< 2 Wakorintho 6 >
1 Kama watendakazi pamoja na Mungu, tunawasihi msipokee neema ya Mungu bure.
Bhai uwe tubhaga tubhakamula liengo pamo na a Nnungu, tunakunshondelesheyanga nnaposhelanje nema ja a Nnungu pa yoyo.
2 Kwa maana asema: “Wakati wangu uliokubalika nilikusikia, siku ya wokovu nilikusaidia.” Tazama, wakati uliokubalika ndio huu, siku ya wokovu ndiyo sasa.
Pabha a Nnungu Mmajandiko ga Ukonjelo bhakuti, “Malanga ga pwaa nampilikanishiye, malanga ga ntapulo nannjangutile.” Bhai nnole, nnaino ni malanga ga pwaa, na lyubha lya ntapulo ni lelo.
3 Hatuweki kitu cha kukwaza katika njia ya mtu yeyote, ili huduma yetu isionekane kuwa na lawama.
Tukaapinga kubha shigwegwe kuka mundu jojowe, wala kwaatendanga bhandunji bhatugambanje nniengo lyetu.
4 Bali kama watumishi wa Mungu tuonyeshe kwa kila njia: katika saburi nyingi; katika dhiki, katika misiba, na katika shida;
Ikabheje, kwa kila shindu tulanguye kuti tubhatumishi bha a Nnungu, tulikwiipililila mmobha ga laga na mmboteko na nshilaje.
5 katika kupigwa, katika kufungwa gerezani na katika ghasia; katika kazi ngumu, katika kukesha na katika kufunga;
Nkukomwa na Nkutabhwa na nkutendelwa pujo, na tokoteka maengo, tushisheya na laga shibhanga.
6 katika utakatifu, katika ufahamu, katika uvumilivu, na katika utu wema; katika Roho Mtakatifu na upendo wa kweli;
Tuilanguye kuti tubhatumishi bha a Nnungu kwa mitima ja takata, na kwa lumanyio na kwa kwipililila na kwa uguja, kwa Mbumu jwa Ukonjelo, na nkupingana kwa kweli,
7 katika maneno ya kweli na katika nguvu za Mungu, kwa silaha za haki za mkono wa kuume na za mkono wa kushoto;
na nkulunguya ntenga gwa kweli, na kwa mashili ga a Nnungu. Ikomanilo yetu ya komanilana na ya kwiitapulila ni itendi ya aki.
8 katika utukufu na katika kudharauliwa; katika sifa mbaya na katika sifa nzuri; tukiwa kama wadanganyaji, lakini tukiwa wakweli;
Nkuishimiwa eu kwa nyegaywa, kwa gambwa eu kwa lumbililwa. Tuliganishiwa mbuti tubhanami, mbena itubheleketa ya kweli.
9 tukiwa maarufu, lakini tukihesabiwa kama tusiojulikana; tukiwa kama wanaokufa, lakini tunaishi; tukipigwa, lakini hatuuawi;
Tunabhoneka mbuti tukamanyika mbena tunamanyika na bhowe, tulibhoneka mbuti bhawilenje, mbena tubhabhakoto, tulikomwa ikabheje tukaabhulagwa.
10 tukiwa kama wenye huzuni, lakini siku zote tukifurahi; tukionekana maskini, lakini tukitajirisha wengi; tukiwa kama wasio na kitu, lakini tuna vitu vyote.
Mbuti tushiinjika ikabheje tunaangalala mobha gowe. Mbuti twangali indu, mbena tunakwapanganga bhandu bhabhagwinji indu, tunabhoneka mbuti twangali shindu shoshowe, mbena tukwete indu yowe.
11 Tumesema nanyi wazi, enyi Wakorintho na kuwafungulieni mioyo yetu wazi kabisa.
Mmanganya Bhakolinto, tunabheleketa na mmanganyanji kopoka mmitima jetu.
12 Sisi hatujizuii kuwapenda, bali ninyi mmeuzuia upendo wenu kwetu.
Uwe twangaleka kumpinganga mmanganyanji, ikabheje mmanganyanji nshikananga kutupinga uwe.
13 Sasa nasema, kama na watoto wangu: Ninyi pia ifungueni mioyo yenu kabisa.
Bhai, nnaino ngunabheleketa na mmanganyanji mbuti ashibhanangu, bhai ntupinganje malinga shitukumpinganga.
14 Msifungiwe nira pamoja na watu wasioamini, kwa jinsi isivyo sawasawa, kwa maana pana uhusiano gani kati ya haki na uovu? Au kuna ushirika gani kati ya nuru na giza?
Nnapangananje mbwiga na bhandunji bhakakwakulupalilanga a Kilishitu. Bhuli, aki na yangali ya mmbone inapatana? Shilangaya na lubhindu inatama pamo?
15 Kuna mapatano gani kati ya Kristo na Beliari? Yeye aaminiye ana sehemu gani na yeye asiyeamini?
Bhuli a Kilishitu bhanapatana naka Lishetani? Eu akulupalila anapatana na akaakulupalila?
16 Kuna mapatano gani kati ya Hekalu la Mungu na sanamu? Kwa kuwa sisi tu Hekalu la Mungu aliye hai. Kama Mungu alivyosema: “Nitakaa pamoja nao na kutembea katikati yao, nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.”
Likanisha jipatana bhuli na kuitindibhalila yanamu? Pabha uwe likanisha bhali bhakoto. Malinga shibhashite bheleketa a Nnungu bhayene, “Shindame mmitima jabhonji, na tama munkumbi gwabhonji. Shime Nnungu jwabhonji, na bhalabhonji shibhabhanganje bhandunji bhangu.”
17 “Kwa hiyo tokeni miongoni mwao, mkatengwe nao, asema Bwana. Msiguse kitu chochote kilicho najisi, nami nitawakaribisha.”
Kwa nneyo Bhakulungwa bhakuti, “Nshokangananje munkumbi gwabhonji nnabhandikane nabhonji. Nnakwayanje shindu sha nyata, na nne shinimposhelanje.
18 “Mimi nitakuwa Baba kwenu, nanyi mtakuwa wanangu na binti zangu, asema Bwana Mwenyezi.”
Nne shime na ng'inagwenunji, na mmanganya shimmanganje ashibhanangu bhanabhalume na bhanabhakongwe, bhanabheleketa Bhakulungwa Bhakwete Mashili.”