< 2 Yohana 1 >
1 Mzee: Kwa bibi mteule na watoto wake, niwapendao katika kweli, wala si mimi tu, bali na wale wote waijuayo kweli:
O ancião á senhora eleita, e a seus filhos, aos quaes amo na verdade, e não sómente eu, mas tambem todos os que teem conhecido a verdade,
2 kwa sababu ya ile kweli ikaayo ndani yetu na ambayo itaendelea kukaa nasi milele: (aiōn )
Por amor da verdade que está em nós e para sempre estará comnosco: (aiōn )
3 Neema, rehema na amani itokayo kwa Mungu Baba na kwa Yesu Kristo, Mwanawe Baba, itakuwa pamoja nasi katika kweli na upendo.
Graça, misericordia, paz, da parte de Deus Pae e da do Senhor Jesus Christo, o Filho do Pae, seja comvosco na verdade e caridade.
4 Imenipa furaha kuu kuona baadhi ya watoto wako wanaenenda katika kweli, kama vile Baba alivyotuagiza.
Muito me alegrarei por achar que alguns de teus filhos andam na verdade, assim como recebemos o mandamento do Pae.
5 Sasa, bibi mpendwa, si kwamba ninakuandikia amri mpya, bali ile tuliyokuwa nayo tangu mwanzo. Tupendane kila mmoja na mwenzake.
E agora, senhora, rogo-te, não como escrevendo-te um novo mandamento, mas aquelle que desde o principio tivemos, que nos amemos uns aos outros.
6 Hili ndilo pendo, kwamba tuenende sawasawa na amri zake. Hii ndiyo amri yake kama vile mlivyosikia tangu mwanzo, kwamba mwenende katika upendo.
E a caridade é esta: que andemos segundo os seus mandamentos. Este é o mandamento, como já desde o principio ouvistes, que n'elle andeis.
7 Wadanganyifu wengi, wasiokubali kwamba Yesu Kristo amekuja katika mwili, wametokea ulimwenguni. Mtu wa namna hiyo ni mdanganyifu na mpinga Kristo.
Porque já muitos enganadores entraram no mundo, os quaes não confessam que Jesus Christo veiu em carne. Este tal é o enganador e o anti-christo.
8 Jihadharini msije mkapoteza kile mlichokitenda, bali mpate kupewa thawabu kamilifu.
Olhae por vós mesmos, para que não percamos o que já trabalhámos, antes recebamos o inteiro galardão.
9 Mtu yeyote asiyedumu katika mafundisho ya Kristo, bali akayaacha, yeye hana Mungu. Yeyote anayedumu katika mafundisho ana Baba na Mwana pia.
Todo aquelle que prevarica, e não persevera na doutrina de Christo, não tem a Deus: quem persevera na doutrina de Christo, esse tem assim ao Pae como ao Filho.
10 Msimpokee mtu yeyote anayewajia ambaye hawaletei mafundisho haya, wala msimkaribishe nyumbani mwenu.
Se alguem vem ter comvosco, e não traz esta doutrina, não o recebaes em casa, nem tampouco o saudeis.
11 Yeyote amkaribishaye mtu wa namna hiyo anashiriki katika matendo maovu ya mtu huyo.
Porque quem o sauda tem parte nas suas más obras.
12 Ninayo mengi ya kuwaandikia, lakini sitaki kutumia karatasi na wino. Badala yake, nataraji kuja kwenu na kuongea nanyi ana kwa ana, ili furaha yetu ipate kuwa timilifu.
Muitas coisas tenho que escrever-vos, porém não quiz com papel e tinta; mas espero ir ter comvosco e fallar de bocca a bocca, para que o nosso gozo seja cumprido.
13 Watoto wa dada yako mteule wanakusalimu. Amen.
Saudam-te os filhos de tua irmã, a eleita. Amen.