< 2 Yohana 1 >

1 Mzee: Kwa bibi mteule na watoto wake, niwapendao katika kweli, wala si mimi tu, bali na wale wote waijuayo kweli:
Kuh'oma kwa nseya kulota kwa n'dala j'ha a ateulibhu ni bhana K'yara, ambabho j'hanibhaganili mu bhukuweli na sio nene tubali ni bhoha bhola bhebhabhumanyili bhukweli.
2 kwa sababu ya ile kweli ikaayo ndani yetu na ambayo itaendelea kukaa nasi milele: (aiōn g165)
Kwa ndabha j'ha bhukweli bhwabhuj'helekesibhu mugati mwitu na j'haj'hibeta kutamesya pamonga nalu milele. (aiōn g165)
3 Neema, rehema na amani itokayo kwa Mungu Baba na kwa Yesu Kristo, Mwanawe Baba, itakuwa pamoja nasi katika kweli na upendo.
Neema, rehema, amani sibetakuj'ha natu kuh'omela kwa K'yara Dadi ni kuh'omela kwa Yesu Kristu, mwana ghwa Dadi mu bhukweli ni bhuganu.
4 Imenipa furaha kuu kuona baadhi ya watoto wako wanaenenda katika kweli, kama vile Baba alivyotuagiza.
Nibekuhobhoka sana kuj'ha nigunduwili baadhi j'ha bhana bhilota mu bhukweli, kama tu kyatuj'hij'hemb'elili amri e'j'he kuh'oma kwa tata.
5 Sasa, bibi mpendwa, si kwamba ninakuandikia amri mpya, bali ile tuliyokuwa nayo tangu mwanzo. Tupendane kila mmoja na mwenzake.
Na henu nikubh'ola bhebhe, n'dala, siyo kuj'ha nikulembela amri mpya, bali j'hela j'hatuj'h kubhwandelu, kuj'henayu kuh'omela kubhwandelu, kuj'ha twilondeka kuganana j'hoto kwa j'hoto. Niobhu ndo luganu, twatuilondeka kubhoj'hesya, kul'engana ni amri j'ha muene.
6 Hili ndilo pendo, kwamba tuenende sawasawa na amri zake. Hii ndiyo amri yake kama vile mlivyosikia tangu mwanzo, kwamba mwenende katika upendo.
Ej'he ndo amri kama kyamwaj'hip'heliki kuhomela kubhwandelu, kwamba mwilondeka kuk'hesya aghubaha.
7 Wadanganyifu wengi, wasiokubali kwamba Yesu Kristo amekuja katika mwili, wametokea ulimwenguni. Mtu wa namna hiyo ni mdanganyifu na mpinga Kristo.
Kwa kuj'ha bhasiyobhi bhingi bhasambele pa bhulimwengu ngai ni kubhakili kuj'ha Yesu Kristu ahidili ni m'mb'ele. O'j'ho ndo nsiyobhi na j'haikam'bela Kristu.
8 Jihadharini msije mkapoteza kile mlichokitenda, bali mpate kupewa thawabu kamilifu.
Mwilangaghe mwebhene ku'ha mwij'hesyalepi mambo ghala ghala tumalili kughabhombela mbombo. Lakini ili kuj'ha mubhwesiaghe kuij'ham'pelela tuzo kamili.
9 Mtu yeyote asiyedumu katika mafundisho ya Kristo, bali akayaacha, yeye hana Mungu. Yeyote anayedumu katika mafundisho ana Baba na Mwana pia.
J'hoj'hioha j'haij'hendelela kulongolo na itamusya lepi mulifundisyo lya Kristu, aj'he dumu nu K'yara. Muene j'haidumu mulifundisyo aj'henaku Tata ni Mean pia.
10 Msimpokee mtu yeyote anayewajia ambaye hawaletei mafundisho haya, wala msimkaribishe nyumbani mwenu.
Kama munu ihida kwa j'homu na iletadumu lifundisu e'le, musinkaribisi mu nyumba syenu na musimponesi.
11 Yeyote amkaribishaye mtu wa namna hiyo anashiriki katika matendo maovu ya mtu huyo.
Kwa kuj'ha j'haikamponesya ishiriki. mu matendo ghake manyari.
12 Ninayo mengi ya kuwaandikia, lakini sitaki kutumia karatasi na wino. Badala yake, nataraji kuja kwenu na kuongea nanyi ana kwa ana, ili furaha yetu ipate kuwa timilifu.
Njenaghu mambo mingi gha kukuj'handikila, na ndondeghelepi kughalemba mulikaratasi ni bhwino. Lakini nitumaini kuhida kwa muenga ni kulongela pamihu kwa pamihu, kuj'ha furaha j'hitu j'hikabhaghe kubhomba kinofu.
13 Watoto wa dada yako mteule wanakusalimu. Amen.
Bhana bha dada j'hinu nteule bhikabhasalimila ni kubhaponesya.

< 2 Yohana 1 >