< 2 Wakorintho 1 >
1 Barua hii ni kutoka kwangu mimi Paulo, mtume wa Kristo Yesu kwa mapenzi ya Mungu, na Timotheo ndugu yetu, Kwa kanisa la Mungu lililoko Korintho, pamoja na watakatifu wote walioko Akaya yote:
Nene Pauli, mtumi wa Kilisitu Yesu kwa kugana kwa Chapanga, pamonga na mlongo witu Timoti. Nikuvayandikila nyenye vandu mwemkumsadika Kilisitu kwenuko ku Kolinto, na vandu voha vma Chapanga vevavi kila pandu pamulima wa Akaya.
2 Neema na amani itokayo kwa Mungu Baba yetu na kwa Bwana Yesu Kristo iwe nanyi.
Tikuvaganila uteke na ubwina kuhuma kwa Chapanga Dadi witu na BAMBU witu Yesu Kilisitu.
3 Ahimidiwe Mungu na Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo, Baba wa huruma na Mungu wa faraja yote.
Chapanga alumbiwa wa BAMBU witu Yesu Kilisitu, Dadi mweavi na lipyana na Chapanga mweipolesa mitima.
4 Yeye hutufariji katika taabu zetu, ili tuweze kuwafariji walio katika taabu yoyote kwa faraja ambayo sisi wenyewe tumepokea kutoka kwa Mungu.
Chapanga akutipolesa mitima mang'ahiso gitu goha muni na tete tivapolesa mitima vangi vevana mu mang'ahiso ndalindali, kwa kupoleswa mitima wula wetiupokili kuhuma kwa mwene.
5 Kama vile mateso ya Kristo yanavyozidi ndani ya maisha yetu, hivyo ndivyo faraja yetu inavyofurika kwa njia ya Kristo.
Na chating'aika kupata mang'ahiso ndava ya kumhengela Kilisitu mewawa ndi chetipoleswa neju mitima na Kilisitu.
6 Kama tunataabika, ni kwa ajili ya faraja na wokovu wenu; kama tukifarijiwa, ni kwa ajili ya faraja yenu, iwaleteayo saburi ya mateso yale yale yanayotupata.
Ngati tinga'hika, ndi ndava kupoleswa mitima kwinu na kusanguliwa kwinu. Tikapoleswa mitima ndi mewa na nyenye pamupoleswa mitima na kupewa makakala ga kukangamala mang'ahiso galagala.
7 Nalo tumaini letu kwenu ni thabiti, kwa sababu tunajua kwamba kama vile mnavyoshiriki mateso yetu, ndivyo pia mnavyoshiriki katika faraja yetu.
Kangi, huvalila yitu ndava yinu gasindimili, timanyili kuvya mwakahanganilayi mumanga'iso gitu, mewawa na nyenye yati mwihanganila kupoleswa mitima kwitu.
8 Ndugu wapendwa, hatutaki mkose kujua kuhusu zile taabu tulizopata huko Asia. Kwa maana tulilemewa na mizigo sana, kiasi cha kushindwa kuvumilia, hata tulikata tamaa ya kuishi.
Valongo, tigana lepi nyenye mkoto kumanya mang'ahiso gegatikolili ku Asia, mang'ahiso genago gatopili neju, kupita uhotola witu wa kukangamala hati huvalila yoha ya kutama yatimaliki.
9 Kwa kweli, mioyoni mwetu tulihisi tumekabiliwa na hukumu ya kifo, ili tusijitegemee sisi wenyewe bali tumtegemee Mungu afufuaye wafu.
Chakaka tete mumitima yitu tajiwene ngati vandu vevahukumiwi kukomewa, muni tiwuliwayi kumhuvalila Chapanga mweakuvayukisa vevafwili, pahala pa kuhuvalila makakala gitu tavete.
10 Yeye aliyetuokoa kwenye hatari kubwa ya kifo na atatuokoa tena. Kwake yeye tumeweka tumaini letu kwamba ataendelea kutuokoa.
Mwene atisangwili mung'aiso gavaha gala gegaganili kutikoma, na iyendelela kutisangula, tete timvikili huvalila yitu kuvya yati akutisangula kavili.
11 Kama vile mlivyoungana kusaidiana nasi katika maombi, hivyo wengi watatoa shukrani kwa niaba yetu kwa ajili ya baraka za neema tulizopata kwa majibu ya maombi ya wengi.
Na mwavene mukutitangatila kwa kutiyupila kwa Chapanga. Kutiyupila kwinu yati muyanguliwa, na Chapanga yati akutimotisa ndi vandu vamahele yati vakumsengusa Chapanga ndava yitu.
12 Basi haya ndiyo majivuno yetu: Dhamiri yetu inatushuhudia kwamba tumeenenda katika ulimwengu na hasa katika uhusiano wetu na ninyi, katika utakatifu na uaminifu utokao kwa Mungu. Hatukufanya hivyo kwa hekima ya kidunia bali kwa neema ya Mungu.
Tete timekela chindu chimonga, mtima witu ukutijovela muuchakaka kuvya titamili pamulima apa na neju pagati yinu, mumtima wa usopi na mukusadikika kwekwihuma kwa Chapanga. Tihengili genago lepi kwa luhala lwa chimundu, nambu kuhuma kuubwina wa Chapanga.
13 Kwa maana hatuwaandikii mambo ambayo hamwezi kusoma au kuyaelewa. Natumaini kwamba,
Tikuvayandikila nyenye mambu gamwihotola kugasoma na kugamanya. Mtima wangu wisadika kuvya yati mwimanya hotohoto,
14 kama vile mlivyotuelewa kwa sehemu, mtakuja kuelewa kwa ukamilifu ili mweze kujivuna kwa ajili yetu, kama na sisi tutakavyojivuna kwa ajili yenu katika siku ya Bwana Yesu.
muni mbaka hinu mwimanya padebe. Kangi timanya kuvya mwimanya hotohoto kuvya mu ligono la kuwuya BAMBU witu Yesu yati mwimeka ndava yitu ngati tete yati chetimekela ndava yinu.
15 Kwa kuwa nilikuwa na uhakika wa mambo haya, nilitaka nije kwenu kwanza, ili mpate faida mara mbili.
Navi na uchakaka mulijambu lenilo, ndi napangili kuvagendelela nyenye kumbele, muni mpata mota mala zivili kwa kunilola nene mala zivili.
16 Nilipanga kuwatembelea nikiwa safarini kwenda Makedonia na kurudi tena kwenu nikitoka Makedonia, ili mnisafirishe katika safari yangu ya kwenda Uyahudi.
Navi na mpangu kuvedukila kwinu mulugendu lwa kuhamba mulima wa Makedonia na mewa palukumbi lwa kuwuya, muni nipatayi utangatila winu mulugendu lwangu lwa kuhamba ku Yudea.
17 Nilipopanga jambo hili, je, nilikuwa kigeugeu? Au ninafanya mipango yangu kwa hali ya mwili, ili niseme, “Ndiyo, ndiyo” na “Siyo, siyo” wakati huo huo?
Muhololela wuli? Panapangili genago nivii ngati namundu nangali luhala. Wu, muholalela kuvya penipanga mambu gangu nikita ngati vandu va mulima uwu “Veviyidakila goha na kubela goha palukumbi lumonga?”
18 Hakika kama Mungu alivyo mwaminifu, maneno yetu kwenu hayajawa “Ndiyo na Siyo.”
Nambu Chapanga ndi mchakaka hotohoto, ujumbi witu kwinu lepi lijambu la kujova “Ena” Na bahapo “Lepi.”
19 Kwa kuwa Yesu Kristo, Mwana wa Mungu, ambaye tulimhubiri kwenu: Mimi, Silvano na Timotheo, hakuwa “Ndiyo” na “Siyo,” bali kwake yeye siku zote ni “Ndiyo.”
Muni Yesu Kilisitu, Mwana wa Chapanga, mweakokosiliwi kwinu nyenye na Sila na Timoti, na nene Siliwano, avili lepi mundu wa “Ena” Na kubela “Lepi” Mulukumbi lumonga nambu magono goha ndi Ena ya Chapanga.
20 Kwa maana ahadi zote za Mungu zilizo katika Kristo ni “Ndiyo.” Kwa sababu hii ni kwake yeye tunasema “Amen” kwa utukufu wa Mungu.
Muni mwene ndi mweitimalisa malaganu goha ga Chapanga. Mewawa mu njila ya Yesu Kilisitu tijova “Ena” Ndava ya kumulumba Chapanga.
21 Basi ni Mungu atufanyaye sisi pamoja nanyi kusimama imara katika Kristo. Ametutia mafuta
Chapanga ndi mweatihagwili na mweatikangamalisa tete pamonga na nyenye mukuwungana na Kilisitu,
22 kwa kututia muhuri wake na kutupa Roho wake mioyoni mwetu kuwa rehani kwa ajili ya kututhibitishia kile kijacho.
Atipeli Mpungu Msopi mumitima yitu muni alangisa tete ndi tavandu va Chapanga na avyai ulangisu wa kulangisa kuvya chakaka.
23 Mungu ni shahidi wangu kwamba ilikuwa ni kwa ajili ya kuwahurumia ninyi sikurudi Korintho.
Chapanga ndi mshuudila wangu, mwene aumanyili mtima wangu! Nawuyili lepi kavili Kolinto, ndava nikotoka kuvavinisa mitima mukuvajovela malovi gakali.
24 Si kwamba tunatawala imani yenu, bali twatenda kazi pamoja nanyi kwa ajili ya furaha yenu, kwa sababu ni kwa imani mwasimama imara.
Tihenela lepi makakala ndava ya sadika yinu, nyenye msindimili mukusadika kwinu. Getiganikiwa kuhenga lihengu pamonga ndava ya sangaluka yinu.