< 2 Wakorintho 4 >

1 Kwa hiyo, kwa kuwa tuna huduma hii kwa rehema za Mungu, hatukati tamaa.
Ker imamo to službo, kakor smo prejeli usmiljenje, ne omahujemo,
2 Tumekataa mambo ya siri na ya aibu, wala hatufuati njia za udanganyifu, tukichanganya Neno la Mungu na uongo. Kinyume cha hayo, tunadhihirisha kweli waziwazi na kujitambulisha wenyewe kwenye dhamiri ya kila mtu mbele za Mungu.
temveč smo se odrekli skritim stvarem nepoštenosti in ne hodimo v prebrisanosti niti z Božjo besedo ne ravnamo varljivo, temveč se z manifestacijo resnice v Božjih očeh priporočamo vesti vsakega človeka.
3 Hata nayo Injili yetu kama imetiwa utaji, ni kwa wale tu wanaopotea.
Toda če je naš evangelij skrit, je skrit tistim, ki so izgubljeni,
4 Kwa habari yao, mungu wa dunia hii amepofusha akili za wasioamini, ili wasione nuru ya Injili ya utukufu wa Kristo, aliye sura ya Mungu. (aiōn g165)
v katerih je bog tega sveta zaslepil misli tistih, ki ne verujejo, da jim ne bi zasijala svetloba veličastnega Kristusovega evangelija, ki je podoba Boga. (aiōn g165)
5 Kwa maana hatujihubiri sisi wenyewe ila tunamhubiri Yesu Kristo kuwa ni Bwana na sisi ni watumishi wenu kwa ajili ya Yesu.
Kajti ne oznanjamo sebe, temveč Kristusa Jezusa, Gospoda; in sebe, vaše služabnike, zaradi Jezusa.
6 Kwa kuwa Mungu, yeye aliyesema, “Nuru na ingʼae gizani,” ameifanya nuru yake ingʼae mioyoni mwetu ili kutupatia nuru ya maarifa ya utukufu wa Mungu katika uso wa Kristo.
Kajti Bog, ki je zapovedal svetlobi, da zasije iz teme, je zasijal v naših srcih, da nudi svetlobo spoznanja Božje slave na obrazu Jezusa Kristusa.
7 Lakini tunayo hazina hii katika vyombo vya udongo, ili ijulikane wazi kwamba uwezo huu wa ajabu unatoka kwa Mungu wala si kwetu.
Toda ta zaklad imamo v lončenih posodah, da bi bila odličnost moči lahko od Boga in ne od nas.
8 Twataabika kila upande lakini hatuangamizwi; twaona wasiwasi lakini hatukati tamaa;
Na vsaki strani smo vznemirjeni, vendar ne v tegobi; zmedeni smo, vendar ne v obupu;
9 twateswa lakini hatuachwi; twatupwa chini lakini hatupondwi.
preganjani, toda ne zapuščeni; mêtani [ob tla], toda ne uničeni;
10 Siku zote twachukua katika mwili kufa kwake Yesu ili kwamba uzima wa Yesu uweze kudhihirika katika miili yetu.
vedno v telesu naokrog prenašamo umiranje Gospoda Jezusa, da bi se lahko tudi v našem telesu razodelo Jezusovo življenje.
11 Kwa maana sisi tulio hai siku zote tumetolewa tufe kwa ajili ya Yesu, ili kwamba uzima wake upate kudhihirishwa katika mwili wetu upatikanao na mauti.
Kajti mi, ki živimo, smo zaradi Jezusa nenehno izročani v smrt, da bi se tudi Jezusovo življenje lahko razodelo v našem umrljivem mesu.
12 Hivyo basi, mauti inatenda kazi ndani yetu, bali uzima unatenda kazi ndani yenu.
Tako potem v nas deluje smrt, toda v vas življenje.
13 Imeandikwa, “Niliamini, kwa hiyo nimesema.” Kwa roho yule yule wa imani pia tuliamini na hivyo tunasema,
Ker imamo istega duha vere, glede na to, kakor je pisano: ›Veroval sem in zato sem govoril; ‹ tudi mi verujemo in zato govorimo;
14 kwa sababu tunajua kwamba yeye aliyemfufua Bwana Yesu kutoka kwa wafu, atatufufua sisi pia pamoja na Yesu na kutuleta sisi pamoja nanyi mbele zake.
vedoč, da tisti, ki je obudil Gospoda Jezusa, bo po Jezusu obudil tudi nas in nas postavil z vami.
15 Haya yote ni kwa faida yenu, ili kwamba neema ile inavyowafikia watu wengi zaidi na zaidi, ipate kusababisha shukrani nyingi kwa utukufu wa Mungu.
Kajti vse stvari so zaradi vas, da bi lahko obilna milost zaradi zahvaljevanja mnogih prekipevala v Božjo slavo.
16 Kwa hiyo, hatukati tamaa. Ingawa utu wetu wa nje unachakaa, utu wetu wa ndani unafanywa upya siku kwa siku.
Zaradi tega razloga ne omagujemo; kajti kljub temu, da naš zunanji človek umira, je vendarle naš notranji človek iz dneva v dan obnovljen.
17 Kwa maana dhiki yetu nyepesi iliyo ya kitambo inatutayarisha kwa ajili ya utukufu wa milele unaozidi kuwa mwingi kupita kiasi, (aiōnios g166)
Kajti naša lahka stiska, ki je samo za trenutek, opravlja za nas veliko večjo, presegajočo in večno težo slave; (aiōnios g166)
18 kwa sababu hatuangalii yale yanayoweza kuonekana bali yale yasiyoweza kuonekana. Kwa maana yale yanayoweza kuonekana ni ya kitambo tu, bali yale yasiyoweza kuonekana ni ya milele. (aiōnios g166)
medtem ko ne gledamo na stvari, ki so vidne, temveč na stvari, ki so nevidne. Kajti stvari, ki so vidne, so začasne, toda stvari, ki so nevidne, so večne. (aiōnios g166)

< 2 Wakorintho 4 >