< 2 Wakorintho 3 >

1 Je, tunaanza tena kujisifu wenyewe? Au tunahitaji kupata barua za utambulisho kwenu au kutoka kwenu, kama watu wengine?
Kamimät kami awhcah bekia mäih lawki aw? Khyang avang hea kba nangmi üngka, am acunüng nangmi üng ngaihsimnaka ca hlü beki aw?
2 Ninyi wenyewe ndio barua yetu iliyoandikwa katika mioyo yetu, inayojulikana na kusomwa na kila mtu.
Nangmi cun, kami ca, kami mlungmthin üng ng’yuki khyang naküt naw ksing lü ami kheha nami kyaki ni.
3 Nanyi mwadhihirisha wazi kwamba ninyi ni barua itokayo kwa Kristo, matokeo ya huduma yetu, ambayo haikuandikwa kwa wino bali kwa Roho wa Mungu aliye hai, si katika vibao vya mawe, bali katika vibao ambavyo ni mioyo ya wanadamu.
Nangmi cun, ca yuknaktui am yuka caa am kya u lü xüngkia Pamhnama Ngmüimkhya am yuka nami kyaki. Lunga khana yuka am kya lü mtisa mlungmthin cauk üng yuk, Khritaw amät naw a yuka ca keimi naw kami lawa ca nami kyaki ti ngsingki.
4 Hili ndilo tumaini tulilo nalo mbele za Mungu kwa njia ya Kristo.
Acukba kami pyenak cun Khritaw üngka Pamhnam üng mlung üpnak kami taka phäha kyaki.
5 Si kwamba sisi tunafikiri kuwa tunaweza kufanya jambo lolote wenyewe, lakini nguvu yetu inatoka kwa Mungu.
Kami mäta khyaihnak am, kami mäta ngaiha iyaw kami bilo theikia am kya. Bilawh thei vaia kami khyaihnak cun Pamhnam üngka naw ni a law ve.
6 Ndiye alituwezesha sisi kuwa wahudumu wa Agano Jipya: si wa andiko, bali wa Roho; kwa kuwa andiko huua bali Roho hutia uzima.
Amät kung naw, ngthumkhän kthai khutbi kami bilo khaia jah ngkawihsaki; yuk sawxata ca am kya lü, Ngmüimkhya am kyaki; thum naw thinak lawpüi se ngmüimkhya naw xünak peki.
7 Basi ikiwa ile huduma iliyoleta mauti, iliyoandikwa kwa herufi juu ya jiwe ilikuja kwa utukufu, hata Waisraeli wakawa hawawezi kuutazama uso wa Mose kwa sababu ya ule utukufu wake ingawa ulikuwa ni wa kufifia,
Lunga khana thum yu lü peta kyase Mhnama hlüngtainak ngdang lawki. Mosia müiha vainak a dim law be üng pi Isarel he naw am teng thei u. Thihnak theia thum pi aktäa hlüngtaikia akya üng,
8 je, huduma ya Roho haitakuwa na utukufu zaidi?
Ngmüimkhya bilawhnak cun ihlawka hlüngtai bawk khai ni?
9 Ikiwa huduma ile inayowahukumu wanadamu ina utukufu, je, ile huduma iletayo haki haitakuwa ya utukufu zaidi?
Khyang mkatkia khutbinak pi a hlüngtai üng, küikyanak lawpüikia khutbi binak cun ihlawka hlüngtai bawk khai ni.
10 Kwa maana kile kilichokuwa na utukufu sasa hakina utukufu ukilinganisha na huu utukufu unaozidi wa Agano Jipya.
Anghnua ve lawkia hlüngtainak cun hlüngtai bawkia kyase, a na hlüngtai khawiki cun bäihki.
11 Ikiwa kile kilichokuwa kinafifia kilikuja kwa utukufu, je, si zaidi utukufu wa kile kinachodumu?
Asängca khängki üng pi hlüngtainak a awm khawi üng, angläta khängki üng ta ihlawka hlüngtainak awm ksetam khai ni.
12 Kwa hiyo, kwa kuwa tunalo tumaini hili, tuna ujasiri sana.
Acukba äpnak awmkia kyase ahmäi üng kami lingki.
13 Sisi si kama Mose, ambaye ilimpasa kuweka utaji ili kufunika uso wake ili Waisraeli wasiuone ule mngʼao uliokuwa juu yake hadi ulipofifia na hatimaye kutoweka.
Isarel he naw akvai am hmu u lü ami khyühnak vaia Mosi naw a hmai a bua kba keimi naw ta am bilo ve ung.
14 Lakini akili zao zilipumbazwa, kwa maana mpaka leo utaji ule ule hufunika wakati Agano la Kale linasomwa. Huo utaji haujaondolewa, kwa maana ni katika Kristo peke yake unaondolewa.
Ami mlungmthin ä ngsümkia kyaki; atuh vei cäpa ngthumkhän kphyüm ami kheh üng pi ami mlung ä ngsüm khaia acuna jih am ngbueiki he. Khritaw üng ngpang käna ni acuna bunaka jih cun mkhyüha akya ve.
15 Hata leo Sheria ya Mose inaposomwa, utaji hufunika mioyo yao.
Atuh cäpa, Mosia yuk ami kheh üng ami mlungmthin bua kya hamki.
16 Lakini wakati wowote mtu anapomgeukia Bwana, utaji unaondolewa.
Cunsepi, cangcim naw, “Bawipa veia a nghlat la a mlungmthin bunak cun khyüki,” tia Mosia mawng a pyena kba khyük theiki.
17 Basi Bwana ndiye Roho. Mahali alipo Roho wa Bwana hapo pana uhuru.
Hin üng, “Bawipa” cun Ngmüimkhyaa kyaki; Bawipa Ngmüimkhya awmnak naküta lätnak awmki.
18 Nasi sote, tukiwa na nyuso zisizotiwa utaji tunadhihirisha utukufu wa Bwana, kama kwenye kioo. Nasi tunabadilishwa ili tufanane naye, toka utukufu hadi utukufu mkuu zaidi, utokao kwa Bwana, ambaye ndiye Roho.
Acunakyase, mi hmai cun am ngbuei. Bawipaa ngmüimkhya kung naw ani üng mi täng khaia jah pawhki. Acun naw Bawipaa hlüngtainak akvai cun mdan lü.

< 2 Wakorintho 3 >