< 2 Wakorintho 5 >

1 Kwa maana twajua kama hema yetu ya dunia tunayoishi ikiharibiwa, tunalo jengo kutoka kwa Mungu, nyumba iliyo ya milele kule mbinguni, isiyojengwa kwa mikono ya wanadamu. (aiōnios g166)
Tumanyili ya kuwa kutya maskani gha ulimuengu ambagho gha tunaishi momuomu ghi halibibhwa, tuyele ni kuhomela kwa K'yara. Ni nyumba yaibele kutengenisibhwa ni mabhoko gha bhanadamu, bali ndo nyumba ya milele, kup'etela mbingu. (aiōnios g166)
2 Katika hema hii twalia kwa uchungu, tukitamani kuvikwa makao yetu ya mbinguni,
Kwa ndabha kup'etela lihema ele tiluala, tukimana kufwekibhwa maskani ya yhoto kumbinguni.
3 kwa kuwa tukiisha kuvikwa hatutaonekana tena kuwa uchi.
Titamani kwajia ya ele ndabha kwa kufuala tulabhonekana nee kujo tuye ngoli.
4 Kwa kuwa tukiwa bado katika hema hii twalia kwa uchungu na kulemewa, kwa sababu hatutaki kuvuliwa bali kuvikwa makao yetu ya mbinguni ili kwamba kile kipatikanacho na mauti kimezwe na uzima.
Kwa uhakika wakati taye mugati mulihema ele, twalwalai ni kulemebhwa. Tilonda he kufulibhwa. Badala yaki tilonda kufwalibhwa, ya ndabha kakibhwesili kufwa kibhwesiayi kumilibhwa ni usima.
5 Basi Mungu ndiye alitufanya kwa ajili ya jambo lilo hilo naye ametupa Roho Mtakatifu kuwa amana, akituhakikishia ahadi ya kile kijacho.
Muene yaatuandele tete kwa khenu eke ndo K'yara, ambaye ndo atupelili tete Roho Katya ndo ahadi ya khela kakibhwesyai kuhida.
6 Kwa hiyo siku zote tunalo tumaini, hata ingawa tunajua kwamba wakati tukiwa katika mwili huu, tuko mbali na Bwana,
Kwa ele muyela ni ukifu magono ghoa. Muyela mihu yakuwa magono ghatayele kunyumba ki mbhele, tuyele tuyele patali ni Bwana.
7 kwa maana twaenenda kwa imani wala si kwa kuona.
Ndabha tigenda kiimani, so kwa kulanga. Kwa ele tuyeniujasili.
8 Naam, tunalo tumaini na ingekuwa bora zaidi kuuacha mwili huu na kwenda kukaa na Bwana.
Bora tuyelai patali kuhomela KU mbhele ni kunyumba pamonga ni Bwana.
9 Kwa hiyo, kama tuko katika mwili huu au tuko mbali nao, lengo letu ni kumpendeza Bwana.
Kwa ele tiketa kuya lilengo litu, Katya tuyele panyumba au patali, tumganisiayi muene.
10 Kwa kuwa sisi sote tutasimama mbele ya kiti cha hukumu cha Kristo, ili kila mmoja apate kulipwa kwa ajili ya yale ambayo yametendwa katika mwili wake, yakiwa mema au mabaya.
Kwa ndabha tabhoa tubhonekanai palongolo pakiti kya hukumu kya Kristu, ya ndabha kila mmonga abhwesyai kuyopa khela kakistahili kwa mambo gha agha ketili kup'etela mbhele, ikayela kwa unofu au kwa ubaya.
11 Basi, kwa kuwa tunajua kumcha Bwana, tunajitahidi kuwavuta wengine. Lakini Mungu anatufahamu dhahiri, nami natumaini kwamba tu dhahiri katika dhamiri zenu pia.
Kwa ele, kwa kumanya hofu ya Bwana, tukabhashawishi bhanu. Jinsi katuyele, yibhonekana bhuasi ni K'yara. Nitumainila kuya yioleweka kabhele mu dhamili yhinu.
12 Sio kwamba tunajaribu kujistahilisha kwenu tena, lakini tunataka kuwapa nafasi ili mwone fahari juu yetu mweze kuwajibu hao wanaoona fahari juu ya mambo yanayoonekana badala ya mambo yaliyo moyoni.
Tukabhajalibu hee kubhashawishi muenga kabhele kutubhona tete kujo bha kueli. Badala yaki, tukabhapela muenga ndabha ya kujifunila kwajia ya yhoto, ya kuwa mubhwesya kuya ni lijalibu kwa bhala kabhikijifunila nimuonekano ila si khela kakiyele mugati mun'teema.
13 Kama tumerukwa na akili, ni kwa ajili ya Mungu; kama tuna akili timamu, ni kwa ajili yenu.
Ikayela kujo tulukibhu ni akili, kwajia ya k'yara, na tuye mu hakili sya yhoto syoa, ni kwajia ya yhomo.
14 Kwa kuwa upendo wa Kristo unatutia nguvu, kwa sababu tunasadiki kuwa mmoja alikufa kwa ajili ya wote, kwa hiyo wote walikufa.
Kwa ndabha upendo wa Kristu ukatusututisya, ni ndabha tuye ni uhakika ni ele: Kujo munu mmonga afuili kwajia ya bhoa bhafuili.
15 Naye alikufa kwa ajili ya watu wote, ili kwamba wote wanaoishi wasiishi tena kwa ajili ya nafsi zao wenyewe, bali kwa ajili yake yeye aliyekufa na kufufuliwa tena kwa ajili yao.
Ni Kristu afuili kwajia ya bhoa, ndabha bhala bha bhiishi bhaishiayi kabhele ni kwajia ya bhene. Badala yaki, lasima bhaishiayi kwajia ya Yumueneya afuili ni kufufulibhwa.
16 Hivyo tangu sasa hatumwangalii mtu yeyote kwa mtazamo wa kibinadamu. Ingawa wakati fulani tulimwangalia Kristo kwa namna ya kibinadamu, hatumwangalii tena hivyo.
Kwa kup'etela ele, kuyendelela tikamhukumu lepi munu ndabha ya fiwango fya bhanadamu, kwa ndabha lola tandangili Kristu kwa namna eye, henu ihukumibhwa lepi munu kwa namna eye kabhele.
17 Kwa hiyo kama mtu akiwa ndani ya Kristo, amekuwa kiumbe kipya; ya kale yamepita, tazama, yamekuwa mapya.
Kwa ele, ikayelai munu yuoayola ayele mugati mwa Kristu, muene kiumbe kipya. Mambo gha muandi ghapetili. Langai ghayele mapya.
18 Haya yote yanatokana na Mungu, ambaye ametupatanisha sisi na nafsi yake kwa njia ya Yesu Kristo na kutupata sisi huduma ya upatanisho:
Fhenu fyoa efe fihomela kwa K'yara. Atupatanisi tete Yumuene kup'etela Kristu, na atupelili huduma ya upatanisu.
19 Kwamba Mungu alikuwa ndani ya Kristo akiupatanisha ulimwengu na nafsi yake mwenyewe, akiwa hawahesabii watu dhambi zao. Naye ametukabidhi sisi ujumbe huu wa upatanisho.
Eye ni kujobha, kup'etela Kristu, K'yara akaupatanisya ulimwengu kwa muene yumuene, so kubhalanga makosa gha bhene zidi ya bhene. Ibhekelesya kwa tete ujumbe wa upatanisu.
20 Kwa hiyo sisi ni mabalozi wa Kristo, kana kwamba Mungu anawasihi kupitia kwa vinywa vyetu. Nasi twawaomba sana ninyi kwa niaba ya Kristo, mpatanishwe na Mungu.
Kwa ele titeulibhwa kutya bhawakilishi bha Kristu, kuyibhonekana K'yara afwanyai lufaa ya muene kup'etela tete. Tukabhasili muenga kwajia ya Kristu “mpatanisibhuayi kwa K'yara!”
21 Kwa maana Mungu alimfanya yeye asiyekuwa na dhambi kuwa dhambi kwa ajili yetu, ili sisi tupate kufanywa haki ya Mungu kwake yeye.
Anketili Kristu kuya sadaka kwa tete kwa zambi sya yhoto. Muene ndo ya afwanyili zambi. Aketili naa ili tubhwesyai kufuanya haki ya K'yara kup'etela muene.

< 2 Wakorintho 5 >