< 2 Wafalme 1 >

1 Baada ya kifo cha Mfalme Ahabu, nchi ya Moabu iliasi dhidi ya Israeli.
Tukun Tokosra Ahab lun Israel el misa, acn Moab tuyak ac alein nu sin Israel.
2 Basi Ahazia alikuwa ameanguka huko Samaria kutoka baraza ya chumba chake cha juu, akaumia. Hivyo akatuma wajumbe, akiwaambia, “Nendeni mkaulize kwa Baal-Zebubu, mungu wa Ekroni, mkaone kama nitapona kutokana na kuumia huku.”
Tokosra Ahaziah lun Israel el putatla ke sawalsrisr fulat in lohm sel in acn Samaria ac arulana musalla manol. Ouinge el supwala kutu mwet lal in som lolngok yorol Baalzebub, god lun acn Ekron, sie siti in acn Philistia, in konauk lah el ac kwela ku tia.
3 Lakini malaika wa Bwana akamwambia Eliya, Mtishbi, “Panda ukakutane na wajumbe wa mfalme wa Samaria, uwaulize, ‘Je, ni kwa sababu hakuna Mungu katika Israeli ndiyo maana mnakwenda kumuuliza Baal-Zebubu, mungu wa Ekroni?’
A sie lipufan lun LEUM GOD sapkin nu sel Elijah, mwet palu in acn Tishbe, elan som osun nu sin mwet lal Tokosra Ahaziah ac siyuk selos, “Efu kowos ku som lolngok yorol Baalzebub, god lun Ekron? Ya mweyen kowos nunku mu wangin god lun Israel?
4 Kwa hiyo hili ndilo asemalo Bwana, ‘Hutaondoka kwenye kitanda unachokilalia. Hakika utakufa!’” Hivyo Eliya akaenda.
Fahk nu sel tokosra lah LEUM GOD El fahk, ‘Kom ac fah tia kwela. Kom ac misa!’” Elijah el oru oana ma LEUM GOD El sapkin,
5 Wajumbe waliporudi kwa mfalme, akawauliza, “Kwa nini mmerudi?”
ac mwet ma supweyuk sel tokosra inge folokla nu yorol. Na tokosra el siyuk, “Efu kowos ku sa na foloko?”
6 Wakamjibu, “Mtu fulani alikuja kukutana nasi, naye akatuambia, ‘Rudini kwa mfalme aliyewatuma na mkamwambie, “Hili ndilo asemalo Bwana: Je, ni kwa sababu hakuna Mungu katika Israeli ndiyo maana unawatuma watu kwenda kuuliza kwa Baal-Zebubu, mungu wa Ekroni? Kwa hiyo hutaondoka kwenye kitanda unachokilalia. Hakika utakufa!”’”
Elos topuk, “Kut sun mwet se su fahk nu sesr kut in foloko fahk nu sum mu LEUM GOD El fahk nu sum ouinge, ‘Efu kom ku supweyuk mwet in som lolngok yorol Baalzebub, god lun Ekron? Ya mweyen kom nunku mu wangin god lun Israel? Kom ac tia kwela. Kom ac misa!’”
7 Mfalme akawauliza, “Alikuwa mtu wa namna gani ambaye mlikutana naye, akawaambia hili?”
Ac tokosra el siyuk, “Fuka luman mwet sacn?”
8 Wakamjibu, “Alikuwa mtu aliyekuwa na vazi la manyoya na mkanda wa ngozi kiunoni mwake.” Mfalme akasema, “Huyo alikuwa ni Eliya, Mtishbi.”
Ac elos topuk, “El nukum nuknuk lik se orekla ke unen kosro, ac losya infulwal ke pel se orekla ke kulun kosro.” Na tokosra el fahk, “Elijah pa mwet sacn!”
9 Ndipo mfalme akamtuma mkuu mmoja wa kikosi pamoja na kikosi chake cha askari hamsini kwa nabii Eliya. Yule mkuu wa kikosi akamwendea Eliya, aliyekuwa ameketi juu ya kilima, na kumwambia, “Mtu wa Mungu, mfalme anasema, ‘Shuka chini!’”
Na el supwala sie mwet leum lun mwet mweun wi mwet lumngaul lal in som usalu Elijah. Mwet leum sac konalak ke el muta fin inging soko ac el fahk nu sel Elijah, “Mwet lun God, tokosra el sap kom in oatui.”
10 Eliya akamjibu yule mkuu wa kikosi, “Ikiwa mimi ni mtu wa Mungu, moto na ushuke kutoka mbinguni ukuteketeze wewe na watu wako hamsini!” Ndipo moto ukashuka kutoka mbinguni na kuwateketeza yule mkuu wa kikosi pamoja na watu wake.
Elijah el topuk, “Nga fin mwet lun God, lela e in tuku inkusrao me unikomi ac mwet lom ingan!” In pacl sacna, e tuku inkusrao me ac uniya leum sac ac mwet lal ah.
11 Aliposikia hili, mfalme akatuma kwa Eliya mkuu wa kikosi mwingine na askari wake hamsini. Yule mkuu wa kikosi akamwambia Eliya, “Mtu wa Mungu, hili ndilo asemalo mfalme, ‘Shuka chini mara moja!’”
Tokosra el supwala pac sie leum wi mwet lumngaul lal, su som ac fahk nu sel Elijah, “Mwet lun God, tokosra el sap kom in oatui ingena!”
12 Eliya akajibu, “Ikiwa mimi ni mtu wa Mungu, moto na ushuke kutoka mbinguni ukuteketeze wewe na watu wako hamsini!” Ndipo moto wa Mungu ukashuka kutoka mbinguni, ukamteketeza yeye na watu wake hamsini.
Elijah el topuk, “Nga fin mwet lun God, lela e in tuku inkusrao me unikomi ac mwet lom ingan!” In pacl sacna, e lun God tuku lucng me ac uniya leum sac ac mwet lal ah.
13 Hivyo mfalme akatuma mkuu wa kikosi wa tatu na watu wake hamsini. Huyu mkuu wa kikosi wa tatu akapanda na kupiga magoti mbele ya Eliya, akiomba, “Mtu wa Mungu, tafadhali niachie uhai wangu na uhai wa hawa watu hamsini, watumishi wako!
Na tokosra el sifilpa supwala sie pac leum wi mwet lumngaul lal. El utyak nu fin inging soko ah, sikukmutunteyak ye mutal Elijah ac kwafe sel, “Mwet lun God, pakoten nu sik ac mwet luk inge. Nimet unikuti!
14 Tazama, moto umeshuka kutoka mbinguni na kuwateketeza wale wakuu wa vikosi viwili vya kwanza pamoja na watu wao. Lakini sasa niachie uhai wangu!”
Leum luo meet ah wi mwet laltal ah anwuki ke e inkusrao me. A nga siyuk kom in nunak munas ac pakoten nu sik!”
15 Malaika wa Bwana akamwambia Eliya, “Shuka pamoja naye, usimwogope.” Hivyo Eliya akainuka na kushuka pamoja naye kwa mfalme.
Lipufan lun LEUM GOD fahk nu sel Elijah, “Oatui welul ac nimet sangeng.” Ouinge Elijah el wi mwet leum sac som nu yorol tokosra
16 Akamwambia mfalme, “Hili ndilo asemalo Bwana: Je, ni kwa sababu hakuna Mungu katika Israeli wa kumuuliza habari, ndiyo maana ukatuma wajumbe kuuliza Baal-Zebubu, mungu wa Ekroni? Kwa sababu umefanya hili, kamwe hutaondoka kwenye kitanda unachokilalia. Hakika utakufa!”
ac fahk nu sel, “Pa inge ma LEUM GOD El fahk, ‘Mweyen kom supwala mwet in som lolngok yorol Baalzebub, god lun Ekron, srulukin wangin god lun Israel kom in lolngok se, na pa kom ac tia kwela. Kom ac misa!’”
17 Hivyo akafa, sawasawa na lile neno la Bwana ambalo Eliya alikuwa amesema. Kwa kuwa Ahazia hakuwa na mwana, Yoramu akawa mfalme baada yake katika mwaka wa pili wa Yehoramu mwana wa Yehoshafati mfalme wa Yuda.
Ahaziah el misa oana ma LEUM GOD El fahkak sel Elijah. Wangin wen natul Ahaziah, na pa Joram tamulel lal, el aolul in tokosra ke yac akluo ke pacl in leum lal Jehoram wen natul Jehoshaphat, tokosra lun Judah.
18 Kwa matukio mengine ya utawala wa Ahazia na yale aliyoyafanya, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Israeli?
Ma nukewa saya ma Tokosra Ahaziah el orala, simla oasr in [Sramsram Matu Ke Tokosra Lun Israel.]

< 2 Wafalme 1 >