< 2 Wafalme 1 >

1 Baada ya kifo cha Mfalme Ahabu, nchi ya Moabu iliasi dhidi ya Israeli.
Ahab a dueknah hnukah Moab loh Israel taengah boe a koek.
2 Basi Ahazia alikuwa ameanguka huko Samaria kutoka baraza ya chumba chake cha juu, akaumia. Hivyo akatuma wajumbe, akiwaambia, “Nendeni mkaulize kwa Baal-Zebubu, mungu wa Ekroni, mkaone kama nitapona kutokana na kuumia huku.”
Ahaziah tah a tloh neh Samaria ah amah imhman kah sahamlong taengah yalh. Te dongah puencawn a tueih tih amih te, “Cet uh lamtah, Ekron pathen Baalzebub te dawt uh lah, he tlohtat lamloh ka hing khaming,” a ti nah.
3 Lakini malaika wa Bwana akamwambia Eliya, Mtishbi, “Panda ukakutane na wajumbe wa mfalme wa Samaria, uwaulize, ‘Je, ni kwa sababu hakuna Mungu katika Israeli ndiyo maana mnakwenda kumuuliza Baal-Zebubu, mungu wa Ekroni?’
Tedae BOEIPA kah puencawn loh Tishbi Elijah te, “Thoo, Samaria manghai kah puencawn rhoek doe hamla cet laeh. Amih te, 'Israel khuiah Pathen om pawt tih nim Ekron pathen Baalzebub te toem hamla na caeh uh?'
4 Kwa hiyo hili ndilo asemalo Bwana, ‘Hutaondoka kwenye kitanda unachokilalia. Hakika utakufa!’” Hivyo Eliya akaenda.
Te dongah BOEIPA loh he ni a thui. Baiphaih na paan bangla te lamloh na suntla mahpawh, na duek rhoe na duek ni, 'ti nah,” a ti nah tih Elijah te cet.
5 Wajumbe waliporudi kwa mfalme, akawauliza, “Kwa nini mmerudi?”
Puencawn rhoek a taengla a mael uh vaengah tah amih te, “Balae tih na mael uh?” a ti nah.
6 Wakamjibu, “Mtu fulani alikuja kukutana nasi, naye akatuambia, ‘Rudini kwa mfalme aliyewatuma na mkamwambie, “Hili ndilo asemalo Bwana: Je, ni kwa sababu hakuna Mungu katika Israeli ndiyo maana unawatuma watu kwenda kuuliza kwa Baal-Zebubu, mungu wa Ekroni? Kwa hiyo hutaondoka kwenye kitanda unachokilalia. Hakika utakufa!”’”
Te dongah amah te, “Kaimih doe ham hlang ha pawk tih kaimih taengah, 'Cet uh, nangmih aka tueih manghai taengla mael uh lamtah BOEIPA loh a thui he anih taengah thui pah. Israel ah Pathen om pawt tih nim, Ekron pathen Baalzebub te dawt ham nang n'tueih. Te dongah baiphaih na paan vanbangla te lamloh na suntla mahpawh, na duek rhoe na duek ni, ' a ti,” a ti nah.
7 Mfalme akawauliza, “Alikuwa mtu wa namna gani ambaye mlikutana naye, akawaambia hili?”
Te vaengah amih te, “Nangmih doe ham ha pawk tih nangmih taengah he ol aka thui hlang kah laitloeknah tah metlam a om?” a ti nah.
8 Wakamjibu, “Alikuwa mtu aliyekuwa na vazi la manyoya na mkanda wa ngozi kiunoni mwake.” Mfalme akasema, “Huyo alikuwa ni Eliya, Mtishbi.”
Manghai taengah, “Hlang te a mul thah tih, a cinghen ah maehpho hailaem a vaep,” a ti nah. Te vaengah, “Tishbi Elijah ni te,” a ti nah.
9 Ndipo mfalme akamtuma mkuu mmoja wa kikosi pamoja na kikosi chake cha askari hamsini kwa nabii Eliya. Yule mkuu wa kikosi akamwendea Eliya, aliyekuwa ameketi juu ya kilima, na kumwambia, “Mtu wa Mungu, mfalme anasema, ‘Shuka chini!’”
Te phoeiah Elijah taengla sawmnga kah mangpa neh a hlang sawmnga te a tueih. Elijah te a paan vaengah tah tlang lu ah tarha ana ngol pah tih, “Pathen kah hlang aw manghai loh, 'Ha suntla laeh,’ a ti,” a ti nah.
10 Eliya akamjibu yule mkuu wa kikosi, “Ikiwa mimi ni mtu wa Mungu, moto na ushuke kutoka mbinguni ukuteketeze wewe na watu wako hamsini!” Ndipo moto ukashuka kutoka mbinguni na kuwateketeza yule mkuu wa kikosi pamoja na watu wake.
Elijah loh sawmnga mangpa te a doo tih, “Kai he Pathen kah hlang coeng atah vaan lamkah hmai ha suntla saeh lamtah nang neh nang kah hlang sawmnga te n'hlawp saeh,” a ti nah. Te vaengah vaan lamkah hmai ha suntla tih anih neh a hlang sawmnga te a hlawp.
11 Aliposikia hili, mfalme akatuma kwa Eliya mkuu wa kikosi mwingine na askari wake hamsini. Yule mkuu wa kikosi akamwambia Eliya, “Mtu wa Mungu, hili ndilo asemalo mfalme, ‘Shuka chini mara moja!’”
Te phoeiah mael tih a tloe sawmnga mangpa neh a hlang sawmnga te Elijah taengla a tueih. A doo vaengah Elijah te, “Pathen kah hlang aw, manghai loh he ni a thui, hat suntla laeh,” a ti nah.
12 Eliya akajibu, “Ikiwa mimi ni mtu wa Mungu, moto na ushuke kutoka mbinguni ukuteketeze wewe na watu wako hamsini!” Ndipo moto wa Mungu ukashuka kutoka mbinguni, ukamteketeza yeye na watu wake hamsini.
Elijah loh a doo tih amih te, “Kai he Pathen kah hlang atah vaan lamkah hmai ha suntla saeh lamtah namah neh na hlang sawmnga te n'hlawp saeh,” a ti nah. Te dongah Pathen kah hmai te vaan lamkah suntla tih anih neh a hlang sawmnga te a hlawp.
13 Hivyo mfalme akatuma mkuu wa kikosi wa tatu na watu wake hamsini. Huyu mkuu wa kikosi wa tatu akapanda na kupiga magoti mbele ya Eliya, akiomba, “Mtu wa Mungu, tafadhali niachie uhai wangu na uhai wa hawa watu hamsini, watumishi wako!
Mael tih a pathum ah sawmnga kah mangpa te a hlang sawmnga neh a tueih tih cet. A pathum kah sawmnga mangpa tah a pha neh Elijah hmai ah a khuklu a cungkueng pah. Te phoeiah anih te a hloep tih a taengah, “Pathen kah hlang aw ka hinglu neh na mikhmuh kah na sal sawmnga kah hinglu he kueinah mai.
14 Tazama, moto umeshuka kutoka mbinguni na kuwateketeza wale wakuu wa vikosi viwili vya kwanza pamoja na watu wao. Lakini sasa niachie uhai wangu!”
Vaan lamkah hmai suntla tih lamhma kah sawmnga mangpa rhoi neh a hlang sawmnga te a hlawp coeng ne. Tedae na mikhmuh ah ka hinglu he kueinah mai,” a ti nah.
15 Malaika wa Bwana akamwambia Eliya, “Shuka pamoja naye, usimwogope.” Hivyo Eliya akainuka na kushuka pamoja naye kwa mfalme.
Te vaengah BOEIPA kah puencawn loh Elijah te, “A taengah suntla lamtah a mikhmuh ah rhih boeh,” a ti nah. Te dongah thoo tih anih neh manghai taengla cet.
16 Akamwambia mfalme, “Hili ndilo asemalo Bwana: Je, ni kwa sababu hakuna Mungu katika Israeli wa kumuuliza habari, ndiyo maana ukatuma wajumbe kuuliza Baal-Zebubu, mungu wa Ekroni? Kwa sababu umefanya hili, kamwe hutaondoka kwenye kitanda unachokilalia. Hakika utakufa!”
Te phoeiah manghai te, “BOEIPA loh he ni a thui. Amah ol te dawt hamla Israel ah Pathen om voel pawt tih nim Ekron pathen Baalzebub dawt hamla puencawn na tueih? Te dongah baiphaih na paan bangla te lamloh na suntla mahpawh, na duek rhoe na duek ni,” a ti nah.
17 Hivyo akafa, sawasawa na lile neno la Bwana ambalo Eliya alikuwa amesema. Kwa kuwa Ahazia hakuwa na mwana, Yoramu akawa mfalme baada yake katika mwaka wa pili wa Yehoramu mwana wa Yehoshafati mfalme wa Yuda.
Te dongah Elijah loh a thui BOEIPA ol bangla duek tih Jehoram te anih yueng la manghai.
18 Kwa matukio mengine ya utawala wa Ahazia na yale aliyoyafanya, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Israeli?
Ahaziah kah ol noi neh a saii te Israel manghai rhoek kah khokhuen olka cabu dongah a daek uh moenih a?

< 2 Wafalme 1 >