< 2 Wakorintho 4 >
1 Kwa hiyo, kwa kuwa tuna huduma hii kwa rehema za Mungu, hatukati tamaa.
Derfor, da vi have denne Tjeneste efter den Barmhjertighed, som er bleven os til Del, saa tabe vi ikke Modet;
2 Tumekataa mambo ya siri na ya aibu, wala hatufuati njia za udanganyifu, tukichanganya Neno la Mungu na uongo. Kinyume cha hayo, tunadhihirisha kweli waziwazi na kujitambulisha wenyewe kwenye dhamiri ya kila mtu mbele za Mungu.
men vi have frasagt os de skammelige Smugveje, saa vi ikke vandre i Træskhed, ej heller forfalske Guds Ord, men ved Sandhedens Aabenbarelse anbefale os til alle Menneskers Samvittighed for Guds Aasyn.
3 Hata nayo Injili yetu kama imetiwa utaji, ni kwa wale tu wanaopotea.
Men om ogsaa vort Evangelium er tildækket, da er det tildækket iblandt dem, som fortabes,
4 Kwa habari yao, mungu wa dunia hii amepofusha akili za wasioamini, ili wasione nuru ya Injili ya utukufu wa Kristo, aliye sura ya Mungu. (aiōn )
dem, i hvem denne Verdens Gud har forblindet de vantros Tanker, for at Lyset ikke skulde skinne fra Evangeliet om Kristi Herlighed, han, som er Guds Billede. (aiōn )
5 Kwa maana hatujihubiri sisi wenyewe ila tunamhubiri Yesu Kristo kuwa ni Bwana na sisi ni watumishi wenu kwa ajili ya Yesu.
Thi ikke os selv prædike vi, men Kristus Jesus som Herre, os derimod som eders Tjenere for Jesu Skyld.
6 Kwa kuwa Mungu, yeye aliyesema, “Nuru na ingʼae gizani,” ameifanya nuru yake ingʼae mioyoni mwetu ili kutupatia nuru ya maarifa ya utukufu wa Mungu katika uso wa Kristo.
Thi Gud, som sagde: „Af Mørke skal Lys skinne frem,” han har ladet det skinne i vore Hjerter for at bringe Kundskaben om Guds Herlighed paa Kristi Aasyn for Lyset.
7 Lakini tunayo hazina hii katika vyombo vya udongo, ili ijulikane wazi kwamba uwezo huu wa ajabu unatoka kwa Mungu wala si kwetu.
Men denne Skat have vi i Lerkar, for at den overvættes Kraft maa være Guds, og ikke fra os,
8 Twataabika kila upande lakini hatuangamizwi; twaona wasiwasi lakini hatukati tamaa;
vi, som trænges paa alle Maader, men ikke stænges inde, ere tvivlraadige, men ikke fortvivlede,
9 twateswa lakini hatuachwi; twatupwa chini lakini hatupondwi.
forfulgte, men ikke forladte, nedslagne, men ikke ihjelslagne,
10 Siku zote twachukua katika mwili kufa kwake Yesu ili kwamba uzima wa Yesu uweze kudhihirika katika miili yetu.
altid bærende Jesu Dødelse om i Legemet, for at ogsaa Jesu Liv maa aabenbares i vort Legeme.
11 Kwa maana sisi tulio hai siku zote tumetolewa tufe kwa ajili ya Yesu, ili kwamba uzima wake upate kudhihirishwa katika mwili wetu upatikanao na mauti.
Thi altid overgives vi, som leve, til Død for Jesu Skyld, for at ogsaa Jesu Liv maa aabenbares i vort dødelige Kød.
12 Hivyo basi, mauti inatenda kazi ndani yetu, bali uzima unatenda kazi ndani yenu.
Saaledes er Døden virksom i os, men Livet i eder!
13 Imeandikwa, “Niliamini, kwa hiyo nimesema.” Kwa roho yule yule wa imani pia tuliamini na hivyo tunasema,
Men efterdi vi have den samme Troens Aand, som der er skrevet: „Jeg troede, derfor talte jeg,” saa tro ogsaa vi, og derfor tale vi ogsaa,
14 kwa sababu tunajua kwamba yeye aliyemfufua Bwana Yesu kutoka kwa wafu, atatufufua sisi pia pamoja na Yesu na kutuleta sisi pamoja nanyi mbele zake.
idet vi vide, at han, som oprejste den Herre Jesus, skal ogsaa oprejse os med Jesus og fremstille os tillige med eder.
15 Haya yote ni kwa faida yenu, ili kwamba neema ile inavyowafikia watu wengi zaidi na zaidi, ipate kusababisha shukrani nyingi kwa utukufu wa Mungu.
Thi det sker alt sammen for eders Skyld, for at Naaden maa vokse ved at naa til flere, og til Guds Ære forøge Taksigelsen.
16 Kwa hiyo, hatukati tamaa. Ingawa utu wetu wa nje unachakaa, utu wetu wa ndani unafanywa upya siku kwa siku.
Derfor tabe vi ikke Modet; men om ogsaa vort udvortes Menneske fortæres, fornyes dog vort indvortes Dag for Dag.
17 Kwa maana dhiki yetu nyepesi iliyo ya kitambo inatutayarisha kwa ajili ya utukufu wa milele unaozidi kuwa mwingi kupita kiasi, (aiōnios )
Thi vor Trængsel, som er stakket og let, virker for os over al Maade og Maal en evig Vægt af Herlighed, (aiōnios )
18 kwa sababu hatuangalii yale yanayoweza kuonekana bali yale yasiyoweza kuonekana. Kwa maana yale yanayoweza kuonekana ni ya kitambo tu, bali yale yasiyoweza kuonekana ni ya milele. (aiōnios )
idet vi ikke se paa de synlige Ting, men paa de usynlige; thi de synlige ere timelige, men de usynlige ere evige. (aiōnios )