< 2 Yohana 1 >

1 Mzee: Kwa bibi mteule na watoto wake, niwapendao katika kweli, wala si mimi tu, bali na wale wote waijuayo kweli:
minen nii dur yaken cuko nawiiye ma kwameu kange bi beyo loceu wo mi cuiti mor bilenke kebo ka mokange gwam wuro nyimom bilenkeu.
2 kwa sababu ya ile kweli ikaayo ndani yetu na ambayo itaendelea kukaa nasi milele: (aiōn g165)
ker bilenkero wo bineneu an yii tibinen diiri (aiōn g165)
3 Neema, rehema na amani itokayo kwa Mungu Baba na kwa Yesu Kristo, Mwanawe Baba, itakuwa pamoja nasi katika kweli na upendo.
lima cire-duwe kange for nerek an yi kange bo fiye tebe kwama kange Yeecu kiritti bi bwe teu mor bilenke kange cwika
4 Imenipa furaha kuu kuona baadhi ya watoto wako wanaenenda katika kweli, kama vile Baba alivyotuagiza.
min bilengi duccu ma fiya kange bi beyo lome yayamti mor bilenke, nawo ma yuwou werfundo tebe nii,
5 Sasa, bibi mpendwa, si kwamba ninakuandikia amri mpya, bali ile tuliyokuwa nayo tangu mwanzo. Tupendane kila mmoja na mwenzake.
na weu mi ken nenti kebo na wo mi mulang mwen werfundo fwir tiye, nyori na woba yuwo ki kabaubi cwi butibo
6 Hili ndilo pendo, kwamba tuenende sawasawa na amri zake. Hii ndiyo amri yake kama vile mlivyosikia tangu mwanzo, kwamba mwenende katika upendo.
won co cwi kako ki bi yaa yam kange werfundo wo co werfundo na mwa nuwa ki kabau, ki bi ya yam more ce.
7 Wadanganyifu wengi, wasiokubali kwamba Yesu Kristo amekuja katika mwili, wametokea ulimwenguni. Mtu wa namna hiyo ni mdanganyifu na mpinga Kristo.
no bi bolebo ceruu duccu dor bitiner, ciyabo kange Yeecu kiritti wo bou mor bwiye. woro co nii bi bolero kange nii kiiye.
8 Jihadharini msije mkapoteza kile mlichokitenda, bali mpate kupewa thawabu kamilifu.
ko to bwikimeu kati bi cwrang dikero wo ba ma na ngen cereu, nyo tak ri nabi yuwo
9 Mtu yeyote asiyedumu katika mafundisho ya Kristo, bali akayaacha, yeye hana Mungu. Yeyote anayedumu katika mafundisho ana Baba na Mwana pia.
ni wo ya yamti kebo mor mwrangka kiritti, nombo kwama wuro ya yamti mor merangka wii ki teu kange bweu.
10 Msimpokee mtu yeyote anayewajia ambaye hawaletei mafundisho haya, wala msimkaribishe nyumbani mwenu.
nii wo nobou muneng bou bo ki merangka ko weu, yuwo core mor luwe mwe, yarum core tar
11 Yeyote amkaribishaye mtu wa namna hiyo anashiriki katika matendo maovu ya mtu huyo.
wo no yurum ce ri ciya kange merangka ceko bwirko
12 Ninayo mengi ya kuwaandikia, lakini sitaki kutumia karatasi na wino. Badala yake, nataraji kuja kwenu na kuongea nanyi ana kwa ana, ili furaha yetu ipate kuwa timilifu.
miki dike ducce ma mulang mwen tye, nyori ma cwibo mulang mwen ki diker mulangka dike. miki yo neri bou munen na yii nen nuwa kange nuwa, na bilentum bembo na dim
13 Watoto wa dada yako mteule wanakusalimu. Amen.
bi beyo lo korya mwe wo cokum me yrum nen ti.

< 2 Yohana 1 >