< 2 Wakorintho 11 >
1 Laiti mngenivumilia kidogo katika upumbavu wangu! Naam, nivumilieni kidogo.
Nisaaga ukhuta mwivange mwale mwomileile nune mbunkonyofu. Ilweli mukhiyumilila nune.
2 Ninawaonea wivu, wivu wa Kimungu, kwa kuwa mimi niliwaposea mume mmoja, ili niwalete kwa Kristo kama mabikira safi.
Ulwakhuva muleinukhunogwa ukhuvivi yumwe. Neilinuvuvivi uvunonu uwa Nguluve kwa ajili yenu ukhuhuma upunaijyigile khuvutegulani uwa ugoosi yumo. Naijyigila ukhuvagegela uKilisite ndung'inja ugoolofu nyie uugosi ukhuhuma iholiwa.
3 Lakini nina hofu kuwa, kama vile Eva alivyodanganywa kwa ujanja wa yule nyoka, mawazo yenu yasije yakapotoshwa, mkauacha unyofu na usafi wa upendo wenu kwa Kristo.
Ulwakhuva nidwada khuluvafu ulunge, ndie njoka yiyo yadetelinche nkwa Efya khuvusyovi uwavuvivi, amasago geinyo giiwesya ukhuyanchiwa khuvutali ukhuhuma khulwisayo ulwalweli nulunonu mwa Kliste.
4 Kwa sababu kama mtu akija na kuwahubiria Yesu mwingine ambaye si yule tuliyemhubiri, au kama mkipokea roho mwingine ambaye si yule mliyempokea, au Injili tofauti na ile mliyoikubali, ninyi mnaitii kwa urahisi.
Pwuu angahomile uyuunge umunu uvakuvayancha anchoovage inongwa ncha Yesu uyunge uvisahwaninie nula uvitukhandumbililaga. Apange khuvijingahie ncho ukhumpokela umepo uyunge yuywa saliehanile nduvitukhampokile. Apange khukikhwani eikhinge mkhupilila ilivangiili ilienge ililivunge ndiliimukha pokile. Mkhiyumilincha mumbombo inchi vunonu!
5 Lakini sidhani ya kuwa mimi ni dhalili sana kuliko hao “mitume wakuu.”
Ulwakhuva une apange niliemugati muvala avanchila maka khu avo vitambuliwa vasukhwa-vanonu.
6 Inawezekana mimi nikawa si mnenaji hodari, lakini ni hodari katika elimu. Jambo hili tumelifanya liwe dhahiri kwenu kwa njia zote.
Ndaniengave yune sanimanyile ukwima khulumbilila, vusanieliwo mbumanyi wango. Khu khila khinu pwu tupelile ukhuta umanyikhikhe khulyumwe.
7 Je, nilitenda dhambi kwa kujishusha ili kuwainua ninyi kwa kuwahubiria Injili ya Mungu pasipo malipo?
Te, navombile imbivi vunikhiyisya yune ukhuta umwe mwimikhiwagwe? Ulwakhuva na lumbililaga ninumbu bila khudwada khinu ilivangieli ilya Nguluve khulyumwe.
8 Niliyanyangʼanya makanisa mengine kwa kupokea misaada kutoka kwao ili niweze kuwahudumia ninyi.
Napokhile imipelela mingi ukwupilila ulutangilo ukhuhuma khuvene nikhale nikhuvatanga ukhuvavombe umwe.
9 Nami nilipokuwa pamoja nanyi, nikipungukiwa na chochote, sikuwa mzigo kwa mtu yeyote, kwa maana ndugu waliotoka Makedonia walinipatia mahitaji yangu. Kwa hiyo nilijizuia kuwa mzigo kwenu kwa njia yoyote, nami nitaendelea kujizuia.
Upunikhale numwe nale munu yune nilonda ulutangielo, saniekhava inchigo khumunu. Ulwakhuva ifyunale nafyo fyakwilanile na valunkolo lwango ukhuhuma khu Makedonia. Khu khila khinu nitagile ukhuleka ukhuva inchiigo khulyumwe,
10 Kwa hakika kama vile kweli ya Kristo ilivyo ndani yangu, hakuna mtu yeyote katika Akaya nzima atakayenizuia kujivunia jambo hili.
Kama kweli ya Kristo ilivyo ndani yangu, huku kujisifu kwangu, sakhulanunalikha khuvulafu ulwa Akaya.
11 Kwa nini? Je, ni kwa sababu siwapendi? Mungu anajua ya kuwa nawapenda!
Khikhi? Ulwakhuva sanievaganile? Unguluve alumanyile ukhuta nivaganile.
12 Nami nitaendelea kufanya lile ninalofanya sasa ili nisiwape nafasi wale ambao wanatafuta nafasi ya kuhesabiwa kuwa sawa na sisi katika mambo wanayojisifia.
Ukhuva khila ikyunivomba, nikhukhivomba. Nikhukhivomba ukhuta nietange ukhusiga unsiekhi gwa vala avinogwa unsienki ndugwakhuva nduvutuliewo mukhila khila iekyukhigineihincha.
13 Watu kama hao ni mitume wa uongo, ni wafanyakazi wadanganyifu, wanaojigeuza waonekane kama mitume wa Kristo.
Ulwakhuva avanu vala vasuhiwa va vudeidi na vavombambombo, vasyovi. Vikhisyetula vavo ukhuva vasuhiwa va Kilisti.
14 Wala hii si ajabu, kwa kuwa hata Shetani mwenyewe hujigeuza aonekane kama malaika wa nuru.
Ekhi sakyakudega, ulwakhuva nayusetano ikhisyetula yuywa ndava sukhwa avalumuli.
15 Kwa hiyo basi si ajabu, kama watumishi wa Shetani nao hujigeuza ili waonekane kama watumishi wa haki. Mwisho wao utakuwa sawa na matendo yao yanavyostahili.
Inchi sanchakhudega eeno ndavavombi avamwene avikhisyetula vavo ndavavombi avamwene avayielweli. Khuvusililo imbombo nchavene nchilava nduvuvavombile.
16 Nasema tena, mtu yeyote asidhani kwamba mimi ni mjinga. Lakini hata kama mkinidhania hivyo, basi nipokeeni kama mjinga ili nipate kujisifu kidogo.
Ninchova kavili: Alekhage ukhuva pwale umunu uyunge uvisaga ukhuta une nifuvile. Ulwakhuva mungavombe, mumokhelage une ndumu uvyafuvile une pwu nigiienie padebe.
17 Ninayosema kuhusiana na huku kujisifu kwa kujiamini, sisemi kama vile ambavyo Bwana angesema, bali kama mjinga.
Khila ikyuninchova khunu ukwikhangancha, nukwigiinia sakhukhegiwa nu Nkuludeva, pwuninchova ndumunu uvyafuvile.
18 Kwa kuwa wengi wanajisifu kama vile ulimwengu ufanyavyo, mimi nami nitajisifu.
Ulwakhuva avanu avingi vikhigiinia khimbilii, khumbe nikhihiiniaga.
19 Ninyi mwachukuliana na wajinga kwa sababu mna hekima sana!
Ulwakhuva mukhagegiinie nukhuluhekhelo niviafuvile, yumwe mwevene pwu mulie nuluhala!
20 Kweli ni kwamba mnachukuliana na mtu akiwatia utumwani au akiwatumia kwa ajili ya kupata faida au akiwanyangʼanya au akijitukuza mwenyewe au akiwadanganya.
Ulwakhuva mugeegana nu munu angakhuvikhe mbukhungiwa, vie ikhuvaviekha ukhugavika yumwe, angavavombe umwe khuvukavi wa mwene, angieviekhe munkyanya, apange angavatove khumiho.
21 Kwa aibu inanipasa niseme kwamba sisi tulikuwa dhaifu sana kwa jambo hilo! Lakini chochote ambacho mtu mwingine yeyote angethubutu kujisifia, nanena kama mjinga, nami nathubutu kujisifu juu ya hilo.
Pwu ninchova khosoni nchetu ukhuta ufye twale vadekhedekhe fincho ukhovo ewo. Na bado kama yeyote akijivuna— nazungumza kama mpumbavu— mimi pia nitajivuna.
22 Je, wao ni Waebrania? Mimi pia ni Mwebrania. Je, wao ni Waisraeli? Mimi pia ni Mwisraeli. Je, wao ni wazao wa Abrahamu? Mimi pia ni mzao wa Abrahamu.
Te, avene vuva Yahudi? Nayune vunielivyo. Te, avene Vaislahieli? Nayune vulevule. Te, avene vakholiwe nkikolo ikya Abulahamu? Nayune vulevule.
23 Je, wao ni watumishi wa Kristo? (Nanena kiwazimu.) Mimi ni zaidi yao. Nimefanya kazi kwa bidii kuwaliko wao, nimefungwa gerezani mara kwa mara, nimechapwa mijeledi sana, na nimekabiliwa na mauti mara nyingi.
Te, avene vavombi va Klisite? (Ninchova ukhuta ulukhala lwango salwale lunonu.) Une nilutilile. Nibile na mu mbombo ing'afu ukhulutilila, ukhuhanga nukhuta nikhale mbukhungwa, ukhutoviwa ukhulutilila, ukhwagana nuvuvi uwavufwe.
24 Mara tano nimechapwa na Wayahudi viboko arobaini kasoro kimoja.
Ukhuhuma khu Vayahudi nupielile khahano “ukhuvngiwa mala olobaini uhenche ukhuvungiwa khamo.”
25 Mara tatu nilichapwa kwa fimbo, mara moja nilipigwa kwa mawe, mara tatu nimevunjikiwa na meli, nimekaa kilindini usiku kucha na mchana kutwa,
Natoviwe nulubikhi mala khadatu. Natoviwe khamo namawe. Mumeli naponi ukhufwa mala khadatu. Nivombili pakhilo na pamusi munyanja injila khinu.
26 katika safari za mara kwa mara. Nimekabiliwa na hatari za kwenye mito, hatari za wanyangʼanyi, hatari kutoka kwa watu wangu mwenyewe, hatari kutoka kwa watu wa Mataifa; hatari mijini, hatari nyikani, hatari baharini; na hatari kutoka kwa ndugu wa uongo.
Nikhale ndugeendo ulunivile nigeenda khila nsiekhi, mungasi inchudwancha, muvanyambuda, ukhughenda muvanu vango yune avavivi, ukhuma khuvanu avavivi avanyapanchi, mumbuvivi uwankilunga, mumbivivi uwamunyanja, mumbivivi uwakhuma khuvalukholo lwango avavudesi.
27 Nimekuwa katika kazi ngumu na taabu, katika kukesha mara nyingi; ninajua kukaa njaa na kuona kiu; nimefunga kula chakula mara nyingi; nimehisi baridi na kuwa uchi.
Nivile imbombo eimala na mumbutamo uvupala, nu mumajuva amingi amapala agasaga khugonelela, munjala nie kyumila, papingi ukhulekha ukhulya, ukhuva mumepu nukhulekha ukhufyala.
28 Zaidi ya hayo yote, nakabiliwa na mzigo wa wajibu wangu kwa makanisa yote.
Ukhulekha ifinu ifinge, khulimaka agavundwanchi igya mipelela.
29 Je, ni nani aliye mdhaifu, nami nisijisikie mdhaifu? Je, nani aliyekwazwa, nami nisiudhike?
Veni udeekhedekhe, nayune sanielidekhedekhe? Viveni uvieagwisincha unine mumbutulanongwa, nayune sanipya mugaati?
30 Kama ni lazima nijisifu, basi nitajisifia yale mambo yanayoonyesha udhaifu wangu.
Inave lwampinyo niegieniaghe, nikhigiinia khu khila ikhivonesya uvuvi wango.
31 Mungu na Baba wa Bwana Yesu, yeye ambaye anahimidiwa milele, anajua ya kuwa mimi sisemi uongo. (aiōn )
Unguluve nu Dada uva Ntwa u-Yesu, umwene uveiginiwa khuvusila lusiku, uvyalumanyile ukhuta une sanisyova. (aiōn )
32 Huko Dameski, mtawala aliyekuwa chini ya Mfalme Areta aliulinda mji wa Dameski ili kunikamata.
Uku ku Dameska, umbaha va khilunga pasi pa Ntwa uAreta alolelaga ikhilunga kya ku Damaski ukhuta anyibate.
33 Lakini nilishushwa kwa kapu kubwa kupitia katika dirisha ukutani, nikatoroka kutoka mikononi mwake.
Khange vambiekhile mukhitundu, ukhugeendela pakhidwel ikhilipalwimato, nukhupokhiwa ukhuhuma mumavokho ghavene.