< 2 Wakorintho 9 >

1 Hakuna haja yangu kuwaandikia kuhusu huduma hii itolewayo kwa ajili ya watakatifu.
Judah khawa Pamhnama Khyang he naw aning jah kbi lawa mawng hin ka yuk vai am hlü ve.
2 Kwa kuwa ninajua mlivyo na shauku ya kusaidia, nami nimekuwa nikijivuna kwa ajili ya jambo hilo kwa watu wa Makedonia, nikiwaambia kuwa ninyi wa Akaya mmekuwa tayari kutoa tangu mwaka jana na shauku yenu imewachochea wengi wao katika kutoa.
Jah kpüi vai nami tängki ti ka ksinga phäha Maketawnih khyang hea veia ning jah awhcah na veng. “Akaijah khawa awmki jumeiki he ta tuhkum üngka ami jah kpüikpak vaia ngtün pängki he ni” tia ka pyen. Nami jah kpüikpak hlü naw jah thawhlet sak ve.
3 Lakini sasa nawatuma hawa ndugu ili kujivuna kwetu kuhusu mchango wenu kusiwe maneno matupu, bali mpate kuwa tayari kama nilivyosema mngekuwa tayari.
Cunsepi, acuna ka ning jah awhcahnak, amdanga am akya lawnak vaia bena he ka jah tüiki, acun cun ka pyena mäiha ngcüngcei u lü nami na awm vaia kyaki.
4 Kwa maana kama nikija na Mmakedonia yeyote na kuwakuta hamjawa tayari, tutaona aibu kusema chochote juu yenu katika matoleo.
Am acunüng Maketawnih khaw üngka khyang he naw na läk law hnga u lü, am ngcüngcei u lü nami ve ning jah hmu law se, keimi (nangmi ä ka tiki) kami ning jah üppangei naki ihlawka kami ngkehkhyakei khai he ni.
5 Kwa hivyo niliona ni muhimu niwahimize hawa ndugu watangulie kuja huko kwenu kabla yangu, wafanye mipango ya hayo matoleo ya ukarimu mliyokuwa mmeahidi, ili yawe tayari kama matoleo ya hiari wala si kama ya kutozwa kwa nguvu.
Acunakyase, jumeiki he nami veia ana law ma u lü, petmsawt vaia ngthumkhän nami mkhän päng cen nami na ngpängnak vaia, ning jah nghuina kdaw khaia ka ngaihki ni, acun cun amthuia kthäha kba am kya lü, mlung yängnak am petmsawta ngpäng lü ana awmnak vaia kyaki.
6 Kumbukeni kwamba: Yeyote apandaye kwa uchache pia atavuna kwa uchache, naye apandaye kwa ukarimu pia atavuna kwa ukarimu.
Cunsepi, acuna mawngma üng hin hin sümei ua, mci apica sawki naw apica at be khai, akdäm sawki naw akdäm at be khai.
7 Kila mtu atoe kama anavyokusudia moyoni mwake, si kwa uchoyo au kwa kulazimishwa, kwa maana Mungu humpenda yeye atoaye kwa moyo mkunjufu.
Upi kpameinak am am pe lü, am pet üng am daw khai tia ngainak am pi ä pe lü, a mlunga yängnak am pe se; Pamhnam naw mlung yängnak am peki mhläkphya naki.
8 Naye Mungu aweza kuwapa kila baraka kwa wingi, ili katika mambo yote kila wakati, mwe na kila kitu mnachohitaji, ili mweze kushiriki kwa wingi katika kila kazi njema.
Acunüng Pamhnam naw a bäkhäknak naküt nami khana kbe theiki; acunüng, nangmi naw ahmäi üng khäk ve tia am awmkia, khutbi kdaw binak naküt üng nami ve khai.
9 Kama ilivyoandikwa: “Ametawanya vipawa vyake kwa ukarimu akawapa maskini; haki yake hudumu milele.” (aiōn g165)
“Ani naw hlükaweiki he üng jah peki, ania m'yeneinak angläta awmki” tia cangcim naw pyenki. (aiōn g165)
10 Yeye ampaye mpanzi mbegu kwa ajili ya kupanda na mkate kuwa chakula, atawapa na kuzizidisha mbegu zenu za kupanda na kuongeza mavuno ya haki yenu.
Mciksaw üng mci la ei vai buh pekia Pamhnam kung naw, nami hlüa mci cun pi ning jah pe lü dämduhsak se khawjaha nami yah be khai.
11 Mtatajirishwa kwa kila namna ili mpate kuwa wakarimu kila wakati, na kupitia kwetu, ukarimu wenu utamletea Mungu shukrani.
Angläta pet hlünaka mlung nami ta khaia Mhnam naw ning jah bawimang sak khai. Acunüng khyang he naw nami petmsawtnak yah u lü Pamhnam je na khai he.
12 Huduma hii mnayofanya si tu kwa ajili ya kukidhi mahitaji ya watakatifu, bali huzidi sana kwa shukrani nyingi apewazo Mungu.
Ahina ngpüinaka khutbinak naw khyang ngcim hea khuikhanak a jah kpüinak dänga am kya lü, Pamhnama bäkhäknak aktäa sangnak vaia pi kyasaki ni.
13 Kwa sababu ya huduma ambayo mmejithibitisha wenyewe, watu watamtukuza Mungu kwa ajili ya utiifu ufuatanao na ukiri wenu wa Injili ya Kristo, na kwa ukarimu wenu wa kushiriki pamoja nao na pia wengine wote.
Acuna petmsawtnaka khut nami bilawh la am kpamei u lü nami jah petmsawta phäha, khyang he naw Khritawa thangkdaw üng nami sitihnak üng Pamhnam mhlünmtai khai he.
14 Nao katika maombi yao kwenu mioyo yao itawaonea shauku kwa sababu ya neema ipitayo kiasi mliyopewa na Mungu.
Nami khana Pamhnama bäkhäknak dämda khaia nami phäha ning jah ktaiyü pe u lü, aktäa ning jah ngai khai he.
15 Ashukuriwe Mungu kwa karama yake isiyoelezeka.
Aphuküi bäkhäknak a jah yeta phäha Pamhnam mi je na vai u.

< 2 Wakorintho 9 >