< 2 Wakorintho 9 >
1 Hakuna haja yangu kuwaandikia kuhusu huduma hii itolewayo kwa ajili ya watakatifu.
Game ni hidimar bi tsartsra a bin na anh ne bawu.
2 Kwa kuwa ninajua mlivyo na shauku ya kusaidia, nami nimekuwa nikijivuna kwa ajili ya jambo hilo kwa watu wa Makedonia, nikiwaambia kuwa ninyi wa Akaya mmekuwa tayari kutoa tangu mwaka jana na shauku yenu imewachochea wengi wao katika kutoa.
Me to marmari bi wa me gbresan ni wu ni shishi ndi bi Makidonyah. Me lah ne bawu Akaya ba riga na mlan son tu senmu nhoyu bi sanbruandi ba ri dun
3 Lakini sasa nawatuma hawa ndugu ili kujivuna kwetu kuhusu mchango wenu kusiwe maneno matupu, bali mpate kuwa tayari kama nilivyosema mngekuwa tayari.
Me to ba ni yi emre vayi na dun grea ni yin ka he wu lheya ma, ni yi son ne whre, na wa metre duniya ti.
4 Kwa maana kama nikija na Mmakedonia yeyote na kuwakuta hamjawa tayari, tutaona aibu kusema chochote juu yenu katika matoleo.
Idan ana nayina rin nime bi Makidoniyawa ba whume da na ye bi nahe shutina ki jin shan me na ha nikpe metra ni tu bina me khrin gabagadi ni tu bi.
5 Kwa hivyo niliona ni muhimu niwahimize hawa ndugu watangulie kuja huko kwenu kabla yangu, wafanye mipango ya hayo matoleo ya ukarimu mliyokuwa mmeahidi, ili yawe tayari kama matoleo ya hiari wala si kama ya kutozwa kwa nguvu.
Me to abi dun me tru mrevayi dun ba ye ni kafi tom ni yin shirin ne gudumawa wa bi yo iyu. wa yi ha naki ni shiri be ni matsayi bayarwa ni ti lulu ana kpe wu funkpa na
6 Kumbukeni kwamba: Yeyote apandaye kwa uchache pia atavuna kwa uchache, naye apandaye kwa ukarimu pia atavuna kwa ukarimu.
Intra naki whu wa wu chun fime wu chan fime wa wu chun brabra nitun lulu whu kpa lulu.
7 Kila mtu atoe kama anavyokusudia moyoni mwake, si kwa uchoyo au kwa kulazimishwa, kwa maana Mungu humpenda yeye atoaye kwa moyo mkunjufu.
Ko di anh no wa surm no di no na no di sorfunna ko ba fun ne gbegble in Rji ni so bi wa ba no ne kpamhye sar ba.
8 Naye Mungu aweza kuwapa kila baraka kwa wingi, ili katika mambo yote kila wakati, mwe na kila kitu mnachohitaji, ili mweze kushiriki kwa wingi katika kila kazi njema.
Rji ha ni gbegble yo lulu ni ko anh da no bra ko nita ani dun kpe bi so ana kon sun niyi da ribabany dun dindi wa bi ha wu.
9 Kama ilivyoandikwa: “Ametawanya vipawa vyake kwa ukarimu akawapa maskini; haki yake hudumu milele.” (aiōn )
Na di ba nah a ga wo ma da no bin bana ha ni wu na. Ti bima ni ha tutur (aiōn )
10 Yeye ampaye mpanzi mbegu kwa ajili ya kupanda na mkate kuwa chakula, atawapa na kuzizidisha mbegu zenu za kupanda na kuongeza mavuno ya haki yenu.
Wa a no bi wu chun ni gurasa don birin, ani no da du brabra ni yi wu bin wu chun. ani yo chan adalci ni bra.
11 Mtatajirishwa kwa kila namna ili mpate kuwa wakarimu kila wakati, na kupitia kwetu, ukarimu wenu utamletea Mungu shukrani.
Bi he niwu babran nita no kim ni ndu ba gir ni Rji nitu mbu.
12 Huduma hii mnayofanya si tu kwa ajili ya kukidhi mahitaji ya watakatifu, bali huzidi sana kwa shukrani nyingi apewazo Mungu.
Tin wa hidima ni ha dinma tsatra din ribanbanya hi ndun. bi bra da gir ni Rji.
13 Kwa sababu ya huduma ambayo mmejithibitisha wenyewe, watu watamtukuza Mungu kwa ajili ya utiifu ufuatanao na ukiri wenu wa Injili ya Kristo, na kwa ukarimu wenu wa kushiriki pamoja nao na pia wengine wote.
Ba tsra yin na to hidima na gber Rji ni tin biyayya ni tre hlan Almasihu. Bi gbersan Rji ta jawa no uwu bi ni bru.
14 Nao katika maombi yao kwenu mioyo yao itawaonea shauku kwa sababu ya neema ipitayo kiasi mliyopewa na Mungu.
Ba he ni umre wu toyin na bra ni yi wu ba ti wa ni tun alheri Rji ni tu bi.
15 Ashukuriwe Mungu kwa karama yake isiyoelezeka.
Gri ni Rji ni no ma a na kgo kgo bran