< 2 Wakorintho 8 >

1 Basi sasa ndugu, nataka ninyi mjue kuhusu ile neema ambayo Mungu amewapa makanisa ya Makedonia.
Tiyaka muenga mmanyai, kaka ni dada, kup'etela neema ya K'yara yaipisibhu mu mmakanisa gha Makedonia.
2 Pamoja na majaribu makali na taabu walizopata, furaha waliyokuwa nayo ilikuwa kubwa, ingawa walikuwa maskini kupindukia, kwa upande wao walifurika kwa wingi wa ukarimu.
Magono gha papipi gha mateso, bhuingi fulaha ya bhene ni kuyongeseka kwa umasikini wa bhene uhoguili utajili ubhaa ni ukalimu.
3 Kwa maana nashuhudia kwamba wao walitoa kwa kadiri wawezavyo, hata na zaidi ya uwezo wao, kwa hiari yao wenyewe,
Kwandabha nishudila yakuwa bhapisili kwa kadili kabhabhuesyai, ni kuzidi kabhabhwesyai.
4 wakitusihi kwa bidii wapewe fursa ya kushiriki katika huduma hii ya kuwasaidia watakatifu.
Ni kwa hiali yabhene bhabhene kwa kutusihi kuingi, bhatusomili kwajia ya kushiliki kup'etela huduma eye kwa bhaumini.
5 Wala hawakufanya tulivyotazamia, bali walijitoa wao wenyewe kwa Bwana kwanza na ndipo wakajitoa kwa ajili yetu, kufuatana na mapenzi ya Mungu.
Eye yatokili hee kutya katatalajilai. Badala yaki, kuanza bhajipisili bha bhene kwajia ya Bwana. kabhele bhajipisili bha bhene kwa tete kup'etela mapenzi gha K'yara.
6 Kwa hiyo tulimsihi Tito, kwa kuwa ndiye alianzisha jambo hili, akamilishe tendo hili la neema kwa upande wenu.
Kaabhele tan'jobhili Tito, yaayele tiyali ayandili mbhombho eye, kuleta kup'etela mu utimilifu mu litendo ele la ukalimu panani payhomo.
7 Lakini kama vile mlivyo mbele sana katika yote: Katika imani, katika usemi, katika maarifa, katika uaminifu wote na katika upendo wenu kwetu sisi, vivyo hivyo tunataka pia mzidi katika neema hii ya kutoa.
Ila muenga mna ubhuingi kup'etela kila khenu kup'etela imani, kup'etela lujobhelu, kup'etela umaalifa, kup'etela ubidii, ni kup'etela upendo bhuinu kwajia ya tete. Efe kabhele mhakikisiayi kujo mwiya ni ubhuingi kabhele kup'etela litendo ele la ukalimu.
8 Siwaamrishi, lakini nataka kujaribu unyofu wa upendo wenu kwa kuulinganisha na bidii ya wengine.
Nijobha ele so kutya amuli. Badala yaki, nijobha ele ili kup'hema uhalisi wa upendo bhuinu kwa kulenganisya ni shauku ya bhanu bhangi.
9 Kwa maana mnajua neema ya Bwana wetu Yesu Kristo, kwamba ingawa alikuwa tajiri, kwa ajili yenu alikubali kuwa maskini, ili kwa umaskini wake ninyi mpate kuwa matajiri.
Kwandabha mmanyili neema ya Bwana wayhoto Yesu Kristu. Hata kujobhela ayele tajili, kwajia ya yhomo ayele masikini. Yakuwa kup'etela umasikini wa muene ili muenga mubhwesya kuya bhatajili.
10 Ushauri wangu kuhusu lile lililo bora kwenu juu ya jambo hili ni huu: Mwaka uliopita ninyi mlikuwa wa kwanza si tu kutoa lakini pia mlikuwa na shauku ya kufanya hivyo.
Kup'etela lijambo ele nikabhapela ushauli wawilota kubhasaidila. Mwaka ummonga waulotili, mwayandili hee tu kubhomba lijambo. Lakini mwatamene kuliketa.
11 Sasa ikamilisheni kazi hii kwa shauku kama mlivyoanza, jitoleeni kulingana na uwezo wenu.
Henu mlikamilisiayi. Kutya katayele ni shauku ni nia ya kuliketa, kabhele, ko, ngamwabhwesili kulileta mu ukamilifu, kwa kadili ka mwibhuesya.
12 Kwa kuwa kama nia ya kutoa ipo, kitolewacho kinakubalika kulingana na kile mtu alicho nacho, wala si kwa kile ambacho hana.
Kwandabha muye ni shauku ya kuketa lijambo ele, lijambo ele, lijambo linofu tu nalikakubalika. Lasima li yhema panani pa khela kaayenaku munu, so panani adulili munu.
13 Nia yetu si kwamba wengine wasaidike wakati ninyi mnateseka, bali pawe na uwiano.
Kwandabha mbhombho eye so kwajia ya bhamana bhabhwesyai kuya nafuu ni muenga mulenubhwai. Badala yaki, ni usawa.
14 Kwa wakati huu, wingi wa vitu mlivyo navyo usaidie kutosheleza mahitaji yao, ili wakati wao watakapokuwa na wingi wa vitu, nao wapate kutosheleza mahitaji yenu.
Bhuingi bhuinu kwa magono gha henu ulasaidila kwa khela kabhilonda. Eye ndo kabhele kujo ubhuingi wa bhene ubhwesyai kusaidila mahitaji ghinu, ni kujo kuyelai ni usawa.
15 Ndipo patakuwa na usawa, kama ilivyoandikwa: “Aliyekusanya zaidi hakuwa na ziada, wala aliyekusanya kidogo hakupungukiwa.”
Eye ndo kutya kaayandiki; “Muene yaayele ni fhingi eyele hee ni khenu kihokela kakabakili ni muene yaayele ni kidusu ayele lepi ni uhitaji bhuoa bhola.”
16 Ninamshukuru Mungu ambaye amemtia Tito moyo wa kuwajali ninyi kama mimi ninavyowajali.
Ila ashukulibhuayi K'yara, yaabhekili n'teema mugati mwa Tito n'teema bhola bhola wa uyeleni bidii ya kujali ghaniyele naghu kwajia ya yhomo.
17 Si kwamba Tito amekubali tu ombi letu, bali anakuja kwenu akiwa na shauku kuliko wakati mwingine, tena kwa hiari yake mwenyewe.
Kwandabha so tu ayop'holili maombi ghitu, bali kabhele ayele ni bidii kup'etela ni maombi aghu. Ahidili kwa muenga kwa hiali ya yumuene.
18 Nasi tunamtuma pamoja naye ndugu ambaye anasifiwa na makanisa yote kwa huduma yake ya kuhubiri Injili.
Tuntumili pamonga ni muene ndhongo yaisifibhwa miongoni mwa makanisa kwajia ya mbhombho ya muene ya kutangasya injili.
19 Zaidi ya hayo, alichaguliwa na makanisa ili asafiri pamoja nasi tulipokuwa tunapeleka matoleo ya ukarimu, kwa ajili ya utukufu wa Bwana mwenyewe, na ili kuonyesha hisani yetu kuwasaidia.
Tee naa tu, ila kabhele aghagulibhu ni makanisa kusafili ni tete kup'etela kup'henda sehemu syoa sela litendo ele la ukalimu. Eye ndo kwa utukufu wa Bwana muene ni kwa shauku ya yhoto ya kusaidila.
20 Tunataka kuepuka lawama yoyote kuhusu jinsi tunavyosimamia matoleo haya ya ukarimu.
Tiyepuka ni ubhuesekano wa yuoayhola ipasibhwa kulalamika kup'etela tete mu ukalimu obho watup'hendili.
21 Kwa kuwa tunakusudia kufanya kile kilicho haki si machoni mwa Bwana peke yake, bali pia machoni mwa watu wengine.
Tito lawangalifu kuketa kya kiyele kya heshima, so tu palongolo pa Bwana, nikabhele palongolo pa bhanu.
22 Pamoja nao, tunamtuma ndugu yetu ambaye mara kwa mara ametuthibitishia kwa njia nyingi kwamba ana shauku, naam, zaidi sana sasa kwa sababu analo tumaini kuu kwenu.
Kabhele tunkantuma ndongho yhongi pamonga ni bhene. Tumpemili mala singi, na tumbuene kujo yaayele ni shauku kwajia ya mbhombho singi. Hata henu ayele ni bidii zaidi kwa ndabha ya ujasili ubhaa ya ayele nabhu mugati bhuinu.
23 Kwa habari ya Tito, yeye ni mwenzangu na mtendakazi pamoja nami miongoni mwenu. Kwa habari za ndugu zetu, wao ni wawakilishi wa makanisa, na utukufu kwa Kristo.
Kwa habali ya Tito, Muene nshilika njangu ni mbhomba mbhombho njangu kwajia ya yhomo. Kujo tya kwa bhalongo bhitu, bhitumibhwa ni makanisa. Nando bha heshima bha Kristu.
24 Kwa hiyo waonyesheni wazi hawa ndugu uthibitisho wa upendo wenu na sababu inayotufanya tujivune kwa ajili yenu, mbele ya makanisa, ili yapate kuona.
Ndo mbhalasyai upendo bhuinu, na mlasyai ni mmakanisa ndabha ya majifuno ghitu kwajia ya yhomo.

< 2 Wakorintho 8 >