< 2 Wakorintho 1 >

1 Barua hii ni kutoka kwangu mimi Paulo, mtume wa Kristo Yesu kwa mapenzi ya Mungu, na Timotheo ndugu yetu, Kwa kanisa la Mungu lililoko Korintho, pamoja na watakatifu wote walioko Akaya yote:
Paweł, Apostoł Jezusa Chrystusa przez wolę Bożą, i Tymoteusz brat, zborowi Bożemu, który jest w Koryncie, ze wszystkimi świętymi, którzy są we wszystkiej Achai.
2 Neema na amani itokayo kwa Mungu Baba yetu na kwa Bwana Yesu Kristo iwe nanyi.
Łaska niech będzie wam i pokój od Boga, Ojca naszego, i Pana Jezusa Chrystusa.
3 Ahimidiwe Mungu na Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo, Baba wa huruma na Mungu wa faraja yote.
Błogosławiony niech będzie Bóg i Ojciec Pana naszego, Jezusa Chrystusa, Ojciec miłosierdzia a Bóg wszelkiej pociechy,
4 Yeye hutufariji katika taabu zetu, ili tuweze kuwafariji walio katika taabu yoyote kwa faraja ambayo sisi wenyewe tumepokea kutoka kwa Mungu.
Który nas cieszy w każdym ucisku naszym, abyśmy i my cieszyć mogli i tych, którzy są w jakimkolwiek ucisku, tąż pociechą, którą my sami pocieszeni bywamy od Boga.
5 Kama vile mateso ya Kristo yanavyozidi ndani ya maisha yetu, hivyo ndivyo faraja yetu inavyofurika kwa njia ya Kristo.
Gdyż jako w nas obfitują utrapienia Chrystusowe, tak przez Chrystusa obfituje i pociecha nasza.
6 Kama tunataabika, ni kwa ajili ya faraja na wokovu wenu; kama tukifarijiwa, ni kwa ajili ya faraja yenu, iwaleteayo saburi ya mateso yale yale yanayotupata.
Bo choć bywamy uciśnieni, dla waszej to pociechy i zbawienia, które się sprawuje przez znoszenie tegoż utrapienia, które i my cierpimy; choć też pocieszeni bywamy, i to dla waszej pociechy i zbawienia;
7 Nalo tumaini letu kwenu ni thabiti, kwa sababu tunajua kwamba kama vile mnavyoshiriki mateso yetu, ndivyo pia mnavyoshiriki katika faraja yetu.
A nadzieja nasza mocna jest o was, ponieważ wiemy, iż jakoście uczestnikami utrapienia, tak i pociechy.
8 Ndugu wapendwa, hatutaki mkose kujua kuhusu zile taabu tulizopata huko Asia. Kwa maana tulilemewa na mizigo sana, kiasi cha kushindwa kuvumilia, hata tulikata tamaa ya kuishi.
Albowiem nie chcemy, abyście nie mieli wiedzieć, bracia! o ucisku naszym, który nas spotkał w Azyi, iżeśmy nazbyt byli obciążeni i nad możność, tak iżeśmy byli poczęli wątpić i o żywocie.
9 Kwa kweli, mioyoni mwetu tulihisi tumekabiliwa na hukumu ya kifo, ili tusijitegemee sisi wenyewe bali tumtegemee Mungu afufuaye wafu.
Owszem i sami w sobie mieliśmy wyrok śmierci, abyśmy nie ufali sami w sobie, ale w Bogu, który wzbudza umarłych;
10 Yeye aliyetuokoa kwenye hatari kubwa ya kifo na atatuokoa tena. Kwake yeye tumeweka tumaini letu kwamba ataendelea kutuokoa.
Który z tak wielkiej śmierci wyrwał nas i jeszcze wyrywa, w którym nadzieję mamy, iż i napotem wyrwie;
11 Kama vile mlivyoungana kusaidiana nasi katika maombi, hivyo wengi watatoa shukrani kwa niaba yetu kwa ajili ya baraka za neema tulizopata kwa majibu ya maombi ya wengi.
Zwłaszcza gdy się też i wy pomożecie modlić za nami, aby za ten dar, który przez wiele osób nam jest pokazany, były też od wielu osób dzięki czynione za nas.
12 Basi haya ndiyo majivuno yetu: Dhamiri yetu inatushuhudia kwamba tumeenenda katika ulimwengu na hasa katika uhusiano wetu na ninyi, katika utakatifu na uaminifu utokao kwa Mungu. Hatukufanya hivyo kwa hekima ya kidunia bali kwa neema ya Mungu.
Albowiem toć jest chluba nasza, świadectwo sumienia naszego, żeśmy w prostocie i w szczerości Bożej, nie w cielesnej mądrości, ale w łasce Bożej na świecie obcowali, a najwięcej między wami.
13 Kwa maana hatuwaandikii mambo ambayo hamwezi kusoma au kuyaelewa. Natumaini kwamba,
Albowiem nic inszego wam nie piszemy, tylko to, co czytacie, albo też poznawacie, a spodziewam się, iż też aż do końca poznacie,
14 kama vile mlivyotuelewa kwa sehemu, mtakuja kuelewa kwa ukamilifu ili mweze kujivuna kwa ajili yetu, kama na sisi tutakavyojivuna kwa ajili yenu katika siku ya Bwana Yesu.
Jakoście też nas poznali po części, żeśmy chlubą waszą, jako i wy naszą w dzień Pana Jezusa.
15 Kwa kuwa nilikuwa na uhakika wa mambo haya, nilitaka nije kwenu kwanza, ili mpate faida mara mbili.
I z tąć ufnością chciałem był iść do was najpierwej, abyście wtóre dobrodziejstwo odebrali;
16 Nilipanga kuwatembelea nikiwa safarini kwenda Makedonia na kurudi tena kwenu nikitoka Makedonia, ili mnisafirishe katika safari yangu ya kwenda Uyahudi.
I przez was iść do Macedonii, i zasię z Macedonii przyjść do was, i od was być odprowadzony do Judzkiej ziemi.
17 Nilipopanga jambo hili, je, nilikuwa kigeugeu? Au ninafanya mipango yangu kwa hali ya mwili, ili niseme, “Ndiyo, ndiyo” na “Siyo, siyo” wakati huo huo?
O tem tedy myśląc, izalim co lekkomyślnie uczynił? albo to, o czem myślę, izali według ciała myślę, aby było u mnie: Tak tak i Nie nie?
18 Hakika kama Mungu alivyo mwaminifu, maneno yetu kwenu hayajawa “Ndiyo na Siyo.”
Aleć wierny jest Bóg, iż mowa nasza do was nie była: Tak i Nie.
19 Kwa kuwa Yesu Kristo, Mwana wa Mungu, ambaye tulimhubiri kwenu: Mimi, Silvano na Timotheo, hakuwa “Ndiyo” na “Siyo,” bali kwake yeye siku zote ni “Ndiyo.”
Albowiem Syn Boży, Jezus Chrystus, który między wami przez nas jest opowiadany, to jest, przez mię i przez Sylwana, i przez Tymoteusza, nie był: Tak i Nie; ale Tak w nim było.
20 Kwa maana ahadi zote za Mungu zilizo katika Kristo ni “Ndiyo.” Kwa sababu hii ni kwake yeye tunasema “Amen” kwa utukufu wa Mungu.
Bo ile jest obietnic Bożych, w nim są Tak i w nim są Amen, ku chwale Bożej przez nas.
21 Basi ni Mungu atufanyaye sisi pamoja nanyi kusimama imara katika Kristo. Ametutia mafuta
Ale ten, który nas utwierdza z wami w Chrystusie i który nas pomazał, Bóg jest;
22 kwa kututia muhuri wake na kutupa Roho wake mioyoni mwetu kuwa rehani kwa ajili ya kututhibitishia kile kijacho.
Który też zapieczętował nas i dał zadatek Ducha w serca nasze.
23 Mungu ni shahidi wangu kwamba ilikuwa ni kwa ajili ya kuwahurumia ninyi sikurudi Korintho.
Aleć ja Boga przyzywam na świadectwo na duszę moję, iż szanując was, dotądem nie przyszedł do Koryntu;
24 Si kwamba tunatawala imani yenu, bali twatenda kazi pamoja nanyi kwa ajili ya furaha yenu, kwa sababu ni kwa imani mwasimama imara.
Nie iżbyśmy panowali nad wiarą waszą, ale iż jesteśmy pomocnikami wesela waszego; bo wiarą stoicie.

< 2 Wakorintho 1 >