< 2 Wakorintho 8 >

1 Basi sasa ndugu, nataka ninyi mjue kuhusu ile neema ambayo Mungu amewapa makanisa ya Makedonia.
Kin lâibungngei le sarnungei, Macedonia rama koiindangngei lâia Pathien moroina sintho lenna hah nin riet rangin kin nuom ani.
2 Pamoja na majaribu makali na taabu walizopata, furaha waliyokuwa nayo ilikuwa kubwa, ingawa walikuwa maskini kupindukia, kwa upande wao walifurika kwa wingi wa ukarimu.
Intaknangei an tong han minsin tatakin an oma; aniatachu, an râisâna alien tatak sikin inriengtak nikhomsenla ngei, phaltakin pêkna an dôn ani.
3 Kwa maana nashuhudia kwamba wao walitoa kwa kadiri wawezavyo, hata na zaidi ya uwezo wao, kwa hiari yao wenyewe,
An pharidôr chu an pêka, an phari nêka tam khom an nuom dodôrin an pêk ti nangni ki min riet minthâr ani.
4 wakitusihi kwa bidii wapewe fursa ya kushiriki katika huduma hii ya kuwasaidia watakatifu.
An theia mulungsuokin Judea rama Pathien mingei sanna thona tieng khom sintum dôn sa rangin min ngên ani.
5 Wala hawakufanya tulivyotazamia, bali walijitoa wao wenyewe kwa Bwana kwanza na ndipo wakajitoa kwa ajili yetu, kufuatana na mapenzi ya Mungu.
Maha kin sabeina pêna ani! Amotona Pumapa kôm an pêk baka; masuole chu, Pumapa lungdôn kin kôm anninanâkin an inpêk nôk ani.
6 Kwa hiyo tulimsihi Tito, kwa kuwa ndiye alianzisha jambo hili, akamilishe tendo hili la neema kwa upande wenu.
Masikin hi sin phutpu, Titus hih kin ngên, hi lungkhamna chuonsin alieka sa uol hih sin minzom tita nangni zoipui rangin.
7 Lakini kama vile mlivyo mbele sana katika yote: Katika imani, katika usemi, katika maarifa, katika uaminifu wote na katika upendo wenu kwetu sisi, vivyo hivyo tunataka pia mzidi katika neema hii ya kutoa.
Nin dôn murdi: taksônna ngei, thurchi misîr theina ngei, le rietna ngei, mi san ranga nin jôtna ngei le mi nin lungkhamna han nin nei oka. Masikin hi lungkhamna chuonsin khoma hin phaltaka nin inpêk sa rangin nangni kin nuom ani.
8 Siwaamrishi, lakini nataka kujaribu unyofu wa upendo wenu kwa kuulinganisha na bidii ya wengine.
Ite balamngei nangni khang pe ma-ung. Nikhomsenla midangngeiin mi san rang an jôt tie ngei nangni min mûn, mi nin lungkham hih adik tatak mo ti riet rang ku pût ani.
9 Kwa maana mnajua neema ya Bwana wetu Yesu Kristo, kwamba ingawa alikuwa tajiri, kwa ajili yenu alikubali kuwa maskini, ili kwa umaskini wake ninyi mpate kuwa matajiri.
Ei Pumapa Jisua Khrista moroina hah nin rieta; nei bâk khomsenla, nangni a min nei theina rangin, nangni jârin amananâkin inrieng a chang ani.
10 Ushauri wangu kuhusu lile lililo bora kwenu juu ya jambo hili ni huu: Mwaka uliopita ninyi mlikuwa wa kwanza si tu kutoa lakini pia mlikuwa na shauku ya kufanya hivyo.
Ku nuomlam chu nikuma nin phut hah atûn hin zoi ungla chu nin ta rangin sa uol atih. Sin ranga aphut masa vai nimak choia, hannirese sin ranga a nuom masa khom nin ni sa.
11 Sasa ikamilisheni kazi hii kwa shauku kama mlivyoanza, jitoleeni kulingana na uwezo wenu.
Hanchu ma chunga han minngam titin, nan chuonsin hah zoi ta roi! Nin lei mintuo anghan zoi rangin jôt ungla, male atûna nin dôn lam tak lehin tho roi.
12 Kwa kuwa kama nia ya kutoa ipo, kitolewacho kinakubalika kulingana na kile mtu alicho nacho, wala si kwa kile ambacho hana.
Pêk rang nin jôtin chu, nin dônloi chunga niloiin, nin dôn chunga nin neinunpêk hah Pathien'n khôk atih.
13 Nia yetu si kwamba wengine wasaidike wakati ninyi mnateseka, bali pawe na uwiano.
Nin chunga puokrik nangni min pêlin midangngei mojôk rang pût mu-unga; aniatachu hi zora hin atam nin dôn sikin, ânsam ngei nin san ngei hah asa ani. Hanchu, nangni nin insama anni an dôn mintam khomin nangni san an tih. Ma anghan in-angna om atih.
14 Kwa wakati huu, wingi wa vitu mlivyo navyo usaidie kutosheleza mahitaji yao, ili wakati wao watakapokuwa na wingi wa vitu, nao wapate kutosheleza mahitaji yenu.
15 Ndipo patakuwa na usawa, kama ilivyoandikwa: “Aliyekusanya zaidi hakuwa na ziada, wala aliyekusanya kidogo hakupungukiwa.”
Pathien lekhabu'n, “Arût mintam pu han dôn mintam uol maka, male arût mintôm pu han dôn mantôm uol mak,” ati anghan.
16 Ninamshukuru Mungu ambaye amemtia Tito moyo wa kuwajali ninyi kama mimi ninavyowajali.
Nangni san ranga kin jôt anghan Titus mulung sûnga jôtna min dônpu Pathien chunga kin râiasân tatak!
17 Si kwamba Tito amekubali tu ombi letu, bali anakuja kwenu akiwa na shauku kuliko wakati mwingine, tena kwa hiari yake mwenyewe.
Kin ngênna a lei modôm vai niloiin; ama theia mulungsuokin nangni san rang jôtin nin kôm hong rangin a masat ani.
18 Nasi tunamtuma pamoja naye ndugu ambaye anasifiwa na makanisa yote kwa huduma yake ya kuhubiri Injili.
Ama leh lâibung inkhat thurchisa misîrna sin a thona sika koiindangngei murdi'n an jâ tatak ngâipu hah kin juongtîr sa.
19 Zaidi ya hayo, alichaguliwa na makanisa ili asafiri pamoja nasi tulipokuwa tunapeleka matoleo ya ukarimu, kwa ajili ya utukufu wa Bwana mwenyewe, na ili kuonyesha hisani yetu kuwasaidia.
Male mapên han, ama hih lungkhamna sin Pathien roiinpuina rang le nangni san kin nuomna minlangna rang kin chuonsina le khuolchaina mi jûi ranga koiindangngeiin an thanga an phun ani.
20 Tunataka kuepuka lawama yoyote kuhusu jinsi tunavyosimamia matoleo haya ya ukarimu.
Phaltaka neinunpêk tam kin semna roia hin tute chiernangei akaithoi loina rangin kin indîn ani.
21 Kwa kuwa tunakusudia kufanya kile kilicho haki si machoni mwa Bwana peke yake, bali pia machoni mwa watu wengine.
Kin neinunkhîn chu Pumapa mitmua vai niloiin, midangngei mitmua khom dikna sin hih ani.
22 Pamoja nao, tunamtuma ndugu yetu ambaye mara kwa mara ametuthibitishia kwa njia nyingi kwamba ana shauku, naam, zaidi sana sasa kwa sababu analo tumaini kuu kwenu.
Masikin anni lehan kin lâibung inkhat kin juongtîra; vêl tamtak kin minsina male nangni san rang a jôt tatak tiin kin riet. Male atûn vâng chu nin chunga mulungngamna a dôn sabaka, nangni san rang a jôt uol ok zoi.
23 Kwa habari ya Tito, yeye ni mwenzangu na mtendakazi pamoja nami miongoni mwenu. Kwa habari za ndugu zetu, wao ni wawakilishi wa makanisa, na utukufu kwa Kristo.
Titus hi chu, ka champui le nangni sanna sin ni thopui ngâipu ani; lâibung dang a champuingei hi chu koiindangngei ruthûla Khrista kôm roiinpuina mintung ngei an ni.
24 Kwa hiyo waonyesheni wazi hawa ndugu uthibitisho wa upendo wenu na sababu inayotufanya tujivune kwa ajili yenu, mbele ya makanisa, ili yapate kuona.
Anni ngei kôm han nin lungkhamna minlang roi, masikin nangni kin songna chungroi hin kin dik ti hih koiindangngei murdi'n an riet theina rangin.

< 2 Wakorintho 8 >