< 2 Yohana 1 >

1 Mzee: Kwa bibi mteule na watoto wake, niwapendao katika kweli, wala si mimi tu, bali na wale wote waijuayo kweli:
Jene bhaluwa jino kujikopoka kwangu nne nkulungwa jwa likanisha. Ngunakunnjandishila mmanganya bhandunji bha likanisha, bhungumpinganga mpaka muntima. Nngabha nne jikape ngumpinganga, ikabheje nneila peila na bhowe bhakujimanyanga kweli, bhanakumpinganga.
2 kwa sababu ya ile kweli ikaayo ndani yetu na ambayo itaendelea kukaa nasi milele: (aiōn g165)
Pabha jene kweliji jinatama nkati jetu, na shijilonjeye tama na uwe pitipiti. (aiōn g165)
3 Neema, rehema na amani itokayo kwa Mungu Baba na kwa Yesu Kristo, Mwanawe Baba, itakuwa pamoja nasi katika kweli na upendo.
Atati a Nnungu pamo na a Yeshu Kilishitu bhana bhabho, bhanakutupa nema na shiya na ulele, bhene bhatama nkweli na pingana bhala.
4 Imenipa furaha kuu kuona baadhi ya watoto wako wanaenenda katika kweli, kama vile Baba alivyotuagiza.
Njiangalala kwa kaje kubhona kuti bhananji munkumbi gwa ashibhana bhenu, bhanatamangananga nkweli malinga Atati shibhashite kutuamulisha.
5 Sasa, bibi mpendwa, si kwamba ninakuandikia amri mpya, bali ile tuliyokuwa nayo tangu mwanzo. Tupendane kila mmoja na mwenzake.
Na nnaino a mama ngunakunshondelesheya, nngabha kuti ngunakunnjandishila amuli ja ambi, ikabheje ni amuli jituposhele kuumila ku ndandubho, tupingane.
6 Hili ndilo pendo, kwamba tuenende sawasawa na amri zake. Hii ndiyo amri yake kama vile mlivyosikia tangu mwanzo, kwamba mwenende katika upendo.
Na kupingana ni kutama nkukagulila amuli ya a Nnungu. Jeneji ni amuli jinnjipilikenenje kuumila ku ndandubho, ntamangane nkupingana.
7 Wadanganyifu wengi, wasiokubali kwamba Yesu Kristo amekuja katika mwili, wametokea ulimwenguni. Mtu wa namna hiyo ni mdanganyifu na mpinga Kristo.
Bhaunaminji bhabhagwinji bhakaakundanga kuti a Yeshu Kilishitu bhaaishe bhali na shiilu shabho, bhakoposhelenje pa shilambolyo. Mundu jwa nneyo analambila na akakwaakunda a Kilishitu.
8 Jihadharini msije mkapoteza kile mlichokitenda, bali mpate kupewa thawabu kamilifu.
Mwiiteiganje nnaobhianga shene shintendelenje maengo shila, ikabhe mpatanje upo itimilile.
9 Mtu yeyote asiyedumu katika mafundisho ya Kristo, bali akayaacha, yeye hana Mungu. Yeyote anayedumu katika mafundisho ana Baba na Mwana pia.
Mundu jojowe akaatama mmajiganyo ga a Kilishitu, jwenejo jwangali a Nnungu. Na jojowe akalonjeya mmajiganyo ga a Kilishitu na kugaleka, jwenejo jwangali a Nnungu. Jojowe atama mmajiganyo, akwete Atati na Mwana nneila peila.
10 Msimpokee mtu yeyote anayewajia ambaye hawaletei mafundisho haya, wala msimkaribishe nyumbani mwenu.
Nnamposhelanje mundu jojowe akunjiilanga gwangali kumpeleshelanga gene majiganyo gano, numbe nnaposhelanje mmajumba genunji.
11 Yeyote amkaribishaye mtu wa namna hiyo anashiriki katika matendo maovu ya mtu huyo.
Jojowe akumposhela mundu jwa nneyo, na jwalakwe anakwiilunda mwiitendi yangali ya mmbone.
12 Ninayo mengi ya kuwaandikia, lakini sitaki kutumia karatasi na wino. Badala yake, nataraji kuja kwenu na kuongea nanyi ana kwa ana, ili furaha yetu ipate kuwa timilifu.
Ngwete indu yaigwinji, ikabhe ngaapinga kunnjandishilanga kwa kalatashi na wino, ikabheje kuengwa kwangu ninng'owelanje kutukungulushe pamo na mmanganya tulibhonegana, nkupinga kuangalala kwetu kutimilile.
13 Watoto wa dada yako mteule wanakusalimu. Amen.
Bhana bha alumbu bhenu bhaagwilwe na a Nnungu, bhanakunnamushilanga.

< 2 Yohana 1 >