< 2 Wakorintho 4 >
1 Kwa hiyo, kwa kuwa tuna huduma hii kwa rehema za Mungu, hatukati tamaa.
Pipo tuli ni mbombo ene, khashele shishili tuiposhile, huluma satubhakhate etamaa.
2 Tumekataa mambo ya siri na ya aibu, wala hatufuati njia za udanganyifu, tukichanganya Neno la Mungu na uongo. Kinyume cha hayo, tunadhihirisha kweli waziwazi na kujitambulisha wenyewe kwenye dhamiri ya kila mtu mbele za Mungu.
Pamandi yakwe, tukhanile amadala ngantughensoni vya vyubheele hatukhala na malibho, satibhombela shibhibhi izyo lwa Ngulubhi, awasilisye lwa lililyoli, tuwibhonesyatete zamila ya kila mutu witaziilya Ngulubhi.
3 Hata nayo Injili yetu kama imetiwa utaji, ni kwa wale tu wanaopotea.
Nkashele alumbilele hwetu hwobheele, iyabhele hwabhala bhene bhabhatega.
4 Kwa habari yao, mungu wa dunia hii amepofusha akili za wasioamini, ili wasione nuru ya Injili ya utukufu wa Kristo, aliye sura ya Mungu. (aiōn )
Asalule hwabho Ungulubhi winsi ene abhapofo la enjele zyabho zyasazihweteha hahafumila habhawezya alole ulukhozyo ululambilelo umwamu wa Kristi, wali fwano gwa Nngulubhi. (aiōn )
5 Kwa maana hatujihubiri sisi wenyewe ila tunamhubiri Yesu Kristo kuwa ni Bwana na sisi ni watumishi wenu kwa ajili ya Yesu.
Afwatanaje satu hwitangazya tete, ila Ukristi uGosi, natitete nashi patubhalongozya hunongwa ya Yesu.
6 Kwa kuwa Mungu, yeye aliyesema, “Nuru na ingʼae gizani,” ameifanya nuru yake ingʼae mioyoni mwetu ili kutupatia nuru ya maarifa ya utukufu wa Mungu katika uso wa Kristo.
Afwatane yayoyo ayanjile, “Ulukhozyo lwa ikhola afume nkisi. “Aitangazyezye moyo getu, afumye ulukhozyolwenjele yiutukufu wa Ngulubhi ubhoneshelo wa Yesu Kristi.
7 Lakini tunayo hazina hii katika vyombo vya udongo, ili ijulikane wazi kwamba uwezo huu wa ajabu unatoka kwa Mungu wala si kwetu.
Lelo tubhuto muvyombo vilongo ili nkebhoneshe nguvu ingositee ya Ngulubhi sagayetu.
8 Twataabika kila upande lakini hatuangamizwi; twaona wasiwasi lakini hatukati tamaa;
Tutamyashila halisagati khophelwa tulola u wasi wasi ila satukata tamaa.
9 twateswa lakini hatuachwi; twatupwa chini lakini hatupondwi.
Tuyimba hatu bhombilwe tutagwapansi satuhwangamila.
10 Siku zote twachukua katika mwili kufa kwake Yesu ili kwamba uzima wa Yesu uweze kudhihirika katika miili yetu.
Insikuzyonti tinyemula mubele gwetu enfwa ya Yesu, aje uwomi wa Yesu uubhonehanaje mmabele getu.
11 Kwa maana sisi tulio hai siku zote tumetolewa tufe kwa ajili ya Yesu, ili kwamba uzima wake upate kudhihirishwa katika mwili wetu upatikanao na mauti.
Ati tatuli bhomi insiku zyonti tefeziwe afwe hunongwa ya Yesu, aje uwomi wa Yesu ubho neshe mumabele getu gishibinadamu.
12 Hivyo basi, mauti inatenda kazi ndani yetu, bali uzima unatenda kazi ndani yenu.
Afatanaje, ifwa ibhomba ibhomba imbombo muhati yetu.
13 Imeandikwa, “Niliamini, kwa hiyo nimesema.” Kwa roho yule yule wa imani pia tuliamini na hivyo tunasema,
Ila tulinabho Umpepo alengane na lweteshilo alagane na shila shashahandiwe, “Iheteshele, esho ehayanjile.” Ate nantele tuhwiteshela antele tiyanga.
14 kwa sababu tunajua kwamba yeye aliyemfufua Bwana Yesu kutoka kwa wafu, atatufufua sisi pia pamoja na Yesu na kutuleta sisi pamoja nanyi mbele zake.
Tuminye aje ola wazyonsezye Ugosi uYesu nantele ayituzyo syaate pamo numwihale, tumenya aje ayituleta ati pamo namwe nubhoneshelo wakwe.
15 Haya yote ni kwa faida yenu, ili kwamba neema ile inavyowafikia watu wengi zaidi na zaidi, ipate kusababisha shukrani nyingi kwa utukufu wa Mungu.
Shila hantu hali kwa ajili yenyu aje, neema shiwenela hwa bhantu abhinji, ensumbezyo zizi daje ahwonjelele umwamu uwa Ngulubhi.
16 Kwa hiyo, hatukati tamaa. Ingawa utu wetu wa nje unachakaa, utu wetu wa ndani unafanywa upya siku kwa siku.
Esho satu hwanza ahwolowe. Ijapo hunzi tukulupa muhati tubhombwa shipya kila lisiku.
17 Kwa maana dhiki yetu nyepesi iliyo ya kitambo inatutayarisha kwa ajili ya utukufu wa milele unaozidi kuwa mwingi kupita kiasi, (aiōnios )
Hushipindi ishi ishi ufupi amayemba yalisya ati huwomi umwamu wauzida ivipimilo vyunti. (aiōnios )
18 kwa sababu hatuangalii yale yanayoweza kuonekana bali yale yasiyoweza kuonekana. Kwa maana yale yanayoweza kuonekana ni ya kitambo tu, bali yale yasiyoweza kuonekana ni ya milele. (aiōnios )
Afwatanaje satizama hu vintu vyavibhoneha bali vyasagavibhoveha. Ivintu vyatigawezya avilole vyesavibhonehana vya wiwila; (aiōnios )