< 2 Wakorintho 12 >

1 Yanipasa nijisifu, ingawa haifaidi kitu. Nitaenda kwenye maono na ufunuo kutoka kwa Bwana.
Bhai ngunapinga kwiiniya, nkali ikapwae! Ikabheje nnaino ngunapinga bheleketa ga mabhono na maibhulo gumbatile kopoka ku Bhakulungwa.
2 Namjua mtu mmoja katika Kristo ambaye miaka kumi na minne iliyopita alichukuliwa juu hadi mbingu ya tatu. Kama ni katika mwili au nje ya mwili, sijui, Mungu ajua.
Nimmanyi mundu jumo abhakulupalile a Yeshu, yaka likumi limo na nsheshe ipitile, ashinkutolwa mpaka kunnungu kwataliya kaje. Ibhaga kweneko apiteje kwa shiilu eu kwa mbumu nne ngakumumanya, a Nnungu bhamumanyi.
3 Nami najua ya kwamba mtu huyu, kwamba ni katika mwili au nje ya mwili mimi sijui, lakini Mungu ajua,
Numbe nne ngunabhujila kubheleketa kuti, jwene mundujo monaga apite kwa shiilu eu kwa mbumu, nne ngakumumanya, ikabheje a Nnungu bhamumanyi.
4 alinyakuliwa hadi Paradiso. Huko alisikia mambo yasiyoelezeka, mambo ambayo binadamu hana ruhusa ya kuyasimulia.
Ashinkutolwa mpaka kupaladisho, kweneko ashinkupilikana indu ya nng'iyo ikapinjikwa mundu kutagulila.
5 Nitajisifu kwa ajili ya mtu kama huyo, lakini sitajisifu kuhusu mimi mwenyewe ila mimi nitajisifia udhaifu wangu.
Bhai, mbinga kwiiniya gaka mundu malinga jwenejo, ikabheje ngaiiniya gangu namwene, ikabhe kwa ungakola mashili gwangu.
6 Hata kama ningependa kujisifu, sitakuwa mjinga, kwa maana nitakuwa nasema kweli. Lakini najizuia, ili mtu yeyote asije akaniona mimi kuwa bora zaidi kuliko ninavyoonekana katika yale ninayotenda na kusema.
Nkali ngapinjile kwiiniya nganabhe nangumba, pabha ngabhelekete ya kweli jika. Ikabheje ngaiiniya, nkupinga mundu anang'anishiye punda shinguti tenda na bheleketa.
7 Ili kunizuia nisijivune kwa sababu ya ufunuo huu mkuu, nilipewa mwiba katika mwili wangu, mjumbe wa Shetani, ili anitese.
Ikabheje nkupinga ngunaiiniye kwa gwene nng'ibhulo nkulugo, nashinkupegwa shindu sha poteka mbuti mibha nshiilu shangu kubha mbuti muntenga juka Lishetani amboteshe, nkupinga ngunapunde kwiiniya.
8 Kwa habari ya jambo hili nilimsihi Bwana mara tatu aniondolee mwiba huu.
Kwa ligongo lya shene shindusho, nashinkwashondelesheya Bhakulungwa patatu nkupinga bhanjosheye shene shindusho.
9 Lakini aliniambia, “Neema yangu inakutosha, kwa kuwa uweza wangu hukamilika katika udhaifu.” Kwa hiyo nitajisifu kwa furaha zaidi kuhusu udhaifu wangu, ili uweza wa Kristo ukae juu yangu.
Ikabheje gubhanugulile, “Nema jangu shijimpwae, pabha mashili gangu ganamalila muungakola mashili.” Bhai, ngunaengwa kwiiniya ga ungakola mashili gwangu, nkupinga mashili ga a Kilishitu gatame na nne.
10 Hii ndiyo sababu, kwa ajili ya Kristo, nafurahia udhaifu, katika kutukanwa, katika taabu, katika mateso na katika shida, kwa maana ninapokuwa dhaifu, ndipo nina nguvu.
Kwa nneyo ngunaengwa na ungakola mashili gwangu, na matukano, na shilaje na mboteko kwa ligongo lya a Kilishitu, pabha pungakola mashili, penepo ni pungubha na mashili.
11 Nimekuwa mjinga, lakini ninyi mmenilazimisha niwe hivyo. Kwa kuwa ilinipasa kusifiwa na ninyi, kwa sababu mimi si dhalili kuliko wale “mitume walio bora,” ingawa mimi si kitu.
Njibha mbuti nangumba, ikabheje mmanganyanji nshindendanga mme nneyo. Mmanganyanji mwapinjikwenje kung'iniya nne. Pabha, ningabhe shindu shoshowe, nne nngabha najwanshoko punda bhene bhakwiishemanga “Mitume bhakulu.”
12 Mambo yanayomtambulisha mtume wa kweli, yaani, ishara, miujiza na maajabu, yalifanywa miongoni mwenu kwa saburi nyingi.
Itendi ya ilangulo na ilapo yashinkutendeka munkumbi gwenunji, ilanguya kuti nne ntume kwa kwiikakatimila kwa punda.
13 Je, ninyi ni kitu gani mlichopungukiwa kuliko makanisa mengine, ila tu kwamba mimi sikuwa mzigo kwenu? Nisameheni kwa kosa hili!
Bhuli, shindu shashi shintubhilwenje kupunda makanisha gana, ikabhe nne nangantotoyanga nkupinga nnyangutilanje? Shonde nneshelelanje kwa shinebhilesho!
14 Sasa niko tayari kuja kwenu kwa mara hii ya tatu, nami sitawalemea, kwa sababu sitahitaji chochote chenu, ila ninawahitaji ninyi, kwa kuwa hata hivyo watoto hawaweki akiba kwa ajili ya wazazi wao, bali wazazi huweka akiba kwa ajili ya watoto wao.
Nnaino puni tayali kunng'owelanga gwatatu na ngantopelanga. Pabha shingupinga nngabha indu yenunji, ikabhe ngumpinganga mmanganyanji. Pabha, bhana bhakakwaabhishilanga shibhiko bhaakwetenje, ikabhe bhaakwetenje ni bhakwaabhishilanga shibhiko ashibhana bhabhonji.
15 Hivyo nitafurahi kutumia kila kitu nilicho nacho kwa ajili yenu, hata mwili wangu pia. Hata ingawa inaonekana ninavyozidi kuwapenda, ndivyo upendo wenu kwangu unavyopungua.
Nne njiengwa kushoya yowe ingwete nkali kwiishoya namwene, nkupinga kunnjangutilanga mmanganyanji. Nkali ngumpinjiyangayo, mmanganya nnambinganga kashokope.
16 Iwe iwavyo, kwa vyovyote vile mimi sikuwalemea. Lakini kwa mimi kuwa mwerevu naliwapata.
Bhai, nkundanje kuti nangantopelanga. Ikabheje bhandunji bhana shibhaganishiyanje kuti, pabha njikola lunda nimpatilenje kwa kuntekeyanga.
17 Je, nilijipatia faida kwa kumtumia mtu yeyote niliyemtuma kwenu?
Bhuli, nne nantekeyenje indu yenunji kubhantenga bhunaatumilenje kunngwenunji?
18 Nilimshawishi Tito aje kwenu, nami nilimtuma pamoja na ndugu yetu. Je, Tito aliwatumia ninyi ili kujipatia faida? Je, hatuenendi kwa roho moja, na hatuchukui hatua zile zile?
Nne nashinkwaashondelesheya a Tito, gunaatumile kungwenunji naka mpwetu juna. Bhuli, a Tito bhantekeyenje? Bhuli, nkakumumanyanga kuti uwe tunalongoywa na ng'aniyo imo na itendi yetu imo?
19 Je, mmekuwa mkifikiri kwamba sisi tunajaribu kujitetea mbele yenu? Sisi tumekuwa tukinena mbele za Mungu kama wale walio katika Kristo. Na chochote tufanyacho, ndugu wapendwa, ni kwa ajili ya kuwatia nguvu.
Pana nnaganishiyanga kuti tunabheleketa nkwiitapula kungwenunji! Ikabheje, tunabheleketa genego pa meyo ga a Nnungu, tuli tulundene na a Kilishitu. Gene gowe gututendaga ashaapwetu, nkupinga kunshimilikanga.
20 Kwa kuwa nina hofu ya kwamba nitakapokuja naweza kuwakuta nisivyotaka, nanyi mkanikuta msivyotaka. Nina hofu kwamba panaweza kuwa na ugomvi, wivu, ghadhabu, fitina, masingizio, masengenyo, majivuno na machafuko.
Pabha ngunajogopa, pana pushing'ishe kunngwenunji ngang'imananga malinga shingupinga, na mmanganya nkamonanga malinga shinkupinganga. Ngunajogopa ngunakunng'imananga nninginji na mpwai, na lupimililo, na nnjimwa na kulambililana, na lung'wenyi na matukano, na kuipuna na nnjasha munkumbi gwenunji.
21 Nina hofu kwamba nitakapokuja tena kwenu, Mungu wangu atanidhili mbele yenu, nami nitasikitishwa na wengi waliotenda dhambi mbeleni, na wala hawajatubu kwa uchafu wao, uasherati, na ufisadi walioushiriki.
Ngunajogopa pushing'ishe mwanja gunago, a Nnungu bhangu shibhandende niitimalishe, shiniigutanjile kwa ligongo lya bhabhagwinji bhalebhilenje, ikabheje bhangaipetanga kwa ya nyata yabhonji na labhalabha kwabhonji na ilokoli yabhonji yangali ya mmbone ibhatendilenje.

< 2 Wakorintho 12 >