< 2 Wakorintho 3 >

1 Je, tunaanza tena kujisifu wenyewe? Au tunahitaji kupata barua za utambulisho kwenu au kutoka kwenu, kama watu wengine?
Ando aani notooko údo tuuwwonoowa? Himo ik ikuwots bok'aliruwok'o itsh wee itoke noon tep'osh guut'etso noosh geyiyifek'úna?
2 Ninyi wenyewe ndio barua yetu iliyoandikwa katika mioyo yetu, inayojulikana na kusomwa na kila mtu.
Ash jamo b́ dantswotsnat b́ nababirwotsn nonibots guut'ts dabdabewwots itne.
3 Nanyi mwadhihirisha wazi kwamba ninyi ni barua itokayo kwa Kristo, matokeo ya huduma yetu, ambayo haikuandikwa kwa wino bali kwa Roho wa Mungu aliye hai, si katika vibao vya mawe, bali katika vibao ambavyo ni mioyo ya wanadamu.
It no finon daatsets Krstos dabdabewotsi it wottsok'o daneke, woshanuwere b́ guut'e beyat beyiru Ik' shayirona bako k'elemiyonaliye, manuwere ash nibatsa bako gashets shúts tabtabats gut'ekaliye.
4 Hili ndilo tumaini tulilo nalo mbele za Mungu kwa njia ya Kristo.
Hanowere no etir Krstos weeron Ik'atse nodetsts imnetiyoshe.
5 Si kwamba sisi tunafikiri kuwa tunaweza kufanya jambo lolote wenyewe, lakini nguvu yetu inatoka kwa Mungu.
Ik keewonwor nowooke b́wottsok'o gawosh flratsone, manwere eegoshe nonotokon bodknoonaliye, ernmó noon bodtswotsi woshtso Ik'oniye.
6 Ndiye alituwezesha sisi kuwa wahudumu wa Agano Jipya: si wa andiko, bali wa Roho; kwa kuwa andiko huua bali Roho hutia uzima.
Handr taarosh finirwotsi nowotitwok'o noon falitso bíne, hanuwere fidelon guut'ets nemon b́woteraniyere S'ayin shayiri tep'one, fidelon guut'ets nemo ud'itkee, S'ayin shayironmó kash imetke.
7 Basi ikiwa ile huduma iliyoleta mauti, iliyoandikwa kwa herufi juu ya jiwe ilikuja kwa utukufu, hata Waisraeli wakawa hawawezi kuutazama uso wa Mose kwa sababu ya ule utukufu wake ingawa ulikuwa ni wa kufifia,
Nemo fideliyon gashdek't guut'e shúts tabtabatse b́ teshi, nemo imeyori shááno k'aawe'efe bíamiri wotiyaloru Israe'el ashuwots Muse shiitso t'iwints de s'iilo falatsno boteshi, eshe k'ir dowet nemo hank'o mangon b́ be'eyal
8 je, huduma ya Roho haitakuwa na utukufu zaidi?
bére, S'ayin Shayiri weeron daatset fino bog mango deetsalkeya?
9 Ikiwa huduma ile inayowahukumu wanadamu ina utukufu, je, ile huduma iletayo haki haitakuwa ya utukufu zaidi?
Ashuwotsats morr doots fino hank'o mango b́ detsiyakon ashuwots bín kááw bowotit fino aawuk'oneya bog mango b́ t'ut'eti?
10 Kwa maana kile kilichokuwa na utukufu sasa hakina utukufu ukilinganisha na huu utukufu unaozidi wa Agano Jipya.
Ilts mango ayidek't bog b́wottsatse tuutson beshts mango eegoru b́ berawok'o tawetwe.
11 Ikiwa kile kilichokuwa kinafifia kilikuja kwa utukufu, je, si zaidi utukufu wa kile kinachodumu?
Ili t'afitwonworu hank'o mango b́ detsiyakon, dúre dúrosh kúp'ar beet keewonmó aawuk'oneya bog mango b t'ut'eti!
12 Kwa hiyo, kwa kuwa tunalo tumaini hili, tuna ujasiri sana.
Hank'o jangetso nodetstsosh ááwu shúk'on keewitwone.
13 Sisi si kama Mose, ambaye ilimpasa kuweka utaji ili kufunika uso wake ili Waisraeli wasiuone ule mngʼao uliokuwa juu yake hadi ulipofifia na hatimaye kutoweka.
Muse múk'efere amiru b́ shiits golo b́ t'affetsosh Israe'el ashuwots bo be'awok'o b́ shiitso b́ ipefoni b́ teshi, nooyere Musek'o noonaliye.
14 Lakini akili zao zilipumbazwa, kwa maana mpaka leo utaji ule ule hufunika wakati Agano la Kale linasomwa. Huo utaji haujaondolewa, kwa maana ni katika Kristo peke yake unaondolewa.
Bo nibo arikon dúnguwtsere, andish b́ borfetso nat taari mas'aafo bo nababor bonibo manoori ipetsmann ipetsok'one b́fa'oni. Ipman ipalon b́wotit Krstos s'uzn b́ wottsotsne.
15 Hata leo Sheria ya Mose inaposomwa, utaji hufunika mioyo yao.
Hambetsish b́ borfetsosh nemi mas'fo nababeyi taawo bonibo ipeyirumann ipeke.
16 Lakini wakati wowote mtu anapomgeukia Bwana, utaji unaondolewa.
Ernmó asho doonzo maants bíaanor «Ipeyiruman k'ayb́tuwiti.»
17 Basi Bwana ndiye Roho. Mahali alipo Roho wa Bwana hapo pana uhuru.
Doonzo shayire, doonzo shiyiri beyokonowere s'ayin kesho fa'ee.
18 Nasi sote, tukiwa na nyuso zisizotiwa utaji tunadhihirisha utukufu wa Bwana, kama kwenye kioo. Nasi tunabadilishwa ili tufanane naye, toka utukufu hadi utukufu mkuu zaidi, utokao kwa Bwana, ambaye ndiye Roho.
Noo noúnets iperaw shiits wotar doonzo mango mestawtotse bek'eyirwok'o bek'irwone, Shayir wottso doonzo aro aroosh mangoniyere mango maants wonetuwone.

< 2 Wakorintho 3 >