihiu da Yeseliele fisili, Samelia amoma doaga: musa: asi. Logoga ahoanoba, e da sogebi ea dio amo “Sibi Ouligisu Fisisu” amoga,
13 Yehu akakutana na watu wa jamaa ya Ahazia mfalme wa Yuda, akauliza, “Ninyi ni nani?” Wao wakasema, “Sisi ni jamaa ya Ahazia, nasi tumeshuka kuwasalimu jamaa ya mfalme na ya mama malkia.”
e da hina bagade A: ihasaia bogoi, amo ea sosogo fi oda ba: i. E da ilima amane adole ba: i, “Dili da nowala: ?” Ilia da bu adole i, “Nini da A: ihasaia ea sosogo fi dunu. Ninia da hina bagade uda Yesebele ea manolali amola hina bagade sosogo fi eno Yeselielega esala, ilima asigi sia: saimusa: masunu.”
14 Yehu akaagiza, “Wakamateni wakiwa hai!” Kwa hiyo wakawachukua wakiwa hai, watu arobaini na wawili, na kuwachinja kando ya kisima cha Beth-Ekedi. Hakuacha yeyote anusurike.
Yihiu da ea dunuma amane hamoma: ne sia: i, “Ili mae medole, gagulaligima!” Ilia da ili huluane gagulaligili, Yihiu da uli dogoi amogai dialu, amo gadenene ili huluane medole legei. Ilia idi da 42 agoane, amola dunu afae esalebe hame ba: i.
15 Baada ya kuondoka hapo, alimkuta Yehonadabu mwana wa Rekabu, aliyekuwa akienda kumlaki. Yehu akamsalimu na kusema, “Je, moyo wako ni mnyofu kwangu kama moyo wangu ulivyo kwako?” Yehonadabu akajibu, “Ndiyo.” Yehu akasema, “Kama ndivyo, nipe mkono wako.” Yeye akampa mkono, naye Yehu akampandisha kwenye gari lake la vita.
Yihiu da bu logoga ahoanoba, Yonada: be (Liga: be egefe) yosia: i. Yihiu da ema hahawane sia: ne, amane sia: i, “Ania asigi dawa: su da defele diala. Di da na fuli gala: ma: bela: ?” Yonada: be da bu adole i, “Ma! Na da dimagai dialumu!” Yihiu da bu adole i, “Defea! Amaiba: le, gousa: la: di!” Ela da gousa: lu, Yihiu da Yonada: be ‘sa: liode’ da: iya fila heda: ma: ne, lobolele gadoi.
16 Yehu akasema, “Twende pamoja ukaone wivu wangu kwa ajili ya Bwana.” Hivyo wakasafiri pamoja kwenye gari lake.
Yihiu da amane sia: i, “Ani ahoa: di! Di da na Hina Godema fawane fa: no bobogesu hou ba: mu!” Elea da ‘sa: liode’ da: iya fila heda: le, Samelia moilai bai bagadega doaga: le,
17 Yehu alipofika Samaria, akawaua wale wote waliokuwa wamesalia wa jamaa ya Ahabu, akawaangamiza, sawasawa na neno la Bwana alilosema kupitia Eliya.
Yihiu da A: iha: be ea sosogo huluanedafa medole legei. E da dunu afae esaloma: ne hame yolesi. Amo hou Hina Gode da Ilaisiama olelei, amo defele doaga: i dagoi ba: i.
18 Kisha Yehu akawaleta watu wote pamoja na kuwaambia, “Ahabu alimtumikia Baali kidogo. Lakini Yehu atamtumikia zaidi.
Yihiu da Samelia fi dunu huluane gilisima: ne sia: ne, ilima amane sia: i, “Hina bagade A: iha: be da Ba: ilema fonobahadi hawa: hamonanu. Be na da Ba: ilema asigiba: le, baligiliwane ema hawa: hamomu.
19 Sasa waiteni manabii wote wa Baali, watumishi wake wote na makuhani wake wote. Hakikisheni kwamba hakuna hata mmoja atakayekosekana, kwa sababu ninakwenda kutoa kafara kubwa sana kwa Baali. Yeyote atakayeshindwa kuja hataendelea kuishi.” Lakini Yehu alifanya hivyo kwa hila ili apate kuwaangamiza watumishi wote wa Baali.
Dilia Ba: ile ea balofede dunu amola ema nodone sia: ne gadosu dunu amola ea gobele salasu dunu huluanedafa guiguda: gilisima: ne sia: ma. Afae mae yolesima. Na da Ba: ilema gobele salasu bagadedafa hamomu. Amola nowa da hame masea, ninia da amo dunu medole legemu.” (Yihiu da ogogoi. E da Ba: ilema nodone sia: ne gadosu dunu huluane medole legemusa: ilegeiba: le, ili gilisima: ne sia: i)
20 Yehu akasema, “Itisheni kusanyiko kwa heshima ya Baali.” Basi wakatangaza jambo hilo.
Amalalu, Yihiu da amane hamoma: ne sia: i, “Ba: ilema nodoma: ne, nodone sia: ne gadomusa: eso bagadedafa ilegema!” Ilia da amo eso ilegei.
21 Kisha Yehu akapeleka ujumbe katika Israeli yote, nao watumishi wote wa Baali wakaja, hakuna hata mmoja ambaye hakufika. Wakasongana ndani ya hekalu la Baali hadi likajaa tangu mlango hadi mwisho wake.
Amalu, Yihiu da Isala: ili soge huluane ganodini dunu huluane da amo nodone sia: ne gadosu amoga misa: ne sia: si. Ba: ilema nodone sia: ne gadosu dunu huluanedafa da misi. Ilia huluane da Ba: ile ea debolo diasu ganodini golili sa: ili, debolo diasu da nabaidafa ba: i.
22 Naye Yehu akamwambia yule aliyekuwa mtunza chumba cha mavazi, “Leta majoho kwa ajili ya watumishi wote wa Baali.” Basi akawaletea majoho.
Amalalu, Yihiu da Ba: ile gobele salasu dunu amo da sema abula ouligi, amo sema abula lale, nodone sia: ne gadosu dunu iligili ima: ne sia: i.
23 Kisha Yehu na Yehonadabu mwana wa Rekabu wakaingia ndani ya hekalu la Baali. Yehu akawaambia watumishi wa Baali, “Tazameni kila mahali mhakikishe kwamba hakuna hata mtumishi mmoja wa Bwana aliye hapa pamoja nanyi, ila ni watumishi wa Baali tu.”
Amalalu, Yihiu hisu da Yonada: be (Liga: be egefe) oule, debolo diasu ganodini golili sa: ili, dunu amo ganodini gilisi dialu ilima amane sia: i, “Gilisisu ganodini hogoma! Ba: ilema nodone sia: ne gadosu dunu fawane esaloma: ne sia: ma. Hina Godema nodone sia: ne gadosu dunu da goegai mae esaloma: ne sia: ma.”
24 Kwa hiyo wakaingia ndani ili kutoa kafara na sadaka ya kuteketezwa. Wakati huu, Yehu alikuwa amewaweka watu wake themanini akiwa amewapa onyo kwamba, “Ikiwa mmoja wenu atamwachia mtu yeyote ninayemweka mikononi mwake atoroke, itakuwa uhai wako kwa uhai wake.”
Amalalu, e amola Yonada: be da Ba: ilema gobele salimusa: golili sa: i. E da musa: dunu 80 agoane debolo gadili hamega leloma: ne ilegele, ilima amane sia: i, “Dilia amo dunu huluane fane legema. Nowa da dunu afae esaloma: ne yolesisia, e da dabele, medole legei dagoi ba: mu!”
25 Mara baada ya Yehu kutoa sadaka ya kuteketezwa, akawaamuru walinzi na maafisa: “Ingieni ndani, waueni; asitoroke hata mmoja.” Basi wakawakatakata kwa upanga. Walinzi na maafisa wakazitupa zile maiti nje, kisha wakaingia mahali pa ndani pa kuabudia miungu katika hekalu la Baali.
Yihiu da gobele salasu liligi ianu, sosodo aligisu dunu amola dadi gagui wa: i ouligisu dunu ilima amane sia: i, “Ganodini golili sa: ili, dunu huluanedafa medole legema! Afae da maedafa hobeama: ma!” Ilia da gegesu gobihei duga: le gadole, ganodini golili sa: ili, Ba: ilema nodone sia: ne gadosu dunu huluanedafa medole lelegele, ilia da: i hodo moiya gadili hiougili sasali.
26 Wakaileta ile nguzo ya kuabudiwa nje ya hekalu la Baali, na wakaichoma moto.
Ilia da duni bugi ifa (amo da sema galu) amogai diala, amo gadili gaguli asili, laluga ulagili sali.
27 Wakabomoa ile nguzo ya kuabudiwa ya Baali pamoja na hekalu la Baali, nao watu wakapafanya kuwa choo hadi leo.
Ilia da amaiwane sema ifa duni bugi amola debolo diasu amo wadela: lesi. Ilia da debolo ea hou afadenene bu iga giasu diasu hamoi. Amola amo da wali amaiwane diala. (Amo da eso dedei amoga amaiwane diala)
28 Kwa hiyo Yehu akaangamiza kuabudiwa kwa Baali katika Israeli.
Yihiu da amanewane Isala: ili soge ganodini, Ba: ilema nodone sia: ne gadosu hou gugunufinisi dagoi.
29 Hata hivyo, Yehu hakuziacha dhambi za Yeroboamu mwana wa Nebati, ambazo alikuwa amesababisha Israeli kuzitenda, yaani kuabudu ndama za dhahabu huko Betheli ya Dani.
Be e da hina bagade Yelouboua: me (amo da gouliga hamoi bulamagau gawali mano aduna Bedele moilai amola Da: ne moilai ligisiba: le, Isala: ili dunu fi wadela: le hamoma: ne oule asi) Yihiu da ea hou defele hamoi.
30 Bwana akamwambia Yehu, “Kwa kuwa umefanya vyema kwa kutimiza yaliyo sawa machoni pangu, na umetenda kwa nyumba ya Ahabu yale yote niliyokuwa nimekusudia kutenda, wazao wako wataketi juu ya kiti cha enzi cha Israeli hadi kizazi cha nne.”
Hina Gode da Yihuma amane sia: i, “Di da Na hamoma: ne hanai huluane A: iha: be egaga fima hamoi dagoi. Amaiba: le, Na da dima dafawane ilegele sia: sa. Digaga fifi misi biyadu amo, ilia da Isala: ili hina bagade hamomu.”
31 Lakini Yehu hakuwa mwangalifu kushika sheria za Bwana, Mungu wa Israeli, kwa moyo wake wote. Hakuziacha dhambi za Yeroboamu, ambazo alikuwa amesababisha Israeli kuzitenda.
Be Yihiu da dafawanedafa nabasu hou hame hamoi. E da Isala: ili Hina Gode Ea Sema amo noga: le hame hamoi. Be amomane e da Yelouboua: me (amo da Isala: ili fi dunu wadela: le hamoma: ne, oule asi) amo ea hou defele hamoi.
32 Katika siku hizo, Bwana akaanza kupunguza ukubwa wa Israeli. Hazaeli akawashinda Waisraeli sehemu zote za nchi yao
Amogalu Hina Gode da muni Isala: ili soge fonoboma: ne hamoi. Silia hina bagade Ha: sa: iele da Isala: ili soge amo da Yodane Hano gusudili diala, ga (south) asili, Aloua moilai (Anone Hano bega: diala) amo huluane hasali. Amo soge ganodini, Gilia: de amola Ba: isia: ne soge dialebe ba: i. Amola amo ganodini, Ga: de fi amola Liubene fi amola Gusu Ma: na: se fi, ilia da amo soge ganodini esalebe ba: i.
33 mashariki ya Yordani, katika nchi yote ya Gileadi (eneo la Gadi, Reubeni na Manase), kutoka Aroeri karibu na Bonde la Arnoni kupitia Gileadi hadi Bashani.
34 Kwa matukio mengine ya utawala wa Yehu, yote aliyofanya na mafanikio yake yote, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Israeli?
Yihiu ea hou eno huluane, amola ea nimi gesa: i hou da “Isala: ili hina bagade Ilia Hamonanu Meloa” amo ganodini dedene legei.
35 Yehu akalala pamoja na baba zake, naye akazikwa huko Samaria. Naye Yehoahazi mwanawe akawa mfalme baada yake.
Yihiu da bogole, Samelia moilai bai bagadega uli dogone sali. Egefe Yihouaha: se, da e bagia Isala: ili hina bagade hamoi.
36 Muda Yehu aliotawala juu ya Israeli huko Samaria ilikuwa miaka ishirini na minane.
Yihiu da Samelia moilai bai bagadega esala, ode 28 agoanega Isala: ili fi ouligilalu.