< 2 Wakorintho 1 >
1 Barua hii ni kutoka kwangu mimi Paulo, mtume wa Kristo Yesu kwa mapenzi ya Mungu, na Timotheo ndugu yetu, Kwa kanisa la Mungu lililoko Korintho, pamoja na watakatifu wote walioko Akaya yote:
Na, Bolo, da Gode Ea ilegeiba: le, Yesu Gelesu Ea asunasi dunu hamoi dagoi. Na amola ninia fi dunu Dimodi, ania da dili, Gode Ea fa: no bobogesu fi dunu Golidia moilai bai bagade ganodini amola Gode Ea fi dunu Aga: ia soge ganodini, dilima meloa dedesa.
2 Neema na amani itokayo kwa Mungu Baba yetu na kwa Bwana Yesu Kristo iwe nanyi.
Dilia da ninia Ada Gode amola Hina Yesu Gelesu, amo Ea hahawane dogolegele iasu amola olofosu dawa: ma: ne, na da Godema sia: ne gadosa.
3 Ahimidiwe Mungu na Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo, Baba wa huruma na Mungu wa faraja yote.
Gode da ninia gogolema: ne olofosu Ada esala. Ninia fidisu huluane da Ema maha. E da ninia Hina Gode Yesu Gelesu amo Ea Ada. Ninia Ema hahawane dogolegele nodone sia: ne gadomu da defea.
4 Yeye hutufariji katika taabu zetu, ili tuweze kuwafariji walio katika taabu yoyote kwa faraja ambayo sisi wenyewe tumepokea kutoka kwa Mungu.
Ninia se nabasea, E da ninia fidisu dunu esala. Amaiba: le, E da ninima dogo denesisu hou olelebeba: le, amo dogo denesisu ninia lalegaguli, eno dunu ilia se nabasea, ilima dogo denesisu hou imunusa: dawa:
5 Kama vile mateso ya Kristo yanavyozidi ndani ya maisha yetu, hivyo ndivyo faraja yetu inavyofurika kwa njia ya Kristo.
Ninia Yesu Gelesu Ea se nabasu bagohame, amo gilisili se naba. Amo defele, ninia Yesu Gelesuma madelagiba: le, Gode Ea fidisu amola ba: lala.
6 Kama tunataabika, ni kwa ajili ya faraja na wokovu wenu; kama tukifarijiwa, ni kwa ajili ya faraja yenu, iwaleteayo saburi ya mateso yale yale yanayotupata.
Ninia se nabasea, bai da dili fidima: ne amola dili gaga: ma: ne, se naba. Amasea, Gode da ninima fidisu iasea, amo da dili fidima: ne amola dilia da ninia defele se nabasea mae dafama: ne, Gode da amo fidisu ninima iaha.
7 Nalo tumaini letu kwenu ni thabiti, kwa sababu tunajua kwamba kama vile mnavyoshiriki mateso yetu, ndivyo pia mnavyoshiriki katika faraja yetu.
Amaiba: le, dilia dafasa: besa: le ninia da hame beda: sa. Ninia se nabasu defele dilia naba, amo ninia dawa: Be ninia fidisu defele, amo Gode da dili fidisa, amo amola ninia dawa:
8 Ndugu wapendwa, hatutaki mkose kujua kuhusu zile taabu tulizopata huko Asia. Kwa maana tulilemewa na mizigo sana, kiasi cha kushindwa kuvumilia, hata tulikata tamaa ya kuishi.
Be ninia fi dunu! Ninia A: isia soge ganodini se bagade nabasu, amo dilia bu dawa: ma: ne na da sia: sa. Ninia da: i dioi baligiliwane ba: beba: le, bogomusa: dawa: i galu.
9 Kwa kweli, mioyoni mwetu tulihisi tumekabiliwa na hukumu ya kifo, ili tusijitegemee sisi wenyewe bali tumtegemee Mungu afufuaye wafu.
Ninia da Gode da ninima ninia da: i hodo bogoma: ne fofada: i dagoi dawa: i galu. Be amo hou da ninia hou adoba: musa: ninima doaga: i. Ninia gasa mae dawa: le, be Gode amo Ea bogoi wa: legadolesisu hou dawa: su, amo Ea gasa fawane dawa: ma: ne, amo hou da ninima doaga: i.
10 Yeye aliyetuokoa kwenye hatari kubwa ya kifo na atatuokoa tena. Kwake yeye tumeweka tumaini letu kwamba ataendelea kutuokoa.
11 Kama vile mlivyoungana kusaidiana nasi katika maombi, hivyo wengi watatoa shukrani kwa niaba yetu kwa ajili ya baraka za neema tulizopata kwa majibu ya maombi ya wengi.
Be ninia mae bogoma: ne, Gode da gaga: i amola E da bu gaga: mu. Amola dilia da nini fidima: ne Godema sia: ne gadolalea, ninia dafawane hamoma: beyale dawa: lusu bai da Gode amo ganodini dialumu. Amasea, sia: ne gadosu bagohame nabasea, Gode da bu adole imunu amola E da ninima hahawane olelemu. Amasea, E da nini fidibiba: le, dunu bagohame da Ema ha: giwane nodone sia: ne gadomu.
12 Basi haya ndiyo majivuno yetu: Dhamiri yetu inatushuhudia kwamba tumeenenda katika ulimwengu na hasa katika uhusiano wetu na ninyi, katika utakatifu na uaminifu utokao kwa Mungu. Hatukufanya hivyo kwa hekima ya kidunia bali kwa neema ya Mungu.
Ninia da wali osobo bagadega esalebeba: le, hou noga: iwane hamosa. Amo da dafawane ninisu ninia asigi dawa: su da ninima olelebeba: le, ninia hahawane gala. Ninia dilima na: iyado hou hamosa amo da Gode da osobo bagade dunu ea hou mae dawa: le, be gasawane amola asigiwane olelebeba: le, ninia da dilima moloiwane amola mae ogogolewane hamosu.
13 Kwa maana hatuwaandikii mambo ambayo hamwezi kusoma au kuyaelewa. Natumaini kwamba,
14 kama vile mlivyotuelewa kwa sehemu, mtakuja kuelewa kwa ukamilifu ili mweze kujivuna kwa ajili yetu, kama na sisi tutakavyojivuna kwa ajili yenu katika siku ya Bwana Yesu.
Ninia dilia idisu amola dawa: su, amo defele dilia dawa: ma: ne ninia dilima dedesa. Be wali dilia da ninia hou la: idi fawane dawa: sa. Be ninia hou huluane dilia dawa: mu da defea. Amasea, Hina Gode Yesu Ea bu misunu eso amoga, dilia da ninia dilima hahawane hou amo defele, dilia da ninima hahawane ganumu.
15 Kwa kuwa nilikuwa na uhakika wa mambo haya, nilitaka nije kwenu kwanza, ili mpate faida mara mbili.
Amo huluane na dafawaneyale dawa: beba: le, na da adunawane dilima misusa: dawa: i galu.
16 Nilipanga kuwatembelea nikiwa safarini kwenda Makedonia na kurudi tena kwenu nikitoka Makedonia, ili mnisafirishe katika safari yangu ya kwenda Uyahudi.
Na da Ma: sidounia moilai bai bagade amoga doaga: musa: ahoana, dili ba: musa: dawa: i galu. Amalu, Ma: sidounia yolesili, ahoanu, na da dili bu ba: musa: dawa: i. Amalalu, ba: lalu, dilia da na Yudia sogega asunasimu na da dawa: i galu.
17 Nilipopanga jambo hili, je, nilikuwa kigeugeu? Au ninafanya mipango yangu kwa hali ya mwili, ili niseme, “Ndiyo, ndiyo” na “Siyo, siyo” wakati huo huo?
Agoane hamomusa: dawa: beba: le, na da ogogole hamoi dilia dawa: bela: ? Na da gilisili “Ma” amola “Hame”, sia: sala: ? Hame mabu.
18 Hakika kama Mungu alivyo mwaminifu, maneno yetu kwenu hayajawa “Ndiyo na Siyo.”
Gode da dafawane sia: sa. Amo defele, na sia: da dafawane. Na gilisili “Ma” amola “Hame”, amo dilima hame sia: i.
19 Kwa kuwa Yesu Kristo, Mwana wa Mungu, ambaye tulimhubiri kwenu: Mimi, Silvano na Timotheo, hakuwa “Ndiyo” na “Siyo,” bali kwake yeye siku zote ni “Ndiyo.”
Be Sailase, Dimodi amola na, ninia da Yesu Gelesu, Gode Ea Manodafa amo Ea hou dilima olelei. Yesu da ogogolewane “Ma” amola “Hame”, gilisili hame sia: sa. Be E da Gode Ea gasa bagade “Ma” sia: su Dunu.
20 Kwa maana ahadi zote za Mungu zilizo katika Kristo ni “Ndiyo.” Kwa sababu hii ni kwake yeye tunasema “Amen” kwa utukufu wa Mungu.
E da Gode Ea hahawane ilegele imunu sia: i amoma “Ma” sia: su Dunu. Amaiba: le, ninia Gode Ea hadigi ba: lalu, Yesu Gelesu Ea Dioba: le, Godema “Ama” sia: sa.
21 Basi ni Mungu atufanyaye sisi pamoja nanyi kusimama imara katika Kristo. Ametutia mafuta
Gode Hi fawane da dili amola nini, gilisili Yesu Gelesuma madelagiba: le, ninia eso huluane mae bogole Fifi Ahoanusu lai dagoi dafawaneyale dawa: sa.
22 kwa kututia muhuri wake na kutupa Roho wake mioyoni mwetu kuwa rehani kwa ajili ya kututhibitishia kile kijacho.
Gode Hi da Ea na: iyado fi hamomusa: , nini eno dunuma afafane, ilegei dagoi. Ninima hobea misunu liligi, Gode Ea imunu liligi amo noga: le dawa: ma: ne, Gode da Ea A: silibu Hadigidafa Gala amo ilegesu defele, ninia dogo ganodini sali dagoi.
23 Mungu ni shahidi wangu kwamba ilikuwa ni kwa ajili ya kuwahurumia ninyi sikurudi Korintho.
Gode da na ba: su dunu. E da na dogo ganodini asigi dawa: su dawa: lala. Be na da dilima ougili gagabole sia: sa: besa: le, Golidia moilai bai bagade amoga hame misi.
24 Si kwamba tunatawala imani yenu, bali twatenda kazi pamoja nanyi kwa ajili ya furaha yenu, kwa sababu ni kwa imani mwasimama imara.
Ninia dilima gasa bagadewane ouligisuwane sia: mu higasa. Dilia Gode Ea hou noga: le lalegagui ninia dawa: Be dilia bu hahawane esaloma: ne, ninia da dili gilisili hawa: hamonana.