< 2 Wakorintho 2 >

1 Hivyo nilikusudia moyoni mwangu nisifanye ziara nyingine yenye kuwaumiza ninyi.
Amaiba: le, dilia da: i dioi nabasa: besa: le, na da dilima hame misunu dawa: i galu.
2 Kwa kuwa kama nikiwahuzunisha ninyi, ni nani aliyebaki wa kunifurahisha isipokuwa ninyi ambao nimewahuzunisha?
Bai na da dilima se nabima: ne sia: sea, nowa da na dogo denisima: bela: ? Na da dilima se nabima: ne sia: i ganiaba dilia da na dogo bu denisimu hamedeiwane ba: la: loba.
3 Niliandika hivyo kama nilivyofanya, ili nikija nisihuzunishwe na wale watu ambao wangenifanya nifurahi. Nina uhakika na ninyi nyote, kwamba wote mngeshiriki furaha yangu.
Na da dilima doaga: le, se nabimu higa: i galu. Amaiba: le, na da dilima hame misi. Na da meloa fawane dedene i. Na da hahawane galea, dilia huluane amola da hahawane gala, amo na dawa:
4 Kwa maana niliwaandikia kutokana na dhiki kubwa na kutaabika sana kwa moyo wangu tena kwa machozi mengi, shabaha yangu si ili niwasababishe mhuzunike bali kuwaonyesha kina cha upendo wangu kwenu.
Na dogo ganodini se bagade nabawane, na da dinanuwane dilima meloa dedene i. Na da dili da: i dioi nabima: ne hame dedei. Be dilia huluane na dilima asigidafa hou, amo dili dawa: ma: ne, na amo meloa dedene i.
5 Lakini ikiwa mtu yeyote amesababisha huzuni, kwa kiasi fulani hakunihuzunisha mimi kama vile alivyowahuzunisha ninyi nyote, ili nisiwe mkali kupita kiasi.
Be nowa dunu da nama da: i dioma: ne hamoi, e da amo defele dilima da: i dioma: ne hamoi. (Na da amo dunuma gasa bagade hamomu higa: iba: le, amane sia: sa.)
6 Adhabu hii aliyopewa na wengi inamtosha.
Be amo dunu da dilia mogili bagohame amo dilia loboga se dabe iasu lai dagoiba: le, wali se dabe iasu yolesima.
7 Basi sasa badala yake, inawapasa kumsamehe na kumfariji, ili asigubikwe na huzuni kupita kiasi.
Wali, e da Gode Ea hou lalegagui hou amo huluane yolesisa: besa: le, amo dunu ea hou dilia gogolema: ne olofole, bu fidima.
8 Kwa hiyo, nawasihi, mpate kuuthibitisha tena upendo wenu kwa ajili yake.
Na dilima ha: giwane edegesa! Wali asigidafa hou ema olelema!
9 Sababu ya kuwaandikia ni kuona kama mngeweza kushinda hilo jaribio na kutii katika kila jambo.
Na musa: meloa dedei, na da dilia habodane lela, amola dilia na hamoma: ne sia: i amoma nabasu hou adoba: ma: ne dedei.
10 Kama ninyi mkimsamehe mtu yeyote, mimi pia nimemsamehe. Kile nilichosamehe, kama kulikuwa na kitu chochote cha kusamehe, nimekwisha kusamehe mbele ya Kristo kwa ajili yenu,
Be dilia da eno dunu ea wadela: i hou gogolema: ne olofosea, na amola da dilima asigiba: le, Yesu Gelesu ba: ma: ne, amo defele gogolema: ne olofosa.
11 ili Shetani asitushinde. Kwa maana hatuachi kuzijua hila zake.
Amo da Sa: ida: ne da ninima osa: le heda: sa: besa: le, ninia hamosa. Bai ninia da ea ilegesu hou dawa:
12 Basi nilipofika Troa kuhubiri Injili ya Kristo na kukuta kwamba Bwana alikuwa amenifungulia mlango,
Na da Daloua: se moilai bai bagade amoga Gode Ea Sia: Ida: iwane, Gelesu Ea hou olelesu sia: , amo olelemusa: doaga: loba, na da Hina Gode da hawa: hamosu logo fodoi dagoi ba: i.
13 bado nilikuwa sina utulivu akilini mwangu kwa sababu sikumkuta ndugu yangu Tito huko. Hivyo niliagana nao nikaenda Makedonia.
Be na da ninia fi dunu Daidase amo hogole ba: loba hamedeiba: le, bagadewane beda: i. Amaiba: le, na da amo fi dunuma asigibio sia: nanu, Ma: sidounia moilai bai bagadega asi.
14 Lakini Mungu ashukuriwe, yeye ambaye siku zote hutufanya tuandamane kwa ushindi tukiwa ndani ya Kristo. Naye kupitia kwetu hueneza kila mahali harufu nzuri ya kumjua yeye.
Be Godema nodoma! Ninia Yesu Gelesuma madelagiba: le, fedege agoane ninia da eso huluane, dunu huluane ba: ma: ne, ninia da Yesu Ea hasalasu fi amo ganodini se iasu hamosu dunu agoane Gode ea mogodigisu ganodini ahoa. Gode da ninima gasa iabeba: le, ninia Ea hawa: hamosu hamobeba: le, Yesu Gelesu Ea hou heda: beba: le, dunu huluane amo hou gabusiga: agoane naba.
15 Kwa maana sisi kwa Mungu ni harufu nzuri ya manukato ya Kristo miongoni mwa wale wanaookolewa na kwa wale wanaopotea.
Be ninia da: i hodo da gabusiga: agoane. Yesu Gelesu da nini oloda da: iya Godema ima: ne ligisisa. Gode Ea hou lalegagui dunu amola Gode Ea hou hame lalegagui dunu, ilia gilisili amo gabusiga: naba.
16 Kwa wale wanaopotea, sisi ni harufu ya mauti iletayo mauti; lakini kwa wale wanaookolewa, sisi ni harufu nzuri iletayo uzima. Ni nani awezaye mambo hayo?
Be hame gaga: i dunu da amo hou bogoma: ne gaha agoane naba. Be gaga: lalebe dunu da amo eso huluane mae bogole Fifi Ahoanoma: ne gabusiga: agoane naba. Amaiba: le, Gode Sia: Ida: iwane olelema: ne, nowa dunu da defele esalabala?
17 Tofauti na watu wengine wengi, sisi hatufanyi biashara na Neno la Mungu kwa ajili ya kupata faida. Kinyume chake, katika Kristo tunalisema Neno la Mungu kwa unyoofu, kama watu tuliotumwa kutoka kwa Mungu.
Mogili ilia Gode Ea Sia: Ida: iwane da udigili osobo bagade liligi dawa: beba: le, mae dawa: iwane olelesa. Be ninia da agoane hame hamosa. Be Gode da nini asunasiba: le, ninia da Yesu Gelesu Ea hawa: hamosu dunudafa hamoiba: le, E ba: ma: ne moloiwane hawa: hamosa.

< 2 Wakorintho 2 >