< 2 Wakorintho 9 >

1 Hakuna haja yangu kuwaandikia kuhusu huduma hii itolewayo kwa ajili ya watakatifu.
Kuhusiana ni huduma kwajia ya bhaumini, ndo bora zaidi kwa nene kubhayandikila.
2 Kwa kuwa ninajua mlivyo na shauku ya kusaidia, nami nimekuwa nikijivuna kwa ajili ya jambo hilo kwa watu wa Makedonia, nikiwaambia kuwa ninyi wa Akaya mmekuwa tayari kutoa tangu mwaka jana na shauku yenu imewachochea wengi wao katika kutoa.
Nimanyili kup'etela shauku yhinu, ya najivunili kwa bhanu bha Makedonia. Nabhajobhili kuwa Akaya iyele tiyali kuhomela mwaka waulotili. Hamu yhinu ibhapelili n'teema bhingi kuketa.
3 Lakini sasa nawatuma hawa ndugu ili kujivuna kwetu kuhusu mchango wenu kusiwe maneno matupu, bali mpate kuwa tayari kama nilivyosema mngekuwa tayari.
Henu, nibhatumili bhalongo ili ndabha majifunilu ghitu kup'etela muenga ghasibhu gha mebhwa, nikujobhela kuleka kuya tiyali, kutya kanajobhilinga mwayele.
4 Kwa maana kama nikija na Mmakedonia yeyote na kuwakuta hamjawa tayari, tutaona aibu kusema chochote juu yenu katika matoleo.
Kifenge, kutya munu yuoayola wa Makedonia akahidai pamonga ni kubhakolela muyele lepi tayali, ngatughabhuene agha - Nijobha hee kioakela kuhusu muenga- kwa kuya jasili sana kup'etela muenga.
5 Kwa hivyo niliona ni muhimu niwahimize hawa ndugu watangulie kuja huko kwenu kabla yangu, wafanye mipango ya hayo matoleo ya ukarimu mliyokuwa mmeahidi, ili yawe tayari kama matoleo ya hiari wala si kama ya kutozwa kwa nguvu.
Efu nabhueni kubhasili sana bhalongobhangu kuhida kwinu ni kutita mipango mapema kwajia ya zawadi sa mwaahidi. Eye ndo naa ili liyelai tayari mu balaka, ni si Kujo khenu kyakimalili kuamulibhwa.
6 Kumbukeni kwamba: Yeyote apandaye kwa uchache pia atavuna kwa uchache, naye apandaye kwa ukarimu pia atavuna kwa ukarimu.
Libhuaso ndo ele: Munu yaipandai fidusu kabhele alavuna fidusu, ni yuoayola yaipandai kwa Lego la balaka alavuna balaka.
7 Kila mtu atoe kama anavyokusudia moyoni mwake, si kwa uchoyo au kwa kulazimishwa, kwa maana Mungu humpenda yeye atoaye kwa moyo mkunjufu.
Basi kabhele kila mmonga apisyai kutya kaapangili mu n'teema bhuake. Basi kabhele ni muene asipisi kwa kuluma au kwa kulasimisya. Kwandabha K'yara akan'gana yhola yaipisya ki fulaha.
8 Naye Mungu aweza kuwapa kila baraka kwa wingi, ili katika mambo yote kila wakati, mwe na kila kitu mnachohitaji, ili mweze kushiriki kwa wingi katika kila kazi njema.
Ni K'yara ibhuesya kuizidisya kili balaka kwa yhomo, yandabha mubhwesyai kusidisya kila litendo lyema.
9 Kama ilivyoandikwa: “Ametawanya vipawa vyake kwa ukarimu akawapa maskini; haki yake hudumu milele.” (aiōn g165)
Kutya kaayandiki: “Autawenye utajili ni kuupisya kwa bha masikini. Haki ya muene yidumu milele.” (aiōn g165)
10 Yeye ampaye mpanzi mbegu kwa ajili ya kupanda na mkate kuwa chakula, atawapa na kuzizidisha mbegu zenu za kupanda na kuongeza mavuno ya haki yenu.
Ni muene yaipisya mbeye kwa kuipanda ni n'kati kwajia ya kyakulya. kabhele alapisya ni kuzidisya mbegu yhinu kwajia ya kupanda. Muene iyongesya mavuno gha haki.
11 Mtatajirishwa kwa kila namna ili mpate kuwa wakarimu kila wakati, na kupitia kwetu, ukarimu wenu utamletea Mungu shukrani.
Mlatajilishwa kwa kila namna yakuwa mubhwesyai kuya bhakalimu. Eye ilaleta shukulani kwa K'yara kup'etela tete.
12 Huduma hii mnayofanya si tu kwa ajili ya kukidhi mahitaji ya watakatifu, bali huzidi sana kwa shukrani nyingi apewazo Mungu.
Kwa kuketa huduma eye so tu yigusya mahitaji ghabhaumini. Kabhele yizidisya kup'etela matendo mingi gha shukulani kwa K'yara.
13 Kwa sababu ya huduma ambayo mmejithibitisha wenyewe, watu watamtukuza Mungu kwa ajili ya utiifu ufuatanao na ukiri wenu wa Injili ya Kristo, na kwa ukarimu wenu wa kushiriki pamoja nao na pia wengine wote.
Ndabha ya kup'hemibhwa kwinu ni kusibitishibhwa kwa huduma eye, kabhele mlamtukusya K'yara ki utii ni kukili kwinu kup'hetela injili ya kristu. Kabhele mlamtukusya K'yara ki ukalimu ni kalama yhinu kwa bhene ni kila mmonga.
14 Nao katika maombi yao kwenu mioyo yao itawaonea shauku kwa sababu ya neema ipitayo kiasi mliyopewa na Mungu.
Bhakabhatamani, nabhisoma kwajia ya yhomo. Bhiketa naa ndabha ya neema ibhaa ya k'yara yaiyele panani phinu.
15 Ashukuriwe Mungu kwa karama yake isiyoelezeka.
Shukulani siyelai kwa K'yara kwa kalamu yaki yaibelilikuleseka!

< 2 Wakorintho 9 >