< 2 Yohana 1 >

1 Mzee: Kwa bibi mteule na watoto wake, niwapendao katika kweli, wala si mimi tu, bali na wale wote waijuayo kweli:
Jan Boží církvi u vás a všem jejím členům. Miluji vás spolu se všemi, kdo poznali pravdu,
2 kwa sababu ya ile kweli ikaayo ndani yetu na ambayo itaendelea kukaa nasi milele: (aiōn g165)
která žije v našich srdcích a zůstane tu věčně. (aiōn g165)
3 Neema, rehema na amani itokayo kwa Mungu Baba na kwa Yesu Kristo, Mwanawe Baba, itakuwa pamoja nasi katika kweli na upendo.
A nejen pravda, ale i láska, slitování a pokoj od Boha Otce i od Ježíše, jeho Syna.
4 Imenipa furaha kuu kuona baadhi ya watoto wako wanaenenda katika kweli, kama vile Baba alivyotuagiza.
Mám radost, že někteří z vás žijí opravdu podle Božích přikázání.
5 Sasa, bibi mpendwa, si kwamba ninakuandikia amri mpya, bali ile tuliyokuwa nayo tangu mwanzo. Tupendane kila mmoja na mwenzake.
Nebude to nic nového, ale připomenu jen to, co víte už dávno:
6 Hili ndilo pendo, kwamba tuenende sawasawa na amri zake. Hii ndiyo amri yake kama vile mlivyosikia tangu mwanzo, kwamba mwenende katika upendo.
Milujme jedni druhé, jak nás tomu učil Ježíš Kristus.
7 Wadanganyifu wengi, wasiokubali kwamba Yesu Kristo amekuja katika mwili, wametokea ulimwenguni. Mtu wa namna hiyo ni mdanganyifu na mpinga Kristo.
Láska a poslušnost jsou naše jediná ochrana před svůdci, kterých je dnes všude plno. Kdo popírá, že Ježíš Kristus je Boží Syn, který se stal člověkem, vás zavádí a je Kristův nepřítel.
8 Jihadharini msije mkapoteza kile mlichokitenda, bali mpate kupewa thawabu kamilifu.
Mějte se na pozoru, aby nepřišlo nazmar, co jsme společně vybojovali, a abyste nakonec o všechno nepřišli.
9 Mtu yeyote asiyedumu katika mafundisho ya Kristo, bali akayaacha, yeye hana Mungu. Yeyote anayedumu katika mafundisho ana Baba na Mwana pia.
Kdo nemá dost na Kristově učení a pouští se do spekulací, vzdaluje se od Boha. Kdo se Kristova učení drží, má blízko k Bohu Otci i Synu.
10 Msimpokee mtu yeyote anayewajia ambaye hawaletei mafundisho haya, wala msimkaribishe nyumbani mwenu.
Přijde-li někdo s jiným učením, zavřete před ním dveře a nedávejte mu příležitost.
11 Yeyote amkaribishaye mtu wa namna hiyo anashiriki katika matendo maovu ya mtu huyo.
Kdo mu ji dává, stává se spoluviníkem.
12 Ninayo mengi ya kuwaandikia, lakini sitaki kutumia karatasi na wino. Badala yake, nataraji kuja kwenu na kuongea nanyi ana kwa ana, ili furaha yetu ipate kuwa timilifu.
Mám ještě mnohé na srdci, ale nechci to svěřit papíru. Doufám, že se k vám dostanu a osobně si pohovoříme a potěšíme se navzájem.
13 Watoto wa dada yako mteule wanakusalimu. Amen.
Všichni zdejší křesťané vás pozdravují.

< 2 Yohana 1 >