< 2 Wakorintho 12 >

1 Yanipasa nijisifu, ingawa haifaidi kitu. Nitaenda kwenye maono na ufunuo kutoka kwa Bwana.
to boast (be necessary *N(K)O*) no (be profitable on the other hand *N(K)O*) to come/go (then *N(k)O*) toward vision and revelation lord: God
2 Namjua mtu mmoja katika Kristo ambaye miaka kumi na minne iliyopita alichukuliwa juu hadi mbingu ya tatu. Kama ni katika mwili au nje ya mwili, sijui, Mungu ajua.
to know a human in/on/among Christ before year fourteen whether in/on/among body no to know whether outside/except the/this/who body no to know the/this/who God to know to seize the/this/who such as this until third heaven
3 Nami najua ya kwamba mtu huyu, kwamba ni katika mwili au nje ya mwili mimi sijui, lakini Mungu ajua,
and to know the/this/who such as this a human whether in/on/among body whether (without *N(k)O*) the/this/who body no to know the/this/who God to know
4 alinyakuliwa hadi Paradiso. Huko alisikia mambo yasiyoelezeka, mambo ambayo binadamu hana ruhusa ya kuyasimulia.
that/since: that to seize toward the/this/who paradise and to hear inexpressible declaration which no be permitted a human to speak
5 Nitajisifu kwa ajili ya mtu kama huyo, lakini sitajisifu kuhusu mimi mwenyewe ila mimi nitajisifia udhaifu wangu.
above/for the/this/who such as this to boast above/for then I/we no to boast if: not not in/on/among the/this/who weakness: weak (me *K*)
6 Hata kama ningependa kujisifu, sitakuwa mjinga, kwa maana nitakuwa nasema kweli. Lakini najizuia, ili mtu yeyote asije akaniona mimi kuwa bora zaidi kuliko ninavyoonekana katika yale ninayotenda na kusema.
if for to will/desire to boast no to be foolish truth for to say to spare then not one toward I/we to count above/for which to see me or to hear one out from I/we
7 Ili kunizuia nisijivune kwa sababu ya ufunuo huu mkuu, nilipewa mwiba katika mwili wangu, mjumbe wa Shetani, ili anitese.
and the/this/who surpassing the/this/who revelation (therefore *NO*) in order that/to not be haughty to give me thorn the/this/who flesh angel: messenger Satan in order that/to me to beat in order that/to not be haughty
8 Kwa habari ya jambo hili nilimsihi Bwana mara tatu aniondolee mwiba huu.
above/for this/he/she/it three times the/this/who lord: God to plead/comfort in order that/to to leave away from I/we
9 Lakini aliniambia, “Neema yangu inakutosha, kwa kuwa uweza wangu hukamilika katika udhaifu.” Kwa hiyo nitajisifu kwa furaha zaidi kuhusu udhaifu wangu, ili uweza wa Kristo ukae juu yangu.
and to say me be sufficient you the/this/who grace me the/this/who for power (me *K*) in/on/among weakness: weak (to finish *N(k)O*) most gladly therefore/then more to boast in/on/among the/this/who weakness: weak me in order that/to to rest upon/dwell upon/to/against I/we the/this/who power the/this/who Christ
10 Hii ndiyo sababu, kwa ajili ya Kristo, nafurahia udhaifu, katika kutukanwa, katika taabu, katika mateso na katika shida, kwa maana ninapokuwa dhaifu, ndipo nina nguvu.
therefore to delight in/on/among weakness: weak in/on/among mistreatment in/on/among necessity in/on/among persecution (and *N(k)O*) hardship above/for Christ when(-ever) for be weak: weak then able to be
11 Nimekuwa mjinga, lakini ninyi mmenilazimisha niwe hivyo. Kwa kuwa ilinipasa kusifiwa na ninyi, kwa sababu mimi si dhalili kuliko wale “mitume walio bora,” ingawa mimi si kitu.
to be foolish (to boast *K*) you me to compel I/we for to owe by/under: by you to commend none for to lack the/this/who above/for greatly apostle if: even though and none to be
12 Mambo yanayomtambulisha mtume wa kweli, yaani, ishara, miujiza na maajabu, yalifanywa miongoni mwenu kwa saburi nyingi.
the/this/who on the other hand sign the/this/who apostle to workout/produce in/on/among you in/on/among all perseverance (in/on/among *k*) sign (and/both *no*) and wonders and power
13 Je, ninyi ni kitu gani mlichopungukiwa kuliko makanisa mengine, ila tu kwamba mimi sikuwa mzigo kwenu? Nisameheni kwa kosa hili!
which? for to be which be lesser above/for the/this/who remaining assembly if: not not that/since: that it/s/he I/we no to burden you to give grace me the/this/who unrighteousness this/he/she/it
14 Sasa niko tayari kuja kwenu kwa mara hii ya tatu, nami sitawalemea, kwa sababu sitahitaji chochote chenu, ila ninawahitaji ninyi, kwa kuwa hata hivyo watoto hawaweki akiba kwa ajili ya wazazi wao, bali wazazi huweka akiba kwa ajili ya watoto wao.
look! third (this/he/she/it *no*) readily to have/be to come/go to/with you and no to burden (you *k*) no for to seek the/this/who you but you no for to owe the/this/who child the/this/who parent to store up but the/this/who parent the/this/who child
15 Hivyo nitafurahi kutumia kila kitu nilicho nacho kwa ajili yenu, hata mwili wangu pia. Hata ingawa inaonekana ninavyozidi kuwapenda, ndivyo upendo wenu kwangu unavyopungua.
I/we then most gladly to spend and to expend above/for the/this/who soul you if (and *k*) more excessively you (to love *NK(o)*) (less/worse *N(k)O*) to love
16 Iwe iwavyo, kwa vyovyote vile mimi sikuwalemea. Lakini kwa mimi kuwa mwerevu naliwapata.
to be then I/we no to burden you but be already crafty deceit you to take
17 Je, nilijipatia faida kwa kumtumia mtu yeyote niliyemtuma kwenu?
not one which to send to/with you through/because of it/s/he to exploit you
18 Nilimshawishi Tito aje kwenu, nami nilimtuma pamoja na ndugu yetu. Je, Tito aliwatumia ninyi ili kujipatia faida? Je, hatuenendi kwa roho moja, na hatuchukui hatua zile zile?
to plead/comfort Titus and to send with the/this/who brother surely not to exploit you Titus no the/this/who it/s/he spirit/breath: spirit to walk no the/this/who it/s/he track
19 Je, mmekuwa mkifikiri kwamba sisi tunajaribu kujitetea mbele yenu? Sisi tumekuwa tukinena mbele za Mungu kama wale walio katika Kristo. Na chochote tufanyacho, ndugu wapendwa, ni kwa ajili ya kuwatia nguvu.
(of old *N(K)O*) to think that/since: that you to defend oneself (before *N(k)O*) (the/this/who *k*) God in/on/among Christ to speak the/this/who then all beloved above/for the/this/who you building
20 Kwa kuwa nina hofu ya kwamba nitakapokuja naweza kuwakuta nisivyotaka, nanyi mkanikuta msivyotaka. Nina hofu kwamba panaweza kuwa na ugomvi, wivu, ghadhabu, fitina, masingizio, masengenyo, majivuno na machafuko.
to fear for not how to come/go no such as to will/desire to find/meet you I/we and to find/meet you such as no to will/desire not how (quarrel zeal *N(k)O*) wrath rivalry slander gossip arrogance disorder
21 Nina hofu kwamba nitakapokuja tena kwenu, Mungu wangu atanidhili mbele yenu, nami nitasikitishwa na wengi waliotenda dhambi mbeleni, na wala hawajatubu kwa uchafu wao, uasherati, na ufisadi walioushiriki.
not again (to come/go *N(k)O*) (me *no*) (to humble *NK(o)*) me the/this/who God me to/with you and to mourn much the/this/who to sin beforehand and not to repent upon/to/against the/this/who impurity and sexual sin and debauchery which to do/require

< 2 Wakorintho 12 >