< 2 Wakorintho 8 >
1 Basi sasa ndugu, nataka ninyi mjue kuhusu ile neema ambayo Mungu amewapa makanisa ya Makedonia.
Kami püi he aw, Maketawniha sangcim hea veia Pamhnam naw bäkhäknak a jah pet kami ning jah ksing hlüsaki.
2 Pamoja na majaribu makali na taabu walizopata, furaha waliyokuwa nayo ilikuwa kubwa, ingawa walikuwa maskini kupindukia, kwa upande wao walifurika kwa wingi wa ukarimu.
Acuna sangcim he cun ami awmnaka khuikhanak aktäa khamei u lü m'yenkseki he, acunsepi aktäa petmsawtnak üng ktha naki he kyase ami jekyainak dämki.
3 Kwa maana nashuhudia kwamba wao walitoa kwa kadiri wawezavyo, hata na zaidi ya uwezo wao, kwa hiari yao wenyewe,
Ami khyaih khawjah pe u lü acuna thea pi peki he tia ka ksingki. Ami pet hlüa kba peki he ni.
4 wakitusihi kwa bidii wapewe fursa ya kushiriki katika huduma hii ya kuwasaidia watakatifu.
Acukba petmsawtnak üng khyang ngcim he jah kpüi yüm vaia Judah khawa jah nghui naki he.
5 Wala hawakufanya tulivyotazamia, bali walijitoa wao wenyewe kwa Bwana kwanza na ndipo wakajitoa kwa ajili yetu, kufuatana na mapenzi ya Mungu.
Kami ngaiha kthaka, akcüka Bawipa veia ngpe kyu u lü; acunüng Pamhnama ngjakhlüa amimät keimia veia ngpe kyuki he.
6 Kwa hiyo tulimsihi Tito, kwa kuwa ndiye alianzisha jambo hili, akamilishe tendo hili la neema kwa upande wenu.
Acunakyase, Petmsawtnaka khut tünei maki Tihtuh naw petmsawtnaka khut a kpäng vaia kami mthehki.
7 Lakini kama vile mlivyo mbele sana katika yote: Katika imani, katika usemi, katika maarifa, katika uaminifu wote na katika upendo wenu kwetu sisi, vivyo hivyo tunataka pia mzidi katika neema hii ya kutoa.
Acunakyase, ahmäi üng jummeinak, ngthu sangnak, ksingkhyapnak, ahmäi hmäi üng ngsümtawmnak, keimi nami jah jawngnak nami mdana kba, acuna bäkhäknak pi nami mdan vaia ktha na ua.
8 Siwaamrishi, lakini nataka kujaribu unyofu wa upendo wenu kwa kuulinganisha na bidii ya wengine.
Ngthupeta kba am ka ning jah mthehki, khyang kcea jah kpüi vai ihlawka yängki he ti la, jawngnak akcang la am akcang ti mhnüteinaka ka pyen na kyaki ni.
9 Kwa maana mnajua neema ya Bwana wetu Yesu Kristo, kwamba ingawa alikuwa tajiri, kwa ajili yenu alikubali kuwa maskini, ili kwa umaskini wake ninyi mpate kuwa matajiri.
Mi Bawipa Jesuh Khritawa bäkhäknak nami ksingki ni; ani cun nangmi nami bawimangnak vaia phäha amät naw amät m'yenkse saki ni. Acun cun Nangmi nami bawimangnak vaia phäha m'yenkse lawki.
10 Ushauri wangu kuhusu lile lililo bora kwenu juu ya jambo hili ni huu: Mwaka uliopita ninyi mlikuwa wa kwanza si tu kutoa lakini pia mlikuwa na shauku ya kufanya hivyo.
Tuh kum üng nami tüneinak atuh nami kpäng vai ka ngja lüki. Nangmi cun nami tünei khai dänga am kya lü nami tünei vai nami ngjahlü kcükia pi nami kyaki.
11 Sasa ikamilisheni kazi hii kwa shauku kama mlivyoanza, jitoleeni kulingana na uwezo wenu.
Acunakyase, ajana petmsawt hlünaka mlungmthin nami taka kba, atuh nami khyaiha pe u lü ngpängsak ua.
12 Kwa kuwa kama nia ya kutoa ipo, kitolewacho kinakubalika kulingana na kile mtu alicho nacho, wala si kwa kile ambacho hana.
Petmsawt hlünaka mlung a ve üng, am na tak am ni, na takca i pi na pet cun Mhnam naw ning dokhamei pe khai.
13 Nia yetu si kwamba wengine wasaidike wakati ninyi mnateseka, bali pawe na uwiano.
Akce he phüiha jang vaia nami khana phüih k’yüh am ta veng. Atuh nami bawimangnak am amimi jah kpüi u lü, tuha amimi ami bawimang law üng ning jah kpüi khai he. Ahinkba atänga ve ua.
14 Kwa wakati huu, wingi wa vitu mlivyo navyo usaidie kutosheleza mahitaji yao, ili wakati wao watakapokuwa na wingi wa vitu, nao wapate kutosheleza mahitaji yenu.
15 Ndipo patakuwa na usawa, kama ilivyoandikwa: “Aliyekusanya zaidi hakuwa na ziada, wala aliyekusanya kidogo hakupungukiwa.”
Cangcim naw, “Mcun dämki naw am da na law naw, apica mcunki pi a tak am jaw naw” tia a pyena kba.
16 Ninamshukuru Mungu ambaye amemtia Tito moyo wa kuwajali ninyi kama mimi ninavyowajali.
Ning jah kpüi vaia kami kthanaka kba Tihtuh naw pi a kthanak vaia mlung pekia Pamhnam kami jenaki.
17 Si kwamba Tito amekubali tu ombi letu, bali anakuja kwenu akiwa na shauku kuliko wakati mwingine, tena kwa hiari yake mwenyewe.
Ani cun, ka nghuinak, a ngai dänga am kya lü mlung hlünak am nami veia a hlüa lawki.
18 Nasi tunamtuma pamoja naye ndugu ambaye anasifiwa na makanisa yote kwa huduma yake ya kuhubiri Injili.
Acunüng, thangkdaw a khüihnak üng sangcim he naw aktäa ami leisawnga bena, ani am atänga kami tüih law khai.
19 Zaidi ya hayo, alichaguliwa na makanisa ili asafiri pamoja nasi tulipokuwa tunapeleka matoleo ya ukarimu, kwa ajili ya utukufu wa Bwana mwenyewe, na ili kuonyesha hisani yetu kuwasaidia.
Acun dänga am kya, Bawipa hlüngtainak vaia kami bilawh, petmsawtnak kami cehpüi üng jah ngkhahpüi khai la, kpüi vaia kami yängnak mdang khaia, sangcim he naw ami xüa kyaki.
20 Tunataka kuepuka lawama yoyote kuhusu jinsi tunavyosimamia matoleo haya ya ukarimu.
Acunüng, acuna petmsawtnaka khutbi kami bilawh üng, u naw am a jah mkatei vaia kami mceiki.
21 Kwa kuwa tunakusudia kufanya kile kilicho haki si machoni mwa Bwana peke yake, bali pia machoni mwa watu wengine.
Bawipa ngaih dänga am kya lü khyanga ngaiha pi dawkya khaia kami ngaiki he ni.
22 Pamoja nao, tunamtuma ndugu yetu ambaye mara kwa mara ametuthibitishia kwa njia nyingi kwamba ana shauku, naam, zaidi sana sasa kwa sababu analo tumaini kuu kwenu.
Ami veia kami bena kce pi kami tüih si khai; ani cun ahmäi üng khüi lü kthanaki ti khawvei kami ksing päng, atuh pi ning jah üp na lü ning jah kpüi khaia yäng bawk bawki.
23 Kwa habari ya Tito, yeye ni mwenzangu na mtendakazi pamoja nami miongoni mwenu. Kwa habari za ndugu zetu, wao ni wawakilishi wa makanisa, na utukufu kwa Kristo.
Tihtuh cun ka püi la nami phäha ka khüihpüia kyaki; ani mah maha lawki hea bena kce he cun sangcim hea jah tüih law, Khritawa hlüngtainaka kyaki he.
24 Kwa hiyo waonyesheni wazi hawa ndugu uthibitisho wa upendo wenu na sababu inayotufanya tujivune kwa ajili yenu, mbele ya makanisa, ili yapate kuona.
Acun hea veia nami jawngnak jah mdan u; acunüng kami ning jah awhcahnak cun sangcim he naw ksing khai he.